Kitu nilichogundua nikwamba watu hawataki mtu azungumzie uhalisia wa maisha ya binaadamu jamanai nje ya dini kunamaisha ndio kama hivo uchawi nje ya maisha sasa mnavombishia sule je uchawi hakuna? unakuwaje muislam alafu useme jini hakuna sule yupo sahihi na ukimbeza sule omba mungu yasikukute ila ukirogwa mwenyewe utaenda kwa mganga utake usitake uwo ndioukweli na kweli pesa za majini zipo mbona watu wanaishi kwenye zama izo na wanafanikiwa msitake kilakitu mlaum kwangu naona sule yupo sawa sababu hasemi kama dini ndio imeamrisha hivo
Ww sio mungu kusema ni mwisho sule kutangaza dini sawa hakuna atalike ujinga kama huu unao usema chunga tumeletwa dunia kumuabudu Allah binadamu na majini na binadamu aweza mtumia jini kwa njia ya sawa soma bro
@@OmanOma-xi3hm wataka dini na nani quran Allah kasema tumewaumba majini na binadamu kumubudu Allah sasa kama hutaki dini na majini hatukuelewi mana majini wamubudu Allah kama ww vile unavo swali nao wanaswali na kuna majini wengine wakiristo waenda kanisani hujui ww
Wasemaje kuhusu aya iliyomo ktk surat albaqarah هو الذي خلق لكم ما السموات وما في الأرض ALLAH NDIYE ALIYEKUUMBIENI VYOTE VILIVYOMO MBINGUNI NA ARDHINI. Maana yake ni kwamba vyote vimeumbwa kwa ajili ya kumnufaisha mwanadamu. Malaika huwaoni lakini wanakunufaisha, upepo huuoni lakini wakunufaisha. Sasa kwa nini jini asikunufaishe utapohitaji kumtumia?¿ Muogopeni Mungu kuattack msvyovijua. Kwani sule haogopi Jahannam mpk ajiingize kwenye ushirikina?? Anaogopa sana pengine zaidi yako, ila anaendelea kufanya hivyo kwa sababu sheria yamruhusu kutokan na utaratibu unaotakiwa. Nyinyi ndo mnaowahukumia waislam tena WANACHUONI WAKUBWA wanaabudu makaburi kisa tu eti wameenda kumuomba mungu ktk maeneo ya makaburi.
Bado hajapatikana mtu sahihi wa kumuhoji. Kuna follow-up questions nyingi sana humo katikati, mtangazaji unahama na kurukia sehemu nyepesi, lakini zilikuwa sehemu nzuri za kupata ukweli zaidi wa anachokitetea. Dah!!!🤔
Kama kuna wakati alimtaja jina huyo anayemhoji (12:12), kumbe anaitwa George, sasa unategemea mtu kama huyu anajua misingi ya shirki kulingana na uislamu?
unatakiwa utubie kwani kujinasabisha na kuzungumzia dini ya kiisilaam hali ya kuwa unalingania katika kufru na shirki hii ni hatari na upotoshaji na haya ni matunda ya watu kuacha quruan na sunna kwa ufahamu wa wema walio tangulia mwisho wake mnawapoteza watu katka njia ya sawa allah akuongoze ewe sule
Wee mweyewe utakujua mjinga ujui tawhiyd kama sule ndo maana unatetea uchawi na hii ni ishara kuwa uko mbali na quruan na sunna na aqual za ulamaa qadiyman wa hadiytha الله المستعان
Kwa mujibu wa Quran Sulle Yupo sahihi..kama unataka Nijulishe nikuletee Aya Ambazo Mtume Muhammad alikuwa anazungumza na Kufanya darsa na Majini..wengi wampingao wanafanya taqqiya Ili kuwadangany a watu kuwa uislam unapinga majini
Hivi waislam wenzangu hata kama hatujapata elmu ya kutosha vipi ikiwa katika maisha yetu kila mtu anatmia jini katika kutafuta kwake rizki? Namaanisha kila mmoja wetu awe na jini ambae anamtumia katika mambo yake hii dini itakuwaje ndugu zangu! Ni ushirikina ushrikina ushirikinaaaaaaaa
Dr sule masala ya nyota pia niushirikina rasullullah amtufunza adhkar za asubuhi na jioni unakuwa strong mchana na jioni unaropokab2 huna Aya Wala Hadith
