Тёмный

KWA UCHUNGU MKUBWA DUDU BAYA ALIA NA WAKRISTO NA WAISLAM ATOA SOMO KUBWA MWAMPOSA NA DR SULLE WATAJW 

Maks Media
Подписаться 138 тыс.
Просмотров 15 тыс.
50% 1

Развлечения

Опубликовано:

 

21 май 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 72   
@user-ly4jw9qi9x
@user-ly4jw9qi9x 2 месяца назад
Mungu akufunike mtumish wa Mungu.leo nakupa jina jipya.wewe sasa unaitwa mwana mwema nasi dudubaya tena
@abdulikilala5902
@abdulikilala5902 2 месяца назад
Dudu baya akili Yako moja ni sawa na wasanii wa Sasa hivi 20000
@Worldunite
@Worldunite Месяц назад
Zaidi ya 20,000 😂😂😂
@EmmanuelMaganga-be7bl
@EmmanuelMaganga-be7bl Месяц назад
Wew ni hatari sanaaaaaa brother ❤❤❤❤
@lameckmathias1188
@lameckmathias1188 2 месяца назад
Mamba!, konki!, konki! Master. Uko vizuri wachache watakuelewa, ipo siku mtu mmoja atakuelewa na malaika watashangilia.
@ramadhanisakalani8372
@ramadhanisakalani8372 23 дня назад
Mungu aku simamieee inshallah
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 Месяц назад
Ubarikiwe kiongozi dudu baya ❤
@T-Fellow
@T-Fellow 2 месяца назад
Dah, uncle Dudu Baya Nakubali sana unasema mazuri mapana manene!
@williamuphilipo2120
@williamuphilipo2120 2 месяца назад
Mwenye masikio ya kusikia na asikie
@user-el4pg9zg8w
@user-el4pg9zg8w Месяц назад
The master mind. The dudu
@eliankota570
@eliankota570 2 месяца назад
Great thinker 👏👏
@ramadhanisakalani8372
@ramadhanisakalani8372 23 дня назад
Wallah Tena dudu baya umengea point sana
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 Месяц назад
NIMEIPENDA HIYO.; MTUMISHI WA MUNGU UMEAMBIWA KUNA MGONJWA WASHA NDINGA UNAENDA KUTIMIZA WAJIBU❤❤❤❤❤❤. 😂😂😂😂😂😂. HAPO VIPI HAPO ❤❤❤❤❤❤
@abdulisike
@abdulisike Месяц назад
Konk konk konk master hua nafrai sana interview zako .
@MohamedIbrahim-bn1gz
@MohamedIbrahim-bn1gz 2 месяца назад
Sawa kabisa manenoyako
@nabiimgongolwa8728
@nabiimgongolwa8728 2 месяца назад
YES DUDUBAYA UKO RIGHT VIONGOZI WA DINI SASA HIVI NI WASANII.
@JustinaPeter-nq6dn
@JustinaPeter-nq6dn 2 месяца назад
Naitwa justina hiyo nmeielewa sana kka yang
@ambitiousholyspirit395
@ambitiousholyspirit395 2 месяца назад
Maneno ya Mungu halisi hakika maadiki yetu yamemomonyoka Mungu akutumie.
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Месяц назад
Matendo 1:8 Kaeni humu mpk mtiwe nguvu..... Ila yuko sahihi mtu unapambana eti upate kiwanja katikati ya makazi ya watu badala ya kwenda nje ya mji
@raymondthomas3960
@raymondthomas3960 2 месяца назад
Konki kweli una akili kaka nimekipenda bure
@mataypanga5262
@mataypanga5262 Месяц назад
Huwezi kuwa kiongozi wa dini bila pesa kwa sababu kufanya kazi ya Mungu inataka pesa
@arjunmutotowadzaleka
@arjunmutotowadzaleka 2 месяца назад
Niatari Sana
@alexandersangi1724
@alexandersangi1724 2 месяца назад
Aminaaaaaaaaa
@njiasalamatv4794
@njiasalamatv4794 4 дня назад
DUDU BAYA FATILIA HOPE CHANEL TANZANIA....... UTASIKIA AMRI KUMI ZIKIFUNDISHWA KWA UPANA SANAA KUPITIA WAHUBIRI MBALIMBALI.. MUNGU AKUBARIKI KWA KUJALI AMRI ZA MUNGU
@mbukumagiubukumagu406
@mbukumagiubukumagu406 2 месяца назад
Dudu baya yupo sahihi
@user-qq2oc4bt3i
@user-qq2oc4bt3i Месяц назад
Mtumishi wa Munguu fanya Kazii Mungu ameshakuita tayariiii
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 Месяц назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@morisanicent6339
@morisanicent6339 13 дней назад
We kichwa..
@KarimKajia
@KarimKajia 2 дня назад
Kupigana miti
@user-hu9bf7nw4c
@user-hu9bf7nw4c Месяц назад
