Тёмный

"WANANITESA MAKONDA"DIWANI CCM AONDOLEWA ADAIWA SI RAIA WA TANZANIA HANA HAKI YA KUHUDUMIYA WANANCHI 

Adil TV
Подписаться 172 тыс.
Просмотров 251 тыс.
50% 1

#AdilTV

Опубликовано:

 

5 фев 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 191   
@khadjahsaba1889
@khadjahsaba1889 Месяц назад
I salute you mako nda you are the man of men🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@user-ex6bj3qs2e
@user-ex6bj3qs2e 5 месяцев назад
Kwahio miaka 20 alio kua mwenyekiti wa kitongoji na mi Tano alio kuwa Diwan Bado hamkujua kama sio raia au ni raia 😅😅😅TUNACHEKA ILA SIO YA KUCHEKA INAUMIZA SANA😢😢
@LwimikoMwakibinga
@LwimikoMwakibinga 2 месяца назад
lpk la ok f get for l ok
@user-le5ft5ic5g
@user-le5ft5ic5g 4 месяца назад
Mungu akubariki Makonda naona Mungu anatuponya majeraha ya Baba kuondokewa na baba yetu mtetezi wawa nyonge
@user-mw9md1iq1n
@user-mw9md1iq1n 2 месяца назад
Arusha makonda leo 😊
@mikemuchemi593
@mikemuchemi593 Месяц назад
Tanzania mko sawa kabisa ..hope we had this in Kenya
@davidngowo9459
@davidngowo9459 2 месяца назад
Mh. Paul Makonda hongera sana Mungu akupe nguvu na hekima hakika narudia hakika umetenda vyema 🙏
@danieltsaxara9199
@danieltsaxara9199 4 месяца назад
Mungu akulinde raise wa baadae Mungu akupe umri mrefu
@peacemwesiga
@peacemwesiga Месяц назад
❤makonda ninashida sana nasumbuliwa najirani yangu.alikuja aridhi Yangu alinipeleka mahakamani.na mm naumwa sana nahitaji msaada
@rajabuhassan2525
@rajabuhassan2525 5 месяцев назад
Mweshimiwa Makonda mwenyezi mungu akupe umli mlefu
@user-iw8vl8ri4o
@user-iw8vl8ri4o 4 месяца назад
Makonda anatufariji, watanzania hii ni huruma ya mungu. Tumkumbuke JPM WETU.
@charlesmbembela4080
@charlesmbembela4080 4 месяца назад
Makonda kazi unafanya hongera sana 🔥🔥🔥🔥
@user-kl8jy1ij2i
@user-kl8jy1ij2i 5 месяцев назад
Tuna kukubali sana Ndugu Christian Makonda.wew Jembe kabisa.
@user-sf2kw8yj1m
@user-sf2kw8yj1m Месяц назад
Mweshimiwa makonda hongera yako kwakuwa saidia wananchi mungu akujalie maisha marefu
@rithamatiko4952
@rithamatiko4952 24 дня назад
Mh. Makonda mwenyezi Mungu tunamuomba akutunze uzidi kusaidia wanainchi Hakika tuna farijika sana mungu ametuletea mkombozi
@user-bb2xi3vi7y
@user-bb2xi3vi7y 3 месяца назад
Mungu akulinde raisi wetu wa baadaye ❤❤❤
@CaftyLema
@CaftyLema 3 месяца назад
Asante akuna haki ndani ya ccm
@sophialiganga1419
@sophialiganga1419 2 месяца назад
Kwa kweli makonda mungu akuweke nakupendaas sana
@aggreyouma-hz3lh
@aggreyouma-hz3lh 3 месяца назад
Hongera Makonda shujaa magufuli amefufka kwa mara Tena maradufu
@JlmwinukaOnlineTv
@JlmwinukaOnlineTv 2 месяца назад
Makonda kazi nzuli.
@user-yn4te8mc3c
@user-yn4te8mc3c 4 месяца назад
Makonda chapa kazi malaika nae ALIZAWA❤
@FatmaKambanga-cj4wn
@FatmaKambanga-cj4wn 4 месяца назад
Makonda 2025 Ugombee Ulais Kula yangu Ipo Nitakupatia Ishahallah
@gladistaemanueliy6336
@gladistaemanueliy6336 4 месяца назад
Makonda 🎉🎉🎉🎉🎉 yako hiyo mungu akubariki
@user-sq1mh5np8v
@user-sq1mh5np8v Месяц назад
magufuru wa pili fanya kazi baba mungu akupe cheo uwe rais
@GetrudeRashid-be8bs
@GetrudeRashid-be8bs 4 месяца назад
Yaan hawa Wana nchi,walikuwa wap kusema huyo co raia Wa Tanzanian,,,,,,hiyo sio kwel,,waache wivu,,,makonda simamia hak
@ShadrackKapange
@ShadrackKapange Месяц назад
Apa kweli magufuli amefufuka ongela makonda 👏💪(from Malawi)
@user-ic8oj1fy7q
@user-ic8oj1fy7q 29 дней назад
Hakika
@OMMYiyanz-oq5re
@OMMYiyanz-oq5re 12 дней назад
Kweli makonda mungu amutuze daim
@akidabakary9198
@akidabakary9198 4 месяца назад
Jamani kumbe hukokunamadudukweli
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 Месяц назад
The spirit of JPM.
