Тёмный

KUTOKA COMORO: Uko tayari kukaa ktk nyumba ya WIFE? maisha yao je? 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 79 тыс.
50% 1

Inawezekana kabisa upo Tanzania au popote pale duniani lakini umekua tu ukisikia kuna sehemu inaitwa Comoro lakini hujawahi kufika wala kujua pakoje na tamaduni zao.
Camera ya AyoTV ipo na wewe time hii kutoka Moroni kukuelezea na kukuonyesha upande huo ukoje.

Опубликовано:

 

18 фев 2017

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 143   
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 7 лет назад
Kuzuri kwa kutembea huko. My next holiday destination is Comoro .😎
@tkvlogs3969
@tkvlogs3969 7 лет назад
ni vizuri kusafiri ...
@zainabmaulid9637
@zainabmaulid9637 Год назад
Comoro mm nishaenda kwel mtandao shida Sana kumetulia Sana mji upo kimya Ila chakula Chao sio vizur Sana Ila hela yao inasaman
@attoumanemouayad6509
@attoumanemouayad6509 5 лет назад
I'm about to cry😅😅😅illa ni nna imani kwamba kunasiku mungu atatusaidia
@fetysaleh5022
@fetysaleh5022 5 лет назад
wakomoro wote gonga like hapa
@rachelbahahazo6362
@rachelbahahazo6362 3 года назад
Aaaah we dada nimkomoro?
@mkemkwama2362
@mkemkwama2362 2 года назад
Nataka jinsi ya kufika huko
@mkemkwama2362
@mkemkwama2362 2 года назад
Mimi naomba namba yako nataka kuja komoro
@vincentmokenye4465
@vincentmokenye4465 Год назад
Nitafute
@harounali1626
@harounali1626 7 лет назад
Kuhusu sim siajabu hata sisi tulianza hivyo hivyo Ningekuomba ufanye Tour na hivyo visiwa vingine. Mimi gari yangu ya kwanza ilikuwa ni Renault Clio CUMPAS nime ziona hapo nime furahi sana kuona hapo zina tumika Taxi Tatizo Afrika kupata kiongozi anae jali wananchi ndiyo maendeleo yana kuja sisi watanzania tumshukuru Allaah pia mzee Rukhsa kwa kutufumbuwa macho
@sakinaabdallah7713
@sakinaabdallah7713 3 года назад
Comores ni nchi ambayo inaanza kutoka katika mashîmo makubwa but let' us going slowly
@jumaramadhani5861
@jumaramadhani5861 7 лет назад
Ila nasikia wanawake wa kikomoro wanaheshima sana
@khadigaomri8747
@khadigaomri8747 7 лет назад
Kweli kabisa
@malota2138
@malota2138 3 года назад
itabidi nikatafute mchumba uko
@omarykamna3949
@omarykamna3949 3 года назад
Hata mm km napata mwenyeji huko niko tayari nikaoe please
@ramadhanpakei2766
@ramadhanpakei2766 7 лет назад
nakukubali san millard ayo napanda san kaz zako ni nzuur san nakukubali nami nahtaji siku moja niwe kama wew
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 Год назад
Wahoji wacomoro, sasa umekazana kumhoji mtanzania! Huo uduanzi
@zingahassan5851
@zingahassan5851 5 лет назад
Nice and fine place to be in vacation..how much you need to spend in comoro for week
@alawithebestconcept231
@alawithebestconcept231 2 года назад
It's up to you for the life you want to be in Comoros islands 😯
@dainesszuberyguii6040
@dainesszuberyguii6040 7 лет назад
kaka millard huko ni nomaa ukinunua ki2 mpaka balozi ajueee nimishidaaa hakufai huko...💃💃💃💃
@fransiscamatemu987
@fransiscamatemu987 4 года назад
😳😳😳kisaa
@hooswengosha2985
@hooswengosha2985 3 года назад
Hiyo iko namna gn rafki yngu inamana upite kwa baloz au unapita nae mashop
@hooswengosha2985
@hooswengosha2985 3 года назад
?
@mudrik1852
@mudrik1852 Год назад
Safi sana kutujuza taarifa kama hizi
@greatiq7835
@greatiq7835 2 года назад
Comores! Home sweet home!
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 5 лет назад
Comoro n kama zanzibar
@karthala6676
@karthala6676 3 года назад
Zanzibar is prettier than Comoros.
