Тёмный

LAST CARD _ EP 35 (FINAL) 

kp wa Aquino
Подписаться 232 тыс.
Просмотров 387 тыс.
50% 1

#bintinyoka #kp #kpnazebuu #lastcard #zebuu #kpcomedy #wamangushi

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 2,1 тыс.   
@MATOKEOKITAHAGA
@MATOKEOKITAHAGA 6 месяцев назад
Asanteni sana mungu awabariki tunaomba mtuandalie movie nyingine nzuri na kali sana kama au zaidi ya last card wanao ungana nami gonga like hapa🎉❤🎉❤🎉🎉🎉
@Edimundingonyani
@Edimundingonyani 6 месяцев назад
nyie nimafund kp shei shei nola na bos wala nola IT mpo good san metish nimemaliza faino sas 2nasubili chuma kingini kwaichi last card mko saf
@BenardCharles-w8p
@BenardCharles-w8p 6 месяцев назад
Asante Sana nimeipenda last card mmefan vzr
@asumaniangabe
@asumaniangabe 11 дней назад
William morning does Michigan University
@TitusMutia
@TitusMutia 7 дней назад
@@asumaniangabe best bongo movie i have ever watched
@ndayicarine2224
@ndayicarine2224 6 месяцев назад
Jamani munikunbuk namimi hata like10basi from Burundi 🇧🇮
@charitychadrek
@charitychadrek 6 месяцев назад
Aliyefulahishwa 🎉na game ya nolla na zebuu njoni hapa😂 congratulations 🎉 for this movie kp🎉
@EmanuelSikanyika
@EmanuelSikanyika 6 месяцев назад
Nipo pamoja nanyi
@lucyellymkate3626
@lucyellymkate3626 6 месяцев назад
Kiukweli movie ni nzuri sana Kwa tuliofuatilia kuanzia mwanzo sheyisheyi,kp na zb pokeeni maua yenu nimependa sana mlivyocheza♥️♥️♥️♥️
@tibelmtandi2275
@tibelmtandi2275 6 месяцев назад
Mim ni mvivu wa kucoment, lakn kwa hapa hakika ukweli usemwe tu mmeupiga mwingi, HONGERENI🎉🎉🎉
@Treezer_85
@Treezer_85 2 дня назад
Wapewe maua yao😊
@SofiaKazungu
@SofiaKazungu 6 месяцев назад
Really appreciate much love from saudia Arabia like zangu ata mbili jamani ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@Advera-ki8do
@Advera-ki8do 6 месяцев назад
Noraumefanyakazinzuri
@witnesstanley6578
@witnesstanley6578 6 месяцев назад
Mim sio wa kwanz ila naomba like mbn mm ni mfatiliaj mzurii tuu hamnipei hata hzo like..
@birungideborah
@birungideborah 6 месяцев назад
Kazi nzuri saana teena saana jamani, Mungu awabariki piya awape ujuzi zaidi saana. Nimewafuatiliya tangu mwanzo hadi mwisho, naomba likes zangu za Final jamani
@claralyaupe5961
@claralyaupe5961 6 месяцев назад
Kp hongeraa sanaaa
@AishaToyi
@AishaToyi 6 месяцев назад
Tunashuru sana mungu awajaliye kwenye kazi zenu nawapenda sana mlicheza vizuri sana hamja wahi kuniangusha hâta Siku moja karibuni kwetu Burundi rumonge tunawakubali sana
@UbumwemediaSevenTv
@UbumwemediaSevenTv 6 месяцев назад
wapenzi wanhii movie bongo uya last card nipeni like km mmeipenda sn km mm mtoto wa hapa inchini burundi
@maggietuxh5779
@maggietuxh5779 6 месяцев назад
Wah kazi nzuri sana Kwa kweli last card n kipindi kilikuwa kitamu sana wap likes kw wenye tuliaza mwanzo Ady final much love ❤❤❤❤ kw KP na zebuu pia WA husika wengne kazi zuri sana
@HaggaiMaina-l7q
@HaggaiMaina-l7q 6 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤
@millykerongo1339
@millykerongo1339 5 месяцев назад
Very creative story indeed .
