Тёмный

KIINUA MGONGO 

Joti TV
Подписаться 1,1 млн
Просмотров 578 тыс.
50% 1

Kweli nimeamini ukitaka kujua akili za wajukuu wako wape pesa uone kazi...

Опубликовано:

 

15 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 657   
@fedharmmark6398
@fedharmmark6398 2 года назад
Yani umetowa funzo kubwa mno Kaka, vijana wengi wanaamini katika kutoka kimaisha lazima wawe na mtaji mkubwa zaidi, wakati game lenyewe wageni na pili ni utofauti siyo lazima wote mfanane biashara, tatu hawana mchanganuwo zaidi ya kufikiria faida tu . Ahsante kwa Elimu hii . WEWE ni MTEULE #You HERO# 🥋🥊👉🏆
@shaabanyusuph9225
@shaabanyusuph9225 2 года назад
Lesson; siku zote usiwe wakwanza kuzungumza kwenye kikao sikiliza kwanza maoni ya watu kisha tafakar ndo uchangie 🙏🙏🙏big up nishai
@praiseandworship6293
@praiseandworship6293 2 года назад
Heavenly Father I pray you keep the person reading this alive, safe, healthy & financially blessed. Amen
@ditricklyuvale1225
@ditricklyuvale1225 2 года назад
Amen
@wycliffegift6180
@wycliffegift6180 2 года назад
Amen
@brownsebastianmwibi5647
@brownsebastianmwibi5647 2 года назад
Amen
@valerianawinfrid7497
@valerianawinfrid7497 2 года назад
Godbless u tooo
@godknowsbetter.6352
@godknowsbetter.6352 2 года назад
With due respect, likewise
@nsengiyumvaemmanuel9065
@nsengiyumvaemmanuel9065 2 года назад
Kweli wewe ni kioo cha jamii,ubarikiwe sana Joti!!!We are together from Msumbiji
@cedricmaina4523
@cedricmaina4523 2 года назад
Mashwaini nyinyi, mnang'atwa nini? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
@mohdnyambi7513
@mohdnyambi7513 2 года назад
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
@babuunavaz9843
@babuunavaz9843 2 года назад
Hivi huyu zuu namtamani Sana mjue bac tuuu daaaaah ...... 😂😂😂 Nikimtia mikononi huyu lazima atulie
@PabloEscobar-wt1fq
@PabloEscobar-wt1fq 2 года назад
The most crazy comedian in Tanzania....
@mohamedtaib5614
@mohamedtaib5614 2 года назад
Joti na enjoy sana with love from Toronto
@developershee4033
@developershee4033 2 года назад
Busara kweli. Keep educating the community
@calvinkapinga8341
@calvinkapinga8341 2 года назад
Hichi kidada kilichokuaga na Mr bigbig kina kipaji sana sijui anaitwa zuu
@mwahamedychilungu8981
@mwahamedychilungu8981 2 года назад
Kasha feli uyo kwenda kwa joti
@aishachambo3293
@aishachambo3293 2 года назад
Anaitwa zuu
@AsmaAsma-gd3mv
@AsmaAsma-gd3mv 2 года назад
@@mwahamedychilungu8981 kwakweli awezi toboa joti mbi nafsi
@abu-hasheem6422
@abu-hasheem6422 2 года назад
Inafurahisha na kuelimisha.....safi sana.....👏👏👏👏
@kelvinjamesmchunga1876
@kelvinjamesmchunga1876 2 года назад
More than educating
@muddymdigo5164
@muddymdigo5164 2 года назад
Yarabi mbavu znguu we jotiii bc inatoshaaa
@azizahmwimbe8548
@azizahmwimbe8548 2 года назад
🤣🤣😆😆heti babu tutauza kuku hata ukiuza mapupu 🔥🔥
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 2 года назад
Nimecheka sana joti 😄😄😄😄😄😄🔥🔥🔥🔥🇹🇿.