@abdallahkawambwa9041
@abdallahkawambwa9041 3 года назад
Napatan kweli inshallah tutafika tu.
@maryamsinganomaryamsingano7938
asante millard ayo huko wakonyuma sana daa nahizo sheria za mwisho mungu azidikukupa uwezo zaidi iliutulee habari mbalimbali
@ramadhanmasiku4105
@ramadhanmasiku4105 3 года назад
Shilling alf5 ni zaidi yaalf20 bongo sasa kwa nn hela ya comoro inathamani zaidi ya dola na paund wakati dola 100 tu ni zaidi ya laki
@kikoadventures6933
@kikoadventures6933 5 месяцев назад
Kwa sababu wanatumia Euro 💶
@abedysteven4930
@abedysteven4930 5 месяцев назад
Ina jina kuuuuubwaaa lakn kumbe n nch maskn sana!!
@mohamedaminah3448
@mohamedaminah3448 3 года назад
Karibuni COMORE island Ni nchi yenye Amani na watu wa huruma.na pia hewa nzuri.
@omarykamna3949
@omarykamna3949 3 года назад
Ahsante natamani nije huko km nikapata mwenyeji nije kufanya daawa
@veronicalushugembe7417
@veronicalushugembe7417 3 года назад
Asante nitafutie kazi
@salmasaid7254
@salmasaid7254 7 лет назад
asante ayo tuletee mechi ya jana burundi le mesenger ngoz& kvz kama itawezekana
@lalasheloisheye1154
@lalasheloisheye1154 Год назад
Nimeenda sana. Mij.huu
@mariamushi1529
@mariamushi1529 7 лет назад
duh aisee ..huko ni kuzuri sana kufanya tours ..kwa kweli
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 года назад
kabisa aisee
@arafsaaa8844
@arafsaaa8844 7 лет назад
duh huko kuko nyuma snaaa
@zaiiomary8970
@zaiiomary8970 4 года назад
Huko Comoros ninoma wanadari kam wahindi mwanaume kuolewa khaa sikuwez huko pia maish yao mitihani na matumiz ni makubwa khaa
@kihanda2554
@kihanda2554 7 лет назад
Kama umewahi kufika Zanzibar basi Utakuwa huna tofauti na Ayo. Hakuna tofauti kati ya Zenji na Comoro.
@salmasalim6055
@salmasalim6055 7 лет назад
Kihanda Tv kweli ni sawa na zanzibar mji mkuu darajaani😅😅loooh lakini ndio home love zanzibar
@kuschprince3216
@kuschprince3216 2 месяца назад
" The results of decades os communisim! They must understand communism is the source of chaos and poverty!! They must open their country to investors otherwise "Umasikini hautoki kwao!!
@Ctenzosaidi
@Ctenzosaidi 7 лет назад
Ahsante
@missmuunasharifu2323
@missmuunasharifu2323 7 лет назад
Bas wanaume woote wata owa ma fast born kwa kupenda kutafuniwa na atakae zaliwa mwisho mwisho imekula kwake kaazehekea home ocz wanaume woote watakimbilia Kula ma fast born
@dseven7094
@dseven7094 10 месяцев назад
mbona vts nyingi sna
@fatmayussuf6125
@fatmayussuf6125 6 лет назад
home
@user-fy6dc6zb8w
@user-fy6dc6zb8w 5 месяцев назад
Wow
@frankiedebrilliant
@frankiedebrilliant 5 лет назад
Vizuti Sana
@chayamhicham7202
@chayamhicham7202 4 года назад
Huyu siyo mtanzania hâta kiswahili chake bado huyu tunamjuwa vizuri sio mtanzania
@mohamedaminah3448
@mohamedaminah3448 3 года назад
Huyo mwanamke anae JIBU Ni mfanya biashara Moroni Ni TZ.BUT SIO MKOMORO .LAKIN ANATUFAHAMU SIE WAKOMORO VIZURI SANA.YUPO COMORE MIAKA MINGI KWA BIASHARA.
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 3 года назад
Ukienda rorya au usukumani ndio utajua huyu Ni Mtanzania
@user-hu4el2rx2u
@user-hu4el2rx2u 5 месяцев назад
Ukitaka kufanya biashara na kuishi vizuri msingi unatalkiwa uwe na bei gani
@amanimtasha9168
@amanimtasha9168 7 лет назад
Comoro hata kwa limbwata siwezi kuishi.
