Тёмный

JAMAA ALIYEACHA MSHAHARA WA MILIONI 30 BENKI YA DUNIA "DIAMOND NAMVALISHA, NINA KIWANDA" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 205 тыс.
0% 0

Jefrey Jessy maarufu kwa jina la (Speshoz) ni kijana wa kitanzania aliyeacha kazi benki ya dunia ambapo alikuwa akilipwa zaidi ya million 30 kwa mwaka na akaamua kufungua ofisi yakushona nguo ambapo ameweza kuwavalisha watu mbalimbali nguo ikiwemo msanii Diamond Platnumz pamoja na hayti Dkt John Magufuli.
pamoja na biashara nyingine ambazo anazifanya ameamua kufungua kiwanda cha vinywaji katika wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro ambapo amesema fedha nyingi anayoipata ameamua kuwekeza kwenye biashara

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 356   
@Donrugi
@Donrugi 3 года назад
Natamanigi sana kuwa close na aina hii ya watu. Keep it up bro, keep inspiring 💪🏽💪🏽💪🏽🇹🇿🇹🇿🇹🇿. Content kama hizi ndo mhimu zaidi kwangu 🙏🏽🙏🏽
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 3 года назад
Hawa ndio watu wa kuwasikikiza, sio wale wanawake wanaosema wanafanya kazi mtandaoni na hawasemi ni kazi gani huku wanakushawishi ujiunge nao. Hongera sana Bro ww ni mfano wa kuigwa na sisi vijana wenzako.
@sactelevision2612
@sactelevision2612 3 года назад
Kabisa kaka
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Год назад
Hahaa utapeli utapeli
@ameenaameena1224
@ameenaameena1224 Год назад
Kabsa kaka umeongea point
@azizaburudani9635
@azizaburudani9635 Год назад
Mshamba wewe eti mtandao kwani sio bishara mshamba mkubwa
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Год назад
@@azizaburudani9635 heee sa mbona hasira
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 3 года назад
Huyu bwana mdg ni genius aisee watu wa aina hii wanamaisha yenye vita sana.Mungu amsaidie huyu kijana
@ayoubmakori8680
@ayoubmakori8680 3 года назад
Ivi ulijuaje yaani hawa watu Mungu awe nao muda wote
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Год назад
Hongera saana Kijana Mwenzetu, Hongera Tena maana ukiona mtu anafanya kazi na wazungu Ulaya muonee huruma saana , Wazungu wakikuajiri wanakuweka busy huwezi firikiria hata Ujasiliamali , Hongera kwa kujitoa na kujiajiri mwenyewe
@emmanuelkb366
@emmanuelkb366 3 года назад
Mtu makin Sana ........sema achana na pombe big bro jeff
@jescajulius8023
@jescajulius8023 3 года назад
Exactly
@kakaaignas3675
@kakaaignas3675 Год назад
Ndio inampaakil
@stevebupamba5009
@stevebupamba5009 3 года назад
great Inspiration bother... Hakuna mwenyebidii Mungu akamtupa. We learn more from you.
@ayoubmakori8680
@ayoubmakori8680 3 года назад
Kweli kabisa
@msifunilazaro6225
@msifunilazaro6225 2 года назад
MUNGU akubariki my brother jeph. najua haikuwa rahisi mkono wa MUNGU ulikushika
@saidgawawa8519
@saidgawawa8519 2 месяца назад
Big up brother, seriously u r one Ina million,uko focussed, inspirational na pia jasiri sana, vijana hapa tumepata mwalimu mwenzetu ambaye anatuhimiza na kuhamasisha katika kutia bidii maishani.brother u amazing n keep the good work going..👍🏻👍🏻
@rehemajumamlinde9418
@rehemajumamlinde9418 3 года назад
Kariakoo kuna suti Mpk za 50 very good material... Am praying for you to do more and more than that... I believe Tanzania is growing fast... God bless you
@nilansaid2927
@nilansaid2927 3 года назад
Rehema mambo, can I grow fast with you? 😌
@mtitagirloriginal9472
@mtitagirloriginal9472 3 года назад
Sio mbaya kujivunia akili yako mungu aendelee kukupigania usishuke tujifunze pia kupitia mlio fanikiw
@twentyacresfarms3464
@twentyacresfarms3464 3 года назад
Bro naomba rudia interview na jamaa kwenye uwekezaji zaidi mpe muda mrefu kama hutojali
@tanjaniyoman3160
@tanjaniyoman3160 3 года назад
Dah..hongerasn km ningekuweko tz ningeonana nanyi..nisingecheza mbali nanyie ..ningejifunza kwenu
@husseinmlonja3365
@husseinmlonja3365 3 года назад
we need these kind of business enterprenuer
@ChristinaLumato
@ChristinaLumato 26 дней назад
Mungu akubariki sana
@mosesedwardmagembe9657
@mosesedwardmagembe9657 3 года назад
Uko vizuri sana kaka. Ila punguza kilevi.
