Тёмный

ALIYEPEWA SHAMBA NA MAGUFULI ADAI KUDHULUMIWA NA MKOA, MKUU WA MKOA AWAKA "ACHAKUMDANGANYA MWENEZI" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 253 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 янв 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 490   
@daudbulba9153
@daudbulba9153 5 месяцев назад
Naposikia haya namkumbuka hayati magufuli aliko mungu amuraze pema makonda big up sana magufuli wa pili anakuja
@khadjamhozya
@khadjamhozya Месяц назад
anakuja arakini😭😭😭 arakini uhhhmmmmmm😭😭😭😭😭
@killingmleke1810
@killingmleke1810 5 месяцев назад
Makonda mungu akuweke sana mimi nakuahidi mungu atakusimamia na endelea ktk hilo
@mrsab303
@mrsab303 5 месяцев назад
Makonda you reminded me Magufuli good job ❤❤❤❤
@selemanimchana3598
@selemanimchana3598 5 месяцев назад
He fight for the next election 2025, haya maisha bhana Mimi nimechill tu
@lilianeerica3318
@lilianeerica3318 4 месяца назад
​@@selemanimchana3598Akichaguliwa na akafanya hivi ndipo tutajua kwamba ni mzuri ama mbaya
@nurumwenkale7278
@nurumwenkale7278 5 месяцев назад
Hamna mkuu wa mkoa hapo huyo mama yupo upande wa wawekezaji si aseme tu na Hana mpango wa kusaidia wananch
@leonardkinanda3284
@leonardkinanda3284 5 месяцев назад
Muheshimiwa Makonda! Nakufurahia sana! Bado namuomba Mungu akulinde na macho ya husda
@user-ee5ph1tm9n
@user-ee5ph1tm9n 5 месяцев назад
Fanya kazi baba makonda uko Safi unaweza ukawa kiongozi bora sana brother
@elinipendokarisha9570
@elinipendokarisha9570 5 месяцев назад
Mh. Makonda ni chuma cha pua....he is a man of the peple
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 5 месяцев назад
Walipoona Magufuli amekufa amemdhulumu huyo Mkuu wa Mkoa
@Obasaniyo
@Obasaniyo 5 месяцев назад
Mkuu wa mkoa hovyo kabisa. Anajifanya anahasira.
@alexandersangi1724
@alexandersangi1724 5 месяцев назад
Mm nazani makonda baada ya mama ufate wewe kuwa Raisi.
@ashangonyani7989
@ashangonyani7989 5 месяцев назад
Mama Asante sana, Mungu akupe umri mrefu Kwa kumrejesha Makonda. Msamehe na kumkumbuka Tena katika ufalme wako, ALI HAPI na SABAYA. 🙏🙏
@user-mx8tp2li8e
@user-mx8tp2li8e 5 месяцев назад
Ama kweli makonda nimekukubali upo vizuri kaka piga kazi
@mms9158
@mms9158 4 месяца назад
Mr makonda Alla akupe umuri uendelee hivohibo kuwasaidia wananchi ❤
@asajileraphael1951
@asajileraphael1951 5 месяцев назад
Bado Kuna Mt anaitwa ALLY HAPPY apewe nafasi mchapa Kaz kweli naye, wakiunganishwa na huyu mwamba itakuwa
@josephineokama2200
@josephineokama2200 5 месяцев назад
kwel kabisa yaani ni watu ninaowatamani jumlisha sabaya nchi ingekua mwake
@hopehealthcs3294
@hopehealthcs3294 5 месяцев назад
Wow true
@aishaabrahaman9957
@aishaabrahaman9957 5 месяцев назад
Yulee yupo busy na ukulima abaki tuuuh uko uko
@user-zr1mk3xd2x
@user-zr1mk3xd2x 5 месяцев назад
Anhaa! Kaka umemsahau LENGAI OLE SABAYA! Na yeye arudi serikalini
@abdulmelele7322
@abdulmelele7322 5 месяцев назад
Ally Hapi mwamba namkubali sana mrangi yule ni kichwa kwel kwel
@emmanuelkyandochali990
@emmanuelkyandochali990 5 месяцев назад
