Тёмный

MAMA ZUCHU AIBUKA MBELE YA MAKONDA KUTOA KERO, AMJIBU "WE KHADIJA KOPA SUBIRI" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 277 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

18 янв 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 273   
@idrisamapesa2732
@idrisamapesa2732 5 месяцев назад
walokuja hapa kwa ajili ya mama zuchu tafadhar naomba tujuane 😊😊😊
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 5 месяцев назад
😂😂😂😂
@user-bo1xl6ec6n
@user-bo1xl6ec6n 5 месяцев назад
😂😂😂😂
@Ashleyqueen001
@Ashleyqueen001 5 месяцев назад
Niko hapa😂
@luhajufilmstanzania
@luhajufilmstanzania 5 месяцев назад
😂😂😂tumeuzwa
@aishaabdullah837
@aishaabdullah837 5 месяцев назад
😅😅😅😅😅 Atari sana
@neemanziku5403
@neemanziku5403 3 месяца назад
Yan Makonda hata wakupe ujumbe wa nyum ba kumi yan tunakupenda tena tunakuombea chukua maua🎉🎉
@radhiamalla9428
@radhiamalla9428 4 месяца назад
Mzee katisha Sana gonga like kwaajiliyako, nataka eneo sitaki hela Safi kabisaaaaa👏👏👏👏
@sijartv9554
@sijartv9554 4 месяца назад
Sitaki pesa
@andreauisso3225
@andreauisso3225 5 месяцев назад
Hiiii inchi bwana Mungu atusaidie hivi tangu tumepata huru wameshindwa kuwapatia wana nchi wanacho hitaji
@sevelinsilinu5621
@sevelinsilinu5621 5 месяцев назад
kwahiyo wewe tangu umezaliwa unachohitaji ni hicho hicho hujui kama mahitaji yanabadilika hizo ni akili mgando
@mohamedothman5792
@mohamedothman5792 5 месяцев назад
Na sijui watashughulika na waTZ wangapi kwa style hii Futuhi
@andreauisso3225
@andreauisso3225 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂 hawa ma ccm kama wameshindwa kuwafunga na kuwaamurisha warudishe hela walizo iba ndiyo wata weza kusuluisha migogo iliyopo inchini tunahitaji viongozi wazalendo na siyo waigizaji na kuwa kiongozi haijalishi upo chama gani tumeelewana hapo au na wewe ni chawa wanao kaasehemu chafu😂😂😂😂​@@sevelinsilinu5621
@mariamrema6112
@mariamrema6112 4 месяца назад
Pambana baba na mungu akutie nguvu tetra wanyonge na wasio na haki baba
@nuruhabasimainya
@nuruhabasimainya 5 месяцев назад
Paul makonda mungu akutunze
@feelNice-vi3lo
@feelNice-vi3lo 5 месяцев назад
Ccm hadi mic mchongo hapo kwenye kundi la khadija kopa kunapesa zimetolewa wasisikie kero nyie kuna mungu baada ya haya maisha ngoja wazee wafe na vinyongo tu
@allykayanda6930
@allykayanda6930 4 месяца назад
Nilichogundua huyu Hadija kopa hapa niwamchongo tuu,hanachakuongea,mzugaji tuu hapo 😂😂😂,lakin hongera sana kwakusikiliza kero za watu mwenezi wetu
@janetchinga695
@janetchinga695 5 месяцев назад
Masikini mzeee😢😢 polesana
@norahgingi5642
@norahgingi5642 5 месяцев назад
Ongera Sana mwenezi wangu mwenyezi mungu ambariki raisi wetu mitano tena ccm oyeeeeeeee
@ladooladoo1285
@ladooladoo1285 4 месяца назад
Amina
@mwajumamwajuma55
@mwajumamwajuma55 3 месяца назад
😢
@raheematanzania2816
@raheematanzania2816 5 месяцев назад
Kelo nyingine nahisi hata Makonda hajazaliwa😂😂
@mohdmakame4552
@mohdmakame4552 5 месяцев назад
Nmecheka San kuona hii comment 😂
@hansynasery6399
@hansynasery6399 5 месяцев назад
mzee kichwa smart sana😂😂😂
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 5 месяцев назад
Millard naww umeanza uhuni sasa mama zuchu kaongea wap????mzee umeniumiza moyo sanaaa😭😭😭😭😭