@morganrobinson3542
@morganrobinson3542 3 года назад
Kweli kabisa bro mm pia ni GIS expert na nmefanya kazi ya mkataba na world bank......wanalipa vizuri sana.
@mwanaishamkindi7763
@mwanaishamkindi7763 3 года назад
hongera
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 3 года назад
@@mwanaishamkindi7763 Ahsantah
@antiarutta4540
@antiarutta4540 3 года назад
Ooo
@busegamediatanzania
@busegamediatanzania 3 года назад
Dream Runner
@ashachitemo7816
@ashachitemo7816 3 года назад
Apportunit favored the prepared one's
@lugikoenterpriseslugiko3050
@lugikoenterpriseslugiko3050 3 года назад
Thanks for your inspiration jeff
@amanisaid9863
@amanisaid9863 Год назад
Nimejifunza kitu safiii Ubarikiwe
@wilongobioebwa8329
@wilongobioebwa8329 3 года назад
Keep up men you make me proud of my investment
@winniewairimu3822
@winniewairimu3822 3 года назад
Aise Mungu atusamehe kwakweli,umeona kama Mimi nimpigaji mzuri wa tungi
@moringelangas7276
@moringelangas7276 3 года назад
Alipata mtaji huyu!Verry Smart
@abdulwadi8667
@abdulwadi8667 3 года назад
Kuna vitu nimejifunza hapa big up sana
@iddibarwani8859
@iddibarwani8859 Год назад
Great!Congratulations Bro
@jumanenga271
@jumanenga271 3 года назад
Hkn jamaa smart mpambanaji km uyu speshoz mnyama sana nmkubali kinoouma najitajd kupambn nifikie maendeleo km yke
@itNeza
@itNeza 3 года назад
Dhuu yupo Very smart, hawa ndo Watu wakuhojiwa kabisa.
@endeshyamat6773
@endeshyamat6773 3 года назад
Good move Sana Ila pombe sasa mtuletee na video za kiwanda chakushonaaa
@aminitu3766
@aminitu3766 10 дней назад
Duh saf sna!
@jacobstephanonaziadi4724
@jacobstephanonaziadi4724 3 года назад
Smart bro daaa God bless you
@issakitenya5375
@issakitenya5375 3 года назад
Am appreciate that bro!!
@johnwenceslausmmbaga3917
@johnwenceslausmmbaga3917 3 года назад
Jeff kama Jeff nimesoma naye CHANJALE SEMINARY JIMBO KATOLIKI LA SAME
@kuy4011
@kuy4011 3 года назад
Shida sio kusoma nae
@swahilitrends
@swahilitrends 3 года назад
@@kuy4011 😃😃😃
@coletashirima2193
@coletashirima2193 3 года назад
Una no zake hahaha
@leahmagaiwa9099
@leahmagaiwa9099 3 года назад
Wewe unamiliki nini kwa Sasa
@juliuskimei5984
@juliuskimei5984 Год назад
😂😂😂😂😂 Me nltaka kuulza tu kwahyo?
@damiankimaro8919
@damiankimaro8919 3 года назад
Anaitwa speshoz mcheki yahstone town salama na
@globalcontents3697
@globalcontents3697 3 года назад
Jamaa genius sanaa
@ikulunimahalipatakatifu7642
Safi sana na ongera sana bro ..
@salminjuma9411
@salminjuma9411 3 года назад
Kutoka ndani ya moyo wangu.. i never mis speshoz interview...ukitaka kumuelewa vizuri huyu mtu angalia interview alofanya na salama... "GENIUS" tunahitaji watu wengi kama hawa katika jamii yetu...
