Naipenda sana hii nyimbo hasa ninapokerwa nikiusikiliza hasira huniisha na kuendelea na maisha, naweza kustahimili ndiyo maana nanyamaza hahahahah good life LANGU JICHO
Yani kama alvyonigusia mm kuimba hii nyimbo, langu ni jicho haswa nahofia nisinyanyue mdomo nikajitia matatizoni, bora niyaangalie tu kisha nitabaki kuyakumbuka naeka mboni yangu iwe kumbu kumbu yakujionea ila mdomo naufunga.
Kuna kero za ajabu zinapotokea nasikiliza wimbo huu mashairi yake jamani naweza kustaimili ndo maana nanyamaza langu jicho(Asante Hadija Yusufu)Heshima yangu na hutu sitaki kuipoteza.