@hafsahmassemoh3598
@hafsahmassemoh3598 5 месяцев назад
Tena mm nilivyo poteza mda kuangalia yte 😢😢😢😢😢amenikera ujue 😂😂😂😂😂😂
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 5 месяцев назад
@@hafsahmassemoh3598 kasha anza kupoteza mvuto wa habali kisa kashiba
@neemawilliam8415
@neemawilliam8415 5 месяцев назад
​@@hafsahmassemoh3598ngoja niachie njian
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 3 месяца назад
@@hafsahmassemoh3598 habali zake zimekua zakiboya
@thomasmsuya-ui5kh
@thomasmsuya-ui5kh 5 месяцев назад
Matukio arusha
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 5 месяцев назад
Namsuburi mama zuchu aongee ata sijamuona😂😂
@surusuru1994
@surusuru1994 5 месяцев назад
Nakubedea❤❤hapotu kaka kaz vury
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 5 месяцев назад
sema serkal knaviongoz waonev Sana wanapenda kuwanyang'anya raiya maeneo yao hata Kama labda aklpa kod ya ardh kwann msimpe nafas afanye process ya klpa ili mumuachie eneo lake Yani unakta viongoz ndy wanagawana ardhi ya Mt kna sehemu nlskia iyo habar ad mzee wawatu kafa kwa kpora mashamba yake mtakja klpa mbele za mwenyenz mungu sk moja
@johnbernad3990
@johnbernad3990 5 месяцев назад
Hoja yako nzuri sana lakini unachafua lugha ya Kiswahili unapoandika kamilisha maneno siyo mkatomkato
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 5 месяцев назад
@@johnbernad3990 isafishe man we ujawai kosea, smat kawaida unaweza kuandka kt ukakuta umeboronga chukuwa brashi broo icho kiswahili kina benefit gan kwako Zaid ya kuongea Cha umuhm point umeiyelewa kausha
@lunangabenjamin3121
@lunangabenjamin3121 4 месяца назад
😮wow wa africa tuna maisha marefu dah mzee,ulianza,ulisumbuliwa njo nazaliwa duniani mpaka loe hujapata haki yako.mpaka ukakata tamaa.yaani uliuwawa ila kifo kikakukataa.pole sana.
@salimakuyela7813
@salimakuyela7813 4 месяца назад
Kama umefurahi hadija kopa kushushuliwa gonga like hapa ili kumuaminisha sura ya ushari ndio amekataliwa kuongea 😅😅😅😅
@omanoman2044
@omanoman2044 5 месяцев назад
Wallah mtihan makonda kashakuw msilim maashaallah am ni kibarakashia tuy
@AhmadaHassan-gy5uj
@AhmadaHassan-gy5uj 5 месяцев назад
Sio kama kazugia hiyo balagashia kwa kuwa yupo kwa waislam wengi
@omanoman2044
@omanoman2044 5 месяцев назад
@@AhmadaHassan-gy5uj ndo kuzugia kwenyew huko kwa sababu ni kwa waisilam
@fbensony
@fbensony 5 месяцев назад
Barakashia ndiyo usilam😅
@omanoman2044
@omanoman2044 5 месяцев назад
@@fbensony som vizur hiyo meseji wa TZ MNAPENDA KUKURUPUKA TUY KUJIBU
@ouldaidallah4670
@ouldaidallah4670 4 месяца назад
ni vazi la asili kumbuka hayati Mrema
@joycemuhoja4729
@joycemuhoja4729 5 месяцев назад
Bi Hadija mbona uko kishari hujapendeza si vizuri ata kidogo
@user-os6sc7is5h
@user-os6sc7is5h 3 месяца назад
Kopa wafamishe kwamba nyinyi wote kule kwenu Uku kwenye samaki wa siwa 😂😂😂❤❤❤
@jeremiahngoka4980
@jeremiahngoka4980 5 месяцев назад
Mkome na mporwe ardhi kbs.Bado mnavaa manguo ya kijani ya hicho chama cha dhuluma.Pigweni sana tu
@user-wd2bc7bf5x
@user-wd2bc7bf5x 5 месяцев назад
huyu baba oohh jamani pole sanaa mzee daah😢😢😢
@hajihassan5433
@hajihassan5433 5 месяцев назад
Mzee ana akili sana maana angetaja hela angepewa 20,000 yake hapo hapo.