@zowmemes9923
@zowmemes9923 3 года назад
Unatumia nguvu nyingi kuwahakikishia kitu watu usio wajua.
@salminjuma9411
@salminjuma9411 3 года назад
@@zowmemes9923 acha ushoga
@philemonnestory4239
@philemonnestory4239 3 года назад
Thanks My brother
@hamudseif
@hamudseif 3 года назад
Ela ya pombee..!! Aya lez goo the destn comes soon
@nilansaid2927
@nilansaid2927 3 года назад
Makapuku wanaona kama wanafokewa hivi 😂😂😂 guys be inspired naona mnapandisha sumu kuvu 😜😜
@josephangoty2897
@josephangoty2897 3 года назад
Daa! Anajisifu adi naona nimekuja duniani kusindikiza wengine But Nitapambana na mimi. Congratulations if is true.
@theejupitershow
@theejupitershow 3 года назад
Maisha pole pole sio piki piki ukiyarakisha yatakupeleka sivyo
@obenitejailos7007
@obenitejailos7007 3 года назад
😂😂
@theejupitershow
@theejupitershow 3 года назад
@@obenitejailos7007 ama vipi kaka
@beautymasatu1200
@beautymasatu1200 3 года назад
😅😅😅
@johnwenceslausmmbaga3917
@johnwenceslausmmbaga3917 3 года назад
Usikate tamaa
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 Год назад
congratulations to you brother and keep it up 🙏🙏🇹🇿
@joelmakelele8179
@joelmakelele8179 3 года назад
Brother nmekubali
@peterlujuo1640
@peterlujuo1640 3 года назад
I need this confidence 🙌🏼
@owlbig
@owlbig 3 года назад
Good for east Africa bro❤️🔥
@filbertakaro3739
@filbertakaro3739 3 года назад
Nice vision, great person but the alcohol drinking may shorten his life span or make his health fail him. Watch out, your success story needs your health.
@yama_virginhairthequeen1065
@yama_virginhairthequeen1065 3 года назад
YES I AGREE WITH YOU HEALTH IS WEALTHY. IF U HAVE VISSION AND BIG DREAM U MUST MAKE SURE UR ALSO LOOK AFTER YOUR SELF NICELY N CARE MIND WHAT U DRINK N WHAT UR EATING AND EVERYTHING PROTECT UR PEACE, N MANYMORE
@innocentgodwin5855
@innocentgodwin5855 3 года назад
Exactly my dear
@tajirihalisi823
@tajirihalisi823 Год назад
Hongeraa Sana broo
@franknzowa22
@franknzowa22 Год назад
Good interview
@elinzaissa1018
@elinzaissa1018 3 года назад
Honger kaka kwa upambanaji, mimi naomba tyu ajira
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 3 года назад
Nice move aise
@absolutevisualz5248
@absolutevisualz5248 3 года назад
absolute
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr 3 года назад
Very simple but so amazing kind of people
@flova7022
@flova7022 3 года назад
The Roman seminarists never fail how to catch up life
@nickolausbernard250
@nickolausbernard250 3 года назад
100%
@joydan249
@joydan249 3 года назад
Vizur sana kaka una influenc watu wengi
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 3 года назад
Hongera kwake ila inaonekana anakunywa pombe kali sana. Ukimuangalia unaweza kuona kama una uwezo wa kumsoma mtu haraka. Vijna wengi wakipata mafanikio hawaishi muda mrefu sababu ya life style. Ukitumia akili sana lazima utunze mwili pia
@ayoubmakori8680
@ayoubmakori8680 3 года назад
Na Mungu atusaidie kwa haya maana tunahitaji na kumpendeza Mungu
@bensonmgaya5693
@bensonmgaya5693 3 года назад
Huyu hakuwa mfanya kazi wa bank ya dunia alikuwa mfanya kazi wa mtu ndani ya bank hiyo mshahara mdogo huo kulingana na ofisi hiyo
@aloycemacha9894
@aloycemacha9894 3 года назад
Muongo hajafanya bank ya dunia
@anethjoseph4542
@anethjoseph4542 3 года назад
Nishafanya kazi company kubwa na nikalipwa 3000 per month , It depend unafanya kazi gani, mtu akikiuona unapendeza , na ukubwa wa jina la company uliyopo, hawezi amini unacholipwa inawezekana sana
@priscahussein6790
@priscahussein6790 3 года назад
@@anethjoseph4542 Nakubal dear ukubwa wa Campuny uctishe watu
@musahmichael3480
@musahmichael3480 2 года назад
@@aloycemacha9894 kamalikuwa anafagiya je
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 Год назад
@@anethjoseph4542 hata bank kuna ufagizi small salary upo sawa
@dottomsegu9162
@dottomsegu9162 3 года назад
Japo umehaso sana ila Wewe una connection kubwa sana bro
@jurakijuraki8870
@jurakijuraki8870 3 года назад
Nimeelewa sana ngoja nipambane
@emmanuelmchomvu2676
@emmanuelmchomvu2676 3 года назад
Kilimanjaro ndo walevi snaaa distributor wengi.....
