Тёмный

Sheikh Kutoka Burundi Awashushia Nyundo Masheikh Wanaotangaza Pete Za Majini Kuwapotosha Waislam 

QIBLATEIN ONLINE
Подписаться 42 тыс.
Просмотров 34 тыс.
50% 1

QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM RU-vid @QiblateinOnlineTv)
🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
INSTAGRAM 👉👉 / qiblatein_online_
FACEBOOK👉👉 profile.php?...
TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com/creator-center

Опубликовано:

 

5 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 162   
@Assiya39
@Assiya39 9 дней назад
Barakallahu fiyqih Sheikh shakuru umeongea maneno mazito yenye mazingatio 😊
@Zanha582
@Zanha582 10 дней назад
Allah atuongoze ktk njia iliyonyooka na atusamehe makosa yetu yoote
@azamomar9920
@azamomar9920 10 дней назад
Allah akuhifadhi shekh akujalie umri mrefu wenye manufaa. Hakika umefikisha
@malikmasoud3190
@malikmasoud3190 11 дней назад
Sheikh umeongea maneno mazuri sana , ma sha allah
@aishamumy8402
@aishamumy8402 3 дня назад
MashaAllah sheikh wetu,Allah akujalie afya njema na umri wenye kher uweze kutujuza🙏🙏🙏
@user-tt4yv9zl7i
@user-tt4yv9zl7i 11 дней назад
Allah akulipe heri sheikh wetu. Kua madha mazuri sana❤❤kaka yangu.Allah atupe muisho muema
@kisaujibabou9436
@kisaujibabou9436 6 дней назад
Burudani nchi nambar moja kwa umaskini nambar moja kwa upendo mansha Allah tunarizika nakila Hali ushirikina upo ila hatuuamini hongera sana sheh wetu Abdul shakur imamu mku mskiti 17 nambar 11 buyenzi anatuhelimishaga kweli kweli Allah atujaaliye tuwe wene kuyafwata nakuyatekeleza
@user-um8lt3vx3u
@user-um8lt3vx3u 9 дней назад
Masha'Allah Allah akuhifadh na akujalie mwisho mwema inshaaAllah
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 14 дней назад
Mambo ya pete za majini ni ushirikina Allah atunusuru
@hassanmchengwa2950
@hassanmchengwa2950 10 дней назад
Allahu Akbar, Allah atunusuru inshallah
@imamumohamedmalina6995
@imamumohamedmalina6995 13 дней назад
Allah akulipe kwa elimu hii
@user-xb3nf9dq8k
@user-xb3nf9dq8k 12 дней назад
Binafsi nimekuelewa sana Allah atufanyie wepesi sote kwa jumla
@shanimpenike7568
@shanimpenike7568 9 дней назад
maashaallah shekh kemea wazushi hao wanaozuka kila kukicha
@lilmojr7
@lilmojr7 11 дней назад
Allah sheikh akulipe kheri nyingi sana umesema ukweli mashekhe njaa na washirikina wanapotosha sana watu Allah atuongoze
@sakinahassani1455
@sakinahassani1455 7 часов назад
MashaAllah MashaAllah shekh
@user-qv8uo3bc6o
@user-qv8uo3bc6o 4 дня назад
MashaAllah MashaAllah ALLAH HUAKBAR 💯
@hamisisaid-zz2ye
@hamisisaid-zz2ye 11 дней назад
Mashallah JazzakAllah kheir sheikh
@NdikumanaAmisdi
@NdikumanaAmisdi 12 дней назад
Allaah akujaze kheri Sheikh wetu.
