Тёмный

VILIO VYATAWALA, MAMA NA BABA WAFARIKI WAKITOKA KUCHUKUA MWILI WA MTOTO WAO ARUSHA MWINGINE AVUNJIKA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 194 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 437   
@zainajirani5296
@zainajirani5296 2 месяца назад
Duniani Kuna mitihani... Mwenyezi MUNGU nipe Mwisho Mwema inshallah 😢😢
@khamisswalehe
@khamisswalehe 2 месяца назад
wewe kuaa mchamungu tu utafanikiwa
@sheikhanasser4714
@sheikhanasser4714 2 месяца назад
Allahuma Aameen Yaarb Alaamen Islaam Jamiii 🤲
@AyubuIkaku
@AyubuIkaku 2 месяца назад
Amiin, atupe sote
@DativaMbowe
@DativaMbowe 2 месяца назад
Amen 😢
@BisharaAlly-g3k
@BisharaAlly-g3k Месяц назад
Kwa sote
@Misanyahidaya
@Misanyahidaya 2 месяца назад
Mpaka mwili umenisisimuka daah.yarabii tujalie mwisho mwema
@MashaMbwana
@MashaMbwana 2 месяца назад
Aamin
@magdalenapeter419
@magdalenapeter419 2 месяца назад
Amin!
@AminaIbrahim-mn9wg
@AminaIbrahim-mn9wg 2 месяца назад
Allahumma Amiin
@KdSf-h8h
@KdSf-h8h Месяц назад
Amin thuma Amin
@himnakhatib1050
@himnakhatib1050 2 месяца назад
Kwa hakika kifo kinasiri nzito sana hatjuw mda wala saaa wala dkk ya kuondok dunian tumuombe Allah atujaalie mwisho mwema in sha Allah
@zainajirani5296
@zainajirani5296 2 месяца назад
Aamin inshallah 😢
@sophsoph4740
@sophsoph4740 2 месяца назад
Amin inshallah 😢😢😢😢nawaza ntakavyo muhacha mwanangu pekeaake​@@zainajirani5296
@FatumaMuya
@FatumaMuya 2 месяца назад
Amiin Allahumma Amiin
@sheikhanasser4714
@sheikhanasser4714 2 месяца назад
INNA LILAH WA INNA ILYGI RAJIOUN ALLAH AWALAZE PEMA PEPONII JANNAT FIRDOUS 🤲🤲
@LatifaLatifa67-ho1zr
@LatifaLatifa67-ho1zr 2 месяца назад
Amen
@vickytango5591
@vickytango5591 2 месяца назад
Nimeumia moyo ndugu zangu hatujui saa wala siku hivyo tujiweke tayari
@aloycesamba998
@aloycesamba998 2 месяца назад
Poleni sana ndugu jamaa na marafiki mungu awalaze mahali pema peponi 🙏
@NeemaDanieli-qo1pk
@NeemaDanieli-qo1pk 2 месяца назад
Polen Sana Mwenyez Mungu Awatie Nguvu Hakika Kifo Ni Fumbo Sote Tutalejea Kwa Mola Wake,😭😭
@Zenamkuta
@Zenamkuta 2 месяца назад
Poleni sana wafiwa kifo ni fumbo allah tujaalie mwisho mwema ila huyu sijamuelewa hapa kwenye baba shangazi!
@happysindani6708
@happysindani6708 2 месяца назад
Baba mdogo alikuwa ni mume wa shangazi yake( baba shangazi).