@AnnaShao
@AnnaShao 6 месяцев назад
Waoooo ime pamba moto tulio kuwa tuna isubiria kwa hamu gonga like apa ❤️❤️❤️❤️❤️
@yuleflexboy494
@yuleflexboy494 6 месяцев назад
Wa Kwanza Leo naombeni likes zangu, last card family, all the way from cape town South Africa
@SharletElly
@SharletElly 5 месяцев назад
Kicheko chako kinakera kisai from kenya like ata tano ata japo nmechelewa
@vuew309
@vuew309 6 месяцев назад
Congratulations sheila dad kid zebu na kp suraji na likoma na dabozi good good love you guys 🎉🎉❤❤❤❤🥰🥰🥰🥰next please nisiboeke akiiii😮
@Amena-z5r
@Amena-z5r 6 месяцев назад
Kp jaman hizi move zako zote natazama sijakosa hata moja ya kwanza binti nyoka,ya pili benzema ya tatu mzee wa giza ya inne dada na kaka naya tano last card sote nilianza mwanzo hadi mwisho lakin hata hunipi like zangu na mm kma wenzangu nawapenda sana mungu awajalie vipaji vyenu inshallah 😢😢❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@marrydomnick6054
@marrydomnick6054 6 месяцев назад
Wamangush je
@rizmwMwriz-mf2cu
@rizmwMwriz-mf2cu 6 месяцев назад
Umesahau wamangushi mwaya🤣🤣
@KamwemweArlene-re4ec
@KamwemweArlene-re4ec 6 месяцев назад
Na wamangushi pia
@AndrasonChocolate-cr1yj
@AndrasonChocolate-cr1yj 6 месяцев назад
Wao NAWAPENDA jamni kp na zebuu
@EmelyneNsanziteka
@EmelyneNsanziteka 3 месяца назад
Nyingine wamangushi umesahawu
@annaki318
@annaki318 6 месяцев назад
Tuliokua tunaifatilia last card kuanzia episode ya kwanza mpaka finally Leo tujuane🎉🎉❤❤❤❤
@LilianCheptoo-io7td
@LilianCheptoo-io7td 6 месяцев назад
Mimi hapa
@AshaMbeyu
@AshaMbeyu 6 месяцев назад
Tuko tele tulikuwa tukiikosa twaumwa 😂😂
@MelissaUwimana-zn7dy
@MelissaUwimana-zn7dy 6 месяцев назад
Niko hap
@mashatz7805
@mashatz7805 6 месяцев назад
Nipo hapa
@MwakuphaKadongo
@MwakuphaKadongo 6 месяцев назад
Nko hapa
@mejusimba5393
@mejusimba5393 6 месяцев назад
Norah karata yako leo umeicheza vizuri sana kuliko karata zengine kama unakubaliana na mm gonga like hapa
@SarahAimedy-us7if
@SarahAimedy-us7if 6 месяцев назад
Aise nafuraiya sana eri kwisho kuliko kwazo❤❤❤
@BBetrs
@BBetrs 6 месяцев назад
Good job my siz ❤❤
@tinnahtabani
@tinnahtabani 6 месяцев назад
Hongera norah wewe ni jasir sana ❤❤❤ big up shey sheila kwa kuimaliza game HONGERA ZENU KP NA ZEBUU FAMILY ❤❤❤❤❤ LOVE YOU ALL
@komanyapaulo3608
@komanyapaulo3608 6 месяцев назад
Hakika mnajitahid sana kuwa wabunifu Kaz nzuri sana I like your love story
@MwanamisiBakari-xh3jo
@MwanamisiBakari-xh3jo 6 месяцев назад
Km una penda agent xxx (Norah) pita n like kaupiga mwingi km mfanyakazi n mpelelelezi 🎉🎉🎉
@JosephMasudi
@JosephMasudi 6 месяцев назад
uhakika
@ashurajuma2024
@ashurajuma2024 6 месяцев назад
Yani ni tamu mnoo jamani .
