Тёмный

NYUMBA YA MILIONI 600 INAYOUZWA PALM VILLAGE MIKOCHENI 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 315 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

11 янв 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 665   
@kessikigogo4955
@kessikigogo4955 3 года назад
Mgawanyo wa milioni 600 uko iv kwa uku kwetu LINDI... Milioni 5 kiwanja, Milioni 20 dangote cement, milioni 8 mchanga, Milioni 7 mafundi kufyatua matofali, Milioni 10 mafundi kujenga, Milioni 30 bati za msauzi, Milion 20 finishing na wiring , Milion 10 swimming pool, Milioni 5 fance, hapo nyumba itakuwa imeisha na bonge la nyumba jumla ni Milioni 115. Kwenye milioni 600 inabaki milioni 485. inayobakia xaxa milioni 85 V8 moja, hapo unakuwa na nyumba kali sana na unatamba kitaa na Maela yako yamebak benki kama mstaafu ubunge tu.
@enamwangama4203
@enamwangama4203 3 года назад
Hesabu zako hazipo sawa hakuna fence ya milion 5 ingawa uko sahihi kuhusu mil 600 vs mjengo. Mjengo haulipi kama ulivyosema naweza tumia mil 300 au 400 kutoa stand alone house ya kibabe
@onesmojustice2348
@onesmojustice2348 3 года назад
@@enamwangama4203 zipo fensi za makuti😀😀😀
@rose_Winchester86
@rose_Winchester86 3 года назад
😹😹 umetisha
@pettyjongera1295
@pettyjongera1295 3 года назад
Umetisha
@soloartist_ivanvespalusind1609
@soloartist_ivanvespalusind1609 2 года назад
Umetisha
@hasyno9805
@hasyno9805 3 года назад
apo kwenye bafu milard nimecheka ulivyosema kuna space alafu ukajikuta umeshika ukuta
@jacklinemolleli5238
@jacklinemolleli5238 2 года назад
😂😂😂😂
@ngollomashalah8134
@ngollomashalah8134 Год назад
Yaani
@selemanichiga5828
@selemanichiga5828 3 года назад
Dah! Na mimi Eti wakiitwa watu wenye nyumba nitoke hata kwa dawa sitoki Ila namshukuru mungu na mm nina pa kujistiri 🙏🙏🙏
@celinadulle4104
@celinadulle4104 3 года назад
🤣🤣🙌🙌🙌
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 3 года назад
😂😂😂😂😂
@peterpaschal4522
@peterpaschal4522 3 года назад
Ndy maana hutakiwi kujifananisha na mtu🤣
@erickhamisi7495
@erickhamisi7495 3 года назад
Hahahahaha
@willybrown641
@willybrown641 2 года назад
Ndo la maana
@Zaikadena
@Zaikadena 3 года назад
Cwez nunua kinyumba cha vumba nne kwa m 600 naenda jenga bangaloo moja matata
@brayanjames9953
@brayanjames9953 3 года назад
Ushawai miliki nyumba bila kiwanja tena ya milioni 600 .lakin kiwanja huna 😅😅😅😅😅 thanks brother Miradi.. wacha nitafute kiwanja kwanza nyumba nita jenga tu
@utaani1
@utaani1 3 года назад
Hiyo million 100 ni nyingi. Anaumwa sana ni kama kujenga nyumba ya chini ukiwa na kiwanja mbona unaweza ukajenga mjengo kama huo kwa million 100 tu
@rahmamollely5296
@rahmamollely5296 Год назад
😂
@anisiaaudax3708
@anisiaaudax3708 3 года назад
Mungu wangu unisaidie mm na mume wangu tukajenge yetu na tuweke mahitaji zaidi ya hayo
@jokharymasoud7396
@jokharymasoud7396 3 года назад
Ameen
@rashmanditmand7373
@rashmanditmand7373 3 года назад
Ameen mung akusaidiy
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 3 года назад
Unajenga nzuri , kubwa na gari yako unaegesha mvungu wa kitanda 🤣🤣🤣🤣
@marcusgray2559
@marcusgray2559 3 года назад
Amen,. MUNGU awabariki mkidhi kiu ya ndoto zenu na mue na amani daima.
