Nakushukuru sana Mama Samia kuyasema hayo ya kero zetu, hakia ya Mungu viongozi waliopo chini niwa nafiki,nikusifia tu, haiwezekani chini ya mbingu kila kitu hakiwezekani kufikia 💯 done. Kuna matatizo chungu nzima huku chini, wananchi hatujui ni kiongozi gani aahihi wakumpa hizi kero zetu. Yani kama ulivyosema kuna system zakuwakandamiza au kuwaibia wananchi kodi zao. Kuna vilio vingi ambavyo inatakiwa kujiandaa kupambana navyo.Ni vita Kubwa nakuambia Mheshimiwa Rais.Hawa wanaokusifia tuuuuuu wana lao jambo.Kweli yapo mazuri uliyofanya, unastahili kusifiwa ingawa sio wewe mwenyewe ulifanya.
Asante raisi ila wewe ni mpole sana tunataka tukuamini ila kitu kimoja tu mama uwe makini na watumishi wako pengine unapoona mabango ya kukupongeza achana nayo pengine unapopongezwa mamluki wametumwa pengine jambo hilohilo unalopongezwa kulifanya linakua halijafanyika wanakupongeza Ili kukuziba macho hivyo nakushauri uachane na pongezi pokea na malalamiko kama unavyopokea pongezi utajua pabovu
Samia rais wetu sisi Wana nchi tunzidi kukugundua kuwa huna Nia njema na nchi hii kwa maneno yako haya Yani tatizo unaliona halafu eti unataka lipoti niyanini kama huwezi kuchukuwa maamuzi ya hao wezi unatudanganya kwa kutulagai mbona huchukuwi hatua kwa hao wezi?
Mashallah ,mama sifa zote za kiongozi Bora unazo ,kuwapa nasaha ,kuwaadabisha, ,kufatilia,na kutoa maamuzi sahihi , mashallah nakuombea dua njema ,afya njema ,ibada endelevu ,umri mrefu wenyewe ibada na mwisho mwema.
Wanakudharau Mama kwa sababu unawalea. Matukio ya wizi wa fedha huchukui hatua mfano ripoti ya CAG inayowahusu hata Mahakama mbona kimya ? Ripoti ulikabidhiwa ya hayo madudu, Watu wanakosa imani na wewe kwa sababu huchukui hatua kwa wakati na wananchi wakajulishwa. Ndo maana watu wanasema hii ndo Tanzania yetu kiunyonge, rohoni tunaumia.
Mama mm mwanao nakupenda sn lkn namna unavyo ongea na viongoz wanao kwenda tofaut na muongozo wa Nchi una fanya nimkumbuke Magufur,nimesikiliza hutba yko ila nilivyo fika kwenye wafungaj na watu walio nyanganywa aridh yao nineumia sn namna ulivyo hitimisha hlo, yaan umesha jua waz hawakutendewa haki kwa sababu hawana kipato ww km mkuu wa Nchi na mtetez wa wanyonge unashindwa kutoa tamko la wao kupata haki yao et unamuagiza mkuu wa Mkoa wkt unajua waz na yy ni miongon mwa walio wazulum,hapo ndio utaona umuhim wa baba yetu Magufur 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Moja ya maeneo ambayo yanarudisha maendeleo ya nchi yetu kwasasa ni ulaji mkubwa wa hela ya serkali.Hili nidoakubwa kwakweli.Kwa vile sasa mama umeanza kuyaona kuyafuatilia naona mbele majizi yataanza kuogopa.Hongera sana mama yetu.Tupopamoja nawewe mama.
Kama umewabaini waondoe katika ofisi walizopo, mtaani soko liko saturated watu wanatafuta wapi pa kuonyeshaea umahili na weledi wao katika kuhudumia umma.
Atafuatilia wangapi na nchi ni kubwa? Bila kubadilisha mfumo ni bure! Kuna mtu alikuwa anatumbua kama Magufuli? Mbona hakuwamalizika? Mnakuwa warahisi sana kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa!