@rizmwMwriz-mf2cu
@rizmwMwriz-mf2cu 6 месяцев назад
Nmempenda sana (Norah) 🎉🎉🎉
@philohmutua2968
@philohmutua2968 6 месяцев назад
Inawaka😢😢😢❤❤❤
@Bibi-he6vt
@Bibi-he6vt 6 месяцев назад
Good job
@gracejastini
@gracejastini 6 месяцев назад
Woooo nmewahi jmooon ambao walikuw wamemisx kumuona xxxx weka like zenu
@LinusMsimbano-uq1kg
@LinusMsimbano-uq1kg 6 месяцев назад
Yaan nimeisubiili kwa hamu sana dahh waoooo very nice naomben like jamn hata kumi
@VenacioKariuki
@VenacioKariuki 6 месяцев назад
Kazi mzuri kabisa. Heko kutoka humu kenya 🇰🇪. Mpewe TUZO kwa hii jameni. Tutazidi kuwafuatilia
@assiahmeggah4606
@assiahmeggah4606 6 месяцев назад
Npen like zang tok ianz leo ndo nacomment kw furaha ya hal ya juu big up kw mafunzo mnayotoa mungu awazidishie team kp amiin🎉 chukuen maua yen🎉
@Trending_online-2024
@Trending_online-2024 6 месяцев назад
MSINISAHAU NAOMBA NA MI MNIPE LAST LIKE ZANGUUUUU
@Baudouin-Tv
@Baudouin-Tv 6 месяцев назад
Number one leo ni mimi ❤❤❤❤❤ nipeni likes zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu FROM CONGO Drc
@DamarisMoraa-ow4wp
@DamarisMoraa-ow4wp 6 месяцев назад
WA kwanza jamani wenye tumemaliza last card gonga like apa
@Navalonge
@Navalonge 6 месяцев назад
@vickynyambala2693
@vickynyambala2693 6 месяцев назад
Hongereni sana..
@philohmutua2968
@philohmutua2968 6 месяцев назад
Yandio inafikia bazuri ati imeisha waaa kp tutafutie ingine kali kapiza tunakupenda. Nakufwatilia kila movie nikiwa saudi arabia❤❤❤❤❤ sheillah nipe like zenu jamani nyite mwaaaaaaaaaaa
@juliahmwaka7184
@juliahmwaka7184 6 месяцев назад
❤❤❤❤wow! Hatimaye tangu mwanzo hadi mwisho. Nipeni hata like moja ya bundle jamani,Alafu Norah alivyokuwa akikonyeza jicho 😘😂😂
@ChristineMose-v8d
@ChristineMose-v8d 6 месяцев назад
Hongereni kwa kazi yenu nzuri nyote mulio husika, mungu awazidishie maisha marefu ili muendelee kutupa mafunzo mengi na mengi, Chukueni mauwa yenu
@AishaJafari-sh4pe
@AishaJafari-sh4pe 6 месяцев назад
Watatu leo alaf ni episode ya mwisho naombeni like jamn ata 10 tu sijawah pewa like tangu last card inaisha❤❤❤❤
@marianachumbageni-v3r
@marianachumbageni-v3r 6 месяцев назад
Tamu xannaaa
@Alfanijuma-ov5pu
@Alfanijuma-ov5pu 6 месяцев назад
@@marianachumbageni-v3r kp umeua
@SaimonyChimaisi
@SaimonyChimaisi 6 месяцев назад
Tuleteeni Binti nyoka
@SHABANIVegas-wc1kn
@SHABANIVegas-wc1kn 6 месяцев назад
@khadijajumanne1844
@khadijajumanne1844 6 месяцев назад
​@user-sr😊😊😊😊😊😊😊4fm9dc1p
@Penielchenda
@Penielchenda 6 месяцев назад
Norah courage bien👍 joué félicitations🎉🎊🎉🎊
@LievinNdayizeye-v5t
@LievinNdayizeye-v5t 6 месяцев назад
Malgré tout je vous aime j'ai commencé la série dès le début une film qui donne la solution des problèmes qu'on donne à quelqu'un qui n'est pas intéressé je vous suive encore No stress Ntare7 à Bujumbura Burundi❤❤❤❤❤
@KhadijaKhadija-v9x
@KhadijaKhadija-v9x 6 месяцев назад
Kazi nzuri sana😂😂😂😂😂 ningependa isiyishe .pole san kisai unakoma.tena una roho mbaya . Nola agonge 🤜🤛 ❤❤❤❤❤ .