Eti muogope mungu yaan limekaa Limama linawatetea wawekezaji linaumiza wananchi wake sa sijui linawaongoza wawekezaji au wananchi
@JophasJohn-oh8zu
@JophasJohn-oh8zu 5 месяцев назад
Si kapewa hela mbwa huyu mama
@user-eu6ql9zl7n
@user-eu6ql9zl7n 2 месяца назад
Ana mgao wake Kwa wawekezaji
@grayjordan3900
@grayjordan3900 5 месяцев назад
Kwa nini wanateuliwa watu hovyo namna hii nivigezo gani wanatumia kuteua watu wa hovyo, mkuu wa mkoa anadiriki kutishia wanainchi kweli
@boniphacewambura1427
@boniphacewambura1427 5 месяцев назад
Ndio maana mm huwa huwa sipend hizi nafasi za kutwuliwa maa hawana hofu na wananchi wao huwa wanahofu na aliyewateuwa
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 5 месяцев назад
Ni huzuni Sana Tanzania yangu 😢😢😢😢😢kila kona ni kilio dhuruma imetawala
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 5 месяцев назад
Yn ni haibu nchi ya hamani tunajulikana dunia nzima lkn ndan ya mchi akuna hamani imejaa zuruma tupu
@AbdulmalikFedrick-ct7nb
@AbdulmalikFedrick-ct7nb 5 месяцев назад
Mueshimiwa makonda Alha akulinde Na Kila adui CCM oyeeee
@user-sq5mb2gd6x
@user-sq5mb2gd6x 5 месяцев назад
Wewe mwanamke huna haya hata kuzungumza uongo humuogopi mungu.
@user-fr6rv2yb4s
@user-fr6rv2yb4s 4 месяца назад
Maghufuli left a great legacy, he set the pace and I'm glad seeing this going on after his death. Initially I thought it was during the lifetime of president Maghufuli but seeing the poster of Mama Samia behind assured me that she's truly followed the footsteps of her predecessor. But please I wish Mama Samia too went round to directly listen to her people's problems like Maghufuli did. Thank you Tanzania and Tanzanians for your uzalendo and being true to your country. God bless Tanzania
@user-br7sf6ey9t
@user-br7sf6ey9t 5 месяцев назад
Mkuu mkuu shikamoo uzidi kubarikiwa aseee kwanzia leo nimeamini mungu nimkubwa sana ivi ayayote unayaoteshwa mkuu????? Maana unaoji mpaka mtu anajikuta ametubu zambi bilakujuwa aseee
@ashangonyani7989
@ashangonyani7989 5 месяцев назад
ALI HAPI! ALI HAPI! ALI HAPI! Mama mkumbuke huyu kijana mzalendo na jasiri kama Makonda.
@denisyohana8104
@denisyohana8104 5 месяцев назад
nimemmic sana ALI HAPI ,asant MAKONDA
@salimalaquimane3077
@salimalaquimane3077 5 месяцев назад
Kwan sheria ai ruhusu wwe kua rais toka alivyo kufa JPM ckuwah kua na matumain 🎉
@laylayl5166
@laylayl5166 5 месяцев назад
Huyo mama mmmmhhh
@rosesilio9008
@rosesilio9008 Месяц назад
Da ila hii nchi ni ngumu watu wanaonewa wanadhulumiwa hatari
@user-kp3ii4et3v
@user-kp3ii4et3v 5 месяцев назад
Nawapata vizuri nikiwa dar. Tanzania
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 5 месяцев назад
Kusema kweli watendaji wa serikali huwa hawana msaada kwa wananchi😢
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 5 месяцев назад
Tena wanadharau ukiwa maskin wanahis huna haki hat yakuishi ni majinga sana.
@FredrickOlotu-u8n
@FredrickOlotu-u8n 4 дня назад
Jamani mungu amoaze mgufuri rushwa ilikomeshwa makonda tunakuomba uje morogor jamani uwi!
@Muuzambuzi
@Muuzambuzi 5 месяцев назад
Makonda oeeeeeee big up sana.