@saloomidd1084
@saloomidd1084 4 месяца назад
Ni mjanja ana mahesabu
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 5 месяцев назад
Huyu makonda mmemchelewesha kumpa cheo kingine Cha utendaji ni zaidi
@zainabmaulid9637
@zainabmaulid9637 5 месяцев назад
Hili biki kama sura yake kama kima hee halitubii tu hee bibi jiheshimu umri ushaenda jua linazama tena
@husseinkitingi8186
@husseinkitingi8186 4 месяца назад
Hii ndo njia aliyoianzisha magufuri Allah amuongoze inshaallah
@afredyohana356
@afredyohana356 5 месяцев назад
Usaniii huu wa ajabu
@hamisimsosi6237
@hamisimsosi6237 5 месяцев назад
Muheshimiwa makonda kila la kheri kwa kazi kubwa unayoifanya kupitia hii naikumbusha selikali kuwa migogolo ya aridhi inazidi kuongezeka kila kukicha kwa hiyo ningeishauli selikali iwe ajenda ya kitaifa kila Kona watu tunalalamika kudhulumiwa aridhi aksante😭😭😭😭😭😭😭
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 5 месяцев назад
Maneno mengi vitendo hakuna. Utawala bora hakuna
@user-vo7yp5gj7x
@user-vo7yp5gj7x 5 месяцев назад
Mzee mashallah anajua kuongea
@user-ig7tb1cf8z
@user-ig7tb1cf8z 5 месяцев назад
Chadema wakisema muandamane ooh hatuna shida poleni.
@merckmdamu2942
@merckmdamu2942 5 месяцев назад
Faida ya maandamano ninini? Elezafaida kwanza unaandamana unakamatwa ukifika huko unabadirishiwa kes unakua mhujum uchumi hiv unaijua hii selekalilakini
@zatchardzknestor
@zatchardzknestor 5 месяцев назад
Mama zuchu anakierehere
@benardbwakitare-wj1hr
@benardbwakitare-wj1hr 5 месяцев назад
Mbona wenye matatizo ni ccm hivi nchi ina watu kweli
@user-ig7tb1cf8z
@user-ig7tb1cf8z 5 месяцев назад
Vkomled mziki wa huyo mzee ndiyo tatizo la kushughurikia, achana na akina Mbowe, mama mwenye nywele ananichanganya mzima kweli.
@maniamba.tz_
@maniamba.tz_ 5 месяцев назад
Mama mwenye Nywele ni Adija Kopa msanii mkongwe 😂😂😂
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 5 месяцев назад
Mama yangu bi Hadija ananyosha kidole kama tuliokuwa shule ya msingi swali huelew teacher mkali unanyoosha unashusha
@user-xh5vl6eh6i
@user-xh5vl6eh6i 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂uyo kama nilikuwa mimi yani nimejua kucheka jamani 😂😂😂😂😂😂 ndo mana napenda kupitia comment za watu
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 5 месяцев назад
Mama Khajida kama misukule yaaani yuko bwajabwaja sijui kalewa😢
@hajihassan5433
@hajihassan5433 5 месяцев назад
Anatudhalilishia imani yetu ya Uislam. Haitegemewi Muislam tena Hajjat halafu awe tim tim hivi ingawa yupo kibaruani lakini vibarua vyenye staha vipo.