@Kaizirege
@Kaizirege 3 года назад
Amina
@sumatanjunior231
@sumatanjunior231 3 года назад
600 million ni very overpriced kwa build quality hiyo. Hapo ni kwamba unanunua location. Ila nyumba, na finishing ni very basic.
@gregorychogelo2013
@gregorychogelo2013 3 года назад
Sasa utafanya pricing ya nyumba bila ku take into consideration location/plot..!!
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 года назад
@@gregorychogelo2013 😜😃😃😃🤔🤔 point
@gabrielsanga5313
@gabrielsanga5313 3 года назад
Nikitaka kuama naama napo au
@victormneney1475
@victormneney1475 3 года назад
Unauziw floor na vyumba vinne 600 ukitaka yote x11 = ila itatofautiana bei kulingana na Floor specification
@ericknkonya5682
@ericknkonya5682 3 года назад
kweli kabisa the only thing you are selling me with the price is the location. otherwise the rest its pretty much way over priced. (Maoni ya maskini lakini)
@husseinjbigo3847
@husseinjbigo3847 3 года назад
Wengine tunaishi kwenye chumba kimoja kitanda hapohapo jiko unga kochi unaweza sema unalala sto lakin 1day yes inshallah tutamiliki
@amosjuma6346
@amosjuma6346 3 года назад
Hhhhhhhhhhhh umenichekesha
@dotahamad6640
@dotahamad6640 3 года назад
insha'Allah 🙏
@linuslaurentlinus8874
@linuslaurentlinus8874 3 года назад
🤜👊 kikubwa Dua🙏
@oman7710
@oman7710 3 года назад
Inshaallah
@jacksonsilasasantesanaupov3229
@jacksonsilasasantesanaupov3229 2 года назад
Milad nikihitaj kukupata nakupataje
@mohamy001
@mohamy001 3 года назад
Hongera sana Millard Ayo kwa kupewa nafasi ya kuifanyia advertisement hapo mahali kusema kweli you really inspire me and be blessed up. Alafu nauliza hivi mtu akinunua apartment kama hiyo value ya Tzs 600M atakuwa anaishi humo kwa mda ya miaka mingapi agreement yake
@R.Dickon
@R.Dickon 3 года назад
Siku zote za maisha yako
@mussababu5623
@mussababu5623 3 года назад
Ukinunua inakuwa yako milele na hati unapewa.Hiyo ni hati pacha.sio kuwa unapangishwa hapana.Hizo n nyumba nzuri kwa ma CEO na Manager kwenye Big firms
@mohamy001
@mohamy001 3 года назад
Nilisema hivyo kwasababu wapangishaji watakuwa wengi na ni nani atakayemiliki Cheti cha kiwanja hicho
@taetommy8343
@taetommy8343 3 года назад
Jana niliwapa milion 400 wakakataa dah achana nao
@emmanuelmaembe9767
@emmanuelmaembe9767 3 года назад
@@mohamy001 hizi nyumba zinauzwa kwa mfumo unaitwa unit title. Na kila mmoja anakuwa na umilki wake. Na ni Sheria kwa wamilik kuanzisha umoja wao wa umilik na wanamwajili msimamiz mmoja atakaye kuwa anashughulikia jengo zima.
@itsjonahfather7941
@itsjonahfather7941 3 года назад
Apartment ni nzuri kiukwelii, Ila kwa sisi mafundi kwa hiyoo Mill 600, unamvuaa mtu mjengoo kwa mill 300 pale mikadi beach pembeni tena barabarani na mia 3 iliyobakia unatoaa kitu cha laana , Ni mawazo tu maselaa
@mybrain8940
@mybrain8940 2 года назад
Sasa wewe huoni huko ni karibu na mbinguni, tena unaenda kwa lift 🤣 hicho ni kiota chini kuna shopping, hakuna uswahili, 🤣🤣🤣🍺
@itsjonahfather7941
@itsjonahfather7941 2 года назад
@@mybrain8940 Kumbee ww unatakaa Lift za kupanda na kushukaa sio luxury house, haya sawaa nimekuelewa ilaa kumbukaa mill 600 unaenda kuishi kwenye chumba na sebule na jiko, ilaa mimi nazungumziaa vyumba vitano na vyoote master bedroom pamojaa na ndinga iliyohifadhiwa laundery space/ parking space na swiming ya kwako kwa nyumaa ambayo ni simple tu, Hii ndo Nyumbaa ila hapoo unaishi kwenye chumba na sebule mzee kisa Lift
@awadhally1052
@awadhally1052 4 месяца назад
Kwel kabisaaa
@Imfura_Iriho
@Imfura_Iriho 3 года назад
I am coming to buy this room. From Toronto 🇨🇦! I hope it will still available.