@johnbernad3990
@johnbernad3990 5 месяцев назад
Wizala ya ardhi inashida sana yaani imejaa zurma sana nyambafu sana hawa
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 5 месяцев назад
Da mama Mkuu wa mkao huyo, hajui mkono wake wa kulia wala wa kushoto.🙆😂🤷‍♂️
@costantinochibago9768
@costantinochibago9768 5 месяцев назад
Tungepata watumishi japo 10 kama mh.p makonda kwenye taifa letu tungeishi kama wafalume Mungu akulinde sana maana hhhh
@isaacmambwe6547
@isaacmambwe6547 5 месяцев назад
Tanzania yangu shikamooooooo
@daudisaimon7466
@daudisaimon7466 5 месяцев назад
Huwezi miliki leseni bila kulipa watu fidia za maeneo husika
@lucaschipanga4466
@lucaschipanga4466 5 месяцев назад
Makonda kaka ukovizuri mungu tuuu akuride honja zingine mariza hapo hapo tuone mfano
@user-zi1gp6dc2q
@user-zi1gp6dc2q 5 месяцев назад
Ilo limama linafika lishakula pesa limalaya likubwa ilo sura kama bundi
@HamadiMgaluka-ld7hv
@HamadiMgaluka-ld7hv 5 месяцев назад
tunataka viongozi kama mh makonda. mama kamaitawapendeza mpeni kitengo Ally Happy nae ni mzuri kwenye kazi
@laylayl5166
@laylayl5166 5 месяцев назад
Dunia simama nishuke wanawake muogopeni mungu nyie
@jacobmwashambwa4893
@jacobmwashambwa4893 5 месяцев назад
Nakufuatilia sana Comrade Makonda najifunza mengi
@user-nv4li8of1s
@user-nv4li8of1s 5 месяцев назад
Hii nchi watu wanaonewa wengi asa Kwan viongoz wengine wanalala tu
@SAIDSAID-zb8xr
@SAIDSAID-zb8xr 5 месяцев назад
Hawa viongozi wanateuliwa kwa vigezo gani Yani mkuu wa mkoa mzima anakuja na hoja hazieleweki hii nchi ngumu Sana
@Obasaniyo
@Obasaniyo 5 месяцев назад
Mimi kanishangaza. Huyo hawezi kuwa mtetezi wa wanyonge
@MtegekiKaijage
@MtegekiKaijage 5 месяцев назад
Kwani shinyanga si kuna uchawi wanasubili nini kuroga hawa watu kuanzia muwekezaji, mkuu wa mkoa na afsa/kamishna wa ardhi
@denismnubi7001
@denismnubi7001 5 месяцев назад
Nimepda hiii
@Obasaniyo
@Obasaniyo 5 месяцев назад
Hahahahahaha😅😅😅
@chomasongidion6047
@chomasongidion6047 5 месяцев назад
Mefari tayari huyo mwwkezaji
@rivadodeniss1960
@rivadodeniss1960 2 месяца назад
😂😂😂
@martinisadru9899
@martinisadru9899 5 месяцев назад
Huyo mkuu wa mkoa anaonekani ni m'babe sana, atakua mkorofi sana, anaweza kumpiga makofi huyo jamaa, baada ya mwenezi kutoka hapo.
@mot.tvmsamvu6770
@mot.tvmsamvu6770 5 месяцев назад
hawa ndoo waaribifu ktk nchi hii hawajuo chochote kile
@user-go6xm3ef1o
@user-go6xm3ef1o 5 месяцев назад
Angefukuzwa kaz akajifunze upendo na nidhamu Hawa awajawakiliwa na jua la maisha
@jackiefredrick586
@jackiefredrick586 5 месяцев назад
​@@user-go6xm3ef1oafukuzwe na nani
@user-ei2ud7gh5h
@user-ei2ud7gh5h 11 дней назад
😂😂😂😂😂😂kwamba mwenezi akitoka jamaa anakipigo😂😂😂😂imebidi nicheke
@user-mp4yt7ps5q
@user-mp4yt7ps5q 5 месяцев назад
Huyo mkuu anatumia jaziba hata mbele yako makonda je akuwa nawanyonge tu si kesi
@EmmanuelMwanza-ef9bf
@EmmanuelMwanza-ef9bf 5 месяцев назад
Yani huyo mama anaongea kama vile anachambana na wanawake wenzake kwenye vikoba
@emanuelgella8201
@emanuelgella8201 5 месяцев назад
Kunayo muda viongozi wanao wateuwa hawa wakuu wa mikoa na wilaya wanapsswa kijitathmini sana, hivi kwa jins mkuu wa mkoa alivyo anza kuongea kwa jazba na kwa mkwara utafikiri ni kweli jamaa hana haki, kumbe ni kujihami,, waweke watu sahihi jamani kwenye hizi nafasi za uamuzi
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 5 месяцев назад
