Yani umetowa funzo kubwa mno Kaka, vijana wengi wanaamini katika kutoka kimaisha lazima wawe na mtaji mkubwa zaidi, wakati game lenyewe wageni na pili ni utofauti siyo lazima wote mfanane biashara, tatu hawana mchanganuwo zaidi ya kufikiria faida tu . Ahsante kwa Elimu hii . WEWE ni MTEULE #You HERO# 🥋🥊👉🏆
People wants overnight success without applying hardworking and most of them don’t have no vision for it… besides be a comedy I know somebody learn something today. Joti and his team God blessed y’all.
Daaaah hakika npenda Sana kulifatilia we ni noma mwajina urud na ifakara kutembelea shule yako ya msingi kibaon,site mtanki matatu mtaa wako huu Enzo hzo