@fatmamusa2483
@fatmamusa2483 2 года назад
Kazi mzuri kaka twakuombea maisha marefu uzidi kutufraisha
@KibweOnlineTv
@KibweOnlineTv 2 года назад
Eti mnang'atwa nini, Shwaini zenu 😂😂😂
@wamoroboy8963
@wamoroboy8963 2 года назад
Mimate yanini🤣🤣🤣
@heyumi2340
@heyumi2340 2 года назад
hata mkiuza mapupuuuu 🤣🤣🤣🤣
@andrewmagwila1602
@andrewmagwila1602 2 года назад
Hahahahahahaaaaa Joti ni htr ametumia akili ya kiutuuzima kuwatoa nje
@glorylema5652
@glorylema5652 2 года назад
Tunaorudia mar 2 mbil tujuaneeee🤣🤣
@johnngari7671
@johnngari7671 2 года назад
Joti your the best😁😁😁😁😂😂 i real like tjis commedy
@PesaMadafu
@PesaMadafu 2 года назад
People wants overnight success without applying hardworking and most of them don’t have no vision for it… besides be a comedy I know somebody learn something today. Joti and his team God blessed y’all.
@bestsuma5826
@bestsuma5826 Год назад
Well said 🤝
@vincentmboya
@vincentmboya 2 года назад
Watched this clip 5 times😂😂😂😂joti I really love your work 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@dianaelieza4937
@dianaelieza4937 2 года назад
Leo nimewai sijawai kupata like jamani.
@mbalilax162
@mbalilax162 2 года назад
Further from comedy, this video also teaches...well done Joti, I really like this more
@jumanurdini9814
@jumanurdini9814 2 года назад
Et babu tutauza kuku 🤣🤣 joti kazi nzur inaelemisha
@florianrweangisa8403
@florianrweangisa8403 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣kaka we ni nomaaaa sio comedy tu pia kuna elimu kubwa ndan
@jacksongeorge3964
@jacksongeorge3964 2 года назад
MNANGATWA NIN" hahaha😂😂😂 big up joti bonge moja la meseji
@kingmwaxoh6420
@kingmwaxoh6420 2 года назад
nimeiona iyoooo
@happykamera6001
@happykamera6001 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jot jot mbavu zangu zikivunjika utalipa🤣🤣🤣
@treshazgodfather9219
@treshazgodfather9219 2 года назад
😀😀😀😀😂😂Babu nitakuwa nauza ndizi😂😂huyu mwingine nae nitakuwa nauza kuku JOTI: HATA MKIUZA MAPUPU😂
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 2 года назад
Akyammaaa kama babu yangu naeii ivvv waalah walitokea vilazaa kama iv aliwatimua homeee😅😅😅😘🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@officialdaud4773
@officialdaud4773 2 года назад
Hahahahaa daah joti😂😂🙌🏻
@fiziparadise7808
@fiziparadise7808 2 года назад
Hivi mnakubali King Joti ku join Original Comedy Show ao abaki hapahapa? The best Joti’s Congolese fan ever🇨🇩🇬🇧
@kentmhando1155
@kentmhando1155 2 года назад
Ajiunge tu kule pengo lake linaonekana bado na huku aendelee tu kama kawaida
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 2 года назад
Kwakweli afanye kote❤️❤️❤️❤️
@wisperfect5320
@wisperfect5320 2 года назад
Mkataba unambana
@bahatijoseph8763
@bahatijoseph8763 2 года назад
Abaki huku huku
@Fgldesigns
@Fgldesigns 2 года назад
Aendeleze chake
@chrissjoel7752
@chrissjoel7752 2 года назад
😂😂😂😂😂😁😁😁😁 Mashwaini nyinyi yaani hela yangu Mimi mkafanyie anasa
@damarisonsabwa1293
@damarisonsabwa1293 2 года назад
