Leo Novemba 18, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Godwin Gondwe ametembelea mraji wa Nyumba za Magomeni Kota ambapo kuna Kaya takribani 644 mradi ambao uliasisiwa na Aliyekuwa Rais wa Tanzania, awalu ya Tano, Hayati Dr.John Magufuli na kutoa tahadhari ya matapeli kwamba hakuna Nyumba za ziada bali Nyumba ni kwa wakazi waliwahi kuishi maeneo hayo tu.
17 ноя 2021