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 5 месяцев назад
Kumbe na wewe umeliona😂😂😂
@nancychesang9567
@nancychesang9567 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@user-hx8yd9gp2q
@user-hx8yd9gp2q День назад
Makonda nakibarakashia
@jalaryababilasi1562
@jalaryababilasi1562 5 месяцев назад
Mnasaidiwa kero afu mkitoka hapo mnasema makonda ni muuaji makonda chapa Kaz kaka nakupenda xan
@popiya2368
@popiya2368 5 месяцев назад
Mzee kaongea vizuri sana
@mamiyfeiy
@mamiyfeiy 5 месяцев назад
Sana tuu amejua kujielezea
@eligiusedmund3187
@eligiusedmund3187 5 месяцев назад
4:20 umeskiaje ayo najibu kwa Mzee wetu CCM mna drama sana
@user-hi5pg4vp2u
@user-hi5pg4vp2u 5 месяцев назад
Huyo Dada mwenye kidoti nampendaga sana nilimuonaga lugoba.
@user-mh5wj1vs7v
@user-mh5wj1vs7v 5 месяцев назад
Nishida
@hamiduchingi2672
@hamiduchingi2672 5 месяцев назад
Darasa lanne ilo mzee nabado upovizuli, sasa awa awtoto wasasa wanatusumbua etikisa tu wanabachela zao, kingereza awajui kusoma awjui kingereza munatusumbua watu wenye tuliojikatia tamaa naiinchi😢😢
@user-pm8oy3yq7g
@user-pm8oy3yq7g 4 месяца назад
Talatibu fupa lilimshinda fisi mbwa utaliweza❤
@leokamil6284
@leokamil6284 5 месяцев назад
Nchi hii inamamluki wanafki mahasidi Mungu anawaona
@Mumewangu
@Mumewangu 5 месяцев назад
Mama zuchu kalewa mpaka kalewa lewa zuchu akimuona mama take atasema he mamaeee. Diomond kichwa chini
@jeffhard5773
@jeffhard5773 5 месяцев назад
Mnajitekenya wenyewe harafu mcheke wenyewe
@afredyohana356
@afredyohana356 5 месяцев назад
Mnawakusanya watu kwa magari kutoka maeneo mbalimbali
@thaddeojude7511
@thaddeojude7511 5 месяцев назад
Nenda naww ukakusanywe...kama vip
@omarkhamys9818
@omarkhamys9818 5 месяцев назад
Samahanini waungwana!!! Huyu khadja kopa iyo minywele kama mgonjwa!!!!
@user-rs4vz2vt9z
@user-rs4vz2vt9z 5 месяцев назад
Diamond usije ukasema hujaona,umeona Zuchu akiwa mzee atakuaje?,chezea mitandao wewe?????.😅
@barakamjunangee9559
@barakamjunangee9559 5 месяцев назад
Umenifurahisha san
@athumankaswaga605
@athumankaswaga605 5 месяцев назад
Huyu mama Zuchu- muda wote tu kapiga K-vant😅😅😅😅😅
@isayamapela2087
@isayamapela2087 5 месяцев назад
Ujauja hutakiwa
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 5 месяцев назад
nimeona kopa linajidekeza kama mtoto likijua litatumia uwenyeji kupewa maiki 😂😂 linarembuza haa
@user-ey9sb2zp8u
@user-ey9sb2zp8u 3 месяца назад
Nkajua Khadija Kopa a.k.a mama Zuchu ataongea kumbe ziiii 😂😂😂😂😂😂 ila millady ayo
@mangofish9079
@mangofish9079 4 месяца назад
Hii nchi vichekesho sana yaani makonda awe bora kiufanisi kuliko hizo taasisi husika yaani ni dhahiri taasisi zimefeli kuhudumia wananchi ipasavyo ni jambo ambalo limezoeleka.