@johlet9212
@johlet9212 3 года назад
You are living my dream bro! Congratulations in advance... I wish I can comment like this one day
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 6 месяцев назад
You can apply Iam in toronto too
@MwajumaRashidi-tx6ks
@MwajumaRashidi-tx6ks 5 месяцев назад
​@@tanzcanmediatv4473😂😂😂
@ndagiletv521
@ndagiletv521 3 года назад
one day Mungu atanipa nyumba kama ioo mirald ayo
@deega1234
@deega1234 3 года назад
Amiin na afya pia.
@dotahamad6640
@dotahamad6640 3 года назад
Amiin thuma amiin
@Donrugi
@Donrugi 3 года назад
Dah hii inanipa hasira kutafta pesa 🤭🤗😕😕😕
@busta_malik5971
@busta_malik5971 3 года назад
😂😂
@adamhashim3352
@adamhashim3352 3 года назад
Hahaaa aliyejaliwa kajaliwa
@rashidpweka4325
@rashidpweka4325 3 года назад
Kabsa kabda bro yan inaleta hasira ya kutafuta pesa
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 года назад
Hata wewe waweza kukopa kuwekeza, huyo kakopa kuwekeza
@lucasmogoile7097
@lucasmogoile7097 3 года назад
misingi Ni muhimu sana watu wako na raha ila wengine wako na shida sana Mungu atusaidie
@tittoskeysproject3651
@tittoskeysproject3651 3 года назад
Hapa ndipo ninapojuaga wasanii wetu miayusho kwa quarty hii ingekua mbele wasanii wangekimbilia ila huku tunaishia kuwaona insta na fake life yao pumbafu hakua cha simba wala chui 😊😊😊😊😊
@malikzafarani172
@malikzafarani172 2 года назад
Shuwa bro umeongea fact saana wanaigiza maisha tuh insta mie pia nawachekigi hv nabaki kucheka tuh wafafek maisha had bas 😄🇹🇿🇶🇦👊✌
@kato_tz
@kato_tz 3 года назад
Milard nimekundua una kipaji kingine kizuri sana cha kuwa dalali, Yaani ni vile tu hujatutoza 10,000/= ya kuona kama wale madalali wa maani ah ah ah ah ah ah ah ah h. Bless youu
@matthewjohn5108
@matthewjohn5108 3 года назад
🤣🤣🤣
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 3 года назад
😂😂😂😂
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 года назад
😃😃😃😃 wengine kuona kiwanja 20,000/ dalali
@aboubakarkipalanga1632
@aboubakarkipalanga1632 3 года назад
😂😂😂🙌🏻🙌🏻
@antoinekatembo8520
@antoinekatembo8520 3 года назад
Uali gani hapo ulipo Millard! Napataje mawasiliano yako? Ahsante sana!
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 3 года назад
Apartment million 600!! Najenga nyumba yangu sehemu kimya hakuna zogo ..
@gilbertmichael9130
@gilbertmichael9130 3 года назад
Kweli kabisa
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 3 года назад
😀😀😀
@amnemkubwa7353
@amnemkubwa7353 3 года назад
😃😃😃😃😆🤣
@utaani1
@utaani1 3 года назад
Anaumwa huyo nyumba hiyo rabda million 100 ikizidi hapo ghali
@eliuskamwelwe1018
@eliuskamwelwe1018 3 года назад
DSM ujenzi gharama Kama upo mikoani unaweza jenga
@hamisisha
@hamisisha 3 года назад
Npo geto hapa punde nimekosakosa kumwaga unga wangu duh...haya maisha ya kuishi store sio😂😂
@rahmasalum2130
@rahmasalum2130 3 года назад
😂😂😂😂
@happyjohn5882
@happyjohn5882 3 года назад
Hahaaaaa
@amanbahati8327
@amanbahati8327 3 года назад
😁😁😁
@aishachambo3293
@aishachambo3293 3 года назад
Pole😂😂😂😂😂
@onesmojustice2348
@onesmojustice2348 3 года назад
😀😀😀watu wanazungumzia M600 mzee Kama ya mboga tu.