@dulasele-ud8cw
@dulasele-ud8cw 14 дней назад
Swadacta sheh nimekuelewa
@JUBRANBULAYHl-yb4ke
@JUBRANBULAYHl-yb4ke 11 дней назад
Mungu azirehemu roho ambazo haziwezi kubadilishwa au kuzaliwa mara ya pili Ee Mungu, wasamehe wale ambao tuliishi nao miaka ya kupendeza zaidi na ambao tulihisi tamaa kwao. Ee Mungu, tukusanye pamoja nao katika bustani za neema, Ee Mungu, uwasamehe walio wa thamani zaidi waliotoweka machoni pangu sikia sauti yao. Mungu airehemu kila nafsi inayopendwa na moyo wangu chini ya ardhi Nakula kiapo? idhini ya Mola wangu Mlezi, Ametakasika, na ulitukuze jina Lako, Uso wa Mtukufu, Mungu wangu, namaanisha, Ee Mungu, Ee Mungu, Ee Mungu, Ee Mungu, Ewe Uliye hai, Ewe Uliye hai , Ewe Mwenye nguvu, Mwenye nguvu, Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu, Mwenye kurehemu, katika kutimiza na kuamini kwa kiapo na maagano kwa hakika, agano ni la kuwajibika Mwenyezi Mungu mkiiamini, na mkataba wake mnapofanya mkataba nayo, na mmejifaradhishia nafsi zenu kuwa ni haki kwa yule mliyefunga naye mkataba na mkamuamini, wala msivunje viapo baada ya kuvithibitisha. Basi mkavunja viapo vyenu, na mkavivunjia uwongo, na mkavivunja Wallahi, Hakuvunja ahadi, na kiapo, ni wajibu kutoka kwa Mwenyezi Mungu .Enyi mlioamini, kwa nini mnasema msiyo yatenda? Ishara za mnafiki ni tatu: Na anapoahidi huvunja amana yake, na anapoaminiwa humfanyia khiyana walifanya ahadi na Mwenyezi Mungu, kwani miongoni mwao wapo walio kufa, na waliopoteza maisha yao. Hao ndio wanaongoja, na hawakufanya mabadiliko yoyote, ili Mwenyezi Mungu awalipe.
@rizikiali328
@rizikiali328 11 дней назад
Huyo shékh mshirikina laana za zimshukie ametudhalilisha waislamu
@Ibrahim-om2lu
@Ibrahim-om2lu 2 дня назад
Haifai mtu kumlaani muislamu mwenzake
@HassanGessan
@HassanGessan 13 дней назад
maashallah sheikh ALLAH atuhifadhi
@NassorNassor-p1i
@NassorNassor-p1i 10 дней назад
Sahihi sheikh
@maulideabdala3832
@maulideabdala3832 12 дней назад
Masha Allah Safi sana allah atunusuru wote. Kwa mambo ayo
@Jigflou
@Jigflou 6 дней назад
Masha Allah, Allah azidi kukupa ujasiri waku kemeya Ayo mambo sheikh 🎉🎉❤
@user-ds1cy3dc7z
@user-ds1cy3dc7z 6 дней назад
Naam 😊Allah akuifadh Shkh Shkrn sana Kwa Dawa 👏🏼
@GamingLimbe
@GamingLimbe 12 дней назад
Mashaallah❤
@Abdoulnibigira
@Abdoulnibigira 9 дней назад
Jazzakaallah kher
@KheyriHassani
@KheyriHassani 14 дней назад
Sera moja tuu mashekhe wote akuna mabadiriko
@ayubumasudi8380
@ayubumasudi8380 11 дней назад
Maashallah❤😂😂😂 Tabaraqallah imeenda iyoo😂
@AsdASD-xc3sw
@AsdASD-xc3sw 11 дней назад
Kabisa 🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@NoraKedir
@NoraKedir 2 дня назад
Barakallah fiki
@destineluna5768
@destineluna5768 11 дней назад
Mashaallah shekhe
@salehbahovu9303
@salehbahovu9303 3 дня назад
Sheikh yupo sahihi saana, Allah akuihifadhi in shaa Allah… ila naona sheikh na yeye ana pete zake 2 mikono yote miwili 😊
@rizikiali328
@rizikiali328 11 дней назад
Sheikh unasema kweli na hawa masheke wanao jiita waumni wanafiq hawa waupotoa uislam mpaka wasio waislamu wana tukejeli Allah awaongoze hawa wanaojiita mashekh
@user-nk3dp9cv9c
@user-nk3dp9cv9c 14 дней назад
Upo sahihi sekhe, ila Kuna wengii watakupinga na kuyadharau maneno yako, hii kwasababu watu wengi hua tunajali nani kasema. Na sio nini kinasemwa, hii ndo shida ya Waislaam wa zama hizi tunajali watu sio maneno yanayotoka kinywan kwa mtuu
@the-homeboyztv2689
@the-homeboyztv2689 14 дней назад
Shida imeingia katika uisilam, mashehe wasababisha kwaku sema wau wanagawa utajiri, baraka kuja ufanyewe dua
@user-nk3dp9cv9c
@user-nk3dp9cv9c 14 дней назад
@@the-homeboyztv2689 🤣 Kama ni hivyo umaskin ingekua hakuna ,lkn ni upotoshaji ulotujaa viumbee, mtu hataki aende motion mwenyewe laazim awe na wafuasi
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 13 дней назад
Watanzania huwa wanaangalia MTU siyo NENO.