@attoumanemouayad6509
@attoumanemouayad6509 5 лет назад
Hayo maneno yamenuumiza sana sana....😢😢😢😢😢
@samwa9496
@samwa9496 Год назад
Usiseme huenda mwanao akawaoa huko au kuolewa
@user-cd2np5by6g
@user-cd2np5by6g 5 месяцев назад
Taifa ili ukienda kuanzisha maisha unatoboa chap
@hadjiabassi9649
@hadjiabassi9649 6 лет назад
Kisiwa cha Mayotte ni kisiwa cha Ufaransa nasi cha comoro 😉
@abdillahabdubakar9336
@abdillahabdubakar9336 7 лет назад
uko home comoro
@ayushiabubakar1930
@ayushiabubakar1930 Месяц назад
😮
@metalcombat4470
@metalcombat4470 7 лет назад
Ni Moroni, Millard.. Si Moron! Haha! That's ma home, buddy!
@millardayoTZA
@millardayoTZA 7 лет назад
asante sana ndugu yangu
@minzamabula3551
@minzamabula3551 7 лет назад
ahahahaaaa et linbwata jamani lakini bado wako nyuma bwana
@mohamedaminah3448
@mohamedaminah3448 3 года назад
Usiali.baada miaka.utaskia tu tupo mstari wambele.tunaanza chini kwenda juu.
@thuweintheprince882
@thuweintheprince882 7 лет назад
hapo ndio waahaendelea ao
@vigezo
@vigezo 5 лет назад
It is three islands Mayotte is part of France
@attoumanemouayad6509
@attoumanemouayad6509 5 лет назад
😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@user-sm5tt3fv9z
@user-sm5tt3fv9z 5 месяцев назад
Yes
@nassorjabry5655
@nassorjabry5655 7 лет назад
Hahaha haha ayo huko siomchezo yani full utelezi ukioa unakaa kwa mkee dwaaaaaax sema nn ukibahatika kwenda tena wambie waongeze sheria namatumizi ataoe mkee ntanunua BMW hihihihi vitz zimezidi 😂😂😂😂😂
@Awatee
@Awatee 2 месяца назад
😂😂😂Mnapenda vya bure mhh
@YamunguYb
@YamunguYb 7 лет назад
Da!! huo ndio mji mkuu!! kama Bukoba
@attoumanemouayad6509
@attoumanemouayad6509 5 лет назад
😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@rachelbahahazo6362
@rachelbahahazo6362 3 года назад
Kwakwel pamekaa kama bukoba
@swalehadinan7264
@swalehadinan7264 9 месяцев назад
Hata Tanzania ilianzia huko kaka usibeze
@altamyanfane9850
@altamyanfane9850 Год назад
Magorofa ya tanzania nia waarabu pemba na wahindi
@salehkhamis8653
@salehkhamis8653 2 года назад
Mazingira yake kama Zanzibar
@msamgunda7684
@msamgunda7684 3 года назад
Wajaclia mali mpo hapo. Fursa hio comoro kuna neema.
@user-sm5tt3fv9z
@user-sm5tt3fv9z 5 месяцев назад
Mayotte ni sehemu ya Ufaransa
@Ishengoma1
@Ishengoma1 7 лет назад
Hapo kwenye thamani ya pesa ndo panatakiwa kuwa darasa kwa Magu. Aje huko apewe darasa.
@nitumienoMwana
@nitumienoMwana 6 лет назад
k uzur
@godfreyleka5839
@godfreyleka5839 5 лет назад
vits za kutosha huko
@Ctenzosaidi
@Ctenzosaidi 7 лет назад
Ni kwetu kwa mamanguuu
@binaliy6456
@binaliy6456 4 года назад
Hikma Haji kumbe
@omarykamna3949
@omarykamna3949 3 года назад
Naomba uenyeji ili nitembelee kujifunza huko nakufanya daawa alau hata week 2 0717519111 wasap cjui upo wapi ndugu?
@mkemkwama2362
@mkemkwama2362 2 года назад
Mimi nahitaji kufika naomba uongoz
@thomaslandwhale
@thomaslandwhale 7 лет назад
Jazirat maut....
@fatimayoussouf4878
@fatimayoussouf4878 6 лет назад
Hata dubai wanao jiweza wanamitandao miwili nyinyi mmeanza kusajili simu juzi juzi Line mtu ulikuwa unanunua barabarani kama unanunua karanga.
@QuartierNord13015
@QuartierNord13015 6 лет назад
Komori
@ashahaji4936
@ashahaji4936 7 лет назад
Milady nauli ya tz kwenda huko sh ngap?
