Asili haipotei nazikumbuka nazipenda nyimbo zote za East African Melody. Pia nawakumbuka Haji Moh’d, Lamania Shaaban, Zuhra Shaaban, Rukia Ramadhani na wengine nyote mlioshiriki kwenye sanaa hii tamu asanteni sana. 2024.
Ferouz Tell mie kifua nnacho cha mbele na nyuma nyabeba yote na naamini mola yu pamoja nami ninaesubiri hahaaa yenu nayavumilia maneno hayachubui weee maneno kuntuuu apana chezea zamani weee
Haiwi baya moja lifute mema elfu moja ha hah aaa kaz kwenu sichagui sibagui ataenizika simjui kama bado unasikiliza hili goma kaliii xana 2020 gonga like hapo team sabaha salumu
Viumbe Mnaninieeeee Aaaah nawaasa duniaa niyakupitaa Zuhura Shaaaabani kiukweli ulikuwa unaimba nyimbooo zenyee ujumbee unaoo dumuu Milelee Mfano hiii na ile ya Wema kama wema unaunzwaaa Ubarikiwe sanaaa
hizi ni nyimbo ambao zilo kuwa na maadili HUWA hazichuji kabisa nzuli kusikiliza watu ni walikuwa naakili ya kutulia nakifikilia.miziki mzuli hawa wasasa kazi yao kufikilia maungoooo ya wanawake tu hakuna mwanamziki wa sasa atawezakutungamziki kama huuu
NIZUSHIENI UONGO PEMBENI NISENGENYENI MDOMO SIFUNGUI MOYONI SINA KINYONGO ATA HUKUMU MANANI ASIYEZIDI WA LAI NALIJUA LENU LENGO AMTHAMINI ITHANI MWACHEKA NAMI KWA TUMBO BAYA LENU NI LOHONI
Sauti tulivu ikisindikizwa na ala zilizopangika aah hongereni Sana hatuna mamlaka ya kurudisha siku zilizopita basi tumebaki na machozi machoni enzi hizo DUNIA imepowa