@moseschigombi1128
@moseschigombi1128 6 месяцев назад
Yani nimekuwa wa kwanza alafu bando linakata wakati nmeonywa simu iwe na bando...... nmekimbia dukani kama chizi..... cwez kosa uhondo jamani.... aya dondosha like basi kma unakubaiana nami..... Mauwa yako kp 🎉🎉🎉🎉
@Liliqn
@Liliqn 6 месяцев назад
😂😂😂
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 6 месяцев назад
😃😃😃😃
@SuzanaMgoja
@SuzanaMgoja 6 месяцев назад
😂😂😂😂
@iptisamismaill-f6h
@iptisamismaill-f6h 6 месяцев назад
Watu watumia wifi siku iz we upo mwaka gan 😂😂😂
@ibrahjokes5055
@ibrahjokes5055 6 месяцев назад
Last card ♦️ in last episode Man from no where I need some like
@JaguarEscobar
@JaguarEscobar 6 месяцев назад
Wakwanza Leo from tz like zenu jaman
@OmoshKijana001
@OmoshKijana001 6 месяцев назад
Waaah nice job nimekuwa nikifuatilia hii kipindi toka mwanzo mpaka leo hii ni mwishowe❤❤❤❤❤much love
@FabianoJumanee
@FabianoJumanee 2 месяца назад
hii move inafundisha sana jamani haki kwa binadam ni jamb la muhimu sana kama mnakubaliana na mimi tia like ata mbili apo
@tobiaschirwa9364
@tobiaschirwa9364 6 месяцев назад
Team kp na zebuu tunawapenda sana ...ila namupenda sana shey shey kwakweli anajuwa kaz yake yupo serious sana namupenda muze likoma na diboz kwakweli mupoke mauwa yenu 🎉🎉🎉 Norah hongela sana nipo south africa asanteni
@sarahkararinyakinyua3618
@sarahkararinyakinyua3618 6 месяцев назад
Leo si wote wakwanza chefuu,Nora apewe like zote
@Christopher-xj5fz
@Christopher-xj5fz 6 месяцев назад
One of the best series in this year, congratulations team kp ,kp you deserve it 👏👏keep it up broh coz you can
@sabushimikedesire168
@sabushimikedesire168 6 месяцев назад
Hongeleni sana wapendwa. Pokea salamu zangu kutoka Burundi . Ndabakeje cane vyimva mutima. Ntamajambo mbona nokoresha mukuvuga uburyo mwampimbaye muburyo mwakinye neza . I love you all .keep it up my brothers and sisters u Did well . Nawatakia ALL THE BEST
@BeatriceLigamba
@BeatriceLigamba 6 месяцев назад
Salute c* Nora hakika nafurahi kuona uhalisia hakika mwomba MUNGU hachoki Nawapenda 💗💗💗
@Baudouin-Tv
@Baudouin-Tv 6 месяцев назад
Wa kwanza leo nipeni likes zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani from Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩💯♥️💯♥️💯♥️
@josephluomba8807
@josephluomba8807 6 месяцев назад
Likes zangu bado Niko , watching from Zambia ❤❤❤❤
@janepaul-pu3ds
@janepaul-pu3ds 6 месяцев назад
I appreciate your work team Kp 🎉🎉🎉🎉 good job we are waiting for binti nyoka season 2 may ALLAH bless you abundantly 🙏🙏
@HopeTv-v3m
@HopeTv-v3m 6 месяцев назад
Hongereni sana kwa higizo hii lenye viwango viwango vya juu kabisa na inafurahisha kabisa. Mungu azidi kuwapa ujuzi zaidi.