Keep the good work always 😅😅😅♥️
@سالمالمسروي
@سالمالمسروي 2 года назад
Kazi ya pesa, lazima kigugumizie kiwepo😂🤣😍 wajukuu wegine washezi
@BONGOSTARMEDIA
@BONGOSTARMEDIA 2 года назад
Joti Fala saana😁😁😁
@abdoolshakuruswalehe546
@abdoolshakuruswalehe546 2 года назад
Gud Sana Ila sopa na akina kipande fanya warudi bhana
@leilahhassanomary7189
@leilahhassanomary7189 2 года назад
Kabisa naona sasah kumepoa ata ainog
@mlewazitotv
@mlewazitotv 2 года назад
Kipande mwizi
@mcpaulmkopa4798
@mcpaulmkopa4798 2 года назад
Babu mjanja Sana... Bora kilimo😂😂😂😂😂
@predictioneasyodds2779
@predictioneasyodds2779 2 года назад
Napenda sana joti aki act mzee
@achawanunetv1167
@achawanunetv1167 2 года назад
KONDEBOY JESHI NDIE MSANII MKUBWA IN TANZANIA KWA SASA KWASABABU YEYE NDIE ANAITANGAZA NCHI YETU KIMATAIFA KUPITIA MZIKI MZURI ANAOUFANYA 💥💥💥
@alkhudhertarek976
@alkhudhertarek976 2 года назад
Mataifa gn
@momscute4550
@momscute4550 2 года назад
Nchi which😂😂
@bastakimaro379
@bastakimaro379 2 года назад
We hamnazo kabsa
@starfordalex4139
@starfordalex4139 2 года назад
Imechanganyikiwa
@starfordalex4139
@starfordalex4139 2 года назад
Umechanganyikiwa
@malakimoses6115
@malakimoses6115 2 года назад
Mm character wa joti namkubali Sana ni Babu leo nimefurahi Sana kumuona huwanacheka Sana 😂😂😂😂
@Matiherbalist
@Matiherbalist 2 года назад
Hahahaha 🤣😂🤣 Babu hutaki vumbi la congo, unywe bia zako za kuisabu , umalizie guest room bora usiwe kifuwani 💃💃💃
@robertjoseph8830
@robertjoseph8830 2 года назад
Respect Broo joti
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 2 года назад
Inakaribia b inachungulia b inaenda kwenye b🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂unajua takwimu hz ziache hvhv usiombe
@ferouzmasoud4870
@ferouzmasoud4870 2 года назад
Juwa linawaka mpaka kwenye mifuko 😂😂😂
@mossesmatechi9022
@mossesmatechi9022 2 года назад
Babu tuta uza Supu labda ukauze Mapupu 😂😂😂😂😂
@hamadiyahya4407
@hamadiyahya4407 2 года назад
🤣😂🤣🤣 Really appreciate
@ahmadsaid4878
@ahmadsaid4878 2 года назад
Malaka kaskadiano farukulu madona 😂😂😂😂😂 jot bhna
@MrMona_TZ
@MrMona_TZ 2 года назад
Joti atareeeee!! Mzee🔥🔥🙏
@paulmwacha9870
@paulmwacha9870 2 года назад
Ahsante babu hao n mashuwain kabsa dadeq c🤣🤣🤣🤣
@groliapeter6132
@groliapeter6132 2 года назад
Ila joti hamnazo kweli😍😍😍😍😍
@Ramchandtz
@Ramchandtz 2 года назад
Nakubali..... Xku hiz kipande cmuoni
@aminaali792
@aminaali792 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣joti wewe ni hatareeeee wa comedy 🙌🏾❣️
@djuninhoramisos2453
@djuninhoramisos2453 2 года назад
Haahah😂🤣🤣JOTI king of TANZANIAN comedie
@mossesmatechi9022
@mossesmatechi9022 2 года назад
Ahahaha Yaani Ela yangu ukafanyie Hanasa 😂😂😂😂😂
@salumugidion
@salumugidion 2 года назад
Hahahaha much love and respect from USA
@BrownD
@BrownD 2 года назад
🤣🤣🤣🤣 Suzie Ka ongea point
@bintsuzytz9921
@bintsuzytz9921 2 года назад
😀😀😃😃
@issahrashid6319
@issahrashid6319 2 года назад
Nmependa Apo mwisho Mlioongea point wote watatu twenden tukapange ..