Kwa mujibu wa Quran Sulle Yupo sahihi..kama unataka Nijulishe nikuletee Aya Ambazo Mtume Muhammad alikuwa anazungumza na Kufanya darsa na Majini..wengi wampingao wanafanya taqqiya Ili kuwadangany a watu kuwa uislam unapinga majini
@@user-tz8zu2gt6u kuna tafauti gani kati ya anaemuabudu jini na anaemuabudu mwanadamu anaekula na kukidhi haja . Hatuwezi kumuamudu kiumbe mwenzetu sawa ni jini au yesu. Hamjielewi wakristo haifai kuabudu kiumbe jini au yesu
Yaani unajichanganya sana mala nawatuma majini mala wengine wabaya mala huwa nawatumia majini kweli wewe mtumwa wa majini unayahubili majini kuliko. Mungu mungu wa mbinguni hutuma malaika kutusaidia hatumii majini
Mungu anaweza kutumia chochote akitakacho kwenda kwa mtu yoyote amtakaye na kwa mda wowote autakao sababu yey ndo kawaumba wote na hajiwekei mipaka kwenye kuwatumia ila tofaut ya malaika na binadamu ni kuwa malaika wao wapo na utiifu pekee juu ya mungu ila majini na binadamu tumepewa uhuru wa kujichagulia iwe tumuabudu mungu au tuasii. Mwishowe ktk Dunia binadam ndo kiongoz wa viumbe vya dunian so jiongez
Subuhanalla Allah hamtumijini ktk utumwawakee ana majeshi yake ktk kazi zake sawa Sule sio jini yakh angelikuwa ni mtume sawa ila siyo jini kwenda kuchukua mambo ya nayokuja kweye lahi mahfzi akakuletea ww siri hiyo hiyo siuhalali bali ni ushirikina tubia sule hayo simambo mazuri bali nimambo mabaya kabisa unamzalilisha Allah na mtume wake unamzalilisha umati wake unaizalilisha dini yake
Iyo elim ni ndef san kbs kama hujaelew vizur dokt sule anachokisem ni sahihi kbs majin wapo wazur na wabaya kama jins balivy kuw viumbe wa allah katika wanadam ata na katika majin ni ivo ivo ,someni vizur Ila hakun sehem inaruhus kuwatumikia ,n'a ushirikina ni kumshirikish Hao kuabudu kinyum na mwenyezimung ata n'a kweny wanadam unawez kufanya shirki tuache kwa majini
Subhanallah inabidi sheikh sule aachane na hii elimu mwenyewe sasa anaongea lakini kiundani unaona anapata shida kusadiki anayoongea km ni kweli qur an imeruhusu, huwezi jua jini mmbaya na mzuri kwa sababu hawaonekani Hawa viumbe na ni waongo hatari
Kwa mujibu wa Quran Sulle Yupo sahihi..kama unataka Nijulishe nikuletee Aya Ambazo Mtume Muhammad alikuwa anazungumza na Kufanya darsa na Majini..wengi wampingao wanafanya taqqiya Ili kuwadangany a watu kuwa uislam unapinga majini
Hiyo siyo tafsiri ya kuwajus Majin wabaya na wazuri Tafsiri sahihi ni jini mzuri hausiki na mafungamano yoyote na wanadamu wao kwa wao watafungama kwa maisha yao Na wabaya yeyote atakayeenda kinyume na sura hiyo niliyoieleza kwa nyongeza Hawa sura kuwa ni kule kuingia kwa wanadamu na kushirikiana nao ktk mambo tofauti wacha uwongo tubu kwa Allah huo uliona wewe ni fundi tu wa kuongea mtume anasema ktk ufundi wa kuongea na kubainisha Kuna uchawi
sule nakwita ndugu yng Rudi kwa Allah uislam hauko ivo majini wazur hawawezi kushirikuana na binadamu Kubali umekosea omba maghufira Hakuna muislam yeyote atakaekuelewa na Uongo wako
We kama unaweza kuwatumia basi oa funga ndoa na dada wa kakake jini unaemtumia Acha uongo hakuna mwenye uwezo wa kuishi na majini hiyo ilkuwa ya nabii Suleimani sio sule.Hauna uwezo huo.Uongo tu.