@JudikaKivuyo
@JudikaKivuyo 17 дней назад
Hongera bb sema tupone
@BakariRajabuMikalo
@BakariRajabuMikalo 3 месяца назад
Napenda kweli mnayo yatenda huko kwanini hukumikoani hayapo,huku hakuna watu kama nyie kuna mambo mengisana yanaendelea huku
@user-eg4pm4cg6y
@user-eg4pm4cg6y 4 месяца назад
Makonda mungu akulinde kazi unaweza
@silikonnyondo3751
@silikonnyondo3751 4 месяца назад
Walane wao kwawao
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 5 месяцев назад
UYOOOOO NWANAMKEEE JAIBFWAAAA LOOOOOO. AFUKUZWEEE KAZIIIIIIIU. MWIZIIIIII SANA HUYOOOO
@user-lf1po9vd7l
@user-lf1po9vd7l 5 месяцев назад
Salut makonda
@hategekimanamariespeciose5701
@hategekimanamariespeciose5701 29 дней назад
😂😂😂😂😂😂 Nakuombea makonda uichi myaka myingi😂❤❤❤
@wta_Tanzania
@wta_Tanzania 19 дней назад
29:02 Mh. Poul makonda ilikuwa ngumu sada kukuelewa ila Mungu akupe Nguvu na akuepushe na tamaaaaaa
@rwezahurabarthazary7938
@rwezahurabarthazary7938 3 месяца назад
Tumeyazoea kwetu mwenyekiti wa Kijiji chetu alitutangaza familia yetu si raia kwa sababu tu mzee kagombea asichezee Mali yake
@PureSoul-rf4xd
@PureSoul-rf4xd 2 месяца назад
Ukiwakuta wako uko maofifsini sasa utafikiri wanamilkini sayari ya mars,kumbe wako earth,
@gervasrwegasira4723
@gervasrwegasira4723 4 месяца назад
Woooooo😊
@GodfreyMbilinyi-kx7qb
@GodfreyMbilinyi-kx7qb 21 день назад
Kila kiongozi na aelee na ajae kwe nafasi yake🤗🤗 ila wengi wao wanazama kabisa 😄😄
@woah.africa99
@woah.africa99 5 месяцев назад
Makonda ndio rais ila ingekua kila mwaka iwekwe miezi malum ya kusikiliza kero za watu sio mpaka iwe uchakuzi itakuwa wanaogopa kutumbuliwa kutakua na haki na uadilifu
@mercyherbert8978
@mercyherbert8978 4 месяца назад
Nahisi akija huku atasikia kero zetu na utatuzi utapatikana hongera makonda msaidie mh rais
@user-ch2qb3mm2x
@user-ch2qb3mm2x 5 месяцев назад
Hili zoezi raisi alipigie mhuri Kila mwaka liendelee hawa wanao wanao ichakachua serikali watakuws na hofu yakulitumikia taifa
@Nyasanga
@Nyasanga 7 дней назад
1985nyasanga 26:16
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 4 месяца назад
Uongozi wa nchi hii haufuati sheria bali ufuata maelekezo hakuna litakalobadilika chini ya Uongozi wa ccm uovu umekuwa tabia ya serikali ya ccm
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 4 месяца назад
Ukitaka kuendelea kuwa uongozi ndani serikali ya ccm ukubali kuwa mungo na fisadi
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 4 месяца назад
Hakuna jipya ndani ya ccm
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 4 месяца назад
Kweli serikali isiyowajibika na watendaji wabovu kero tupu nchi nzima
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 4 месяца назад
Makonda na misheni ya kupata kura 2025 hakuna mwenye mpango na maisha na umaskini wa watanzania
@PeterDaniel-ju8kz
@PeterDaniel-ju8kz 4 месяца назад
Uyo mwenye cm ya itel
@ashurakhamis5787
@ashurakhamis5787 Месяц назад
Ilove u makonda❤❤
@bensonmgaya5693
@bensonmgaya5693 Месяц назад
Nimeangalia huyu anaye piga makofi aliye vaa nguo za ccm nimegundua jambo flani mwisho akipiga makofi Kuna ........