@neemanziku5403
@neemanziku5403 2 месяца назад
Polen sana baba yangu Mungu awatie nguvu
@fatmaOmmy
@fatmaOmmy 2 месяца назад
Dah Tanzania yangu Vifo vimekuwa vingi mno japo kufa ni ahadi.mungu atujaalie mwisho mwema😢
@fatmamsiliwa8485
@fatmamsiliwa8485 2 месяца назад
Uchaguz karibu
@maseleenaesleen8149
@maseleenaesleen8149 2 месяца назад
😢😢😢Sio Tanzania peke yake dear Kenya idadi ya vijana wanao kufa ni kubwa mno😢
@DativaMbowe
@DativaMbowe 2 месяца назад
😭😭😭😭
@MashaMbwana
@MashaMbwana 2 месяца назад
@@fatmamsiliwa8485sasa ajali inahusika vp na uchaguzi😢
@ImeldaSaire-ye2xq
@ImeldaSaire-ye2xq 2 месяца назад
Poleni sana jamani ndugu zetu, Mungu akawe faraja kwenu kipindi hiki cha majonzi. Raha ya milele uwape ee Bwana, na mwanga wa milele uwaangazie. Wapumzike kwa amani, Amina
@AmAlialaa
@AmAlialaa 2 месяца назад
Poleni sana wafiwa wote kazi ya mungu haina makosa
@ummySheikh72
@ummySheikh72 2 месяца назад
Innallillah wainna illaih rajioon😢 Maziito haya semeki, na speed zina changia Barabarani! Japo na wakati ulishafika hakuna kitakacho zuiya. Allahu Akbar. Na kuna Roho hazitakagi kuondoka peke yake ipo hiyo.💔
@Feitens
@Feitens 2 месяца назад
Hapa Kuna maneno .life is spiritual Sana....... ..
@evertheobald1811
@evertheobald1811 2 месяца назад
Amen
@richardkubanda6627
@richardkubanda6627 2 месяца назад
Mungu akawe mfariji mkuu katika familia. Hakika mnapitia nyakati ngumu mno kwa msiba mkubwa. Poleni sana na wapumzike kwa amani. Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na Kwake tutarejea.😭💔🤲
@Sarah-o5u9t
@Sarah-o5u9t 2 месяца назад
Pole sana ndugu zetu Mungu awatie nguvu
@EnockNanyaro-lk1zi
@EnockNanyaro-lk1zi 2 месяца назад
Polen sana familia hakika inauma sisi wote ni wa mwenyenzi Mungu na kwake tutarejea.
@jadetoto
@jadetoto 2 месяца назад
Dah! YESU WANGU TUOKOE
@christermlewa8471
@christermlewa8471 2 месяца назад
Raha ya milele uwape Ee Bwana na mwanga wa milele uwaangazie,wapumzike kwa amani🙏🙏
@OleLucas
@OleLucas 2 месяца назад
Poleni sana tena sana MUNGU awatie nguvu zaidi watu wa MUNGU
@geofreykayombo401
@geofreykayombo401 2 месяца назад
Poleni sana wana family,mungu awape nguvu ndugu wote katika kipindi hiki.
@VenitaRugemalila
@VenitaRugemalila 2 месяца назад
Dah!poleni sana sana tunamuomba Mungu awalinde ktk safari mfike salama
@ZumrathWande-jw4jq
@ZumrathWande-jw4jq 2 месяца назад
😢😢😭 ALLAH AKBAR,ewe Mola wape subra wanafamilia na uwapumnzishe marehemu wote mahala pema peponi ,amen🤲
@JanethMollel-wk5th
@JanethMollel-wk5th 2 месяца назад
Duuuh Mungu awatie nguvu familia hiyo.poleni sana familia
@SamsungA03core-tz7sz
@SamsungA03core-tz7sz 2 месяца назад
SISI SOTE NI WA ALLAH NA SOTE KWAKE TUTAREJEA, poleni sana ndugu zangu MUNGU awasamehe marehemu wote.
@RahelYohani
@RahelYohani 2 месяца назад
Dah polen sana mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu amina
@SalmaMakuka
@SalmaMakuka 2 месяца назад
Poleni cna mungu awatie nguvu kwa msiba huo mzito
@RehemaOoko
@RehemaOoko 2 месяца назад
Mwenyezi Mungu awatie nguvu.., poleni sana
@JoyceMwita-e3w
@JoyceMwita-e3w 2 месяца назад
Mwenyezi Mungu uwe mfariji katika familia hii
@MsAisha-w4o
@MsAisha-w4o 2 месяца назад
Poleni sana ndugu zetu aisee mtihani kweli mngu hukosei japo twaumia alhamdulillah allaah kull hali..🙏😭
@cosmascastory9193
@cosmascastory9193 10 дней назад
Daaaah poleni sana ndugu zetu mungu awatie nguvu katika kipindi hicho kigumu
@Aida-qh3jq
@Aida-qh3jq 2 месяца назад
Inalilah wainalilah rajighun poleni sana ndugu zangu mwenyez mungu atie nguvu katika kipindi hichi kigumu yaarabi
@mwanjaarashidi7402
@mwanjaarashidi7402 2 месяца назад
Duuh mwenyezi mungu nipo mwisho mwema na wafiwa poleni sana
@Halima-z1u
@Halima-z1u 2 месяца назад
M.Mungu haicheleweshi nafsi yeyote muda wake unapofila.Na hatuna budi kusema,Innaa lillahi wanna ilayhi raajiuun.ALLAH AWAPE KAULI THAABITI INSHAAALLAH.
