He literally said “msitumie title mbaya kwenye hii video” na hicho ndio mmefanya sio frsh mnamfanya chidibenz aonekane miyayusho wkt kaongea tu kawaida
CHIDI ACHA KUPAYUKA, WE ULIKUWA MKUBWA TENA KUZIDI....USHAMBA WAKO NDO ULOKUFANYA UKAIGE WAMAREKANI...TULIA WENZIO WALIKIAMINI WALICHOKIFANYA,,,UMEFANYA NA WASANII KIBAO,,ILA WE KILA SIKU,,DAI DAI..AH KHH.
Tittle iyo iyo ameomba msiandike mabaya The same People Mnaandika eti Kany*ea!! duh This world jamani. Anyway King ChidiBenz May Allah Bless you yOur Love For The culture is Priceless.
Ww na diamond wenu achaneni na hicho kichwa bana,hatingishi kiuno uyo baba ilo jembe baba,eti diamond😂😂😂😂akaee apaa🖕ama aruke kwa black yonda Rick rozeee www bch
Chidi benz wacha bangi nyingi na dawa za kurevya wewe enzi zenu kwisha kitambo diamond msani mkubwa duniani wew wakati wenu nakumbuka mziki wenu umeisha kenya na Uganda Burundi Rwanda simba wacha nayeye ako juu nyota iko juu😂
Achana nao, wewe huitaji kuomba mtu akupost, usiwape nafasi yakuongea. Chidi kila unachokifanya ni HABARI hilo ulijue kabisa, hata ukianzisha Podcast utasumbua sana. Achana nao hao ukiwatajataja wanakiuta ombaomba. Fanya yako
@King66204 yaani huwa nashangaa wanaojiita wasanii wakubwa tz na kuponda Diamond japo kuwa Diamond anawazidi kila kitu unajiuliza wanafaidika nini na usanii wao ukibwa nakosa jibu,
Ukubwa hauforciwi ndio maana kila takataka nataka kumuongelea huyo msanii..Msanii mkubwa lazima uwe tisho hadi wanakuongelea kila siku sasa wewe huyo unaemuita mkubwa nae lazima apite na upepo wa platnumz ndio watu wajue uwepo wake mara nyingi pia anamdiss huyo unaemdogosha ili apate kusikika mjini