@lydiampayo597
@lydiampayo597 6 месяцев назад
1mil. Kwa ndege Go and return
@kingroller5456
@kingroller5456 7 лет назад
usafiri ukoje kutoka dar mpaka comoro? unasafiri kwanjia gani ?
@dodomikleni9299
@dodomikleni9299 7 лет назад
king roller ndege ..meli pia
@ahmedzahor2975
@ahmedzahor2975 2 года назад
Unakwenda kwa kuogelea ukijitosa baharini utazamkia Moroni
@famffamf40
@famffamf40 7 лет назад
She's not the first Why didn't ask the first
@juliusuronu8812
@juliusuronu8812 7 лет назад
Nimeyapenda sana mazingira yake ila sio kwa vits zile 😋😋😋😋 ukiwa na vogue lazima uitambulishe jamhuri
@millardayoTZA
@millardayoTZA 7 лет назад
hahahahhahah umenichekesha sana
@juliusuronu8812
@juliusuronu8812 7 лет назад
Yan documentary nzima sijaona hata Prado....kweli hiyo ni COMMORO hhahahahha
@islamnurdin389
@islamnurdin389 7 лет назад
Millard Ayo uyo dada anawadanganya kidogo sijuw kiswahili kinamsumbuwa
@fatimayoussouf4878
@fatimayoussouf4878 6 лет назад
Yah lazima jamhuri yamagu ijulishwe
@fatimayoussouf4878
@fatimayoussouf4878 6 лет назад
Millard Ayo tafuta mzaliwa wa comoro sio mpita njia halafu mtu mwenyewe haeleweki anakurupuka tu. Sisi hapa tangu tuanze kutumia simu zamkononi lazima ufike ofisini na kitambulisho chako ukasajiliwe halafu ndio upewe line.huko tz line watu walikuwa nawanunua barabarani kama unanunua nyanaya tu unanunuwa unaweka kwenye simu yako. Ilikuwa 2009 ndio mlioanza taratibu zaku sajili. Mimi nilipitia hiyo ishu.
@jemakhalifa6807
@jemakhalifa6807 4 года назад
tutajie fursa za huko tuje kufanya biashara
@user-zm5wq1gk8k
@user-zm5wq1gk8k 5 лет назад
duuuh
@mgenisana7610
@mgenisana7610 7 лет назад
Pesa yetu kweli karatasi😂😂
@bentihamadi657
@bentihamadi657 6 лет назад
Mgeni Sana 😂😂😂😂😂
@hamisikimbatikwa6959
@hamisikimbatikwa6959 Год назад
Nimewekania kuja comoro kutembea na kuja kufanya biashara innnshallah
@decodesttz
@decodesttz Год назад
sasa uko s wawaachie tu samak waish
@alawithebestconcept231
@alawithebestconcept231 2 года назад
Please go back to making a video nowadays because something it's readying change 🇰🇲🇰🇲😁😁
@karthala6676
@karthala6676 7 лет назад
Ahsante sana Mylard kwa kwenya Comoro. Nimekuliya huko na nimefurahi koona Moroni kidogo. What you said about the wedding is absolutely true. Left Moroni 40years ago and thank you for going there
@rahmasaid7747
@rahmasaid7747 7 лет назад
comoro
@millardayoTZA
@millardayoTZA 7 лет назад
thanks Karthala
@rahmasaid7747
@rahmasaid7747 7 лет назад
Mimi siyo mutanzania ila napenda sanaa kipindi cako sanaaa .na napenda sanaa wasana watanzania sana sana muigizaji Wema
@rahmasaid7747
@rahmasaid7747 7 лет назад
Namupenda sanaa Wema sepetu
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 5 лет назад
+Rahma Said wema yupo n mke wa daimond
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 Год назад
Hii interview ya kipuuzi ni sawa na historia ya jamii fulani, kuandikwa na jamii tofauti, mwandishi ilitakiwa a wahoji wenyeji, huwezi ukaja kwetu wanyakyusa, ati ukataka historia yetu kule busokelo ati ukaanza kuwahoji wahehe wa iringa! Idiots
@hammerQ954
@hammerQ954 7 лет назад
upande wa mama yangu
@dullatawakal1492
@dullatawakal1492 4 года назад
Dooooh bhaaaaas habib