@aaa64sa13
@aaa64sa13 2 месяца назад
Inalillahi waina ilayhi rajioun Allah awalaze pahala pema kwenye wema. Amin ya Rab 🤲
@FatumaMuya
@FatumaMuya 2 месяца назад
Amiin🤲🤲🤲🤲
@PamelahRaster
@PamelahRaster 2 месяца назад
Poleni sana ndugu zangu mungu akawatie ñguvu kwa kipindi hiki kigumu
@DannyMasuka-ut4oq
@DannyMasuka-ut4oq 2 месяца назад
Poleni ndugu zetu inauma sana ila mungu wetu atasimama nanyinyi katika kipindi hichi kigumu
@Umu-khansaa.
@Umu-khansaa. 2 месяца назад
Pole mkazamjomba umepoteza dada mtoto na shemeji kwa wakati mmoja, Allah awajalie subra nasi tujaalie mwisho mwema Yarabb😢
@sabinaleonce8243
@sabinaleonce8243 2 месяца назад
Issa poleni sana Mungu akawe faraja kwenu ktk wakati huo mgumu
@subirajohn728
@subirajohn728 2 месяца назад
Innalilah wainnaylilah rajiuun! Mwenyezimungu awajalie kauli thabiti! Poleni sana wafiwa!
@zamalisaide3209
@zamalisaide3209 2 месяца назад
Pole san baba kazi ya mungu hain makos innalillah wainnaa lillahi rajiun
@ZaynabMajid-w7y
@ZaynabMajid-w7y 2 месяца назад
Allah awahifadhi na awakinge na adhabu za kaburi...wana bonga ni msiba uliogusa mioyo ya watyu...ni zaidi ya maumivu
@AllyTingi
@AllyTingi 2 месяца назад
Daah class ment wangu jamani Allah awape kauli thabiti wote walio tangulia mbele ya haki
@bu.hamad.aldarei7651
@bu.hamad.aldarei7651 2 месяца назад
Mungu alazeroho zamarehemuwote amina
@ukweli255
@ukweli255 2 месяца назад
..kuna situation omba sana isipige kwenye Familia yenu !
@JosephineMegora
@JosephineMegora 2 месяца назад
Kweli kabsa
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 2 месяца назад
Mungu awafariji sana wapendwa wetu. Tunawaombea faraja ya Mungu.
@jazilambaji2789
@jazilambaji2789 2 месяца назад
Innalillahi wainnaa ilayhi rajiuun 'inauma jaman bba shukuru umeenda'Allah akusamehe dhambi zako pmj na ndgu zako
@saddiqsaddiq6880
@saddiqsaddiq6880 2 месяца назад
Poleni sana familia Mungu awape subra
@martinihharry6948
@martinihharry6948 2 месяца назад
Pole Sana familia Mnyaruge Mungu Akawwe faraja yenu
@rosejoseph4141
@rosejoseph4141 2 месяца назад
Eeh Mungu watie nguvu wafiwa wote.Amin.
@SophiaKamgunda
@SophiaKamgunda 2 месяца назад
Poleni sana poleni sana Mungu ana mipango yake
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 2 месяца назад
Ipo nguvu au siri fulani katika hoi familiya. Mungu Baba aingilie kati 😢.
