Тёмный

NGUVU YA ZIADA KWENYE KUWEKA MALENGO - JOEL NANAUKA 

Joel Nanauka
Подписаться 292 тыс.
Просмотров 123 тыс.
50% 1

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 184   
@nassibugodfrey1405
@nassibugodfrey1405 2 года назад
Mwalimu Joel Nanauka Siwezi kukusahu kwenye maisha yangu
@victaeliud948
@victaeliud948 2 года назад
hii nimeipenda kuliko "Bahati katika mafanikio ni pale ambapo maandalizi yanakutana na fursa" you are so smart Nanauka.
@khadijakisingo7920
@khadijakisingo7920 2 года назад
Joel nanauka umenibadilisha mno ww ni mwalimu wng najifunza mengi sana nikiwa hapa Oman haipiti cku bila kusikiliza🙏🇹🇿🇴🇲
@joelnanauka
@joelnanauka 2 года назад
Ahsante sana Khadija, nashukuru kuendelea kunifuatilia.
@danielsimwanza1046
@danielsimwanza1046 2 года назад
Ja usipokuwa na marafiki kabisa unaweza kuendelea
@felsonsanga8502
@felsonsanga8502 10 месяцев назад
Nanauka ubarikiwe unaakili sana,licha ya kwamba Mungu anakutumia
@lightnesskashi3226
@lightnesskashi3226 2 года назад
Huwa naishi mafundisho yako na yamenibadilisha sana. Blessed Joel
@joelnanauka
@joelnanauka 2 года назад
Nafurahi kusikia hivyo Lightness
@devotastambuli864
@devotastambuli864 2 года назад
@@joelnanauka qqq
@devotastambuli864
@devotastambuli864 2 года назад
@@joelnanauka aaa
@isayaanthon7265
@isayaanthon7265 2 года назад
You are so good brother. Mafundisho yako ni halisi kabisa. Mungu azidi kukuinua.
@kelvinsanga3614
@kelvinsanga3614 2 года назад
Asanteh Sana kaka Joel sifa za malengo nimependa mno Sijuti kukufahamu kaka Daima nitaendelea kukufwatilia
@bukuruphilibert2968
@bukuruphilibert2968 10 месяцев назад
Mungu akuinue kama Yusuph
@charlesjustine5812
@charlesjustine5812 2 года назад
Shukrani sana kaka, mwenyezi MUNGU akupe maisha marefu sana, ili tupate hii neema ya kujijua zaidi, wengi tunachelewa kufanikiwa katika maisha yetu kwasababu tumechelewa kujua maarifa hayo
@FelixMyuki
@FelixMyuki 6 месяцев назад
Nashkuru nanauka kwakunipeleka katika ulimwengu mpya
@felistersylvester9770
@felistersylvester9770 2 года назад
Mungu akuongeze zaidi na zaidi Pastor joel nanauka hakika nabarikiwa sana na mafundisho yako tangu nimeanza kusoma vitabu vya maisha yangu yamebadilika 🙏
@alexbushishi8342
@alexbushishi8342 2 года назад
Ubongo umeumbwa kufanya kiholela
@glorydenis5111
@glorydenis5111 2 года назад
Hivi watu Kama Joel nnauka dunia inawachukuliaje .... Kwanza niwapongeze radio mawingu kuandaa huki kipindi. Bravoo kwako Mwalimu wangu Na Mwalimu wa wawatanzania Nakuona unakwenda kuwa Raisi wa Nchi.