@lawmaina78
@lawmaina78 3 года назад
Hiyo hela mbona ndogo, sisi ni wazee wa migodini, huwa hatupigi hodi.
@hassankiboko5349
@hassankiboko5349 3 года назад
ayabwana
@antoinekatembo8520
@antoinekatembo8520 3 года назад
Karibuni hadi mkifika piteni hadi ndani kabisa!
@idrisaathumani4891
@idrisaathumani4891 3 года назад
Thaman ya nyumba ndo imekwamia hapo,
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi 3 года назад
Kwani yeye kasema ni nyingi?😂😂😂
@noratycharles5772
@noratycharles5772 3 года назад
Usiwaogopeshe watu wape moyo wakutafuta
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 3 года назад
Mashallah, Tunaziona kila cku, ila kumiliki sasa mmmmh 😜
@omaryntagala3740
@omaryntagala3740 3 года назад
Milioni 600 najenga mtaa mzima
@samniza1763
@samniza1763 3 года назад
Ninajenga gorofa with a big garden, mil 600 with no garden? no bath for soaking your body, just shower? no thank you.
@charlesjonas4412
@charlesjonas4412 3 года назад
😂😂😂 kweli mkuu
@beatricemrisho8431
@beatricemrisho8431 3 года назад
Knsa yan
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 3 года назад
@@samniza1763 agree
@utaani1
@utaani1 3 года назад
Hujengi mtaa mzima ila unaweza ukajenga nyumba yako nzuri na ukaweka mpaka umeme wa jua mkubwa na kisima cha maji pia na electric security fencing na swimming pool pia
@trillhappybeautypoint9874
@trillhappybeautypoint9874 3 года назад
My dreams house dah pesa uko wapi😠
@mariahshirima1229
@mariahshirima1229 3 года назад
million 600 af master room hamna Jacuzzi
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 3 года назад
😂😂😂
@abdallamohammed1889
@abdallamohammed1889 3 года назад
Nataka
@machaggechacha3422
@machaggechacha3422 3 года назад
Jakuzi ya nini kuna swimming pool na bahari. Hivo vyatosha.
@errydeo8865
@errydeo8865 3 года назад
kwa ela hiyo,siishi kwenye flats!!! ntachomea wapi nyama kwenye grill ya mkaa,hamna garden, watu wengine ni musiki wa nguvu kwa mbele,si nitagombana na block nzima?..hizo za mabachela..lol.They are nice though
@herosofthecentury
@herosofthecentury 3 года назад
Million 600 najenga gorofa moja yenye vyumba 10 na yenye furniture kali,,,apo sijaona furniture yeyote kali inayoendana na pesa hiyo,,,,HII NI JANJA JANJA TU,,,Weka Like kama unakubaliana na mimi
@andrewkaswagula3367
@andrewkaswagula3367 3 дня назад
Hizo Apartment quality yake ya kawaida sana. Hata vitu vyake vya kawaisa sana kwa milioni 600. Hapo mtu ananunu tunaita "Goodwill" kwa maana ya ushawishi wa eneo. Ni kwa sababu zipo mikocheni, ukijenga Apartment kama hzo hzo mbagala au gongo la mboto huwezi ziuza milioni 600. Hapo mtu anaunua location tu
@rosegaston6226
@rosegaston6226 3 года назад
Mchicha ntalimia wapi Meku?Unakaa juu ukiachia kitu kinabiringika down mjini noma sana.
@celinadulle4104
@celinadulle4104 3 года назад
Hapo sasa, m 600 nikakae mashambani na kulima mboga zote
@charotelimo5026
@charotelimo5026 3 года назад
Yani 600ml huku kwetu unanunua kiwanja na unajenge nyumba 15@ room3
@alexmihayo5723
@alexmihayo5723 3 года назад
...Ni ngum saaana kufanya kaz kwa muhind kutwa unalipwa elfu8 kula kwako naul kwako, afu unawaza kuwa kutafuta mil.600 Aaaisee labda ubebe sembe. Kuwa km mm tu naangalia muundo mpya wa sofa niweke geto.