@sylvestermlunga3721
@sylvestermlunga3721 2 месяца назад
Mungu awapumzishe mahali pema peponi
@nauwarykabuma3793
@nauwarykabuma3793 2 месяца назад
Mungu awape moyo wa subira ndugu wote wa marehemu
@shakiramwinjuma1338
@shakiramwinjuma1338 2 месяца назад
Poleni Sana Allah awape Moyo wa uvumilivu katika kipindi hiki kigumu😢
@jameskeraryo1144
@jameskeraryo1144 2 месяца назад
Poleee sana kwa kuwapoteza wapendwaa wenu
@azzaalhabsi1505
@azzaalhabsi1505 2 месяца назад
Innalilah waina ilaih rajiun..allah awape kauli thabit.awafungulie milango ya janna.🤲
@pendobundala-t7f
@pendobundala-t7f 2 месяца назад
Polen San mungu awatie nguvu
@lubuvahussein5556
@lubuvahussein5556 2 месяца назад
Innalillah Wainnailayh Raniuun...Allah awajaalie qauli thaabit min thaabit almarhum wote
@ramadhaniabdulkadry288
@ramadhaniabdulkadry288 2 месяца назад
Yarabi tunaomba tunajalie mwisho MWEMA sisi na familia zetu.inalillah wainallah rajughun
@etropialangai6415
@etropialangai6415 2 месяца назад
Polen sana jmn Mwenyezi Mungu awatie nguvu
@aishaabdalla7624
@aishaabdalla7624 2 месяца назад
Innaa lillahi wainna ilayhi raajiun Hakika msiba mzitoooooo M'mungu awape subra wafiwa wote ktk kipindi hiki kigumu
@saidkibendera8640
@saidkibendera8640 2 месяца назад
Poleni sana ndugu zanguni mungu awatie nguvu ktk kipind kigumu
@FatumaMamlo-st8pj
@FatumaMamlo-st8pj 2 месяца назад
Wallah sijui hata niseme nini zaidi yakusema Allah awepe kauli thabiti AMIIN
@umumuhammad8741
@umumuhammad8741 2 месяца назад
Aamiyn Aamiyn Aamiyn Nasis Allah atupe mwisho mwema
@sheikhanasser4714
@sheikhanasser4714 2 месяца назад
​@@umumuhammad8741ALLAHUMA AAMEEN YAARB ALAAMEEN NA ISLAAM JAMII 🤲
@SamsungA03core-tz7sz
@SamsungA03core-tz7sz 2 месяца назад
Amiin thumma Amiin ​@@umumuhammad8741
@rubensaitoti6839
@rubensaitoti6839 2 месяца назад
Pole ni sana mungu awatie guvu
@zainabzain3434
@zainabzain3434 2 месяца назад
Inna lilah wahinna ilah rajiun Allah awarehemu maiti zetu pole sana ndugu zetu Allah awape subra
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 2 месяца назад
POLENI SANAA. Marehemu kafa mara mbili.. 😢😢😢huzuni sana na huyo mama angezikwa hapo pamoja na mumewe na mwanae😢😢
@BakariMaulidi-rn8pj
@BakariMaulidi-rn8pj 2 месяца назад
Simumewe nishemeji Yake na iyo mama alienda kuzikwa kwao
@azizambise
@azizambise 2 месяца назад
Mungu tunaomba utupe mwisho mwema, roho za marehemu zilazwe pema peponi
@sozmabula5125
@sozmabula5125 2 месяца назад
Mungu awatie nguv polen xana
@happytimes9747
@happytimes9747 2 месяца назад
Poleni sana kwa msiba Mungu awafariji, may their souls rest in perfect peace, quick recovery
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 2 месяца назад
Inalillahi wainailahi rajuun. Allah awape kaulithabity naawapokee kwa amani awape pepo yarabiaalamyn. Allahu akibarr
@ImeldaNtsg
@ImeldaNtsg 13 дней назад
Poleee nisanaaa mungu awatie nguvu
@ZaudiaAli-d4j
@ZaudiaAli-d4j 2 месяца назад
Eee mungu wapatie nguvu wowote Hawa ngugu wamarehemu mungu Aziweke rohozao mahalipema peponi Amin
@FaudhiaMohamed-m1t
@FaudhiaMohamed-m1t 2 месяца назад
Innaa Lillah wainnaa ilayhi raajiuun poleni sana ndugu zetu allah awape subra ktk kipindi kigumu hiki mnacho pitia.Hakika sisi sote ni wa mwenyezi mungu na kwake tutarejea inshaallah 😭😭 kweli baki allah nasi tulio baki allah atujaalie mwisho mwema inshaallah 🙏😭😭😭
@evesilayo740
@evesilayo740 2 месяца назад
Poleni sana wafiwa mungu awatie nguvu
@AishaIbrahim-z2w
@AishaIbrahim-z2w 2 месяца назад
Dah Inna lillaahi wainnaa ilaihi raajiuun m'mungu tupe mwisho mwema
@marrynessbarthazary3144
@marrynessbarthazary3144 2 месяца назад
Mungu nipe mwisho Mwema na familia yangu Amina
@MarryIsaac-y1s
@MarryIsaac-y1s 16 дней назад
Poleni sana mungu hawatie nguvu katika kipindi hiki kigumu
@ziadayasin711
@ziadayasin711 2 месяца назад
Innalillah waina lillah rajuuni Allah awape nguvu wafiwa subhnallah
@Zubaiba
@Zubaiba 2 месяца назад
Polen sana wana familia mungu awape subra ktk kipindi hichi cha majonzi
@ShaiduTwahil
@ShaiduTwahil 2 месяца назад
Pole sana ndugu zangu mwenyezi mungu awape roho ya subira
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 2 месяца назад
Mungu wafariji watoto wako Baba wa Mbinguni. Sina cha kusema waguse najua wema wako ni mkubwa sana.
