Kwahio miaka 20 alio kua mwenyekiti wa kitongoji na mi Tano alio kuwa Diwan Bado hamkujua kama sio raia au ni raia 😅😅😅TUNACHEKA ILA SIO YA KUCHEKA INAUMIZA SANA😢😢
Makonda ndio rais ila ingekua kila mwaka iwekwe miezi malum ya kusikiliza kero za watu sio mpaka iwe uchakuzi itakuwa wanaogopa kutumbuliwa kutakua na haki na uadilifu
Lazima ichunguzwe maan watu wanchi nyingine kuw ktk madaraka ni rahisi kutuletea vita katk nchi yetu maan watakuwa watatoa siri za nchi hata lugha inaonekana haipo sawa n ndugu yake hapo unamsikia lugha
Hii ndo tatizo la mkoa wa kigoma kila mtu ni afisa migration ndo mana mkoa upo nyuma na wilaya zake zote zipo nyuma alafu chahajabu nimchaganyiko wa inchi mbili .
Kweli RUSHWA ni ADUI wa HAKI. "Uchunguzi unaonyesha sio raia " swali je wewe kama ni afisa uhamiaji huyu ni raia au sio raia "Siwezi kutoa majibu" Je hapo kuna harufu gani neno ni moja tu TUWE WAADILIFU KATIKA MAJUKUMU YA KULITUMIKIA TAIFA. Tanzania kwanza.
Makonda chapa kazi hata malaika ALIZAWA Haki nisawa na mathematics ukienda tofauti latina ukose majibu respect Sana Sana Mukubari ushauli kutoka Kwa Wananchi wenu napale utakapo ona mkojuu basi uskubali ushuke bila kujua shida nini Nchi yenye Amani ni Tanzania basi wale wanao Kuja Kwa manufaa Yao binafsi basi wafukuzwe Kaz au kufuta kabisa vyete vyao TENA IFANYIKE IKIWA WAPO KWENYE MAJUKWAA YA MIHADHALA WAZIWAZI
Hiii ikiendelea itatutia moyo na itafanya baazi ya viongozi kuwa makini na kuishi sawa na wananchi ukweli kwamba wananchi wanateswa na baazi ya viongozi makonda endeleaa mama hapa kaupga mwingi kumluhusu makonda