Ofisi za Umma zimejaa wala Rushwa na matapeli
@mihayokakwimba9524
@mihayokakwimba9524 5 месяцев назад
watu wa bara kwa uongozi wapo vzr❤
@bazarakimayenga3572
@bazarakimayenga3572 Месяц назад
Ni majembe
@issaabdallah7660
@issaabdallah7660 5 месяцев назад
Hawa watendaji mda mwingine huwa wanaichonganisha serikali na wananchi
@SaidHassan-wz1px
@SaidHassan-wz1px 5 месяцев назад
MAKONDA ANAFAA KUA WAZIRI MKUU
@hamishassan6784
@hamishassan6784 5 месяцев назад
ki ukweli nakiona kile kilichomfanya Mzee Magufulina hata sasa Mama Samia kukuteua Jamani Weye unaweza Mungu akuweke kiongozi wetu maaana sio kwa busara hizo ulizonazo
@juliusmogaka2735
@juliusmogaka2735 5 месяцев назад
I wish for this man to be the next Tz president
@annakapolondo7771
@annakapolondo7771 5 месяцев назад
Me too
@mrrockboy9508
@mrrockboy9508 5 месяцев назад
Makonda baada ya mitano tena ya mama. Aki Mungu iposiku utaiyongoza ii nchi japo silaisi kazaa
@mariammalendeja370
@mariammalendeja370 5 месяцев назад
mitano ya nini tena tumpe makonda tu
@adieldennis1316
@adieldennis1316 5 месяцев назад
This man Makonda seem to be a good person,he speak well ,he communicate with common mwananchi with a lot of humility,To my opinion he has great future,but on the other hand am wondering how come there's rumours that he was involved on assassination attempt of Tundu Lisu.?
@neemanziku5403
@neemanziku5403 5 месяцев назад
Waandishi na wanahabar peleken hisia zetu kwa mama Samia kwamba Tunampenda sana Makonda tena apewe ulinzi mkal
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 5 месяцев назад
Mwenezi ruhusu waoneshe karatasi zao ndomuse serekali sikuzi inatoa mihuri feki?
@Gamba81
@Gamba81 5 месяцев назад
Huyu bwana kamuita raisi samiya wala siyo mama samia kimu mkazi atasaidiwa kweli
@aishaabrahaman9957
@aishaabrahaman9957 5 месяцев назад
😂😂😂😂
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa 4 месяца назад
😂😂😂
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 5 месяцев назад
Kuweka matumbo hofisini tu na kutumbua tu pesa ndowanaotia serekalihasarana wananchi
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 5 месяцев назад
Chama cha mapinduzi tunaomba huu utatuzi anaufanya makonda uendelee maana tatizo kati ta w
@giftmusa6543
@giftmusa6543 5 месяцев назад
Mie karatasi ya serikali sishiki wala sisomi sasa,mkuu wa wilaya ndio ataisoma😅
@neema-ee6qm
@neema-ee6qm 5 месяцев назад
😂😂😂😂s
@giftmusa6543
@giftmusa6543 5 месяцев назад
@@neema-ee6qm hatari
@doricecyprian7246
@doricecyprian7246 5 месяцев назад
Yani mwekezaji na hekari mia sita zote 600 na wananchi wanangaika😂😂
@nadiatanzania
@nadiatanzania Месяц назад
I miss you daddy magufuli but nimefarijika kumona mwanao makonda amefuata nyayo zako😢
@raymondkaria1451
@raymondkaria1451 Месяц назад
Huku ndiko kurudishiwa vilivyoliwa na madumadu na tunutu na parare Bwana Yesu asifiwe Katibu mwenezi,, Mungu akulinde
@user-wg2gd2nl6c
@user-wg2gd2nl6c Месяц назад
Amina
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 5 месяцев назад
Mnapokeza uongo tu watu mlioaminiwa na serika na wananchi
@user-oq3dd5xj9m
@user-oq3dd5xj9m 5 месяцев назад
People fighting for the land. Land is listening to them whilst takes all the weight of human being when they walk and stand on it. BUT, when Land hit back and swallow human being, everyone is crying and forgot what they have done to the land before.
