Asanteni sana mungu awabariki tunaomba mtuandalie movie nyingine nzuri na kali sana kama au zaidi ya last card wanao ungana nami gonga like hapa🎉❤🎉❤🎉🎉🎉
Kazi nzuri saana teena saana jamani, Mungu awabariki piya awape ujuzi zaidi saana. Nimewafuatiliya tangu mwanzo hadi mwisho, naomba likes zangu za Final jamani
Tunashuru sana mungu awajaliye kwenye kazi zenu nawapenda sana mlicheza vizuri sana hamja wahi kuniangusha hâta Siku moja karibuni kwetu Burundi rumonge tunawakubali sana
Wah kazi nzuri sana Kwa kweli last card n kipindi kilikuwa kitamu sana wap likes kw wenye tuliaza mwanzo Ady final much love ❤❤❤❤ kw KP na zebuu pia WA husika wengne kazi zuri sana
Kp jaman hizi move zako zote natazama sijakosa hata moja ya kwanza binti nyoka,ya pili benzema ya tatu mzee wa giza ya inne dada na kaka naya tano last card sote nilianza mwanzo hadi mwisho lakin hata hunipi like zangu na mm kma wenzangu nawapenda sana mungu awajalie vipaji vyenu inshallah 😢😢❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Number one leo ni mimi ❤❤❤❤❤ nipeni likes zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu FROM CONGO Drc
Yandio inafikia bazuri ati imeisha waaa kp tutafutie ingine kali kapiza tunakupenda. Nakufwatilia kila movie nikiwa saudi arabia❤❤❤❤❤ sheillah nipe like zenu jamani nyite mwaaaaaaaaaaa
Malgré tout je vous aime j'ai commencé la série dès le début une film qui donne la solution des problèmes qu'on donne à quelqu'un qui n'est pas intéressé je vous suive encore No stress Ntare7 à Bujumbura Burundi❤❤❤❤❤
Yani nimekuwa wa kwanza alafu bando linakata wakati nmeonywa simu iwe na bando...... nmekimbia dukani kama chizi..... cwez kosa uhondo jamani.... aya dondosha like basi kma unakubaiana nami..... Mauwa yako kp 🎉🎉🎉🎉
Team kp na zebuu tunawapenda sana ...ila namupenda sana shey shey kwakweli anajuwa kaz yake yupo serious sana namupenda muze likoma na diboz kwakweli mupoke mauwa yenu 🎉🎉🎉 Norah hongela sana nipo south africa asanteni
Hongeleni sana wapendwa. Pokea salamu zangu kutoka Burundi . Ndabakeje cane vyimva mutima. Ntamajambo mbona nokoresha mukuvuga uburyo mwampimbaye muburyo mwakinye neza . I love you all .keep it up my brothers and sisters u Did well . Nawatakia ALL THE BEST
Wa kwanza leo nipeni likes zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani wekeni like zangu jamani from Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩💯♥️💯♥️💯♥️
Asante Sana KP nimefurahia sana kuwatch kipindi hiki na nimependezwa nayo mungu azidi kuwapa baraka na nguvu ya kutuandalia kipindi ingine tamu kama hii shukran Sana❤️❤️❤️
Walai nimefurahi pia mm congratulations nolaa KAZI nzuri sana 💞 nawapenda sana pia kp, zebuu na shila wako poa sana 💞 na likoma pia na shulac keep it up the good work ❤❤❤❤❤
Aya finally lakini siyo mwisho najua utaleta tena kitu yamoto kama hizi (binti nyoka)(wamangushi)(na rast ♦️♠️ nawakubali wote mnao shilikina nao nawatakia maandalizi mema ya kp na kundi lote from Zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲 penda sana 🎉🎉🎉
Hongera sana kp na kikosi chako kwakwel mumefanya vzur kwenye hii Last card nimekua nanyi tangu mwanzo adi mwisho kwakwel mpo vzur sana Mungu azidi kuwaongoza katika kazi zenu Much Love from Kenya 🇰🇪❤️❤️
Katika movie kali hiii ni mwisho kabsa nimekubari pia nimeamini kweri watu wanavipachi nawapena zebu,kp wa aquino, dibozi manuva, kisai, my shey shey,dhuraji ,mzee likoma,norrah ,na braiton Mmetufurahisha sana tunasubilia vizuri sana kutoka kweri huku Bujumbura tunawapenda sana
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍niwashukulu tu kwa kazi nzuli sana tena sana NAWAPENDA