@NTEMI
@NTEMI 6 месяцев назад
Nola hongera sana kp sheishei kazi nzuri zeb pamoja na dar kid kwanza mlio ifanya
@Arfa-b5r
@Arfa-b5r 6 месяцев назад
Jamani da kid pia apewe hongera Na mzee likoma na ank surag wote hongereni love you xxx🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@luciatungwa4039
@luciatungwa4039 6 месяцев назад
Asante Sana KP nimefurahia sana kuwatch kipindi hiki na nimependezwa nayo mungu azidi kuwapa baraka na nguvu ya kutuandalia kipindi ingine tamu kama hii shukran Sana❤️❤️❤️
@DamarisMasese-rh6hy
@DamarisMasese-rh6hy 6 месяцев назад
Hongera sana kwa kazi nzuri kp na Zebuu pia Norah umeicheza vizuri sana next tuletee binti nyoka season 2 much love from Kisii 🇰🇪 💪💪💪💪💥💥💥
@ramaally6796
@ramaally6796 6 месяцев назад
Best African movie ever... Ingekuwa na subtitles za English ingekuwa one of the best duniani. Team last card, that's big for u.. Bravo bravo bravo
@faithnyansera1124
@faithnyansera1124 6 месяцев назад
Walai nimefurahi pia mm congratulations nolaa KAZI nzuri sana 💞 nawapenda sana pia kp, zebuu na shila wako poa sana 💞 na likoma pia na shulac keep it up the good work ❤❤❤❤❤
@Isha-q2p6g
@Isha-q2p6g 6 месяцев назад
❤❤❤ unyamaa mwingi sana honger San nor nip like zang
@jovithatibatekeleza6598
@jovithatibatekeleza6598 6 месяцев назад
Wangapi mnachukia kicheko cha Kisai😂😂😂
@aminaabdalla-uo9zq
@aminaabdalla-uo9zq 6 месяцев назад
Niko apa😂😂
@aminaabdalla-uo9zq
@aminaabdalla-uo9zq 6 месяцев назад
Yuaker😂😂
@khadijajuma6494
@khadijajuma6494 6 месяцев назад
Ata jini anacheka vizur
@GeorgeRaymond32
@GeorgeRaymond32 6 месяцев назад
Mimi hapa nahisi kama jini
@rukiahassan7001
@rukiahassan7001 4 месяца назад
Km komba vile alienasa mtegon
@justinsimbeye1425
@justinsimbeye1425 6 месяцев назад
Aya finally lakini siyo mwisho najua utaleta tena kitu yamoto kama hizi (binti nyoka)(wamangushi)(na rast ♦️♠️ nawakubali wote mnao shilikina nao nawatakia maandalizi mema ya kp na kundi lote from Zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲 penda sana 🎉🎉🎉
@FabianoJumanee
@FabianoJumanee 2 месяца назад
last card me binafs nimeipenda kazi yenu nzuri sana
@PetroJumbe-ey6pr
@PetroJumbe-ey6pr 6 месяцев назад
🎉🎉🎉🎉🎉kwa hakikaa kp una kipaji kikubwa Sana 😁 hongereni Sana hamjamaliza vibaya🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
@PetroJumbe-ey6pr
@PetroJumbe-ey6pr 6 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤❤❤
@RashidRashid-wv9ud
@RashidRashid-wv9ud 6 месяцев назад
Nora god job congole kweli umecheza vizuri sana
@mrsnurdinisaidi8945
@mrsnurdinisaidi8945 6 месяцев назад
Sitachoka kurudia hii episode kwakweli imenifurahisha sana❤❤❤❤🎉
@furahakenga6619
@furahakenga6619 6 месяцев назад
Hongera sana kp na kikosi chako kwakwel mumefanya vzur kwenye hii Last card nimekua nanyi tangu mwanzo adi mwisho kwakwel mpo vzur sana Mungu azidi kuwaongoza katika kazi zenu Much Love from Kenya 🇰🇪❤️❤️
@rukiahassan7001
@rukiahassan7001 4 месяца назад
Shailla wetu well come back with the last card..hongereni sana nyote mlioshiriki hii last card I like this game..
