Mungu akulinde mtumishi wa mungu kaka yangu sumbe nimekuelewa sana na mungu akuongoze mpaka ufalme wa mungu mbinguni nimekufanan8sha na mtumishi mwinginea alikuwa huko moshi mamba marangu mzee maiko au mika ashatangulia mbele za haki sikunyingi alikuwa baba yangu wa kiroho
Amen baba kupitia mafundisho yako napata kuelewa vingi sana juu ya neno la mungu nabarikiwa sana nina kiu na haja yakufikia kwenye madhabahu ya kanisa lako Piah baba me ni mwanafunzi kupitia haya mafundisho napata nguvu yakuzidi kuongeza bidii