@felixkamkala3303
@felixkamkala3303 5 месяцев назад
Mama Samia Suluh afanye mabailiko ya Haraka sana Ma Dc na RC na ikiwezekana Hawamu hii asiangalie Mavyeti wafanye uchambuzi kwa viongozi Wazalendo
@user-ct5yt9zp1u
@user-ct5yt9zp1u 5 месяцев назад
Kopa kichwa wazi nakuzubaha sana kama kafika dare Salam leo 😂😂
@gideonchipepo8405
@gideonchipepo8405 5 месяцев назад
I C😅😅❤❤❤😅❤❤❤❤C❤❤😮❤❤😮😮❤😅❤❤❤❤😮❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊😊❤❤❤❤😊❤❤❤😊❤❤😮❤😅😅❤❤😮❤❤❤❤
@gideonchipepo8405
@gideonchipepo8405 5 месяцев назад
😊😅❤❤😊❤
@gideonchipepo8405
@gideonchipepo8405 5 месяцев назад
❤❤❤
@gideonchipepo8405
@gideonchipepo8405 5 месяцев назад
❤😮❤ 4:33 ❤❤❤❤ 4:37 ❤😅❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@gideonchipepo8405
@gideonchipepo8405 5 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ 4:51 ❤❤❤❤❤❤😊❤❤❤ 4:58 ❤ 5:00 ❤
@freduallughano2301
@freduallughano2301 5 месяцев назад
We mama zuchu,eti ndio uongozi du tanzania kwisha kabisa unamuitaje mtu mzima hivyo ambaye kakuzidi miaka 30?mnaharibu sana maadili katika jamii.
@saloomidd1084
@saloomidd1084 4 месяца назад
Inaonekana wanajuana kwenye harakati zao ndio maana amejiamini kumuita hivyo,mbona wengine hajawaita hivyo
@user-bx3kl4hn6j
@user-bx3kl4hn6j 5 месяцев назад
Hao ndio ccm wanatengeneza tukio alafu wao wenyewe ndio watatuzi wa ilo tukio
@leokamil6284
@leokamil6284 5 месяцев назад
Si ndio mijinga mingine inadanganywa kucheza movie za kijinga very stupid hawa
@ekkymumba8566
@ekkymumba8566 5 месяцев назад
Watu wanahisi wanamshtakia Magufuri 😭😢
@Nalitumpaboy-dm4tk
@Nalitumpaboy-dm4tk 5 месяцев назад
Makonda anajaribu kuwa kma anko magu lakin wap
@bulunjamalimikulwa4876
@bulunjamalimikulwa4876 5 месяцев назад
​@@Nalitumpaboy-dm4tknikulingana na position yake alokuepo, lakin angekua mkuu zaidi pasingetosha
@chifbrown1568
@chifbrown1568 5 месяцев назад
Alietupa siasa Africa alion mbal sana mana ni 😂😂 Badala ya kudili na mizizi ya changamoto zetu na uhalisia wa maisha yet kuanzia ngazi zaki familia mpka kwa jamii nzima katika kukuza na kuongeza Thamani za mataifa yet tuna weka sias😁😁
@Worldunite
@Worldunite 4 месяца назад
Hadija kopa umeshazeeka mnoooo sasa dada yangu
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 4 месяца назад
Uyo mama zuu kapngwa hapo.hhahaa ccm bwana
@user-tk8nn2tu3u
@user-tk8nn2tu3u 4 месяца назад
Ni mzaramo wa bagamoyo huyo itakuwa na yeye wamemdhulumu
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 5 месяцев назад
Matatizo Kila kona
@mariamarywenslaus2938
@mariamarywenslaus2938 5 месяцев назад
Babu kakazana kupokonya maiki😂😂😂😢😢😢
@allyadam7355
@allyadam7355 5 месяцев назад
Greenwood wa getafe
@adilhabib8988
@adilhabib8988 5 месяцев назад
Khadija kopa
@christinefuraha1513
@christinefuraha1513 4 месяца назад
Swala la Bima tegemezi
@neamusic2601
@neamusic2601 5 месяцев назад
Kwani kalewa au..
@uwimana6533
@uwimana6533 5 месяцев назад
Huyo hadija mbona kama kituko mtumzima, hovyo umri umekwenda akili kamakisoda 😂😂😂
@frankmasuke7750
@frankmasuke7750 3 месяца назад
Hawataki kujifunza bado.., mbna wanasheria walielekeza kama nikero wapeleke sehemu gani??