@hamisijuma3276
@hamisijuma3276 9 дней назад
Mbona mahubiri. Ya kikristo??? C ubatizwe? Usiwe na miunnngu mingine iila mimi Kutoka 20:1... ..
@allahisone6386
@allahisone6386 8 дней назад
​ NIKWELIIIII KBSAAAAAA
@NahimanaMariamu
@NahimanaMariamu 4 дня назад
Mansha Allah 🇧🇮
@hemedyusuf8835
@hemedyusuf8835 10 дней назад
Mtihani wallah Allah atunusuru
@AmadeChafimBacar
@AmadeChafimBacar 11 дней назад
Allah te abençoar shekh
@ZainabuIrakoze
@ZainabuIrakoze 11 дней назад
Allah Akulipe Kwa mawaidha mazuri
@ZainabHassan-hz4no
@ZainabHassan-hz4no 10 дней назад
Alhamdullah wafundishe hap wanao tupotosha
@mohammedmussa7378
@mohammedmussa7378 13 дней назад
Hawa wanafiki wameficha kufuru katika miyoo yao ndio mana wanamtangaza sheitwan baada ya kumtangaza allah subhana wataalah
@nelson-cd7fr
@nelson-cd7fr 12 дней назад
Jazakumllahu kheiran
@MunezeroIsmail
@MunezeroIsmail 10 дней назад
Allah atulinde na mitihani hiyo
@brianaugust9737
@brianaugust9737 5 дней назад
Sheikh, nimekuelewa sana, umenifungua vizur kuhusu pete na uislam, kumbe masheikh wengine wanaupotesha uislam na watu wanakaa kimya, mimi ni mkristo ila nimefurahia sana darasa lako leo
@AthuuSainga
@AthuuSainga 11 дней назад
Baaraqallahu fiiqa
@user-ih4zi8ss9y
@user-ih4zi8ss9y 8 дней назад
Masha Allah Tabaraka Allah Jazaka Allah hkeir 🤲
@ibrahimfarha3853
@ibrahimfarha3853 7 дней назад
Allah Akbar ujumbe mzitoooo
@SultanSaid-js9yj
@SultanSaid-js9yj 14 дней назад
Shukrani
@latifanyari8912
@latifanyari8912 9 дней назад
Allah akuhifadhi inshaallah na akujazie kwenye mizani yako siku ya hesabu
@omarynguhwe3961
@omarynguhwe3961 5 дней назад
Sheikh umenigusa sana alhamdu li LLAH Rabil Ghalamiiyn
@AmadHassanRashid
@AmadHassanRashid 8 дней назад
Allah hatie kherry kwenye helimu na kuwaongoza mashekhe kama haw lnshaalla
@user-ej2hj4zr9y
@user-ej2hj4zr9y 11 дней назад
Jazzakaallahu kheri 😂❤
@ShemsaKeza-mo8wf
@ShemsaKeza-mo8wf 11 дней назад
Allah akulipe kwakufunguwa watu masho
@balkissMuhammad-sk1ic
@balkissMuhammad-sk1ic 13 дней назад
Bismillah ❤
@Gaddafi-knight
@Gaddafi-knight 10 дней назад
Allahu Akbar
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 13 дней назад
Diwani Mbogo Sulyman mnaaasikia hayaaaaa Acheni ushirikina someni dini
@LabiloWabikongo
@LabiloWabikongo 11 дней назад
allah sw akupekher
@user-dv4md3vi5u
@user-dv4md3vi5u 14 дней назад
Shukran
@hashiru_bayona
@hashiru_bayona 9 дней назад
Jazaaka llahu khaira sheikh, Allah akuhifadhi
@ShamiraMbululo
@ShamiraMbululo 12 дней назад
Allah akulipe
@husseinkudra-gp6gp
@husseinkudra-gp6gp 8 дней назад
Allah akuhifadhi❤
@ButoyiRukiya
@ButoyiRukiya 9 дней назад
Allahu Akbar mawaidha mazuri saana.