@felsonsanga8502
@felsonsanga8502 11 месяцев назад
Nikweli KABISA
@rudovickmodest3253
@rudovickmodest3253 2 года назад
sijawai kukupinga bro be blessed amina
@mohamedkudura8114
@mohamedkudura8114 2 года назад
Allah AKUPE AFYA NJEMA Na umri mrefu wenye mafanikio katika uislaam
@dennischelula9799
@dennischelula9799 2 года назад
Asnte sana Joel kwa ushauli wako huu mungu akujalih afya njema uzidi tufundisha kila siku
@a.p.monlinetv3561
@a.p.monlinetv3561 2 года назад
Ahsante Sana Mwalim Joel Arthur Nanauka nayapenda Sana mafundisho yako maana yananisaidia Sana kwa kias kikubwa Mwenyez Mungu azid kukulinda
@joelnanauka
@joelnanauka 2 года назад
Nashukuru sana Alex, tuendelee kujifunza
@victaeliud948
@victaeliud948 2 года назад
sikufahamu kwa kila kitu kaka Nanauka! ila nakukubali sana...kama ingekuwa inawezekana kuku cut and paste basi mi ningekuwa wa kwanza...ila ndo hivo tena kila mmoja kaumbwa kivyake...but you are so blessing to us. nakupenda sana
@robertmafie7908
@robertmafie7908 2 года назад
Najifunza vitu vingi xanaa kutoka kwako kaka Joel big up xanaa kwako
@sulleyally5040
@sulleyally5040 2 года назад
Hivi ndio vipindi vya kusikiliza hingereni sanaaa
@muswahilianouvaDingi
@muswahilianouvaDingi 2 года назад
Najuwa utasoma. pls nipo south Africa nakufataka sana
@joelnanauka
@joelnanauka 2 года назад
Karibu sana 0756-094875
@JamalPaulo-jt1ju
@JamalPaulo-jt1ju 6 месяцев назад
Joely NI WEWE LAFIKI PEKEE NILIKUA NIMESUBILIA KWENYE NDOTO ZANGU .p6&❤️
@rashidkhamisjuma3714
@rashidkhamisjuma3714 Год назад
huyu jamaa yko vzr sana
@frankbenandi8764
@frankbenandi8764 2 года назад
ansante sana joeli hakika kwangu umekua baraka mnooo mungu namuona kupitia wewe nanajitaidi kuishi mafudisho yako vitabu yvako vyote ninavyo namshikuru mungu kunipa ufahamu wakukuerewa 🙏 joeli enderea kutafta maarifa mengi zaidi maan wengine tunakuangaria wew
@joelnanauka
@joelnanauka 2 года назад
Nashukuru sana l
@edithakalemwa6298
@edithakalemwa6298 2 года назад
Namshukuru Mungu Kwa Makuu anayotutendea,binafsi nimesikiliza sana nyaraka mbalimbali kuhusu fedha lakini Nina changamoto kubwa sana ya kifedha naomba msaada wako nifanye nin?
@martinmollel1423
@martinmollel1423 2 года назад
Nahisi nimechewa kukufuatilia! Najua tatizo lilikoanzia!
@pilichuli4449
@pilichuli4449 2 года назад
Barikiwa sana sana
@robertjisandu56
@robertjisandu56 Год назад
Nimebarikiwa sana na mada hii
@SALOMENkya-p4y
@SALOMENkya-p4y 5 месяцев назад
Barikiwa sana kwa mafundisho ya msingi
@evastesheni8024
@evastesheni8024 2 года назад
Hongera kwa mada nzuri, nami nakuja na wazo ambalo nimeliwaza kuhusu maendeleo, likae katika maandishi then nishare na watu. Nitakutafuta.
@kennethmahanyi1653
@kennethmahanyi1653 2 года назад
Ahsante kaka kwa somo lako hakika nmekuelewa sana shukran sana MUNGU azid kukupa maarifa kwa ajil ya kutupa na uwe na afya njema
@joelnanauka
@joelnanauka 2 года назад
Ameen Keneth, nashukuru kusikia hivyo🙏🏼
@hassanihassani7154
@hassanihassani7154 Год назад
Asante kaka joerl tuko tabora tunakufatiria
@comrademlewaisavile336
@comrademlewaisavile336 2 года назад
Elimu unayotupa ni zaidi ya Elimu bure 🙏🙏🇹🇿💪🔥
@mshigilakarume4425
@mshigilakarume4425 2 года назад
God bless you bro
@worldofpeace3898
@worldofpeace3898 2 года назад
Life coach.... umekuwa kiongozi wangu... nimekuwa na hekima mpk watu wananishangaa sababu ya mafundsho ako... Mungu akutunze
@nehemiahmissanga
@nehemiahmissanga Год назад
You are my good role model
@daniellepari4525
@daniellepari4525 2 года назад
Ahsante sana ndugu jeol Nanauka kwa elimu yako nzuri ushauri wa mwisho umenielimisha sana nitaifanyia kazi kama ulivyo nishauri mungu Akubariki
@MRLIO-gy7zy
@MRLIO-gy7zy 3 месяца назад
bro ur so minded enoughly kuna vitu kwa akili ya kawaaida huwez elewa mpaka upate akili za ziada ndo utuboe kiukweli unatupa motivation za kutafuta life
@babaloisethan7010
@babaloisethan7010 2 года назад
#JoelNanauka Wewe Ni Zaidi ya Zaidi,You mean so much in my life..Kuna kipindi nilisikiliza video zako mpaka ideas zako zikawa zinazunguka Kwenye Damu,Na kwa Mara ya Kwanza Nikaanza Kufanya Biashara... #Nguvu ya Malengo iko kwenye tabia.