@BILALKASSIM-ol6kk
@BILALKASSIM-ol6kk 9 месяцев назад
Mh
@alinasor8553
@alinasor8553 Месяц назад
Bc kuzuri uko
@shabanramadhan3940
@shabanramadhan3940 7 лет назад
Yaaan nyuma tena sanaaa
@shabanidigalu6683
@shabanidigalu6683 2 года назад
Vitz kama bodaboda
@philipomakanamabilikaathum6394
hiyo nchi bado inatecnelojia ndogo inamitandao Miwili daah noumer
@islamnurdin389
@islamnurdin389 7 лет назад
comores hamna dala dala muini ndio maana unaona izo gari ndogo afu uyu dada anae hojiwa hapa ni muongo sijuw kiswahili kinamsumbuwa au
@fatimayoussouf4878
@fatimayoussouf4878 6 лет назад
Islam Nurdin anakurupuka tu
@sadikimgassa4215
@sadikimgassa4215 5 лет назад
Islam Nurdin Dada anae hojiwa anaitwa mwanjuma Ismael ni mcomoro mwenye makazi Yale dar es salaam Tz,na anaishi Kigamboni,na ameolewa na mwanaume Wa kicomoro anayeishi ufaransa
@hooswengosha2985
@hooswengosha2985 3 года назад
Tupe kweli yko
@lydiampayo597
@lydiampayo597 6 месяцев назад
Yupo facts,,ila ww ndo hujui
@metalcombat4470
@metalcombat4470 7 лет назад
Wame tawala Wafaransa huko hivyo marndeleo ni big issue. Waambie kuhusu ADA, Millard. Kwa Comoro kwa mke ndo kwenye familia na si kwa mume.
@faidasemitende8147
@faidasemitende8147 Год назад
Broo mm Niko huku
@dseven7094
@dseven7094 10 месяцев назад
mzee natka nije nitembee huko niandae kam bei gani hivi
@aliykibabe9033
@aliykibabe9033 4 года назад
Hakufai uko
@fatimayoussouf4878
@fatimayoussouf4878 6 лет назад
Halafu wewe ayo,huyo dada nimuongo, kwanza ukitaka kujuwa vizuri katika nchi yoyote unatafuta mzaliwa sio mtu ambae anaishi. hata kama aliishi miaka 100 hawezi kukwambia ukweli halafu hilo dada muongo kabisa anajifanya mjuaji mtu mwenyewe hajui chochote kuhusu mila na desturi za comoro anakurupuka kuelezea asioyajuwa . Eti lazima mwanaume aishi kwa mkewe. Mboba kuna wanaume wanajenga nyumbazao na wana wachukuwa wakezao wanaishi pope . Cha pili wewe ayo kila kitu kinachofanyika nchi yoyote kuna kuwa na hikma ndani yake yake Kwanini hujamuulizia hikma yakuwa mwanamke anajengewa? Ndio mana nilisema pale awali kwamba ungetafuta mzaliwa, sio mtu wakuiishi. Hayo magorofa mnayo yavunia Moroni tuna papenda kama valivyo
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 года назад
Je wewe ni mkomoro
@decodesttz
@decodesttz Год назад
kubaya bwana hyp nchi mlitakiwa muwaachie samak nao waishi so kwakuish watu huko😊✌KUBAYAAAA
@lovenessmushendwa1230
@lovenessmushendwa1230 Год назад
Ni kweli: yupo sahihi
@JanethMadios-oe5ue
@JanethMadios-oe5ue 9 месяцев назад
Mbona imekuuma dada, kubaya ndio kwani uongo???? Tena kubaya haswaaaa hapo mjini kwenu ndo kama kijijini kwetu tuu ni kubaya kubaya kubaya hata kama mnajivunia lazima mjivunie ndo kwenu tena ila kiuhalisia ni kamji kabaya afu kanatisha sijui kapoje kapoje mimi siwezi ishi huko bora niende nikaishi kijijini kwetu tuu
@abedysteven4930
@abedysteven4930 5 месяцев назад
​@Janethhahaha🤣🤣🤣🤣Madios-oe5ue
Далее
Fahamu biashara ya vipodozi asili vya Comoro
5:39
Просмотров 7 тыс.
IJUE COMORO
4:45
Просмотров 32 тыс.
The Capital City of Comoros, Moroni.
4:47
Просмотров 17 тыс.
Madhila ya uhamiaji Comoro BBC DIRA TV
3:58
Просмотров 11 тыс.
79 Comoros
6:14
Просмотров 12 тыс.