😂😂😂😂😂 hawa ma ccm kama wameshindwa kuwafunga na kuwaamurisha warudishe hela walizo iba ndiyo wata weza kusuluisha migogo iliyopo inchini tunahitaji viongozi wazalendo na siyo waigizaji na kuwa kiongozi haijalishi upo chama gani tumeelewana hapo au na wewe ni chawa wanao kaasehemu chafu😂😂😂😂@@sevelinsilinu5621
Ccm hadi mic mchongo hapo kwenye kundi la khadija kopa kunapesa zimetolewa wasisikie kero nyie kuna mungu baada ya haya maisha ngoja wazee wafe na vinyongo tu
sema serkal knaviongoz waonev Sana wanapenda kuwanyang'anya raiya maeneo yao hata Kama labda aklpa kod ya ardh kwann msimpe nafas afanye process ya klpa ili mumuachie eneo lake Yani unakta viongoz ndy wanagawana ardhi ya Mt kna sehemu nlskia iyo habar ad mzee wawatu kafa kwa kpora mashamba yake mtakja klpa mbele za mwenyenz mungu sk moja
@@johnbernad3990 isafishe man we ujawai kosea, smat kawaida unaweza kuandka kt ukakuta umeboronga chukuwa brashi broo icho kiswahili kina benefit gan kwako Zaid ya kuongea Cha umuhm point umeiyelewa kausha
😮wow wa africa tuna maisha marefu dah mzee,ulianza,ulisumbuliwa njo nazaliwa duniani mpaka loe hujapata haki yako.mpaka ukakata tamaa.yaani uliuwawa ila kifo kikakukataa.pole sana.
Muheshimiwa makonda kila la kheri kwa kazi kubwa unayoifanya kupitia hii naikumbusha selikali kuwa migogolo ya aridhi inazidi kuongezeka kila kukicha kwa hiyo ningeishauli selikali iwe ajenda ya kitaifa kila Kona watu tunalalamika kudhulumiwa aridhi aksante😭😭😭😭😭😭😭
Faida ya maandamano ninini? Elezafaida kwanza unaandamana unakamatwa ukifika huko unabadirishiwa kes unakua mhujum uchumi hiv unaijua hii selekalilakini
Hii nchi vichekesho sana yaani makonda awe bora kiufanisi kuliko hizo taasisi husika yaani ni dhahiri taasisi zimefeli kuhudumia wananchi ipasavyo ni jambo ambalo limezoeleka.
Alietupa siasa Africa alion mbal sana mana ni 😂😂 Badala ya kudili na mizizi ya changamoto zetu na uhalisia wa maisha yet kuanzia ngazi zaki familia mpka kwa jamii nzima katika kukuza na kuongeza Thamani za mataifa yet tuna weka sias😁😁
Jitu zima ovyo mawigi kama kichaa. MwenyeziMungu ametupa muda mfupi sana hapa duniani wkt wowote tunaondoka tujiandae. MwenyeziMungu ameuwapia wakati katika Qur-an.
KOFIA YA NYERERE ZANZIBAR NA YA MAKONDA BAGAMOYO Uislam ulianza Zanzibar kabla ya Bagamoyo alikovaa Kofia Makonda. Lakini alipokwenda Zanzibar hakuvaa Kofia. Kinyume chake, Nyerere alivaa Kofia aliyopewa Makunduchi, alikozaliwa Mufti Hassan bin Ameir al-Shirazi aliyepigania Uhuru wa Tanganyika kabla ya Nyerere kupokelewa na Mufti Hassan kujiunga na Tanganyika African Association. Lakini baada ya Uhuru, Nyerere alimsaliti na kumfukuza Mufti Hassan kurudi kwao Zanzibar. MWONGOZO WA WAISLAM Allah amewakataza Waislam kutowafanya AULIYA Mayahudi na Wakiristo. [Qur'an; 5:51].
Due, mh hicho unachokiskia hapo ni asilimia 0.00% ya migogoro ya ardhi iliyotapakaa Nchi nzima --- na kama ndio ita tatuliwa kwa utaratobu huo " basi kazi tunayo wa Tz "
@@selemanikilupy1468 ndio dawa yao,mea hua nairusha rusha kama kuna ukweli unaolingana na Caption huku nasoma comments nikiona uongo nasepa sitaki kuwapa pesa yngu kizembe🤣🤣🤣
SIJAPENDA KITU KIMOJA KUHUSU HII SERIKALI. MTU ANAPEWA CHEO.. ANAANZA KUFANYA MAJUKUMU.. KABLA HAJAFIKIA HATA ASILIMIA 30, ANATOLEWA. ALAFU YALE MAMBO AU MICHAKATO AKIYOFANYA INAISHIA KATIKATI, INAKUA SAWA NA BUREEEEE...