@@zuhoor-mc7hq shukran mumy nakupenda pia M/mngu atakujaalia kuna nguvu sana kwenye kumuomba M/MUNGU omba subir SUBRAH pia uwe nayo maana watakuja wengi Alhamdullilah nmeiyona nguvu hy na nmepata mumewangu Alhamdullilah
Shukran shehk kwa nasaha hii nzuri ya kutupambanuwa mawazo na kutufanya kuitumia imani kama ngao yakutukubusha tuitunze furaha na amani kwa wenza wetu barikiwa
Assalamu Aleykum warahmatullah wabarakatu Alhamdhulillah ALLAAHUMMA SALII WA SALIIM ALA SAYYIDINA MUHAMMAD WALA ALIHI WA ASS HABIHI WA JIMAIN ❤️ Jazak Allaahu kheri yaa sheikh Allaah akujalie umri mrefu wenye twaa uzidi kutuelimisha Allaah asituharamishie kwako yaa rabb 🤲❤️
@@gomesamakota3294 Nakuombea kwa Allaah Azza wa jaala Akujalie mke mwema kakangu Na wote ambao wanatafuta wake wema na wote ambao wanatafuta wanaume wema Rabbana Thaqabal Duaa🤲
The presence consciousness among Muslims is one of the best achievements of Islam & the world today. There is, as it turns out, an urgent need for the propagation of this Islamic virtue. May Allah grant you every blessing Sheikh Othman Maalim.👊
Waaoow kwelimimi kama mimi bila unafiki huwa sipendi kumwona mme wangu akiwa hana furaha juu ya kitu ambacho ninauwezo nacho mfano ndio wanaume waliumbiwa tamaa na haiwezekani kuyabadili mawazo hayo ila sio wote kuna wale baadhi yao hujizuia na kushindana na tamaa hizo ila namba kubwa nikama hizo tamaa waliumbiwa na hapo ndipo nikasema mwanaume hawezi teseka kwa kuwa anamtamani mwanamke mwingine nichukie ndio ningumu kukubali ila ukiukumbuka msaada wa MWENYEZI MUNGU KUWA BILA YEYE HAKUNA LINALO KUSHINDIKANA bora tuu kuukunjuwa moyo na kukubaliana na matokeo na sikuyakataa juu mwanaume akiamia kutembea na dunia yote utadanya nini nahaziiliki utapigana na wangapi bora tuu kumruhusu awaoe watakao mfurahisha bora tuu mimi nisiwaze uninga ingawa wivu upo ila siwexi upa nafasi upitilize igombane na kila ajae ajee tuu ila mbuzi ale urefu wakamba yake nahio ndio kauli yangu
Lkn wao ndio viongozi wakua furaha za wake zao ila wanawake tunajitahidi kufanya kila kitu kuwafanya wawe na furaha mdogo wangu anataman kufa sasa hivi kwaajili ya ndoa mumewe kamakura hana kitu zaidi ya chumba kimoja na kitanda leo wana nyuma na magari 3 yamepaki lkn ananiambia dada raha na hivi vyote sina nataman kufa mwanaume anamdharau waziwazi amazumza na wanawake mbele yake tena anamwambia usitegemee mimi kutulia kabisa si unamuona baba yangu anaoa kila siku na mimi siwezi kutulia kabisa bora aoe ujue kaoa lkn yh ni micjepuko tu mwishoa namwambia hakuna kufa km mapenzi ya kwisha dai talaka Allah ameiruhusu talaka kwa wana ndoa yani niliongea nae mpaka sasa katulia anasubiri mambo yakae sawa adai talaka yake maana anamwambia hasa kwamba ukiondoka utakuwa chizi unaondoka unaacha nyumba nzuri hii na magari kwa hiyo wanaume baadhi yao wanaona km mali ni kila kitu na huwezi muacha kwa sababu ya mali wakati mali ni amar tu zikupita mtu kamkuta hata kazi ya maana hana ni kibalua wa kufyatua matufali kwenye sait leo ni maneja wa hardware kubwa tu hakuyapata yoye hayo kabla hajao
