Hongera Mwanangu Haris, kwa Ushindi huu...Mungu akufungulie Milango mingi ya Baraka , hadi Chuo kikuu ili Baadae. .uje kuwa msaada & baraka kwa wengine🙏
Hongera sana dogo, serikali kama serikali Ina kitu Cha kujifunza na kubotesha kutoka kwa uyo dogo.... Dogo kwenda Cambridge ni kama tumempoteza ni hayo tu
Wamfunze na kiingereza this is his country sio sisi tumfate kwenye kiingereza.Anaweza akatamani kuwa kiongoz hapa home siku hawezi kueleweka akiongea hivyo
Dogo nimemuelewa sana, na iwe funzo kwa wizara ya elimu kwa ujumla, maswali kwa masomo yote yalenge kwenye uelewa zaidi kuliko kukariri, nchi kama china wanaelewa zaidi kwa sababu kila kitu kipo kwenye lugha yao tofauti na sisi unaanza kwa kukariri unakuja kupata concept umeshafika form four, kwa waliosoma masomo ya science watakubaliana na mm
Sio kukubaliana na wewe tu nakuunga mkono kwa asilimia zote, inakera sana siku zote huwa najiuliza hivi waziri wa elimu anafanya nini na kazi yake ni gani? Na ndio maama tunawakufunzi wengi sana mitaani hawana kazi na bado wanaishi kwa kukariri that ukisoma sana utapata kazi nzuri navutalipwa mamilioni ya pesa, wakati wanaosa vizuri wanajua tunasoma sababu tunapaswa kuwa na uelewa mkubwa kwendacsawa na wakati, nsio maana kwa wenzetu unakuta mtu ana masters lakini anafanya kazi ya kawaida sana tena hata supermarket’s ukibahatika kuwajua ukiuliza majibu yao utasikia siamini sana kwenye kuajiriwa so nipo hapa kwa muda kidogo nipate kianzio tu then nijiari, kwetu mru anasoma mpaka ana phd bado anazeeka kwenye ajira.
Maswali yanatoka kuaccomodate jamii nzima..huyo ni mtoto wa kishua huko vijijini hawana izo access,kuna vitu vya kurekebisha ila si kwa level ya dizaini ya huyu mtoto wakishua asiyeweza hata kuongea kiswahili vizuri.
Hongera sana. Wazazi wapeni watoto wenu Samaki, Maziwa, Mbogamboga na Mayai lazima wawe na Akili sana. Big Up Mwamba wa Hesabu. Chuo Kikuu Namba 1 Duniani cha Havard kinakusubiria japo nakushauri ukasome China au Urusi uje usaidie Tanzania ya Viwanda. Tanzania Imara Kazi Njema Iendelee🇹🇿🇹🇿
@@jaspertheonest China ndiyo inaongoza kwa Viwanda, ikifuatiwa na Ujerumani na Japan. Unajua Muungano wa BRICS Brazil, Russia, India, China and South Africa. Marekani Dollar inaenda kupotea sababu ilikuwa inatumika kama Pesa ya Fuel yaani Mafuta ya Petrol and Diesel ila sasa Saudia Arabia hatumii Dollar tena.
@@mcback4384 😂😂😂hamna kaka, mfumo wetu wa maisha hauna formula sisi wakubwa tunajua....waliofeli wakija mtaani wanang'aa na waliofaulu wakija mtaani ku'organize maisha ni utata
Mfumo wa elimu Tz ni shida sana na bahat mbaya waliopewa dhamana kuongoza wizara Kila ajaye ana mfumo wake na maelekezo meeeeeengi thus why watoto wao wanasoma abroad
Tatzo hatujui watoto wetu wana taka nn,wazazi wengi wana force wanayo taka wao sio kufata uwezo wa mtoto, Ndomana hata ngazi za uongozi Tz mtu kasoma kilimo anaenda kuwa kwenye ujenzi huwezi fanikiwa
Aliekwambia atakuja mtaani ni nani,,,,,😂😂😂 he has life already from his parents....labda aje kukutana na pear pressure huko juu ya kwenda kidimbwi sio hivo unavofikiria
Ningependa nimuone alafu nimpe swali langu la calculation moja tu...... Alf kingine kasoma shule zenye mitahara lain mzee so sio gineous... Ila hongera yk
Dogo ni Fala 2 anashindwa kuzungumza kiswahili kilicho nyooka analeta mashauzi Kuna wahindi ambao wanazungumza kizungu na lugha ya nyumbani vzur sana huyo dogo ni mashauzi
Hivi waandishi wetu Kingeli vipi? Huyu angejieleza vizuri sana kwa kimombo. Naomba mwandishi nguli wa lugha ya malkia arudie hii interview kwa Kiingereza.
Huyu sio mwenzetu hivyo anahaki kabsa ya kusema hayo,hebu tumpate aliyetoka KALIUA SEC au st.kayumba yoyote ashindanishwe na wegne af aje anasema kuwa mitihani ya NECTA ya hesabuni ni miepesi hakika uyo nitamkubali
Nyie mm 4m1 to 4m2 nilikuwa nafika 30% hadi 40% 4m3 to 4m4 Shangazi kaniloga sikuwahi pata zaid ya 20 😁😁 kifupi nina F Tujuanee 😁😁 Mleteni Hapa HGL hachomoi kila mtu na chake bhna🙌🏻🙌🏻
Mjuaji anasema shule za kayumba mbadilishe ufundishaji watoto wanakalili kuliko kuerewa ufundishaji wenu tofauti na shure zingine kilicho msaidia kusoma online seem mbali mbali yu tubu
Uyu inaonekana wanamtenga sana hasa na jamii inayoongea Kiswahili! Ajichanganye na wenzake wanaoongea Kiswahili aelewe Lugha ya Kiswahili sasa! Ni muhimu pia!
Ndiomaana wameficha matokeo ya mitihani Kwa kutotaja shule zilizofanya vizuri,, international school's wako juu hata tusipotaja shule zinazoongoza Bado watafanya vizuri 2.
@@Soon815 Aaha kumbe kwenye hii Siasa ya Leo ya Tanzania ambayo tayari walioshika Nchi wameshaanza kuingiza watoto wao kwenye Siasa huyu wa civics na kiswahili labda kama baba au mama yake au Kuna ndugu yake ni mwanasiasa ndio anaweza kuwa otherwise sijui
Hondera sana kijana kwa kutumia RU-vid kutafuta mbinu na njia ya kujisomea mwenyewe kuzidisha uelewa. Hio ndio kutumia simu jana kwa elimu ambayo ni manfaa katika maisha yako. Ushauri bora jitahidi kuboresha luggage yako ya Taifa. Jiepushe kutumia *ga* nasomaga, naonaga, nakwendaga, nakaagaa. Hiyo ga inatumika passport kuwepo. Wazo langu kwako. Boresha lugha yako nayo ujivunie...
Kenya hawana kotu kichwani wasiwahadaa na kujidai wanajua english.hapa canada tunawakenya wengi wana feli nclex wanaishia kuolewa na vibabu vya kizungu na wanaijeria wenye pesa afu wanateseka kwenye ndoa na wanaijeria ila wamebanana