@dostovan5142
@dostovan5142 2 года назад
Hahahaha
@faustinebupamba271
@faustinebupamba271 3 года назад
milioni mia sita najenga gorofa moja yenye vitu bora na mwonekano mzuri zaidi ya hii...
@abrahamanthony5010
@abrahamanthony5010 3 года назад
Nakubali
@SafiyaJ-yw2vt
@SafiyaJ-yw2vt 5 месяцев назад
Unajenga gorofa 5 kwa hiyo milioni 600
@ibrahimmohamed1994
@ibrahimmohamed1994 3 года назад
Kunywa kikombe kimoja cha kahawa kila akisema AMAZING
@hassanmanager732
@hassanmanager732 3 года назад
😂😂😂🤣🤣
@jimboulaya
@jimboulaya 3 года назад
Appartment Millioni 600 ghorofa ya 11? hio ni sawa na dola laki 2 sitini, najua ni sababu ya location ila kwa hela hio unaweza kununua nyumba na eneo kubwa private sio appartment, kumbuka ukinunua nyumba ama kiwanja ni kwamba unamiliki eneo, ila appartment huuziwi eneo ni jengo tu.
@deogratiushonest5122
@deogratiushonest5122 3 года назад
Hapo unanunua locacation, hiyo million 600 sehemu nyingine unaweza kufanya makubwa, unaweza kumiliki majumba ya kisasa zaidi ya matano.
@kelvinlucas97
@kelvinlucas97 3 года назад
I have nothing to say but to rate ⭐⭐⭐⭐⭐ nikiongea nitaongea mpaka mwakani/thank you!
@doreensamwely8740
@doreensamwely8740 3 года назад
Jamani daaah watu wanakula Bata had raha ,mungu nikumbuke maisha ya raha nipate na mm
@Soccer_Life2
@Soccer_Life2 3 года назад
Nyumba ipo Good sana Duuh
@AJGUNNER
@AJGUNNER 3 года назад
OMG Dar es Salaam has changed by Leaps and Bounds since I was there in 1973.
@africanmaasigirlnyaki1686
@africanmaasigirlnyaki1686 2 года назад
Come back again so we can go and live together in Pam village
@africanmaasigirlnyaki1686
@africanmaasigirlnyaki1686 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣 hii just saying hai
@selekiwande64
@selekiwande64 3 года назад
Habar njema kibongo bongo. Hiyo ni hatua kubwa sana 'na Ya hari.hajuu sanaa wakulungwa tutafute hela tupunguze matumiz nas siku moja tuje kumiliki vilivyo bora
@caashamacalini3887
@caashamacalini3887 3 года назад
Nyumba hamna garden wala hamna sehemu ya watoto kuchezea shida tupu alafu milion sita to expensive bado haijajitoshekeza Bora utafute kiwanja upate garden sehemu za watoto kucheza sio juu kama ndege kuandika nguo shida tushakaa nyumba kama hizi mashaka Tu subiri umeme uzimike heeee uwe chini alfu unamizigo utalia kupandisha juuu
@michaelndabalinze1376
@michaelndabalinze1376 3 года назад
Milard inunue bana iko chini ya uwezo wako
@lenoxbuhanza4926
@lenoxbuhanza4926 3 года назад
Sasa basi una nunuaje milioni 600 sehemu kama hiyo kwasababu ya ya view ya mikocheni?unajua 600 millions nikijenga yakwangu natoa kasri?hebu acheni upuuzi
@frankdepiere2477
@frankdepiere2477 3 года назад
Zina wenyew hizo, wakitifuana wanajirusha hewani tu, 😂😂
@jamesswai1683
@jamesswai1683 3 года назад
Umemaliza KILA kitu..milioni mia nanunua kiwanja sehemu nzuri nitakayo..mia tatu najenga ghorofa..milioni mia unaweka KILA kitu cha anasa ndani...mia sita nyingi sana na huna hata sehemu wa kufanya shughuli
@fahmy3hamed799
@fahmy3hamed799 3 года назад
Yani ni kweli kabisa hawa wanaumwa sana 🤣
@razackkambi8318
@razackkambi8318 3 года назад
@@jamesswai1683 sehem ya kufanya shughuli hakuna 😂😂😂😂
@ernestmbwana6282
@ernestmbwana6282 3 года назад
Mimi Maskini wa bush part nimezoe nyumba yangu ni pande mipera,mapapai na makomamanga ..nyumba hizi za matajiri hazifai kuchinja kuku.wala mbuzi hazifai kula ubwabwa wakufunikia Wa mkaa Hapa full kula madude ya plastic surgery...