@toyedward7475
@toyedward7475 3 года назад
I have got you brother ure a real risk taker.
@nilansaid2927
@nilansaid2927 3 года назад
Ila WB hiyo pesa ndogo sana, wapo watu wanalipwa million 6 kwa mwezi pale
@alkasusjaasus7015
@alkasusjaasus7015 3 года назад
Sasa wewe unasema milioni 6 kwa mwezi si ni karibia sawa na yeye anayelipwa laki na sitini kwa siku. 160,000 X 30 = 4.8 million kwa mwezi. Tofauti ndogo tu
@nilansaid2927
@nilansaid2927 3 года назад
@@alkasusjaasus7015 amesema million 30 kwa mwaka, pesa ndogo sana pale WB labda unskilled ndio hulipwa hivyo
@fadhili255mark2
@fadhili255mark2 3 года назад
Appreciate bana wabongo mkoje asee
@yahayanelem336
@yahayanelem336 3 года назад
Wewe ni mtu kwenye watu..hiki ndo muwe mnaohoj tunapata kitu..
@fx-farm6888
@fx-farm6888 3 года назад
Sasa hawa wasanii mbona hawamtangazi huyu jamaa wa watu maskini ya Mungu
@revocatuspaulo6716
@revocatuspaulo6716 Год назад
Kawalipa watangaze. Au na yey awashonee bure
@ramahamis5793
@ramahamis5793 3 года назад
Sometimes haiungii akilini ila kila mtu na MTAZAMO wake ktk maisha
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 3 года назад
Kivipi mtazamo ama?
@mosesmaembe1528
@mosesmaembe1528 3 года назад
Haiwezekan anachokisema
@ramahamis5793
@ramahamis5793 3 года назад
@@ilynpayne7491 we mtu akaache mamilioni ya mshahara
@idavastaborn1818
@idavastaborn1818 3 года назад
Pia mtazamo wako ndio ulipoishia,kama umeona milion 30 nyingi mwingine anajiajiri anapata milioni 100 unadhani suti zake anavalisha wangapi na kwa bei gani?je kiwanda hicho kinaingiza bei gani?hesabu muhmu sana
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr 3 года назад
@@mosesmaembe1528 kivipi
@wannaproducts
@wannaproducts 3 года назад
AKILI YA JEFF KAMA YANGU KABISA,SIKAAGI NA PESA YAANI YOTE INAISHIAGA KWENYE INVESTMENTS HATA HAZINIPI PESA AAAAHHHHHH
@shaxtz
@shaxtz Год назад
Kumbe tupo wengi aisee
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 6 месяцев назад
Good
@charayohana1942
@charayohana1942 Год назад
brother nimekuelewa sana unafaa kuwa mshauri kwa vijana namna ya kupambana na maisha
@kambamazig02024
@kambamazig02024 Год назад
That is appropriating things that have been already been named, maana Faru John tayari kwa sifa yake asingeruhusiwa ku-trade mark jina hilo. Hayo ni makosa makubwa sana kwenye trade mark. Hao waliomruhusu naona hawakujua.