@@SangioNgoomfumo yeye samia ndio kaubadilisha adi sheria kazibadilisha alivoingia tu kama huamin kasikilize hutuba zake za mwanzo alivo apishwa tu akasema kuna sheria ziliwekwa kubana watumishi wa umma na kubana wawekezaji ambao ndio hao wawekezaji wizi akasema anazifuta hizo sheria na mfumo wa mtangulizi wake sasa we ulitaka mfumo gani wakat wanabadilisha kwa masirahi yao awam hii wizi umezidi mfumo wa jpm ulikua mzur wizi walibaki kidogo sana waishe sema wakamkata uhai wake ila mifumo inabadilishwa na ndio kilicho fanyika sasa huyu anaongea. tu ila udhibiti wa wizi hana ye mwenyewe anaiba ndio maana anakwambia nanyie mle urefu wa kamba zenu kwahiyo mfumo unabadilishwa ndugu
mama mama mtu amebainika ameharibu rushwa au wizi mbona unawaacha kama vile zamani mtumishi kibaha Dareslaam eti adhabu yake anahamishiwa mwaza mama hivyo tumbua ili iwe fundisho kwa watumishi wako ukiwaacha wanakuchukulia powa tu eti mama ni mpole tumbua mama usiwaache
Mheshimiwa Raisi mama Samia, tunamwomba mheshimiwa Makonda usimwache azeekee Arusha tu, mpeleke mkoa wa Lindi,na ukimwamishia mkoa wa Lindi majibu utayapata na yatakuchukiza,na utaliafiki hili tunaliomba wana Lindi.Natanguliza shukrani
KAMA HUTAKUWA MKALI NCHI ITAKUSHINDA UWE MKALI PESA UNAKOPA MAJIZI YANACHUKUA.. KINASEHEMU ZILITOWA ML 130 KWA AJILI YA DARAJA MKARARASI ANALALAMIKA AMEPATA ML75 TU DARAJA CHINI YA KIWANGO PIA HAIJAISHA...UWE .KALI MAMA.
Kwa sasa mkurugenzi kawa waziri na waziri kawa raisi wakuu wa wilaya ndo usiseme mama yupo vizuri ila watendaji wake daa mungu atusaidie.tuu kwa kweli.
Overhaul the whole Mbeya government system kama kweli uko serious. Usirudie kosa kuhusiana taarifa ya CAG last year ulipofikia hatua ya kuwatukana wezi wa fedha za Serikali, ... Shenzi kabisa, ... Ajabu hukuchukuwa hatua yoyote hadi leo. Hapo ndipo mnawapa nafasi Chadema kuwapiga mawe.
Mama ungewaondoa hao wapigaji, umewasamehe? ina maana hiyo pesa iliyokusanywa kwa udanganyifu jee? Naomba utumbue wote hao vinginevyo huu mchezo hautaisha aisee, naomba uwe mkali sana usikanye wewe ondoa tu watendaji wasiokuwa waaminifu 7:38
Ukitaka kujua ssi waogaga nikama hapa hapo alipoona jee huko kwamawaziri ndoo matrioni watu hawaogopi ukama angeibuka kwa kustukiza mbona mungu ange mpa cheo mbinguni make sio hapa duniani tena sema. Nini uoga kama mwendo Kasi ukipitia huko Kuna Tikt za watu huko
Suluhisho ni katiba mpya, na maoni ya wananchi, wakuu wa mikoa (magavana) wachaguliwe na wananchi, na asipofanya vema anapigwa chini kwa kura au kushtakiwa ( impeached). Kila.mtu atafanya kazi kwani haiwi kazi ya hisani ya rais,urafiki na kubembelezana kama sasa, Kila Miaka 5 anarudi kuomba kura na umma unaamua aendelee,au wanachagua mwingine wanayemtaka.