@msigalaphotographer2279
@msigalaphotographer2279 2 года назад
Nimekuona kaka 🤣🤣🤣🤣 ujumbe umetugusa n ss 2naopenda kupanda mboga za majani 2tazipandia wapi
@abdulnaseerabdulhakeem9302
@abdulnaseerabdulhakeem9302 2 года назад
😁😁😁😁😁
@fahmy3hamed799
@fahmy3hamed799 3 года назад
Mbona hiyo bei haifanani na hiyo flat kwakweli bai kubwa sana haifanani kabisa
@sarahtaste2876
@sarahtaste2876 3 года назад
Kwa milioni 600 bado ni padogo sana interior designer hajafanya creativity ya kutosha but ni nzur haishtui sana
@xiwuyan457
@xiwuyan457 3 года назад
600M Najenga Nyumba ya chini Ghorofa 2 Na Magari kadhaa na full ulinzi na viwanja nazungushia...kuliko kujibana huko juu eti kisa ni palm village....Unaweza kununua kwa ajili ya kukodishia lkn Mbona wao wauze 😒 wakodishe
@kelvindaudi7330
@kelvindaudi7330 3 года назад
Mhh nyumba kama hyo hata jirani yko humjui ,mnaonana parking na supermarket
@feysalismail4768
@feysalismail4768 3 года назад
Ninunue nyumba m 600 Alf IPO ewani sijaribu
@subiramussa1428
@subiramussa1428 3 года назад
Hahaha
@Womanseekingman
@Womanseekingman Год назад
Synonyms of amazing surprising. startling. stunning. wonderful. shocking. incredible. awesome. astonishing.
@festomartin6170
@festomartin6170 3 года назад
Maji na umeme must be reliable short of that ni bonge la adhabu
@sarahnamwezi4704
@sarahnamwezi4704 3 года назад
Congratulations! I like it
@shafiisalim1686
@shafiisalim1686 3 года назад
Usiifanyie masihara m.600 ukienda kisalae na lki tano tubunapata heka nzima na chenji inabaki unaenda kununua tata zako 3 unazipiga mkanda gmboto kkoo maisha yanaendelea
@dotahamad6640
@dotahamad6640 3 года назад
Yaan nitoe mil 600 kisa mjini na ghorofa ama, kwa mm ningenunua viwanja kigambon ama mhagala nikajenga nyumba za maana na kupangisha baada ya miaka kadhaa pesa inazid ya hiyo ml 600
@marymfugwa847
@marymfugwa847 3 года назад
Kwa 600 nañunua kiwanja cha million 10 najenga mjengo wa million 300 bonge la jumba eneo la bustani napanda miti na Magali nanuua na bado chenchi inabaki.
@daudvedasto9809
@daudvedasto9809 3 года назад
Duh...! Naona umeanza kua Dalali..
@youngbilioners4631
@youngbilioners4631 3 года назад
Nipunguzieni nina200
@rosemarymunyi5035
@rosemarymunyi5035 3 года назад
So beautiful l love it
@vero57
@vero57 3 года назад
Hamna mmbu huko?? Mimi na mmbu sipendi, maji hayakatiki??
@emilyibraimo5032
@emilyibraimo5032 3 года назад
Mmmh ila kwa mimi apo harakaharaka nikipata milioni 600 nyumba yangu nagarimu milioni 20000 gari milioni 7 shamba na shamba la kulima milini 30 na nyengine najenga msikiti milioni 50 abayo itakua sadaka yangu kwa alonijalia riski hii ya milioni 600 uo ni mchizamo wangu kwa alonazo aaaa mbona ize nyumba ipo powa
@fadhilifredrick4115
@fadhilifredrick4115 3 года назад
Wajanja tunaiba ramani tu 😂😂😂😂😂
@mirajiomarykilala9463
@mirajiomarykilala9463 3 года назад
safi kesho naja kununua hiyo kaka nmepa penda sana.