@shariffmcleja9533
@shariffmcleja9533 5 месяцев назад
Khadija kazeeka sasa😂
@onesmomwakasege5215
@onesmomwakasege5215 5 месяцев назад
Mbona mama zuchu kachakaa ivyo ivi anasaminiwa nakushauliwa kweli
@BarakaMwaikenda-ty1bt
@BarakaMwaikenda-ty1bt 5 месяцев назад
Mm
@fatmasaid3536
@fatmasaid3536 4 месяца назад
Mama mtu mzima hayo manywele angejitanda kama anavojitanda kawaida angependeza tu
@billgussy6099
@billgussy6099 5 месяцев назад
maigizo hadi kwenye maisha ya watu
@zatchardzknestor
@zatchardzknestor 5 месяцев назад
Makonda ubarikiwe
@mussammanga7791
@mussammanga7791 5 месяцев назад
Jitu zima ovyo mawigi kama kichaa. MwenyeziMungu ametupa muda mfupi sana hapa duniani wkt wowote tunaondoka tujiandae. MwenyeziMungu ameuwapia wakati katika Qur-an.
@emmanuelmatogolo5869
@emmanuelmatogolo5869 5 месяцев назад
😂😂😂😂
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 5 месяцев назад
Acha makasiriko 😂😂safisha nafsi yako kwanza uache kuhukumu watu pumbavu
@chuggaboy9877
@chuggaboy9877 5 месяцев назад
Nenda kamfanyie daawah sio kumnanga mtu huku…!
@mussammanga7791
@mussammanga7791 5 месяцев назад
@@rosemahenge9071 Hukumu unaijuwa. Apo nimemtakia mema arudi kwa Mola wake au kwakuwa wewe ni mtu wa motoni unataka muingie nae pamoja?
@mussammanga7791
@mussammanga7791 5 месяцев назад
@@chuggaboy9877 Iyo peke yake daaawa nimemkumbusha kwamba muda tuliyopewa na MwenyeziMungu ni mfupi. Na MwenyeziMungu ameuwapia wakati.
@user-nq2np6de6l
@user-nq2np6de6l 5 месяцев назад
Sifa ya kiongozi ni kuwa mpole pale panapotakiwa na kuwa mkali pale panapohitajika ila Si kuwa shipa na udikteta
@EshaHamd-ed9yv
@EshaHamd-ed9yv 5 месяцев назад
Huyu Mama ulevi ndio chai yake sishangai msulule WA Khadija Kopa unatoka wapi
@user-qz5xv5if2u
@user-qz5xv5if2u 5 месяцев назад
Makonda naomba uje kigoma kaka
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 5 месяцев назад
Akiwa Bagamoyo Paul Makonda Kavaa Kofia!!!!
@leokamil6284
@leokamil6284 5 месяцев назад
😅😂😂
@ahmadamohamed1907
@ahmadamohamed1907 5 месяцев назад
Lishalewa hilli huoni hata.sura yake
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 5 месяцев назад
KOFIA YA NYERERE ZANZIBAR NA YA MAKONDA BAGAMOYO Uislam ulianza Zanzibar kabla ya Bagamoyo alikovaa Kofia Makonda. Lakini alipokwenda Zanzibar hakuvaa Kofia. Kinyume chake, Nyerere alivaa Kofia aliyopewa Makunduchi, alikozaliwa Mufti Hassan bin Ameir al-Shirazi aliyepigania Uhuru wa Tanganyika kabla ya Nyerere kupokelewa na Mufti Hassan kujiunga na Tanganyika African Association. Lakini baada ya Uhuru, Nyerere alimsaliti na kumfukuza Mufti Hassan kurudi kwao Zanzibar. MWONGOZO WA WAISLAM Allah amewakataza Waislam kutowafanya AULIYA Mayahudi na Wakiristo. [Qur'an; 5:51].
@albertvalentino130
@albertvalentino130 5 месяцев назад
Due, mh hicho unachokiskia hapo ni asilimia 0.00% ya migogoro ya ardhi iliyotapakaa Nchi nzima --- na kama ndio ita tatuliwa kwa utaratobu huo " basi kazi tunayo wa Tz "
@jitabojilala6162
@jitabojilala6162 5 месяцев назад
Nchi hii inaonea hadi wazee duuu
@shangweyussuf640
@shangweyussuf640 4 месяца назад
Warogeni!!!