Amri 10 zilikua ni adhabu ya izrael walishindwa kumwamin mungu ,na sio mataifa ,maana sisi zilikua sio adhabu zetu hizo ,ila sisi amri tunayotakiwa tuifaate ambayo ni asili ya utu wa ndan toka hapo mwanzo ni upendo ktk nafsi na wala sio hizo amri tunazozifuatilia ,wakati zilikua adhabu kwa izrael kwakua walimuuz kwakutomuamin yy, kikubwa sheria au amri kubwa ya moyon hua ni kuishi kwa iman ktk pendo na sio sheria hizo ambazo ni adhabu. Ila kwakua watu wameshazoea pasipo kuelewa uhalisia ,unakuta ndio maana wanakua wabaya zaidi maana wanafikilia amri za adhabu kuliko kufikilia haki ilio ktk sheria ya nafsi ya mtu kwa asili ambayo ni uoendo.
@AdilianoSiwale-pt5mu
@AdilianoSiwale-pt5mu Месяц назад
Amrikumi zimebaki kwa kakobetu maana yeye anakemea dhambi mpakaleo
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 2 месяца назад
Dudu baya ... Uko sahihi
@abelmwakipesile9868
@abelmwakipesile9868 2 месяца назад
Nakubali
@moussamoss2786
@moussamoss2786 2 месяца назад
Kwa muda mdogo tuu nime muelewa Dudu Baya kuliko jinsi nilikua sija muelewa Kwa muda mrefu. Wewe ni dhahabu ambayo haija safishwa, Ila ipo siku uta safika tu kaka.
@IsraelUrasa
@IsraelUrasa 2 месяца назад
Kweli duduu
@user-uk6vv8ug1g
@user-uk6vv8ug1g 2 месяца назад
Kweli
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 Месяц назад
NILIWAHI KUWAAMBIA HUYU NI ZAIDI YA WALE MITUME NA MANABII WA SASA HIVI MTANIELEWA TU NAMAANISHA NINI.
@mnyama8
@mnyama8 2 месяца назад
Kiukwel Mungu alieko agano LA kale ambaye ni OG mwenyewr ni tofaut na Wa agano jipya ,Wa agano LA kale keshasema kabisa hakuna Mungu mwingie apasaye kuabudiwa juu mbinguni ,dunian au chini ya Maji ,lakin Mungu Wa agano jipya aseee , 😂😂😂😂😂anasema Yesu pia ni Mungu ,aaabudiwe na kuombwa uliniz na mahitaji Mengine ,sas a izo amri kumi zitakumbushwa SAA ngap
@jitabojilala6162
@jitabojilala6162 Месяц назад
Simama na Mungu mtumikie Mungu tu
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 2 месяца назад
Dudu baya umeongea ukweli
@YoshuaSeverino
@YoshuaSeverino Месяц назад
Kwenye jamii hayo yapo, wengi wenye wake wazuri wasiojua Mungu ni tatizo kubwa 5:31
@johnfaustinechannel746
@johnfaustinechannel746 Месяц назад
Dudu baya! Limebaki tu jambo moja ! Soma Kutoka 20:3-17 uzijue amri 10 za Mungu za kweli ! Alafu zilinganishe na za kwenye Katekisimu utagundua kuna mahali tumepigwa!
@robisonikadogo7371
@robisonikadogo7371 14 дней назад
Unacho sema niukweri mtupu
@user-uk6vv8ug1g
@user-uk6vv8ug1g 2 месяца назад
Dudu unatisha
@josejosepg6601
@josejosepg6601 2 месяца назад
Dudu bayaa master
@hemedmwipopo780
@hemedmwipopo780 Месяц назад
Dudu Baya nyumba za Ibada zinajengwa jirani na makazi kwasababu ya kutaka wewe Kama DuduBaya Ifike kwenye nyumba ya Ibada ya kumuabudia Mungu. Hujajua kwa hata Yesu aliwafuta wenye dhambi majumbani mwao Kisha akala nao ndipo akawahubiria habari za Mungu na kuwaasa waache kufanya dhambi, kama ingekuwa kama hivyo unavyo fikilia basi angeenda kilimani au polini ili wenye dhambi na wanao taka kujua habari za Mungu wamfuate huko lakini Yesu alienda katikati ya miji na kuhubiri habari za Mungu.
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 Месяц назад
Anaishi nje ya mda Dudu Baya yuko really
@williamkavishe397
@williamkavishe397 2 месяца назад
Amri kumi Ni zipi tunaomba uzitaje nami nizijue mungu akubariki
@MajaliwaLechipya
@MajaliwaLechipya 2 месяца назад
Usiibe usizini usimshuhudie jilan yako uongo usilitaaje jina labwana Mungu wako bule usitaman usiseme uongo uikumbuke siku yasaba usimtumikishe mjakaz wako wala mnyama alieko malangon mwako
