Baloz Jay hapa from Kenya..mutaongea sanaa kumulaumu konde lakini kwa nn kajala asiongee mupaka yale mazuri aliyo fanyiwa...siowanaume wote wanaeza kukufanyia mazuri kama konde wengi wakikosana na mwanamuke wanamupokonya kilakitu hata simu yenye amenunua kajala shukuru ulicho pata dadangu tena muheshimu sanaaa huyo mwanaume thanks God bless you bro konde endelea kupambana na maisha yako upepo ni wako bro hawakuwezi wamebaki na bifu tu hakuna zaidi.
Jamn harmonize wang m nakushabikia ww saan lkn mi nkiona unatoa ayo mambo ya wakat uliopita naumia sana msanii wangu ,,,,,yaan sawa ata kama anakusema vbaya we kausha t ila Mungu atakulipa .....YAAN PLZ HARMONIZE USIFANYE HAYO MAMBO JAAAMAAN DUUHHHH CJUI ATA NKWAMBIE VP LKN ACHA BAS KONDE BASIII!! Ukifanya ivo nakwambia utakua mtu mkubwa sana zaid ya ulivyo now God bless 🎉
Konde nakubali ngoma zako Sana ila tabia sometime unafeli usiweke Sana mambo hazaran nawanao wanakua Kaka utauponza⚠️ maisha yanabadilika kausha Dunia itakufunza Safar Bado Mwanaume haongei Sana anakifua.
Kwa kweli hamonais hyo yote anyone mfanyia ilikuwa ni upendo so ilikuwa hana haja kusema Alison mfanyia kwa sababu yeye mwenyewe ndie aliye lala getini kwa kamala so tumeambiwa tenda wema wende zako isingoje mariposa konde na msapoti sana bt kama nimuungwana hakuvuliwa nguo huchuchuma siyo kusimama maoni yangu ni hayo mimi
watu niliokuambia kuwa Harmonize pia anajua mambo ambayo kajala sio ya kawaida pia unaona unaenda sawa baada ya wanaume kutuhumiwa lakini mwanamke pia ni sana.😂😂😂
Harmonize alisema akilewa atasema yote I hope amelewa 🤣🤣🤣kuonde buoy jeshiii mwambie asikie vizuri lijimama hilo atafute rika lake wewe ni mtoto kwake aache kukuharibu
Uyu Jamaa bado anampenda kajala. Mbona ni Yamda mrefu haya. Kajala ni wakike tu. Asifuatane na maneno yake. Akizidi kuongea lazima kajala ajione ni mtu wa ajabu.
Huyo mnae muutwa konde geni kifupi namshamba kwani wakati alipokuwa anamtumia hakuona hizo kasoro zote sasa amekuja kuona wakati wameachana siku zote ukitenda wema nenda zako nasio kutangaza
Konde nakubali ngoma zako Sana ila tabia sometime unafeli usiweke Sana mambo hazaran nawanao wanakua Kaka utauponza⚠️ maisha yanabadilika kausha Dunia itakufunza Safar Bado Mwanaume haongei Sana anakifua.
Amonaiz bado ana anautoto .yan akikwazana na mtu anatoasiri ambazo zilikuwepo baina yao .hayo nimambo yakitoto .alafu acha zalau unaita nyumba ya mtu choo chasokoni .br usijianimini sana dogo