@hizamp1827
@hizamp1827 3 года назад
Safi Sana
@ellywillisgotora1473
@ellywillisgotora1473 Год назад
Mara ya kwanza kabla cjamckiliza nilisema huyu fala ambaye kaacha milioni30 ni mgonjwa wa akili kumbe hmn, jamaa ni genius anafikilia vitu vikubwa sana huyu ni mmojawapo ambae anatumia akili zake vizuri baada ya muda huyu atakuwa tajiri mkubwa namuona mbali
@gaitanokamage7366
@gaitanokamage7366 3 года назад
Hongera sana mr special
@ommyblessed6609
@ommyblessed6609 3 года назад
Nakubali
@manjaugodwin7834
@manjaugodwin7834 3 года назад
Chamechaa msachaa
@JayJay-qc1ky
@JayJay-qc1ky 3 года назад
Rafiki yake sana sabaya huyu 😂😂
@officialkimaro5001
@officialkimaro5001 3 года назад
Anaakilii mno
@davidshaban7375
@davidshaban7375 3 года назад
Jamaa anafunguka mpaka basi atakuwa muhaya huyu matajiri hatuko ivo 🤣🤣🤣
@wilsonthomas9176
@wilsonthomas9176 3 года назад
Huyo mchaga bob
@stevenmnzavajoseph
@stevenmnzavajoseph 3 года назад
Jamaa kasoma marketing, na hivyo ndio marketing inavyotaka
@flova7022
@flova7022 3 года назад
Niajiri Basi tajiri niwe hata mlinzi kwako
@antiarutta4540
@antiarutta4540 3 года назад
Haha
@nilansaid2927
@nilansaid2927 3 года назад
@@flova7022 una cv gani? Jieleze tuone tunafanyaje
@mrmangetown4323
@mrmangetown4323 3 года назад
Huyu chalii anajikweza Sana mpaka amenikata mood.
@deelissa2746
@deelissa2746 3 года назад
Yan
@Saitabau99
@Saitabau99 3 года назад
He deserve
@kawangajumaa7741
@kawangajumaa7741 3 года назад
Content anayo ila ndo hivo how to present it
@alexandernyimbi8186
@alexandernyimbi8186 3 года назад
Hajikwezi but ndio the way anavyoongea lazma uone hivyo
@belak999
@belak999 3 года назад
Tafuta hela ukiwa nazo hautaona km anajikweza, ni kaka yangu ndio ongea yake tangu anasoma, USIMJAJI MTU USIE MJUA KIHARAKA HIVYO
@humphreyvidonyi253
@humphreyvidonyi253 3 года назад
Biashara ya Pombe eti MUNGU anasaidia Da!! Dunia na majaabu yke
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 Год назад
Umefanikiwa ktk umri mdogo sana lakini ushauli tu acha Pombe ili uinvest nguvu
@nestorymafuru4772
@nestorymafuru4772 3 года назад
Vizuli sana
@innocentgodwin5855
@innocentgodwin5855 3 года назад
Great
@emanueltimoth4523
@emanueltimoth4523 3 года назад
Daaah
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 3 года назад
Icho kiwanda ﹰSabaya hajakiona kweli angeamlishwa awe anamshonea bule suti zake zote
@idavastaborn1818
@idavastaborn1818 3 года назад
Alishawah kumzngua eti achangie milioni kumi sherehe za ccm na akakifungia kwa tuhuma za uongo ila tra wakafuatilia wakasema kifunguliwe
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 года назад
HUYU SA MBOVU NAMSHUKU MASAI WA KENYA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 3 года назад
@@idavastaborn1818 Duh jamaa alikua msenge sana amefilisi watu wengi sana jamaa alafu utakuta mtu hata alipotokea uko anamtetea et wanamuonea
@dausondaniel7103
@dausondaniel7103 3 года назад
😂😂😂😂😂
@29Savag
@29Savag 3 года назад
Haha... Sabaya mtuBAD Sasa huyo ndio FARUJOHN mwenyewe
@amanijampion3045
@amanijampion3045 3 года назад
Hahàa ndio ulimshonea jeje diamond?