@user-uk9vm5jn9d
@user-uk9vm5jn9d 5 месяцев назад
Mheshimiwa makonda tusaidie mloganzira kibamba tusaidie tusaidie tusaidie
@selemanimchana3598
@selemanimchana3598 5 месяцев назад
🙏👊👊
@selemanimchana3598
@selemanimchana3598 5 месяцев назад
Deeply fact user🎉
@ErickPazia
@ErickPazia 26 дней назад
Wewe ni kiongozi mzuri usiogope jitie moyo mkuu na mungu atakuwezesha❤
@user-zi1gp6dc2q
@user-zi1gp6dc2q 5 месяцев назад
Jaman viongoz wa ccm mbn mna matatizo namnaiharibu ccm iv wachawi nyinyi bora makonda umeanza kazi yamungu
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 5 месяцев назад
Acha uwongo mama karatas kazipata wapi
@ROSEENOCK-l3j
@ROSEENOCK-l3j 5 дней назад
Nakupenda sana baba Mungu akutunze na akukinge na kila jambo baya
@billgussy6099
@billgussy6099 5 месяцев назад
dhuluma zime jaa sana hii nchi
@juchaonline4084
@juchaonline4084 5 месяцев назад
Mi ningependa inch iongozwe na Wasukuma 😂😂
@barakamachard1944
@barakamachard1944 5 месяцев назад
Wasukuma wako vizuri
@Anna-jl2ie
@Anna-jl2ie 5 месяцев назад
asaante makonda
@makulanangale7186
@makulanangale7186 5 месяцев назад
Wasukuma wengi roho safi
@ngusamalegi4577
@ngusamalegi4577 5 месяцев назад
Haswaaaa😅😅
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 5 месяцев назад
Yaani Nawapenda sana Wasukuma hawapend ubabaifu
@banguha
@banguha 5 месяцев назад
Uyu mama na miwani yake kama fundi maget ameanza kwa mbwembwe za umuogopi Mungu utadhan yeye anamuogopa muone gaun lake kama mwanafunz wa chekechea
@johnbernad3990
@johnbernad3990 5 месяцев назад
Sikutemea kucheka usiku huu wa manane 😂😂😂😂
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 5 месяцев назад
😂😂 na hilo tumbo Lake sasa
@fatumamilimo7336
@fatumamilimo7336 5 месяцев назад
😂😂😂😂niacheee
@martinisadru9899
@martinisadru9899 5 месяцев назад
@emmanuelmayunga1518 usimseme vibaya Kwa uumbwaji, maana hakuomba, Bali mseme Kwa mabaya aliyonayo kutoka moyoni mwake.
@seifkulwa3346
@seifkulwa3346 5 месяцев назад
Huyu mama hamna kitu!
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p Месяц назад
Mrisi wa magu
@user-jz7td8kb6n
@user-jz7td8kb6n 5 месяцев назад
Makonda akijakugombea urais 2030 atapita
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 5 месяцев назад
Ukionesha kiherehere cha uongozi hutoboi. Wanapita wengine.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 5 месяцев назад
User anapita bila kupinga
@aaa64sa13
@aaa64sa13 5 месяцев назад
Kabisaaaaa🎉
@fidelismwakanyamale6787
@fidelismwakanyamale6787 5 месяцев назад
Shinyanga ni shida huyu mkuu wa mkoa ni tabu tupu
@user-wp3yc6vv1f
@user-wp3yc6vv1f Месяц назад
Mungu akulinde miaka za milele ,
@mihayokakwimba9524
@mihayokakwimba9524 5 месяцев назад
raisi 2025 huyu anatufaa
@Jenifer-wd4hn7cv9s
@Jenifer-wd4hn7cv9s 2 месяца назад
Magufuli is comeback again 🙏🙏🙏thanks God
@AmosJuma-wp2pe
@AmosJuma-wp2pe 5 месяцев назад
Makonda bona kama unataka nikupe kula nyingi naomba ugombe chochotee
@JophasJohn-oh8zu
@JophasJohn-oh8zu 5 месяцев назад
Huyu mwamba akigombea kiti cha urais Asubuh na mapema yaani anashinda na hana mpinzani kabisa
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 5 месяцев назад
Hadi raha
@ishipalemypasco2567
@ishipalemypasco2567 5 месяцев назад
Ngoja nikae niagize na soda 😂😂😂
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 5 месяцев назад
Kwanini akae ofisini tu?
