Kanda ya ziwa kwakweli wanajipambanuwa sana kiuwongozi, tungepata viongozi 1000 tanzania kama makonda mpina msukuma nawengine wachache wanawo fanana na hawa na ndugu yangu palamagamba tanzania miyaka 15 itakuwa mbali sana kimaendelewo na kiuchumi kwa ujumla.
Tunamshukuru Mungu sana kutupa zawadi hii ya Wazalendo wataalamu wa sheria wote chini ya Rais wetu wa TLS kusimama na Luhaga Mpina-mbunge wa watanzania wote pale jimbo la kisesa aliyeamua kuasi wana haramu na kuja kwetu tunao kandamizwa na watawala wabinafsi,walafi,wenye tamaa. Mungu ibariki Tanganyika.
Mungu niwewetu utakae simamia kesihii tusaidie sisi watanganyika mana kesi hii niyetu sisi watanganyika ila inasimamiwa na mpina ikiongozwa na mawakili wazalendo mungu saidia tuwadhinde Hawa mafisadi
Mpina hongera sana tumechoka iv spika wa bunge amesoma sheria au aliamua kama kujiona yuko juu zaid ya mpina asituhalibie viongoz tuliwatuma kutuwakilisha,ebu mnatakiwa mkubali kuna watu wamepewa kibali cha uongozi na mungu na mungu
Katika wasukuma mia ni95 wanafaakuongoza watu niwa5 hawafai ,,katika wakwele mia ni95 hawafaikuongoza watu katika wabena mia 70 wanafaa katika makabila mengi 50 kwa 50
Hongera sana Mpina. Tungekuwa na wabunge wengi kama wewe, Tanzania ingesonga mbele. Watanzanis tunao elewa tuko nyuma yako. Tunafuatilia kesi hii kesi hii kwa makini. Tanzania ni mali ya watsnzania wote. Mateso haya yanatokana na watanzani wengi wasioelewa ikiwa pamoja na wabunge wanao fikili CCM ni kubwa kushinda Tanzania. Wameikabidhi nchi kwa vyama vya siasa. Mali za Tanzania ni za watanzania wote na sio za vyama. Elimu yetu inatutesa ni kama bado nchi iko chini ya ukoloni. Woga umetujaa tunaishi kwenye nchi yetu kama wakimbizi kwa viongozi wetu kutuona mabwege
Heshima kwako Mpina haijalishi wewe ni upande tofauti na mimi lkn kwa maslahi ya Taifa nakupa maua yako,hongera sana Jopo la mawakili kwa masilahi ya Taifa
Mama alitukana Mukenda stupid pole Mukenda ukanywea na kuhamishwa wizara. Hongera sana Mpina kutojali masurufu ya ubunge ukajitolea muhanga kwa ajili ya sisi wanainchi masikini. Pamoja na umasikini wetu mtuambie michango inawekwa kwenye Account ipi au namba ya simu ili tuwachangie. Haba na haba ujaza kibaba
Hilo wasema wewe, watz sisi bado tumelala 😂😂. Yaan mwanaume mwenzenu anachukuliwa kwenye basi alaf anaenda kuuwawa wanaume wenzake wamekalia suruali shame on you.
Mbunge mpina najua wewe ni mzalendo wa nchi hii nakuomba uwe makini na wahuni hasa ndani ya chama chako kumbuka Magufuli amina chifupa deo ila hata ukilala damu yako itanena
@@verdianabanabi2205 maana hawa watu Wanavuna mabilioni ya pesa wao mawaziri lkn nje ya mshahara wake wanakula cha juu hapo hapo kwenye ununuzi wa bidhaa za wananchi wake Bei kubwa kumbe wao wameweka chao hapo tunakilipa sisi yaan Mungu atuondolee ccm wababe wao wazurumati wao na wengine ndo wale wanaropoka hovyo walishiki kwenye mapoli hatujui walioshiliki nini dah aiseee
Nazani hujui hata kesi inahusu nini hiyo sukari wasipoagiza nje ukiuziwa tshs 6000 unayo? Bibi na babu yako wanayo? Mpina aache kutumika na matajiri wa sukari.
Enzi zamwenda zake alivyokuwa akijipendekeza juu ya pembejeo za kilimo,akimsisitizia kutoa ushauri kwa meku,mekuakakubaliananae,akamwambia swala la pembejeo kwawakulima ukinidanganya nitakufukuza kazi na adhabu juu,basi bashe nyota ikawaka,sasa leo hii nashangaa bashe kakengeuka yani tena siyo yule bashe wa enzi za magufuri
INAFIKIRISHA SANA....KUMSIKIA MH. RAIS SAMIA ANAMTETEA WAZIRI BASHE NA ANATETEA UVUNJAJI WA SHERIA WA WAZI KWENYE UINGIZAJI WA SUKARI ULIOJAA RUSHWA NA UFISADI WA KUTISHA TENA HADHARANI KWA KUDHANIA WATANZANIA NI WAJINGA NA WASIO NA WELEDI.
hamtetee nani mnafki tu huyo kama anataka aende chadema aende hana jpyaaa wala hana nguvu iyo kahama sumaye na lowasa na wakarudi sembuse yy kule ubinafsi mwingi ukiingia unaona afadhali ya nilipotoka
Usilo lijua ni kama usiku wa Giza Kuna kitabu kimoja cha Riwaya na mkumbuka mhusika mmoja aliitwa Chifu Nanga katika siasa aliongea "Majority are not always True"Mimi naweza kusema viongozi tuache kuwa wafanyabiashara katika nafasi tulizopewa ili kutoka utata kwa watanzania Maslahi Binafsi
OK Mr. Mpina, you have advocated for sugar not to be exported so that factories do not disappear here in the country, but how do you defend the issue of Tanzanians not having enough sugar produced in this country if there are many factoriesWhen the month of Ramadhan arrives, sugar is sold until the police are in charge of the shops and they have to sell sugar. or the price will be increased every time and at other times, sugar will be completely lost and defense on the problem. 🙏🙏
Bashe ni mtoto wa mama. Kwahiyo anatafuta kufurahisha warabu wa mama. Kwani hiyo sukari ingeagizwa wapi? Badala ya kukuza mashamba ya miwa na kupata sukari.
@@mariamfaicalhassan2890 sio kuwa tetea angalia hoja, Kama mtu anaetaka sukari iuzwe 6000 wakati juhudi zimefanyika kuishusha unata tusiseme. Hapo mpina kayakanyaga anatetea mafisadi wa viwanda vya sukari waliozoea kutuhumiza kwa kisingizio Cha uwekezaji. Mimi ni mlaji naangalia maslai ya walaji kama wewe ni mzalishaji au mkulima wa miwa tetea maslai Yako sio kufuata mkumbo.