@harerimanaaisha7613
@harerimanaaisha7613 8 дней назад
Mansha'Allah Mansha'Allah
@KudraWanguvu-em1xw
@KudraWanguvu-em1xw 6 дней назад
Mimi na shangaa sana mnajua mtu anajinasibisha naushekh hamumuiti na kumnasihi akiendelea kukaidi mnamuwajibisha kwanini mashekhe wetu mnashindwa kumuonya kwani anababaisha mara mhadhir , muomba dua, mganga na kujifakhalisha kwa vijimali kufanya mambo ya lia. tumejifunza kutoka kwa Allah kupitia kwa Mtume wetu Muhammad na wema walio tangulia kumtegemea Allah lakini akuja mtu mpuuzi hana dalili ilio thibit ya kusemea uislam kama ana hati miliki ya kubadilisha uislamu namnamuangalia tu anaeneza ushirikina kwa kuwapaka mafuta wasio elewa tauhid pete haina jambo lingine zaidi ya pambo tu hamna bahati wala ulinzi vyote hivyo vinatoka kwa Allah Subhanallah Wataala tuamke tumtegemee Allah tuache matapeli wanao jinasibisha na dini yakimchongo mchongo. Allah atuongoze ktk dini yake Shekhe nakumshukulu kwa kuliongelea hilo ila naomba muliongezee kulisema zaidi na zaidi kwani wanaleta uenyeji ktk dini na UISLAM ni SUNNA na SUNNA ndio UISLAM
@RévérienDusabe-w8z
@RévérienDusabe-w8z 9 дней назад
Allah akulipe kila laheri
@the-homeboyztv2689
@the-homeboyztv2689 14 дней назад
Hio ndio shida kubwa limekumba uisilam kwasasa watu waamin mashehe kuliko Allah, mashehe wagawa utajiri, baraka, huu ni ugojwa wakumbwa uisilam ( tafuteni dawa
@kazimotto3035
@kazimotto3035 8 дней назад
Umeongea fact
@baqirmkilindi9369
@baqirmkilindi9369 13 дней назад
Soma hiyo ان الله ابى ان يجري الأمور الا باسبابها
@Faharizuckerberg
@Faharizuckerberg 13 дней назад
نعم، صحيح أن الله لا يهتم بالمصالح الشخصية
@sirlimomari2633
@sirlimomari2633 10 дней назад
نعم، وما قصدك في ذلك
@FaridaHamadi-p9d
@FaridaHamadi-p9d 8 дней назад
Ni kweli, majisifu anawakashifu mashekh wasio na kipato yani daa sio yule wazamini ambae akiingia mskitini itoki saa iz akiingia mskitini watu waondoka aibu sana
@RamadhaniMsukuma
@RamadhaniMsukuma 10 дней назад
Nitaipataje namba ya sheikh huyu
@amimwinni4829
@amimwinni4829 9 дней назад
ALLAH AKBAR
@sulekhan7119
@sulekhan7119 13 дней назад
Hapa duniani kama kuna watu niwanafki sana
@omaar5693
@omaar5693 13 дней назад
jibuni kama mwaweza
@user-yy2rk4wi3p
@user-yy2rk4wi3p 13 дней назад
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh Wambie kbs
@loner_wolf
@loner_wolf 11 дней назад
Dr Sule anatutia aibu sana waislam ...... mungu ktk quran anasema tumuombe yeye na tumtegemee yeye , na yeye ndio anatulinda . Lkn Bro Sule anataka tutegemee pete . Quran haijasema tutegemee pete . Fuckin Sule . Mungu amuongoze aongoke .😢😢
@malikmasoud3190
@malikmasoud3190 11 дней назад
Usihukumu kabla ujaukumiwa unaweza kuonyesha mahari ambapo sule amesema tutegemee Pete sio allah
@loner_wolf
@loner_wolf 10 дней назад
@@malikmasoud3190 mfuatilie.