@edwarddavid8076
@edwarddavid8076 3 года назад
Dah! starehe yake kuona bahari tu kwa millioni 600
@khaleedahmedsaidkione5977
@khaleedahmedsaidkione5977 3 года назад
Nyumba kama hizo hata wachawi hawaingii....😂😂
@ruthusinde966
@ruthusinde966 2 года назад
Nimecheka jamn bongo kuna viruko
@mursallusinde9189
@mursallusinde9189 3 года назад
Ukweli unabaki pale pale pamoja na yote hayo nyumba uliyokuta ipo tyr kma hiyo huwez jua kuna nin kimewekwa humo bora ujenge yako kila kitu unakijua.. Unaweza kuta kuna camera kila sehem zinakufatilia kila unacho fanya na huwez kuziona
@yakaramayaka1456
@yakaramayaka1456 3 года назад
Labda iwe investment, holiday apartment kwa ajili ya watalii.
@mussataliye7815
@mussataliye7815 3 года назад
Nimegundua kumbe mimi sina nyumba shikamoo pesa 🙌🙌
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 Год назад
Yani aptment zinauzwa ghali kuliko hata dubai
@thebarzbreaker3520
@thebarzbreaker3520 3 года назад
Kwa M600 unaweza kujenga Ghorofa kufuru na sio kujibana hivyo. PALM VILLAGE WANAUTANI SANA😂😂😂
@BarreMushi-yz4wt
@BarreMushi-yz4wt Год назад
Wow! It's really exquisite
@khalidhamis5811
@khalidhamis5811 3 года назад
Ukiwa na pesa unaweza kufanya chcht utakacho ila mzee @millad ayo vyumba 4 kwa M 600 duh to much ila kwa sababu ya location Ni saw
@blambiapapa7188
@blambiapapa7188 3 года назад
Aisee hata kama location sio milioni 600,huu ni wizi aisee
@Jaycollection
@Jaycollection Год назад
Jua kali metuweza alie gundu gonga like
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 года назад
Ndugu yangu nyumba NI nzuri.Weka matangazo kwa lugha ya Kiingereza Tafadhali.
@mosesnyirenda6359
@mosesnyirenda6359 3 года назад
Million 600?halafu niishi kwenye hizo Hostel?
@mustaphagairo1936
@mustaphagairo1936 3 года назад
Ha haaaa
@Donrugi
@Donrugi 3 года назад
Unaweza kununua kwaajiri ya biashara
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 3 года назад
@@Donrugi siwez nunua ata kama ni biashara,, wew unaifaham ml 600
@elinamilyatuu7493
@elinamilyatuu7493 3 года назад
Hayo maisha huyawezi kausha
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 3 года назад
@@elinamilyatuu7493 aya maisha nayawexa ndo maana nimekujibu,, You don't know nothing,,, idiot
@sosthenesjairo7995
@sosthenesjairo7995 2 года назад
Dah nyumba iko poa kama Mimi nimepnda bafu ilivyowekwa iko poa sana
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 3 года назад
Dah patam apo😋😋😋👌👌💕👌
@MegaAlexison
@MegaAlexison 3 года назад
Beautiful house
@msetikebwasi1469
@msetikebwasi1469 3 года назад
Miladiayo ,mbona sijapata zawadi yangu ya simu baada ya kupata swali ulilosema limedhaminiwa na kampuni ya simu Samsung .swali lako liliuliza ni paka gani atakaye wahi kunywa maziwa ktk ule mchoro ?na tuliwasiliana kwenye face book ambapo ndipo swali lako liliulizwa .
@fredywesh1441
@fredywesh1441 3 года назад
I wish I had money,ningehamia tz kaka zangu
@faisalhizkil9174
@faisalhizkil9174 3 года назад
Mim najiandalia majumba makali sana peponi.. mtakaosema najifariji poa tu.