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 4 месяца назад
Ni kawaida ya nchi hii kuwazushia watu siyo raia
@joahsteve-wc3gp
@joahsteve-wc3gp 11 часов назад
Wanahongana rushwa ya ngona hao wanaubaguzi
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 Месяц назад
hii barabara ikachekiwe jmni...Muenezi wa sasa alishughulikie kwa haraka sana. hiii ni nchi yetu sote..chekini hii barabara tupewe majibu HARAKAAA!!
@peterfania1005
@peterfania1005 Месяц назад
Lazima ichunguzwe maan watu wanchi nyingine kuw ktk madaraka ni rahisi kutuletea vita katk nchi yetu maan watakuwa watatoa siri za nchi hata lugha inaonekana haipo sawa n ndugu yake hapo unamsikia lugha
@samsonmgaya4306
@samsonmgaya4306 Месяц назад
Mwanasheria anaonewa hayo maswali walitakiwa wajibu Watu wa Uhamiaji
@HemedDunda
@HemedDunda Месяц назад
Wakamizaji aooooooo
@user-lg6dd2qn2k
@user-lg6dd2qn2k 4 месяца назад
Ukweli nawoo lazima mseme 💯💯
@user-rp6ev9ux1o
@user-rp6ev9ux1o 4 месяца назад
Mungu akulinde my brother Paulo Makonda ,pigs kazi Kaka tunaimani kubwa Sana na wewe .
@user-wy4fv9vd7w
@user-wy4fv9vd7w 5 месяцев назад
makonda mungu akulinde
@BennyMakombe
@BennyMakombe Месяц назад
Hapo makonda alikua anabbishana na propaganda team kasoro huyo mdai haki
@user-ii8qb9gj4q
@user-ii8qb9gj4q 4 месяца назад
Niamby
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 2 месяца назад
Mabakuli...ma sufuria😂😂😂Makonda tunakuombea uje kuwa rais❤
@DanfordMboka
@DanfordMboka 3 месяца назад
hapo sawa
@BarakaLonare
@BarakaLonare 23 дня назад
❤❤❤❤
@TumainBarack-vo7bs
@TumainBarack-vo7bs 5 месяцев назад
Yani magufuli alivyo kufa watu wanakelo makonda baba fanya Kanzi tunajua magu kafufuka
@DanyMuhindo
@DanyMuhindo Месяц назад
🎉🎉🎉🎉❤
@yohanamadati1793
@yohanamadati1793 5 месяцев назад
Jeshi
@mosessheella894
@mosessheella894 Месяц назад
Nchi hii pasua kichwa Tu,Mungu amlinde makonda,tatizo raia hawana namba za Makonda,mwenye namba ya Makonda aitowe
@idrisalubwaza3028
@idrisalubwaza3028 4 месяца назад
ASANTE MAKONDA UMENYUWA VIONGOZI WARIO RARA
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 5 месяцев назад
MAKONDA JESHI LA MTU MMOJA KTK UBORA WAKE.
@singidaprincetz1883
@singidaprincetz1883 4 месяца назад
Mungu azidi kumjalia bwana po makondaaa uyu atatusaidia mbeleni
@lubungaetienealmasi1059
@lubungaetienealmasi1059 3 месяца назад
Hii ndo tatizo la mkoa wa kigoma kila mtu ni afisa migration ndo mana mkoa upo nyuma na wilaya zake zote zipo nyuma alafu chahajabu nimchaganyiko wa inchi mbili .
@EmmanuelAkyoo-bm9zb
@EmmanuelAkyoo-bm9zb 4 месяца назад
Muenezi njooo kiteto nakuomba Kuna migogoro imezidi sana
@magangiralucas6516
@magangiralucas6516 4 месяца назад
CCM ni nzuri sana lakini ndan yake kunawatu hatari sana wabaya
@DanielWamungu-ub3wf
@DanielWamungu-ub3wf 29 дней назад
🙏🙏🙏🙏💅🙏
@KhelefuBashiru
@KhelefuBashiru 5 месяцев назад
Akuna mtu wapo wa huamiaji akikuangalia tuu anajua
@Abu-Hamza254
@Abu-Hamza254 22 дня назад
Icho Kiswahili hata kama yy ni foreigner apewe tu uraia!..🇰🇪🇸🇴
@vitalniyonkuru7693
@vitalniyonkuru7693 Месяц назад
Kasuru ishugulikiwe haki wanateseka sana wala tunawaombea sana
@MaraboyJames
@MaraboyJames 3 месяца назад
Wanyama poli
@japhetmusaleta7243
@japhetmusaleta7243 12 дней назад
mwamba
@OdasiBuchumi
@OdasiBuchumi 4 месяца назад
Kuna mwananchi Anachombeza😅
@user-xi9wi1rm5g
@user-xi9wi1rm5g 5 месяцев назад
Kweli RUSHWA ni ADUI wa HAKI. "Uchunguzi unaonyesha sio raia " swali je wewe kama ni afisa uhamiaji huyu ni raia au sio raia "Siwezi kutoa majibu" Je hapo kuna harufu gani neno ni moja tu TUWE WAADILIFU KATIKA MAJUKUMU YA KULITUMIKIA TAIFA. Tanzania kwanza.