@joharimanyanda3358
@joharimanyanda3358 2 года назад
😂😂😂😂
@simoniandrew1273
@simoniandrew1273 2 года назад
Hahaha joti noma ety Kishungii😂😂😂😂
@homemohammed3244
@homemohammed3244 2 года назад
Babu hizo hela mawe😂😂😂😂😂😂💯
@startz24
@startz24 2 года назад
Hahahahaha da babu una wajukuu wanawaza anasa hahaha ila unaakili
@azizhamisi6519
@azizhamisi6519 2 года назад
Yaan ela yako wakanunulie bia ,vumbi la congo ,guest kweli mashwaini peleka ndan begi la elaa😄😄😄😜
@ukhutymamuu7470
@ukhutymamuu7470 2 года назад
Nimewahi leo 💃👌🤣
@rashidally5177
@rashidally5177 2 года назад
Umewahi wap
@hemedshughuli7145
@hemedshughuli7145 2 года назад
Am excited cause it's already Friday you what it is #jotiTv inaleta burudani
@aproxaprox
@aproxaprox 2 года назад
I liked your comment because of your profile photo, Chelsea the blues 4rever🔵🔵💪 and is everywhere !
@minaaminaa1781
@minaaminaa1781 2 года назад
Babu..na kiboga hawachezewi...😂🤣wachezee tu nishai na andunje nataman siku moja hii familia iact pamoja 🤣😂
@nguzo.fabian
@nguzo.fabian Год назад
Ila bro big up..this is more than a talent..big up sana
@nurafedrick378
@nurafedrick378 2 года назад
Hawa wawili wamefanana kweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣AMA ndugu jamani haya idea ya business sasa
@user-sc2fd2lf8l
@user-sc2fd2lf8l 2 года назад
Babu msikilize huyo anaesema atauza kuku😂😂
@eventstransportationservic9194
@eventstransportationservic9194 2 года назад
Hahahahhahaha mashwain nini mnang'atwa nini...
@thierybien7051
@thierybien7051 2 года назад
Eti mnang'atwaaa😀😀🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂
@asteriaslaa5482
@asteriaslaa5482 2 года назад
Jotiiiii....... Hahahaha..... Safi saaana
@nicholauslaurent5454
@nicholauslaurent5454 2 года назад
Mill 60 biashara ya vumbi la mkongo🤣🤣🤣🤣🤣
@abdallahsuleimani7416
@abdallahsuleimani7416 2 года назад
Kweli huyu alikuwa analibeba kundi la the comedian kazi mzuri amestahili tuzo
@abraham92268
@abraham92268 3 месяца назад
Joti ni genius kwenye content creation,, Mpoki amecha baki mbali
@aysherkitoi6547
@aysherkitoi6547 2 года назад
Cku hizi joti wala huchekeshi wale wazuri wote hawapo umebaki na makapi
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 2 года назад
Mguu kwa beg ya mahela🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Iamnia871
@Iamnia871 2 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂safi sana😍😍😍
@paulpeter6454
@paulpeter6454 2 года назад
Show time watu wanapindua meza 😂😂 Congo dust hii sio OG kama ya kule
@DaimaMwasile-wm2ii
@DaimaMwasile-wm2ii Год назад
Nakubali sana brother joti
@simongadiel866
@simongadiel866 2 года назад
Hahaha..et mnang'atwa😂😂
@SYLMASVISIONFORSCIENCE
@SYLMASVISIONFORSCIENCE 2 года назад
Educational content
@harunathomas516
@harunathomas516 2 года назад
Joti on fire 🔥🔥🔥🔥🔥
@DaimaMwasile-wm2ii
@DaimaMwasile-wm2ii Год назад
Kabisa
@chenguraking4276
@chenguraking4276 2 года назад
Bonge la comedy 🤣 😂 😆
@developershee4033
@developershee4033 2 года назад
Hii naikubali. Busara nyingi na wosia mzuri. Watoto wa kileo ni ovyo sana.