@elinamigags4847
@elinamigags4847 3 года назад
Hivi unajuwa milioni 300 insjenga nyumba gani lakini 😂😂😂
@hamisiviga2750
@hamisiviga2750 3 года назад
Wa kwaza Ku comment like zenu ni hatari team millady ayo tujuane
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 3 года назад
Siwezi kunnua sitakuwa huru siwez kulima bustan amna uwanza
@hamedabashir9
@hamedabashir9 3 года назад
Hahaha dah haya maisha wengine tyutayafikia kwer
@jesuslove2205
@jesuslove2205 3 года назад
Ndio
@thabitnasher111
@thabitnasher111 3 года назад
Ndio
@onesmojustice2348
@onesmojustice2348 3 года назад
@@jesuslove2205 we unajibu kwa imani hivyo vitu vya imani ni uhalisia
@fatemaligalawa1918
@fatemaligalawa1918 3 года назад
🤣🤣🤣🤣utapata tena zaidi InshaAllah🤲🤲
@theprogrammer3351
@theprogrammer3351 3 года назад
Hapo sijaona sehemu ya kuanikia nguo, hivyo inahitajika mashine ya kufulia ya kisasa yenye uwezo wa kukausha nguo kabisa... ww kazi yako iwe kupiga pasi tu,,... ila pamoja na yote maisha ya Uswazi raha.....
@chimamyzahra3454
@chimamyzahra3454 3 года назад
Millard wanaanika nguo wap na sehem ya kufulia nguo je
@trumpetoflife7312
@trumpetoflife7312 3 года назад
Uko makini sana
@area51tv39
@area51tv39 3 года назад
Kwel bhnaa
@semenimohamed8156
@semenimohamed8156 3 года назад
Hujaona kwa nje ww unaanika kwa kkutumia vifaa vya kuniakia nguo ukiwa na mashine yako unaweka unafulia hauna mashine unafua kwa mikono
@sonofgod1623
@sonofgod1623 3 года назад
Apo lzma uwe na mashine ya kufulia nguo
@ednaJF1028
@ednaJF1028 3 года назад
Nice one 👍
@alexanderisinika1295
@alexanderisinika1295 3 года назад
Naomba niwekee nataka chumba kimoja Self
@godympole367
@godympole367 3 года назад
Daaah!! Inapendeza Sana.
@Gody360
@Gody360 3 года назад
🔥🔥🔥🙌
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 года назад
Ayo TV, ebu niulize, kuna uwezekano mkenya kununua nyumba Tanzania??
@modestmassawe9940
@modestmassawe9940 2 года назад
Mmmh millard umenifanya nione kama nalalaga nje maisha yote
@khalidali1130
@khalidali1130 3 года назад
Nkatoe mil600 kwa apartment want namuondosha mtu mwenye gorofa upanga ukonga nk labda nkapimwe mkojo mm at a nikiwa Nazi sinnui izo apartment nmefunga macho mil 100 mpk 150 au 200 ila sio kwa mil 600
@hamisidaimamarumu6729
@hamisidaimamarumu6729 3 года назад
Nataka kununua mjengo wote,Bei Tafadhali Millard
@selemanichiga5828
@selemanichiga5828 3 года назад
Thamani ya choo Cha pablic ni thamani ya nyumba ya mtu ashukuruwe mungu kwa yote.
@sanurikibaya3254
@sanurikibaya3254 3 года назад
We milla unashindwa namilion 600 siungeinunua ww
@gloxmax8388
@gloxmax8388 3 года назад
😁😁😁😁😁😂
@patrickKitambo
@patrickKitambo 9 месяцев назад
Bei ni resonable sana ntachukua hapo
@emanuelamos4039
@emanuelamos4039 3 года назад
Milion 600 yan unanunua eneo na unajenga nyumba kalii sanaa
@KUTOKA-ep2fk
@KUTOKA-ep2fk 3 года назад
Hivi nikinunua au nakuwa nimekodi sehemu tu ya ghorofa?
@majeje655
@majeje655 3 года назад
Nikitaka kupikia kuni napikia wapi mzee mwenzangu
@emilyibraimo5032
@emilyibraimo5032 3 года назад
Duuu umeuwa kuni tena
@busta_malik5971
@busta_malik5971 3 года назад
😂😂
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 года назад
Na Nguo Utanika Wapi
@robenapomola2395
@robenapomola2395 3 года назад
Kama amna kufa vile dah so nice aseee
@rukundoibrahim807
@rukundoibrahim807 3 года назад
nyumba ziko ghali.
Далее
Jua kali leo usiku jumapili 21-7-2024         4k
19:14
Просмотров 33 тыс.
Hii nyumba haina kasoro
3:34
Просмотров 23 тыс.
NYUMBA MPYA INAUZWA TSHS MIL 65, SALASALA KINZUDI
9:50