@jeanpaulkimana6132
@jeanpaulkimana6132 6 месяцев назад
RESPECT GUYS,,, I wish i may see MR KISAI IN GAIL,,,
@LillianKaijunga-cp1jv
@LillianKaijunga-cp1jv 6 месяцев назад
Final episode ilikuwa fantastic sana🎉Nina hakika mwisho wa utamu ndiyo mwañzo wa vitamiu❤❤❤❤❤❤❤❤
@MlongoChai
@MlongoChai 6 месяцев назад
Waooow mashallah Mashallah Mashallah nimefurahi toka mwanzo had mwisho hongera sana kwa kazi nzuri mungu awazidishie ❤❤❤❤❤❤
@samwelpartr7636
@samwelpartr7636 6 месяцев назад
nakukubal sana shey shey
@JoynessMshaija
@JoynessMshaija 6 месяцев назад
Hata Mimi sijawah kuomba like ila Leo naomba maana huko fb nilitabiri kwamba itakuwa ya mwisho 🤣🤣🔥🔥🔥
@AlphanMageta
@AlphanMageta 3 месяца назад
Nasukur
@AlphanMageta
@AlphanMageta 3 месяца назад
Vp itaendereya jamani
@AlphanMageta
@AlphanMageta 3 месяца назад
😅yo
@AlphanMageta
@AlphanMageta 3 месяца назад
Uyooo😅
@MildredNyongesa-g7n
@MildredNyongesa-g7n 6 месяцев назад
Wow good job Norah much love from Kenya.
@leniwikimwabenga
@leniwikimwabenga 2 месяца назад
Kp na zebu mko vizuri kwakweli kazi zenu ni nzuri na zinafundisha sana
@IradukundaEvelyneEvelyne
@IradukundaEvelyneEvelyne 6 месяцев назад
Wakwanza Jaman nipeni like zangu from Burundi 🇧🇮🇧🇮
@salomejames9639
@salomejames9639 6 месяцев назад
Tuliofurahi kumuona shei shei gonga likes hapa😂😂
@zainaabdallah809
@zainaabdallah809 6 месяцев назад
Naona mnapika daku team furus eeeee mie nimewai leo nipeni mauwa yangu mapema Ex Ex Ex❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥
@florankirote7324
@florankirote7324 6 месяцев назад
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
@BessyMukami-n7k
@BessyMukami-n7k 6 месяцев назад
🌷
@BessyMukami-n7k
@BessyMukami-n7k 6 месяцев назад
🌷🌷🌷❤️♥️♥️
@ZainabJuma-iy3qt
@ZainabJuma-iy3qt 6 месяцев назад
Waoooo hongeren tim kp ❤❤❤❤❤ tunahitaji kigongo bora zaid ya hikii 🎉🎉🎉🎉🎉
@AnnaKirao
@AnnaKirao 6 месяцев назад
🎉🎉🎉 Norah hongera sana dasa🎉🎉🎉♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️na wapenda Sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@MariamoAmadeAssane
@MariamoAmadeAssane 6 месяцев назад
Jaman Moçambique Léo sijachelew like zang
@ramadhansamson6070
@ramadhansamson6070 6 месяцев назад
Wangapi tulianza mwanzo na kufika mwisho kwenye last card ❤❤❤
@rajabumachemba7321
@rajabumachemba7321 3 месяца назад
❤❤❤
@eligiambigi4884
@eligiambigi4884 6 месяцев назад
Mi wakwanza leo kp bigap sana🎉🎉🎉
@MugabeMedard-ib5ev
@MugabeMedard-ib5ev 6 месяцев назад
Katika movie kali hiii ni mwisho kabsa nimekubari pia nimeamini kweri watu wanavipachi nawapena zebu,kp wa aquino, dibozi manuva, kisai, my shey shey,dhuraji ,mzee likoma,norrah ,na braiton Mmetufurahisha sana tunasubilia vizuri sana kutoka kweri huku Bujumbura tunawapenda sana
@Expanoz
@Expanoz 4 дня назад
Dar kid ,ah excellent,n for you agent x,wavutia sana,zebuu the beutiful one napenda movie zenu sana,patrick munguti Nairobi kenya
@YvonzaYvonne
@YvonzaYvonne 6 месяцев назад
Ongera sana kp kwa kazi nzuri tulikuwa tumesubiri last card kwa hamu sana
@TeodesiaFaustin
@TeodesiaFaustin 6 месяцев назад
Naomben na mim maana tangu last card ianze cjawah kuwaomba like mnipe jaman kwa moyo wa mungu