@msimbatiboy7517
@msimbatiboy7517 2 года назад
Mzee wajukùu wa mchongo hao🤣🤣
@wasafishadrack8398
@wasafishadrack8398 2 года назад
good job ❤️❤️❤️🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@allyumar4142
@allyumar4142 2 года назад
Leo safi mzee baba.
@nurafedrick378
@nurafedrick378 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️Bora kilimo kabisaa
@johnngari7671
@johnngari7671 2 года назад
Vumbi la Congo Og😅😅😅😅
@hamidalucas7300
@hamidalucas7300 2 года назад
😂😂😂😂😂😂👏👏👏 joti mko vizuri sana
@mchemargaret3500
@mchemargaret3500 2 года назад
Nkikuangalia nakuona babangu hivyo hivyo kabisa😂😂
@TeamKRX
@TeamKRX 2 года назад
🤣🤣🤣wamekosa yote
@ghost8641
@ghost8641 2 года назад
🤣🤣🤣 wtf did he say in the end? Baraka kaskajala falkun madona
@DaimaMwasile-wm2ii
@DaimaMwasile-wm2ii Год назад
Aisee hii inafunza sanaaaaaa vijana lika kuanzia 22 kwenda mbali
@nomamatata754
@nomamatata754 2 года назад
Joti mwehu sana😂😂😂😂😂😂
@fatmamusa2483
@fatmamusa2483 2 года назад
Kazi nzuri kaka
@lucashillarytawete9668
@lucashillarytawete9668 2 года назад
Daaaah hakika npenda Sana kulifatilia we ni noma mwajina urud na ifakara kutembelea shule yako ya msingi kibaon,site mtanki matatu mtaa wako huu Enzo hzo
@ibrahimsleiman4455
@ibrahimsleiman4455 2 года назад
Ni 🔥
@worldwide9207
@worldwide9207 2 года назад
Umetisha
@amanishiughaaa6345
@amanishiughaaa6345 Год назад
hera yangu mm mkafanyieh Anasa ira joti
@michaelbwoma2760
@michaelbwoma2760 2 года назад
Daah bonge la fundisho Suzzy katupatia..
@georgelyimo7628
@georgelyimo7628 2 года назад
😀😀alooo nimecheka sana Mnagunaguna nini kama mtu kajamba😁😁
@humycymachambula1719
@humycymachambula1719 2 года назад
Ahaaaaaaaaaaaaa hela yangu mm mkafanyie anasa
@abdusonramsey2430
@abdusonramsey2430 2 года назад
Joti msenge sana,ety mnang’atwa nn...😂😂😂
Далее
USIPITE ENEO LA JESHI
10:38
Просмотров 1 млн
@HolyBaam ультанул в конце 🧨
00:34
Просмотров 192 тыс.
TUNAENDA KUOA
9:38
Просмотров 576 тыс.
KARATA TATU
9:53
Просмотров 391 тыс.
MNATAKA MALI ZANGU
7:40
Просмотров 324 тыс.
WAHUNI
7:23
Просмотров 527 тыс.
ODO ANARITHIWA/Mtanga,Bambo na Msokolo /BABU NDOTO
8:50
Cha mtu mavi
8:41
Просмотров 757 тыс.
Baba Mwenye Nyumba
19:06
Просмотров 94 тыс.
Waraka wa Baba
9:08
Просмотров 1,4 млн
MUUZA SHANGA
8:49
Просмотров 858 тыс.