@deymanyusuphu228
@deymanyusuphu228 2 месяца назад
Poleni sana
@DismasMaturine
@DismasMaturine 2 месяца назад
Poleni Sana familia Mungu awape nguvu ni wakati mgumu sana
@KasmBange
@KasmBange Месяц назад
Polen ndugu zangu Allah awape subla
@jescarwegoshola1754
@jescarwegoshola1754 2 месяца назад
Poleni sana Mungu awape faraja 🙏🏽
@saidramadhan71
@saidramadhan71 2 месяца назад
Poleni sana ndugu zetu kwa ujumla
@feydatmjeda
@feydatmjeda 2 месяца назад
Poleni ndugu zetu
@IssaTabibu
@IssaTabibu 2 месяца назад
Poleni Sana daah mungu atiye nguvu dugu na jamaa?
@FatumaSaid-t4r
@FatumaSaid-t4r 2 месяца назад
Ss sote waja wake na kwake tutarejea .Allah awape subira.
@SalmaBinyaga
@SalmaBinyaga 2 месяца назад
Ameen
@Top_GamesZone
@Top_GamesZone 2 месяца назад
Mungu awatie nguvu 🙏🙏🙏
@witneskilinda5034
@witneskilinda5034 2 месяца назад
Lusifa yuko kazini!! Yesu pekee anaweza kutufuta machozi
@ZalkhaRawahi
@ZalkhaRawahi 2 месяца назад
Inna lillah wainna ilaihi rajiuun ALLAH akupeni subra ndugu zetu msiba mzito
@ZainbAbubakary
@ZainbAbubakary 2 месяца назад
Innalillah Wainna ilayah Rajiun poleni sana Familia najua maumivu mnayopitia poleni sana MUNGU awatie nguvu
@FauziaMohamedi
@FauziaMohamedi 16 дней назад
Inalilah wa inalillah rajiun poleni sana ndugu mungu awalaze mahali pena pepon
@EdnaMbowe
@EdnaMbowe 2 месяца назад
Hakika tuombe kuna hali ambayo siyo ya kawaida Arusha hii😭
@magrethmollel1078
@magrethmollel1078 2 месяца назад
We vipi umeona arusha tu ndiyo kuna Vifo ama ajali
@lovenessmollel9099
@lovenessmollel9099 2 месяца назад
Said Pole sana kwa pigo hili kaka
@annahlewia
@annahlewia 2 месяца назад
Poleni sana Mungu awatie nguvu
@sabrinasabrina8395
@sabrinasabrina8395 2 месяца назад
Allahumma bikhusnul khaatima Yaa Allah
@GraceSikulo-p4m
@GraceSikulo-p4m 2 месяца назад
Yaha ya milele uwape ee bwana na mwanga wa milele uwangazie wapumzike Kwa aman
@mwanamwendy9265
@mwanamwendy9265 2 месяца назад
Wapumzike kwa Amani Poleni Sana familia
@safinamdingi7912
@safinamdingi7912 2 месяца назад
Mungu tupe mwisho mwema
Далее
HOUSE GIRL EP 30 | S3 | Love Story 💕💞
21:00
Просмотров 90 тыс.