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Месяц назад
Soma kutoka 20 itazikuta hapo
@IsraelUrasa
@IsraelUrasa 2 месяца назад
Tumetoka somo baba siisawana watoto wa mbarikiwa kikosikazi
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 Месяц назад
Israelliiiiii😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤
@Worldunite
@Worldunite Месяц назад
Unafuata amri 10, umekuwa myahudi😂😂😂😂😂😂😂
@user-uk6vv8ug1g
@user-uk6vv8ug1g 2 месяца назад
Maokotoooo
@mataypanga5262
@mataypanga5262 Месяц назад
Dudu Baya zinaa ni jambo la kawaida kwa binadamu hata wakioana.😂
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Месяц назад
Wapo bwana Ila wachache😅
@josephkadeghe4720
@josephkadeghe4720 2 месяца назад
Sasa kwanini kwa mganga unatoa sadaka, lakini kwa watumishi asitoe sadaka?
@user-ly4jw9qi9x
@user-ly4jw9qi9x 2 месяца назад
Tunaomba namba zako mwana mwema
@MasterG-dc1tx
@MasterG-dc1tx 2 месяца назад
Duh mwamba umeeleweka kiufupi
@profs.a5412
@profs.a5412 Месяц назад
Watu hawa wasipopiga kelele, mawe yatapiga kelele🤔 imefika hatua wanaojiita wanadini , wanahubiriwa na watu wanao waita wapagani
@user-rn6ej2fs1l
@user-rn6ej2fs1l Месяц назад
Umeongea ukweli
@davidkawesa3594
@davidkawesa3594 Месяц назад
Mb zangu sijuti
@OmariJuma-su6fz
@OmariJuma-su6fz 2 месяца назад
Dudu Baya nakutakwajinakubwa sana mpendwa hata mimi napenda ufunguwe kanisa tutakuhungamkono ndugu mpendwa wewe utakuwa mchungaji mzuri sana kabisa wa Chana Nahao wachungaji wamchongo mimi niko apa ujerumani tutakuhinua usihogopi kabisa
@sarabura8933
@sarabura8933 2 месяца назад
Uchungaji bila wito
@user-xm9wr1lk4t
@user-xm9wr1lk4t 2 месяца назад
Wewe nae huna akili kabisa yaani; unaposema usioe mwanamke mzuri ndiyo upumbavu wa wapi!! Kuoa au kuolewa ni kibali, ni jambo la rohoni na halina uhusiano na muonekano wa nje!! We vipi!!!? Binafsi, nadhani huyu dudu sijui nani ameanza kudata!! Sehemu Gani mtume Paulo alisema bado!!!!? Acha uongo bro! Kama maandiko huyajui piga kimya na usiyaletee mazoea maandiko ya Mungu; Paulo anasema sikuyaasi Yale maono ya Mbinguni. Halafu mtu aliyeitwa kuifanya kazi ya Mungu ana muda wa kusikilizia; Na wewe dudubaya usije ukajidanganya kwamba wewe ukiacha kazi ya Mungu basi ndiyo haitatendeka, eti anataka nimtumikie Mungu kama mapadre wa Roman Catholic! DUDUBAYA HUNA WITO HUO; Kina Paulo, Musa, Petro, na wengine wengi waliacha kazi zao
@abunajreenELSESANY
@abunajreenELSESANY Месяц назад
MISIKITI HAIFAI KUKAA MBALI. MISIKITI NI SEHEM YA MAISHA. 5-TIMES SWALA MISIKITI NI SEHEM YA MAISHA
@taifaramadhan8684
@taifaramadhan8684 Месяц назад
Ahsante sana kumbe unajua
@josephkadeghe4720
@josephkadeghe4720 2 месяца назад
Tatizo unazungumza vitu kwa akili zako, neno la Mungu linasema wataendeaje bila kupelekwa?
@davidkawesa3594
@davidkawesa3594 Месяц назад
Umeandika kwa akili zanani?
@Motheking-ps2tl
@Motheking-ps2tl 2 месяца назад
Kama amri za mungu ni kumi peke yake kila mmoja angeenda peponi. Halafu wewe ni unaongea ujinga tu nyinyi wasanii ndo mnaongoza kwa kutuharibia watoto kwa maadilu yenu ya kijinga. Ungeanza na wasanii wenzako ndo uje kwa viongozi wa dini. Halafu ulitaka mchungaji aje nyumbani kukushika mkono au? Acha upumbavu. Maadili yangeanza na wewe kwanza ndo utoke nje kuongea.
@samwelmatemu8873
@samwelmatemu8873 2 месяца назад
Wewe mwombe Mungu akupe neema na akuchague kwenye kazi yake
Далее
Mkasi | SO9E09 with Dudubaya ( Extended Show )
48:44
Просмотров 110 тыс.
DUDU BAYA AMVAA Mch.PETER MSIGWA KAULI YAKE KWA MBOWE
12:41
Parkour failed !
0:12
Просмотров 8 млн