@EliasMalendeja
@EliasMalendeja 12 дней назад
Mungu akubariki sana jembe makonda na jembe la ilinga mungu awalinde
@jamesmgimba7403
@jamesmgimba7403 5 месяцев назад
Muwekezaji anamikikishwaje eneo la mtu bila fidia kwa mwenye eneo?
@user-kp3ii4et3v
@user-kp3ii4et3v 5 месяцев назад
Umenikubusha hayati Magufuli
@Zengeni-gz8fe
@Zengeni-gz8fe Месяц назад
Acha tu ndugu YANGU ❤ magufuri
@SayyidAhmadBaalawy
@SayyidAhmadBaalawy 5 месяцев назад
Huyo Mama Muongo Hasemi Ukweli! Mweke Sawa
@shijamakoye6544
@shijamakoye6544 5 месяцев назад
Daaah yani jamaa wanatatua mgogoro bila kufika field aiseee hii ajabu sana
@user-lh8uc4re6o
@user-lh8uc4re6o Месяц назад
Baba pambana tupo pamoja mungu atakusimamia Mimi msukuma mweupe nuu tabu turio pamoja
@WinfridaMdemu
@WinfridaMdemu Месяц назад
We mama mungu anakuona kuwa makini utapigwa pigo kubwa sana
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s 5 месяцев назад
Hawa wa serikali ni wezi Sana,viva makonda,
@EmanuelMusa-qp5je
@EmanuelMusa-qp5je Месяц назад
Mungu akulinde makonda upo sahihi kibisa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@shijamakoye6544
@shijamakoye6544 5 месяцев назад
Ccm itang'olewa madarakani na wateuliwa wake yani ccm inateua wawakilishi wenye nia ovu na chama sasa mfano huyo mkuu wa mkoa na huyo kamishina hawajawahi kufika kwenye eneo na wala hawalijui harafu wanakomaa kumtetea muwekezaji kwa maana hiyo tayari walishapewa hongo
@rosesilio9008
@rosesilio9008 Месяц назад
Camera man unavyommulika huyo mdaiwa huyo mzee ni noma mzee anavyoshangaa jaman kanyoosha shingo hiyo😂😂😂🤣🤣🤣
@esthermwikali5403
@esthermwikali5403 Месяц назад
Mimi ni mkenya Rakini makonde achopanya ana mwenzake mungu akulinde na akupatie maisha marefu
@oswaldiranyibuka4857
@oswaldiranyibuka4857 Месяц назад
Kaka Makonda hongera,niko Bujumbura
@issakwisamwasanjobe541
@issakwisamwasanjobe541 5 месяцев назад
Rc WA aina hiyo ajitathimini au chama kimtathimini
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 5 месяцев назад
Kwani kati ya raisi na mwekezaji nani mwenye amri kwenye ardhi?
@rhodakisena6428
@rhodakisena6428 5 месяцев назад
Ladha ya marehemu Magufuli
@madinajamada9180
@madinajamada9180 4 месяца назад
Dhuruma sio nzuri tuogope allah tutaulizwa siku ya mwisho
@chomasongidion6047
@chomasongidion6047 5 месяцев назад
Mkuu wa mkoa aondoke hana mahusiyano mazuri na watu,tazama qnavyozomewa
@bwagizoselemani8434
@bwagizoselemani8434 5 месяцев назад
Daah hii nnch inamajanga Sana kwakwel sijui tutafanya nn kila siku majanga viongoz wetu changamoto
@elizalutiga6287
@elizalutiga6287 5 месяцев назад
Asanteeeeee Makonda
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 5 месяцев назад
Chama cha mapinduzi tunaomba huu utatuzi anaufanya makonda uendelee maana tatizo kati ta wa
Далее
impossible to understand how😨❓
00:14
Просмотров 4,9 млн
MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2024 MBULU DC
33:21
LIVE: YANGA WANATOA TAMKO MUDA HUU
Просмотров 11 тыс.