@FaridaHamadi-p9d
@FaridaHamadi-p9d 8 дней назад
We na we in Amana ujui au unajizima data, ​@@malikmasoud3190
@keidykudrat2533
@keidykudrat2533 13 дней назад
Kweli
@ShukranSaidi
@ShukranSaidi 9 дней назад
Asant Abdl Shakur Wetu Wape vidongi vyao wa TZ😂😂😂😂
@wiseman7133
@wiseman7133 13 дней назад
Naam
@AliMsellem
@AliMsellem 13 дней назад
Pete km Pete sio haramu wala shiriki ila pete Sasa watu wadanganywa tuu pete haina uwezo wowote
@user-xl3cd6iq2u
@user-xl3cd6iq2u 11 дней назад
Maisha yaharaka matokeo nihayo
@mohammedmussa7378
@mohammedmussa7378 13 дней назад
Khaswah
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 13 дней назад
Swadaktana. Umesema kweli.
@aishamukandanga6892
@aishamukandanga6892 День назад
Naaam
@drsaeedherbs
@drsaeedherbs 13 дней назад
Usiyoyajua wachananayo
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 13 дней назад
Kwanza nchekee maana sio kwa dongo hilo
@alphalungele-479
@alphalungele-479 6 дней назад
Sasa Dini aikubali?
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 10 дней назад
Dr sule yupo sawa majini na uislamu ni ndugu kwaiyo ndugu razima mshirikiane
@hurulaainmalkiaaisha1508
@hurulaainmalkiaaisha1508 6 дней назад
Naa mbona ww umevaa pete?
@iradukundaideale2673
@iradukundaideale2673 14 часов назад
Rakini chehe naizo Pete munavara siy o nzuri uzo
@SangoAbdallah-cf2ld
@SangoAbdallah-cf2ld 6 дней назад
Sheik pete haina matatizo,na kama inamatatizo? Mbona wewe unavaa? Tena istoshe kama kweeli tupe aya moja tu, Mungu kamkataza nabii suleiman kuvaa, kwa sababu pale ndo palokuwa nguvu fulani na uwezo alowezeshwa na Mungu, sasa kama elimu yako ndogo kaa kimya tu
@edwinismail9401
@edwinismail9401 5 дней назад
ila nyie wanadamu wanapenda kudanganya
@abubakarinyangala5072
@abubakarinyangala5072 14 дней назад
Takbiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiir Ta Takbiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiir Ma Shaa Allah❤😂😅
@anwary_sultan
@anwary_sultan 13 дней назад
ALLAHUAKBAR Jazzaka'Allahu khairah..✊🏼✊🏼
@fatumarajabu1175
@fatumarajabu1175 12 дней назад
Allahu Akbar
@user-ib7kx9dc5m
@user-ib7kx9dc5m 14 дней назад
Ukatorick huo tuna wafaham endeleeni kuwa pambania Kwa kuyasoma manene ya Allah na mtume wake wakati mna ahenda ilio nyumba ya paxia
@drsaeedherbs
@drsaeedherbs 13 дней назад
Kuwa msomi wa dini sikwamba ndokuwa na elimu ya tiba
@negaboy497
@negaboy497 12 дней назад
Watu hawajui kutofautisha kati ya tiba na shirki ndio shida
@nibiziasiya-gh3qd
@nibiziasiya-gh3qd 11 дней назад
Tiba ipi ambao mwenyezimungu amesema mtumieni pete ili mtu apate kutibika ? Acheni ushirikina wa majini ,
@nibiziasiya-gh3qd
@nibiziasiya-gh3qd 11 дней назад
Tiba kila mtu anaweza kutibu kutokana na karama uliopewa na mugu tiba, haiombi ushirikiano wa majini , hauna jini unaweza kutibu mtu bila usaidizi wa majini na akapona , mimi naweza kumsomea tu mtu maji nikatiya niya nimpa akanywa na akaja akanambia wewe ungeendeleatu kusomey watu , na unawez kuwa unajuwa dawa fulani ile ukimpa mtu anapona, bila jini wala pete , sasa hayo mambo huyo baba anataka kuja kujifananisha na ufalme wa nabii suleiman , apo amepotea , yule alipewa ufleme wakumiliki majini na pete na utajiri mkubwa , kutoka kwa Allah, basi tamaa zakidunia ndio zinawafanya waingie kutafuta pesa za majini, ipo siku mungu atawaaibisha wenye kumshiriikisha Allah na vingine kinyume na yy.