@hamisiabubakari5650
@hamisiabubakari5650 5 месяцев назад
Viongozi wetu waserikali mnayasikia nakuyaona haya migogoro ndyo imekuwa sehem ya maisha yawatu tubadilike ili tuishi kwa usawa
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 5 месяцев назад
Makonda ni afisa ardhi nyiye mazuzu?
@mbarakkhalid117
@mbarakkhalid117 5 месяцев назад
Mbamtaja mama zuchu ili watu waangalie na hata hajaongea maumbwa nyiye
@rehmakondo
@rehmakondo 5 месяцев назад
Kwahii comment yko simalizi kuangalia😂
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 5 месяцев назад
​@@rehmakondo😂😂😂😂
@selemanikilupy1468
@selemanikilupy1468 5 месяцев назад
​@@rehmakondodaah na mm nimetoka
@rehmakondo
@rehmakondo 5 месяцев назад
@@selemanikilupy1468 ndio dawa yao,mea hua nairusha rusha kama kuna ukweli unaolingana na Caption huku nasoma comments nikiona uongo nasepa sitaki kuwapa pesa yngu kizembe🤣🤣🤣
@user-ix3tl2xj7t
@user-ix3tl2xj7t 5 месяцев назад
Aya maingizo 😂😂
@leokamil6284
@leokamil6284 5 месяцев назад
Wameona watokeje nchi ya maigizo watanzania tunajua kuchezewa kwa thumni😅
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 5 месяцев назад
Wapige kambi hata ya mwezi mmoja kwenye hayo maeneo yenye migogoro. La sivyo huu ni usanii tu
@fidemgonja1966
@fidemgonja1966 5 месяцев назад
Imeisha ivyo😅😅😅
@brinahmohamed-zx4bg
@brinahmohamed-zx4bg 4 месяца назад
😅
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx 5 месяцев назад
❤❤😂😂
@mahersaid258
@mahersaid258 4 месяца назад
Km umemuon uy Dada wa nyuma ulivy taj ukimwi aka shangaa wek comment yak ap
@user-yo1sc7yv6d
@user-yo1sc7yv6d 5 месяцев назад
Aaah makonda hana lolote
@jalaryababilasi1562
@jalaryababilasi1562 5 месяцев назад
Kumbe ccm mnajifanya tu kumbe matatizo mna mengi ovyo kabisa ukipiga wimbo wa mbele Kwa mbele mnaenda Nao kumbe ovyo 2
@rahmaissa
@rahmaissa 3 месяца назад
Muwe mnacha usenge 😢 unatuandikia mama zuchu alaafu hamnaa kitu mbwa kabisa 😏😏
@YoshuaSeverino
@YoshuaSeverino 5 месяцев назад
Awanyoshe kwanza, hao maafisa ardhi ni wababaishaji sana, kila kona ni migogoro ya ardhi, afisa ardhi wamefanya nini ili kutatua migogoro hiyo?
@mamass7481
@mamass7481 5 месяцев назад
Jamani mm naomba kuliza huyu makonda ame rudi ukuuwamkowa?
@ndiditheodore8272
@ndiditheodore8272 5 месяцев назад
Kesi ya ngedere kuiba mahindi ya mtu unampelekea nyani awe hakimu? Je haki itapatikanaa?
@ONJAHWorldwide
@ONJAHWorldwide 3 месяца назад
SIJAPENDA KITU KIMOJA KUHUSU HII SERIKALI. MTU ANAPEWA CHEO.. ANAANZA KUFANYA MAJUKUMU.. KABLA HAJAFIKIA HATA ASILIMIA 30, ANATOLEWA. ALAFU YALE MAMBO AU MICHAKATO AKIYOFANYA INAISHIA KATIKATI, INAKUA SAWA NA BUREEEEE...
Далее
CHEKA UONGEZE AFYA-VUNJA MBAVU, AFYA COMEDY
16:36
Просмотров 447 тыс.