Madaktari wanagenzi leo Jumatatu walikita kambi nje ya ofisi za Wizara ya Afya na kuitaka serikali kuharakisha mchakato wa kuwatuma kuhudumu katika hospitali mbalimbali nchini kwa mujibu wa mkataba wa makubaliano, CBA wa mwaka 2017.
Subscribe to our channel MwanzoTV and don't forget to turn NOTIFICATIONS ON to ensure that you keep up with all breaking news and updates from East Africa, entire African region and the world.
Usisahau ku SUBSCRIBE kwenye Channel yetu ili kupata taarifa mbalimbali kutoka Afrika Mashariki, Afrika nzima na dunia.
Subscribe and follow @MwanzoTV on all social media platforms
7 июл 2024