@michaelmkubwa8050
@michaelmkubwa8050 6 месяцев назад
Duu Yan Hadi unamshilikish mung utafikl hizo like ni chakula
@HilkiaMurunga
@HilkiaMurunga 6 месяцев назад
Wakwanza kutoka Kenya. Nipeni likes jamani
@yohanajoel2040
@yohanajoel2040 6 месяцев назад
Mm naona nitakua wa mwisho lkn movie ni nzuri inatia hamasa ya kutokukataa tamaa pull up kazi nzuri nanyi msikate tamaa kutupa vitu vizuri 🇹🇿
@suzypaschal-xo9ts
@suzypaschal-xo9ts 6 месяцев назад
Kazi nzuri sana mungu azidi kuwapa ujuzi nilianza kuwafatilia mwanzo mwisho
@EMMANUELGENERAL-n1r
@EMMANUELGENERAL-n1r 6 месяцев назад
Nakubal Kazi Yenu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎯🎯🎯🎯
@alimasiallyalimasially5202
@alimasiallyalimasially5202 6 месяцев назад
Anaekerwa nakicheko cha kisai kama mm agonge like
@ibrahjokes5055
@ibrahjokes5055 6 месяцев назад
Kwa kwel kisai anajua kuigiza sana huyu jamaa n nomah sana
@SimonSeni-x3j
@SimonSeni-x3j 6 месяцев назад
Nice Sana mwanzo Adi mwisho nimeenjoy
@khadija2113
@khadija2113 6 месяцев назад
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍niwashukulu tu kwa kazi nzuli sana tena sana NAWAPENDA
@pendokache2400
@pendokache2400 6 месяцев назад
Leo nimewahi Mimi ndio Norah😂😂😂 like kwa Norah jamani🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@JohnKarabu-dx5lj
@JohnKarabu-dx5lj 6 месяцев назад
Hii ndio tulikuwa nangoja hongera kwa kazi nzuri
@zainaabdallah809
@zainaabdallah809 6 месяцев назад
Leo nimewai wa kwanza hahahaha aya tusalimiane team furus team kupambana team WiFi team kazi kazi 🔥🔥 big up KP ❤❤❤❤
@PAULWAORE-z9y
@PAULWAORE-z9y 6 месяцев назад
Musitawache hivo kp na zebuu, I'm really enjoying your movie's
@prettysaray
@prettysaray 6 месяцев назад
Hatimae tumemalz kz nzur san wanaosubr kigom chengin nipen like zangu
@abdallahassan6378
@abdallahassan6378 6 месяцев назад
Pls kp ombi lang kwenu km hii move imeisha bs Msichelew kutuletea tamthilia nyngn mpy🙏🙏🤝🤝🤝
@IradukundaEvelyneEvelyne
@IradukundaEvelyneEvelyne 6 месяцев назад
Nafika mapema jaman from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇴🇲 final apana jameni mutuongeze
@SharifuAlbughul-ls4mw
@SharifuAlbughul-ls4mw 6 месяцев назад
Saf san hongeren kwa mwish mzr andaeni mzg mwngn kam huuu so dram ten🙌🙌🙌🙌🙌🌙🌙🌙
@AminaMohaa-c7k
@AminaMohaa-c7k 6 месяцев назад
I like it from the first episode till the last you have made it🔥🔥🔥💯💯💯🎉🎉🎉
@AngelinaKinuthia
@AngelinaKinuthia 6 месяцев назад
Waooh congratulations u all kweli baada ya dhiki Ni faraja❤❤I salute you all , Norah wewe Ur more the best ♥️♥️♥️
Далее
PLAN B _ Episode 19
53:46
Просмотров 112 тыс.
WAONGO | Kp Na Zebuu
20:05
Просмотров 287 тыс.
这位大哥以后恐怕都不敢再插队了吧…
00:16
MISSION IMPOSSIBLE [48]
22:36
Просмотров 86 тыс.
DUNIA (Ep 04)
20:26
Просмотров 48 тыс.
DADA WA KAZI 💞 EPISODE 04 | Love Story
23:55
Просмотров 2 млн
KP & ZEBUU _ FUNGU LA KUKOSA
16:17
Просмотров 87 тыс.
EXCLUSIVE; KP NA ZEBUU WALIVYO KUTANA HADI UCHUMBA
49:23
LAST CARD _ EP 21
33:14
Просмотров 199 тыс.
HOUSE GIRL EP 19 | S3 | Love Story 💕💞
24:17
Просмотров 2,6 тыс.
MAGIC RING | FULL MOVIE |
1:13:45
Просмотров 242 тыс.