Sehemu za majini kuishi n kwenye mapango ,,,,baharini labda uwe waishi nao ww ila sio sisi ,,,,tena chakula Chao utakapo kula n usema Bismillahi kama nyama kwa uwezo wa Allah jini akija atakula ila atakacho kula ww huwezi ona acha bangi bana
Yan doctor rejea kwa Allah unaharibu dini ya kisilamu wakiristo na baadhi ya watu watafikiria Kuwa dini ya kisilam ni dini ya majin na inatumikiwa na majin tumia akili na dalili shehe
Habari broo naitwa Evans nina kesi mahakamani nadai nyumba Yangu nilianzia baraza la kata akashinda nikaenda mahakama ya wilaya akashinda nimeenda mahakama kuu jaji akafuta ushindi wake na akanambia nifugue Kesi ya kudai nyumba mahakama ya wilaya kwani wakili wangu aliitaka high court kupitia upya mauzi ya mahakama ya wilaya n
Jamani someni tafsir ya hii aya ili mujue hukmu ya kutumia jini 👉👉👉ويوم يحشرهم جميعا يا معشر الجن قد استكثرتم من الإنس وقال أوليائهم من الإنس ربنا استمتع بضعنا ببعض وبلغنا أجلنا الذي أجلت لنا قال النار مثواكم خالدين فيها /سورة الأنعام 128
Kunyamaza Ni hekma Sule, Yani utaropoka kama mtu aliolishwa usembe, Unaweza enedelea na mambo yako lakini usijinasibishe na Uislam, Wallah utadhalilika Saaana , Tazama hadi Nuru ya Uislam inakutoka
Kama huo siyo ushirikina basi wanazuoni wate hawakufaham maana sahihi ya ushirikina, na kwa nini Mtume sala na salam zimfikie hajafundisha? Mche Allaah ndg yangu, hiyo ni shirki akhy.
Kwa mujibu wa Quran Sulle Yupo sahihi..kama unataka Nijulishe nikuletee Aya Ambazo Mtume Muhammad alikuwa anazungumza na Kufanya darsa na Majini..wengi wampingao wanafanya taqqiya Ili kuwadangany a watu kuwa uislam unapinga majini
Dr sule Allah anasamehe makosa yte ila kwa kuamini na kutubia ...... From holy quran "sikumuumba jini na binadamu isipokua kuniabudu mm" tusipingane na maandiko sahihi badilika shekh hizi mali tutaziacha apa apa.... Mali na watoto ktk dunia ni mapambo ya dunia amali zako njema ndio zitakazoenda kusimama yaamul hashir.... Hakuna kifo kinachotokana na uwezo wa jini izo ni biasbabi tu Allah ndio anapanga Sku ya mtu umauti kumfika na Allah kma hakuuandikia kufariki kwasababu ya uchawi bs utaish duniani mpk uyo anaekuroga aakaanza yy kutangulia.... Badilika shekh tusimshirikishe Allah
Kwa mujibu wa Quran Sulle Yupo sahihi..kama unataka Nijulishe nikuletee Aya Ambazo Mtume Muhammad alikuwa anazungumza na Kufanya darsa na Majini..wengi wampingao wanafanya taqqiya Ili kuwadangany a watu kuwa uislam unapinga majini
Mtume Muhammad Swallaallaahu alayhi wasallam ndio kigezo chetu na ndio tunamfuata lini alitumia jini kwa ajili kusaidia ktika kitu fulani vita vilikua vikali hkutaka misaada Kwa majini wala katika shida yoyote hakutaka msaada kwa majini bali alitaka msaada kwa allaah pekee
Kila tukiishii tuombe husnul hatima ulianza vzr sasa sheitwani ashakuteka.mchawi hana maana.mandhaladhi yashfau indauilabiidhini.....waislamu huu n msiba mkubwa ndio mana tz hamuishi mafuriko.