@wilsonthomas9176
@wilsonthomas9176 3 года назад
😂😂😂🤣🤣🤣
@eunicejohn5520
@eunicejohn5520 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣cjui umewaza nn ww
@otmarmkali8883
@otmarmkali8883 3 года назад
😁😁😁
@issackjoseph6436
@issackjoseph6436 3 года назад
Chukueni positivity yake tu,negativity yake kama umeiona iache ,uckeshe kucomplain,sega la muwa kwako ni chakula kwa sisimizi
@khatwabisadathil3423
@khatwabisadathil3423 3 года назад
Issack duuuuh maneno yk mazito.👏👏👏👏👏👏
@khatwabisadathil3423
@khatwabisadathil3423 3 года назад
Issack duuuuh maneno yk mazito.👏👏👏👏👏👏
@issackjoseph6436
@issackjoseph6436 3 года назад
Watu tujitaid kutambua sote ni kazi za Mungu,udhaifu ni sehemu ya maisha yetu,Aliyeumba wema ndiye kaumba ubaya
@ezekielmosha3894
@ezekielmosha3894 3 года назад
Kwani amehama pale MWENGE
@sameerlema9954
@sameerlema9954 3 года назад
Jamaa kweli sawa hatukatai ila uwongeaji wake ni kama anajisifu yeye mjanja sana kumanina just inspire watu sio kutamba aise
@elimidakashumba2422
@elimidakashumba2422 3 года назад
kama unataka mwamko wa maendeleo unahitaji watu kama hawa. kama unataka umaskini bali na upotoro wako.
@janethjoshua6869
@janethjoshua6869 2 года назад
Kilaaaa mtyuu na uongeaj wakeee kajisifuu na wew kama ni rahs
@vibetz9991
@vibetz9991 3 года назад
Jamaa yupo Maji hatari hapo,,
@faithjonathan3845
@faithjonathan3845 3 года назад
Anaonekana 😀
@agathamsaki5942
@agathamsaki5942 3 года назад
Upo nyuma ya mtu mbona faru John tu hapo ndo katangazwa
@ezekielloylepayon5042
@ezekielloylepayon5042 3 года назад
Upo vizuri ila punguza vidimbwi
@hamedabashir9
@hamedabashir9 3 года назад
Waooo
@MTUWATV
@MTUWATV Год назад
Good channell
@harmonymattondo4042
@harmonymattondo4042 Год назад
Mshauri wa Raisi
@AyubuMwalongo
@AyubuMwalongo 3 года назад
Kuna mtu anataka hata elfu 10 kwa siku
@reginakisanga9308
@reginakisanga9308 3 года назад
Duuuh
@augustincishahayo7521
@augustincishahayo7521 3 года назад
Nice story big up
@christophermlawa5270
@christophermlawa5270 3 года назад
hakika wewe ndio msomi mwenye maono unajua nini unafanya big up sana mangi💪💪💪
@suleimansadalla5606
@suleimansadalla5606 3 года назад
Hongera brother
@musasaid559
@musasaid559 Год назад
Ivi ml.30 tumaijua au maana kinua mgongo cha mwalimu kinafika ml.100 ad 1200 ambayo nimiez 4 kwake acha uwongo nakama kwer basi kalogwa ili aludi kwao
@stellajames4971
@stellajames4971 3 года назад
Jamani kaka umenifulahisha sana nawomba ukienda malawikuwekeza nawomba nikawe mwajiliwa hapo
@cathelinemichael7325
@cathelinemichael7325 3 года назад
bro vipi ajira kwa vijana wenzako
@leahmagaiwa9099
@leahmagaiwa9099 3 года назад
Amesema ameajiri watu kwa Sasa hawezi kushona mwenyewe ndo ajira hizo
@blueeyes5952
@blueeyes5952 3 года назад
If you want more succes in your business then you have stop drinking to much; my advice for you alcool kills the liver in your body and destroy your energy together with your lungs. You have great vision and hard working but be carefull for alcoolic style.
@kamanda007
@kamanda007 3 года назад
Climate moja ambayo imetoka kama mwezi mmoja uliopita😁🤣..walioelewa gonga like hapa
@olarivedu5588
@olarivedu5588 3 года назад
Haha aya nimekuelewa ndugu .
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 3 года назад
Sabayaaa
@masamabinhuse4599
@masamabinhuse4599 3 года назад
Acha uchawi
@albashakluninshaah3727
@albashakluninshaah3727 Год назад
Walevi wote wanakuhusu brooo na tabia zao
Далее
Cute kitty gadget 💛💕
00:23
Просмотров 4,7 млн
Cristiano Ronaldo Surpassed Me! #shorts
00:17
Просмотров 10 млн
BIASHARA ZINAZOTENGENEZA MATAJIRI WENGI
12:39
Просмотров 50 тыс.