@negaboy497
@negaboy497 11 дней назад
@@nibiziasiya-gh3qd Kutumia majini si sawa ila kuna vitu vingi mwenyezimungu ameviumba ni dawa na vinatibu, nachofahamu mimi jini msaada wake unakuwa na maagano ambayo inabidi ukufuru yeye ndio atoe msaada.
@eagtkibangu124
@eagtkibangu124 8 дней назад
Na wewe una Pete ngapi hapo mkononi
@zaydamos874
@zaydamos874 13 дней назад
Kuna mjinga anajiita Dr sule nawala yakuwa si doctor jitu moja jinga liongo pumbavu kafir kabisa ndio linalopotosha waislam na ujinga wake
@AmourAmour-ux3nm
@AmourAmour-ux3nm 13 дней назад
@@zaydamos874 kumuita kafiri hapo umekosea
@user-fg8mu3nl2d
@user-fg8mu3nl2d 13 дней назад
​@@AmourAmour-ux3nmMshirikina ni mtuuu mbaya kuliko kafiri !
@SmadMohamed-fc5fn
@SmadMohamed-fc5fn 12 дней назад
Wewe ni mjinga tu akuna unalolijua soma dini usikulupuke na porojo za kijinga
@carolinelucky9199
@carolinelucky9199 13 дней назад
Na mimi nilikua na teswa na kazi nikasomewa ndua ni makosa
@AmourAmour-ux3nm
@AmourAmour-ux3nm 13 дней назад
Hpana
@keepgoing14
@keepgoing14 13 дней назад
Sheikh kutoka burundi ? Kwani hana jina uyo Sheikh ? PLEASE ADMIN WA QIBLATEN tusiwe wezi wa fadhila andika pia na jina la Sheikh ili tuweze kumfwatilia zaidi kwa ku search mawaidha yake mengine.
@abdallahmbonabona8860
@abdallahmbonabona8860 13 дней назад
Jina lake ni sheikh Abdul Shakuru wa Burundi
@NdikumanaAmisdi
@NdikumanaAmisdi 12 дней назад
Ni Sheikh Abdul Shakur Ramadhan.
@BinthaSultan
@BinthaSultan 10 дней назад
😂😂😂😂 Asalam aleikum warahmatullah wabarakatuh sasa sheikh unakata pete ila wewe vidole vyako vinegar pere mbili kulia kushoto tupe tafsiri ya hizo uloziva 😂😂😂😂 ila kuna pete nzuri na peta mbaya kwahivyo siyo pete zote nimbaya
@hassansaul7098
@hassansaul7098 10 дней назад
Hajakataa kuvaa Pete, bali matendo yakuitegemea ile Pete kua itakupa kila ukitakacho, hilo ndio tatizo Sema ufahamu wako tu
@baqirmkilindi9369
@baqirmkilindi9369 13 дней назад
Mbona ww umevaa
@AmourAmour-ux3nm
@AmourAmour-ux3nm 13 дней назад
Shida hamutaki kusoma dini
@shahamtindo
@shahamtindo 13 дней назад
Itakuwa wala hujasikiliza
@user-ug8hc4yh5k
@user-ug8hc4yh5k 11 дней назад
Kuva pete sio kosa Kosa ni kufanya ushirikina
@hassansaul7098
@hassansaul7098 10 дней назад
Amevaa kama pambo sio kama hirizi 😅
Далее
SHEIKH KIPOZEO AMJIBU SHEIKH WA BURUNDI
6:27
Просмотров 10 тыс.
skibidi toilet 76 (full episode)
08:11
Просмотров 9 млн
MAZINGE NA MCHUNGAJI
18:15
Просмотров 59 тыс.