@MiriamNyoni-gc5fo
@MiriamNyoni-gc5fo 3 месяца назад
Mm naitaji
@benardnyakebere5981
@benardnyakebere5981 Месяц назад
Makonda jembe la Tz
@user-vv7gg9tc7s
@user-vv7gg9tc7s 3 месяца назад
Kifo cha babu sea
@user-yg8yo3ul8h
@user-yg8yo3ul8h Месяц назад
Eti masufulia au sahani 😂😂 😂
@gladistaemanueliy6336
@gladistaemanueliy6336 4 месяца назад
Huyu dada akalime kijijini kwao hana kazi ya kufanya
@user-uw5lk5nc4n
@user-uw5lk5nc4n 4 месяца назад
Daaaa awaviongoz ndio wanao takiwa katika kujenga taifa
@MikaeliIbrahimu
@MikaeliIbrahimu Месяц назад
Kaka pambana
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 4 месяца назад
IKIWA HIVYO! INASEMWA AU KUKABIDJIWA WAZI KABISA SIO AL8SEMA AU NILISEMA.SERIKALI IPO HADI VIJIJINI
@amanimyolo1478
@amanimyolo1478 5 месяцев назад
@user-yn4te8mc3c
@user-yn4te8mc3c 4 месяца назад
Makonda chapa kazi hata malaika ALIZAWA Haki nisawa na mathematics ukienda tofauti latina ukose majibu respect Sana Sana Mukubari ushauli kutoka Kwa Wananchi wenu napale utakapo ona mkojuu basi uskubali ushuke bila kujua shida nini Nchi yenye Amani ni Tanzania basi wale wanao Kuja Kwa manufaa Yao binafsi basi wafukuzwe Kaz au kufuta kabisa vyete vyao TENA IFANYIKE IKIWA WAPO KWENYE MAJUKWAA YA MIHADHALA WAZIWAZI
@AmosiJamsoni
@AmosiJamsoni 3 месяца назад
Wanao mchukia makonda siwatanzani
@JosephPancras
@JosephPancras 2 месяца назад
Makonda Wewe njembe
@salumumkumbalu4032
@salumumkumbalu4032 4 месяца назад
Huo ndio ujanja wa ccm wao ndio husababisha tatizo alafu wao ndio ujifanya kutatua tatizo
@Hilimu-qk2uw
@Hilimu-qk2uw 4 месяца назад
Hatar sana
@MariaCassian-ys7pt
@MariaCassian-ys7pt 3 месяца назад
Huyu ni raia isipokuwa uongozi wake ndiyo hauna sheria 😂😂😂😂😂😂 amakweli Makonda saidie Huyu baba wanamnyanyasa sana
@user-xz6qb5cb1y
@user-xz6qb5cb1y 4 месяца назад
Ningekuwa mm ndo afsa uhamiaji nicngemjibu huyu kenge asiyejua profession za wa2. Uyo dada kajitaid sn ht hvo.
@Dismance
@Dismance 4 месяца назад
Makonda chapa kazi bb
@HamisiSaidy-jk4is
@HamisiSaidy-jk4is 3 месяца назад
Uyu makonda no mchapakaz
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 4 месяца назад
😢
@user-rf8ip1cn5l
@user-rf8ip1cn5l 4 месяца назад
Hiii ikiendelea itatutia moyo na itafanya baazi ya viongozi kuwa makini na kuishi sawa na wananchi ukweli kwamba wananchi wanateswa na baazi ya viongozi makonda endeleaa mama hapa kaupga mwingi kumluhusu makonda
@user-vf1zk6eu5t
@user-vf1zk6eu5t 4 месяца назад
Hongela kwakazi unayoifanya kwawanao nyimwahaki mungu akulipe nitazidi kukuombea
@kissarungereuwalemuuya1715
@kissarungereuwalemuuya1715 4 месяца назад
Hao Ndio wapiga dili Mkuu Yaan miaka mi3 Yote???? Mh, Pol Makonda mpitishe Diwani Wanamhujumu
@EscoMadeula
@EscoMadeula 4 месяца назад
Majaliwa
@OdasiBuchumi
@OdasiBuchumi 4 месяца назад
Nani ameona kiswaswadu kina record video 😂
@JulianaSilverio-zr2il
@JulianaSilverio-zr2il Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Далее
impossible to understand how😨❓
00:14
Просмотров 4,9 млн
impossible to understand how😨❓
00:14
Просмотров 4,9 млн