Kwa kauli hizi,mambo yatakuwa magumu zaidi,ulemba mbele ya majambazi.Mimi naiona 2025 mbele.Sijui Kama kutakalika.Wenzetu huko Zanzibar najua mko Waungwana.Haya yalitukuta kwa Mwinyi.Nchi ilidorora.Hotuba tamu tamu za nini !!
Uyu mama sijui ni kiongozi wa aina gani . Yeye kila siku kazi yake kulalamika kuliko kutoa majawabu na way forward. Kwa kifupi kazi ya uraisi haiwezi .
...... Tumsifu Yesu kristo,Leo angalau nimekuelewa kidogo mama,gap ni kubwa mnoo kati ya watawala na maskini,chunguza sana maafisa elimu,kila sehemu ni rushwa tuu
Mama hongera xnaa, but punguza upolee penye ukali fanya kweli unaachaje watu 700 wanateseka kwa ajili ya manufaa ya mtu na familiya yake! Ni bora wafe 20 wapone 200 coz katik hao watapatikana wazur watao lipizia hao wapumbavu wanaoharibu then unatukanwa wew kuw nchi waendesha vby coz yao, wape adabu wanayostahik kwa uadilifu, ahsante Allah akuongoze pale penye mapunguf yako:
Mama hao wezi wote unawatambua kwanini usiwatumbue na wazirudishe pesa zote,,,acha kuwabembeleza wezi wanalirudisha nyuma taifa na unazidi kutengeneza mtandao mkubwa wa wezi na mwishowe watakujakukushinfa
Siku hizi MAMA w 3:41 atu wanakula kwa kushirikiana wote uliowataja wanakula kwa pamoja. Wanagawana na kila mmoja anapelekewa Mgao wake ndiyo maana wanajifanya hawaoni.
Mimi napendekeza kina mama wapewe nafasi zaidi kuliko mababa jamani hao wanakutoboa jicho ukiwa umesimama mh rais angalia upya uteuzi wako na ulete katiba mpya ya wanainchi ili kazi yako iwe raisi
MIMI KILICHO NIACHA HOI WALIO TENGENEZA MTANDO WA WIZI WAPO ILA ALIYE PELEKA MAJI UPANDE MMOJA AMEFUKUZWA LAKINI WALIO TAJWA WAPO MKUU WA MKOA MKUU WA WILAYA DASI SIMTETEI ILA HAKI YULE ALIKUWA WA KUONYWA KISA KADI, ZA CHA ILA HILO LA MBEYA AAA TUME KWAKWELI HAKI HAPA DUUUUU ALLAH MWENYEWE ANAJUA
Zitarudishwa sana hizo kadi!! muigeni ngombare Mwiru yy hashiki kitabu chochote wakati anaapa anasema hana dini!! anajua vzr akiapa kinachofanyika ni kinyume anaogopa Moto wa ahera! ila mnamuona mjinga!! huyo ndio mjanja kuliko woteee!!!
Wamwagie maji yamoto mama waskuzarau hao maboyezangu some tai fanya kama filim piga mtu chuma chakichwa akalime nazani ujumbe umeleweka fanya hivyo kama mwanamke achoshwa na mume watimue japo kwa panga nasio mafumbo utakua huendi
Mbona kwenye ma umeme huyaongelei wakatihapo ndiyopabovu kabisa halafu unazunguka zunguka2 umeme umekuwa kelo2 Sasa hiv au mh Rais hujuikamatunataabika Sasa hiv kweny swala la umeme?
D' Mh Rais Samia Suluhu Hassan nimekusikiliza sana tena nimekuelewa sana na huwa nakusikiliza sana nitumie neno hili niseme Umechelewa mno ila mungu atakusimamia na yuko pamoja nawe ombi langu wanyooshe kweli usiwaangalie usoni matarajio ya watanzania wengi wa chini ni kuona upendo kwa watu wa chini na sio wa hao uliokua nao juu ambao ni wasaidizi wako tafakari Mh Rais