Sio huyo tu wengi katika mashekhe wa kisufi ni washirikin na wakisemwa mnaanza kusema mawahabi kuleni chuma hicho mpaka muachane na Mashehena na mashehe ubwabw
Kwa mujibu wa Quran Sulle Yupo sahihi..kama unataka Nijulishe nikuletee Aya Ambazo Mtume Muhammad alikuwa anazungumza na Kufanya darsa na Majini..wengi wampingao wanafanya taqqiya Ili kuwadangany a watu kuwa uislam unapinga majini
Kusomesha majini na kuwatumia majini mbona ni mambo mawili tafauti tuletee aya katika Qur'an mtume alikuwa akitumia majini katika vita na mambo mengine yamsaidie@@robertgeofrey4118
nakataa kwa Jina La Bwana,Siishinna Jini kamwe! Hayo maisha yenu waislamu!! Jini halizuiliki kwa Bismillahi ni Uongo mtupu sababu na jini nae anamuomba huyo huyo Allah na ni waislamu pia utawafukuzaje?bila Kristo Yesu hakuna uzima,Sisi wakristo Tunaishi na Malaika tuuu!!!!
Nimeamini kuwa ukisoma sana kuruan mwisho wake itakupelekea kuwa na elimu ya kujua sana unajmu mashehe wengi km marehemu shehe Yahya ndiye aliyekuwa bigwa wa elimu hiyo
Tofatisha kati ya waliozama KATIKA elimu ya kumjua Allah na mtume wake na hukumu za dini ya uislamu na WACHAWI.DR SULE NI JAAHILI HAJUI DINI HATA QUR-ANI HAJUI KUSOMA
@@ZUBERIHASANIKwa mujibu wa Quran Sulle Yupo sahihi..kama unataka Nijulishe nikuletee Aya Ambazo Mtume Muhammad alikuwa anazungumza na Kufanya darsa na Majini..wengi wampingao Dr.Sulle wanafanya taqqiya Ili kuwadangany a watu kuwa uislam unapinga majini
Sulley jiangalie vizuri, tafuta radhi za Allah. Kuna mahala ulikosea. Ulijificha muda murefu ila sasa umejidhihirisha. Nakuomba Sheikh wetu tafakari vizuri ulikosea wapi?
Kwa mujibu wa Quran Sulle Yupo sahihi..kama unataka Nijulishe nikuletee Aya Ambazo Mtume Muhammad alikuwa anazungumza na Kufanya darsa na Majini..wengi wampingao wanafanya taqqiya Ili kuwadangany a watu kuwa uislam unapinga majini😅
Astagfirullah!Huyu bwana ni Mshirikina tu kiukweli sasa iliuijue hiyo Elimu lazima uisome na kila unazidi kusisoma hiyo Elimu ndipo unapozidi ku toka ktk Njia ya sawa!
Kwa mujibu wa Quran Sulle Yupo sahihi..kama unataka Nijulishe nikuletee Aya Ambazo Mtume Muhammad alikuwa anazungumza na Kufanya darsa na Majini..wengi wampingao wanafanya taqqiya Ili kuwadangany a watu kuwa uislam unapinga majini
Sule, Sule, Sule! Dua wakati wowote zafaa kuelekezwa kwa Allah. Dua inapoelekezwa kwa Allah jini hawezi kuitumikia. Hivi ni kusema kwamba dua zozote ambazo jini ndiye huzitumikia hazikuelekezwa kwa Allah bali kwa hao majini na huku ni kumshirikisha Allah, lakini walioonja utamu wa mali na mafanikio kwa kutumia majini wanajitahidi kwa hali na mali kuwaaminisha watu kwamba jambo hilo ni sawa kisheria.
Nilipokuwa sijasoma elimu ya dini nilimuona Shekhe mkubwa sana Afrika. Lakini nilipojifunza dini. Nikajua kwamba ktk watu waliokuwa hawaielewi dini ya uislamu mmoja wapo huyu sule. Ndugi zangu waislamu usiposoma dini yako kila mtu utamuona Shekhe lakini ukisoma ndipo utajua nani Shekhe na lipi shehena. Kwa roho safi.