@@pikanaauntzuu1466 Dadangu Mamie kuwa amnyamazie na asimwonyeshe dharao ila akubliane matokeo ila awe mtu waibadani na mwenye upendo kwa kila mtu na asishindane nae na asimbembeleze awe kama jinga kubwa lisilo ona na asimfanyie dharao kwani dharao hazita saidia kitu yeye amfanyie yote ya mke na mama watoto na kama ni ugonjwa wo wote waaina ye yote amwombe ALLAH amusuru maana yeye yugo pale kuwatetea wanandoa haswa walewatesekao juu ya ndoa na ALLAH huwanusuru na kila baya lote maana hukuutafuta huo ugonjwa ila yeye , kwani niwangapi unasikia kuwa mke ana ukimwi na anazaa vyema ila mme nimgonjwa ukimwi ilifikiria ALLAH hatazami matendo na uwaminifu ndani ya yanyumba ya walioko kwenye ndoa nikikwambia hivi mimi yashanikuta Kwanzaa ndoa ikiwa changa tuu ila imagine sikipoteza furaha kwa mda mrefu nilikaa nakamati nahalmashauri wakilishi nawatendaji wakichwa changu nikasema si MUNGU anasema tuombe natutapewa, tutafute na tutapata, tubishe na tutafunguliwa nikamwomba MUNGU anipe moyo wangu wakukubaliana na matokeo na vile alivyo mwema akanipa nikamwomba moyo wakumpenda tuu sana nasikumchukia akanipa nikamwomba anizibe masikio nisipende kuwasikiliza watu akanipa nimamwomba anipe moyo wakuridhika akanipa nikamwomba anipe moyo wakusaidia hata kuwatongoza akanipa na mwishowe nikayashinda yote ila furaha yake yeye dadako asikubali ipotee maana atapata maradhi mengi mfano ya moyo, kisukari, vidonda vya tumbo nakadhalika mwambie asibadili cho chote kile aishi tuu kama zamani na kuuchukulia ule semo kuwa kila jogoo baada ya kuyachakura majalala yote lazima alifuate banda lake na hata kama litasahau banda wewe mwombee uzima na amani kila saa mwishowe mbio za sakafuni zitapunguwa kasi na mwisho kuchoka na kutulia na i
NOT ALL THE WOMEN OF NOW! THEY ARE MANY WOMEN ARE FAITHFUL N HONEST N LOYAL. SIO KILA MWANAMKE WA LEO NDIO MUHUNI SIO KWELI WENGI WAO WAAMINIFU WAKO NA WANAJISTIRI NAFSI ZAO WALA HAWAKURUKA ROHO NA PESA AU VITU WAMEQINAI ROHO NA MYONYO ZAO PIA. DONT TALK BACK ABOUT ALL THE WOMEN OF NOW. WAKO WEMA WAAMINIFU NA WAKO NDIO TTAMAA HATA HAPO ZAMANI WAKUWEPO WAMINIFU NA WAKO SIO WAAMINIFU SAME KAMA WANAUME PIA WAPO WAAMINIFU NA WAPO SIO WAAMINFU PIA. ZAMANI NA SASA PIA. MAKHLUKU LLAH ALL!
Tengezenii fitnas nzurii yskuzinii na kitegaa uchumii uwazii wakusaidia technology hiyoo ndio shida kubwa kuwavontol na binadamuu shida kubwa wamesoma lakini wanashindwa marifaa Sasa sett this is best to control thisoky
Sasaa hii ndio fremmwork kuwenii na subra tuoneveinskwenda pia shidaa nyeginee ni dragzyywanapaga mipagoo mukuwe na subra kwasababu yakuharibu mipagoo oky nilitowa idiaa Sasa wanatakuni control mim wachaniwajuwe wotee niliwaona kabisa
DO U EXCEPT YR WIFE TO HAVE ANOTHER MAN!? IF!? U CANT! ALSO LADIES CANT EXCEPT HER HUSBANDS TO MARRIE ANOTHER WIFE. KWA SABABU NYIE WANAUME HAMNA UKWELI WALA HAMUWEZU KUWAPENDA WOTE WAWILI SAWA SAWA. HAYO MAMBO YA HADITHI ZA ZAMANI HUJUWI ZIMETUNGWA NA WANAUME ONLY ILI WAPATE KUOWA WAKE WENGI KWA UCHU WAO TUU BAAS HAWAWEZI WAKE WAWILI!? JE!? WATAWEZA WAKE WENGI WA NNE!?? U CANT LOVE THEM THE SAME AS U TALK ONLY U SHOW U LIKE TO TALK MAMBO YA MAPENZI NA KUOWA TUU SHEKHE WEYE HUNA JENGINE ILLA UCHU NA KUTIA FITNA WANAUME NA WAKE ZAO KUWAOWA WAKE WENGI HUO NI UFITNA MKUBWA TENA UNOUFANYWA. MKE MMOJA HAMUMUWEZI MMO TUU KUJIPA NA KUJIONESHA TUU.😢