@chrissmalloy9
@chrissmalloy9 2 года назад
Sawa brother
@jumakasim8784
@jumakasim8784 2 года назад
mwaka jana nilikua na mtaji mdogo sana kwenye biashara yangu kama lak5 ivi lakn nilipo anza tabia ya kuandika malenge yang na nikawa na yapitia kila week na kila mwezi nime jikuta nyumba yangu nimeongeza vyumba viwili na hivi sasa mtaji wangu si chini ya million4 nakushukuru sana mwalim umeni motivation sana mungu akubariki sana
@ashasaid5061
@ashasaid5061 2 года назад
Hongera sana
@SALOMENkya-p4y
@SALOMENkya-p4y 5 месяцев назад
Safi
@catherinemzurikwao3265
@catherinemzurikwao3265 2 года назад
Kaka Joel uko very smart. I like you, God bless you.
@paulfrnck5083
@paulfrnck5083 2 года назад
Joel ntashukulu sana nime ununuwe vitabu vyako vinanisaidia sana kwakutimiza Marengo yangu
@G-JMK69
@G-JMK69 2 года назад
Thank you so much mr. Miaka miwili na nusu ijayo nitakua star mkubwa sana known as "mangi more" and i will thank you again 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@azmamasala6276
@azmamasala6276 2 года назад
Nakufuatia sana nashukuru Mungu unisaidia Mwenye ezi Mungu akulipe mazuri .
@gtubgxuxj6906
@gtubgxuxj6906 2 года назад
Asant san kak umenibadilisha mno kwenye maisha yangu🙏🙏🙏🙏🇸🇦
@selemanramadhan3279
@selemanramadhan3279 Год назад
Ni kweli bro Kama ulivyosema penye changamoto ndipo penye fedha!!
@husseinally6056
@husseinally6056 2 года назад
nakusoma sn kaka. #Mungu akuzidishie elim
@shawejimnipera2937
@shawejimnipera2937 2 года назад
Umefanya ndoto yangu saizi kila mtu aione the big vision nilianza na kuku 10-50-100 up to 500/600 sasa. Asante sana never disappointed
@joelnanauka
@joelnanauka 2 года назад
Hongera sanaaa
@zamopazi-dr1tk
@zamopazi-dr1tk Год назад
Kuku hao ni wa kienyeji au kizungu?tuelimishane ndugu. Mi mwenyewe nipo kwenye straggle ya ufugaji kuku.
@kijamalimi7507
@kijamalimi7507 2 года назад
My role model
@pascalkasandakasela4541
@pascalkasandakasela4541 2 года назад
Leo Sam na James tupatupa wamekutendea haki ni mara chache sana vyombo vikubwa vya habari kukupa nafasi kubwa kiasi hicho hasaa kwenye mambo ya msingi kama hayo. Ni mahojiano bora sana kwangu. Yanayofatia dar24
@mathiasvicent9955
@mathiasvicent9955 2 года назад
Kaka yangu mimi hongera sana
@carolynesimiyu3460
@carolynesimiyu3460 Год назад
😮😮❤❤ nice teaching
@hezronmangulamangula9718
@hezronmangulamangula9718 2 года назад
Nafanikiwa kwa mawazo yako joer mungu akuweke
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 года назад
Aisee!! Huyu mwalimu hatari...
@mikikimikikitv6376
@mikikimikikitv6376 2 года назад
Mwenyezi Mungu akuzidishie baraka. Umenijenga sana
@violethmapunda3500
@violethmapunda3500 2 года назад
Umenijenga sana bro Joel mungu azidi kukutunza na sisi tuzidi kufaidi mafundisho yako.
@eliamakere3089
@eliamakere3089 2 года назад
sam ww ni mtangazaji lakn hujui kuuliza maswali,lakn pia unapoteza muda mwingi kwenye kuuliza maswali...pia acha tabia ya kiswanglish na kingereza hujui....alienifurahisha kati yenu ni joel nanauka..brother joel barikiwa sana brother..
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 2 года назад
Unamwonea,anauliza maswali ya kumsaidia mwingine
@African511
@African511 2 года назад
Mungu asante kwa kumleta huyu Joel nanauka,kwa wakati.
@hezronmangulamangula9718
@hezronmangulamangula9718 2 года назад
Naipataje hicho kitabu nakihitaji
@maryamgalu5523
@maryamgalu5523 2 года назад
Brother Joel is very smart good bless you
@dannymoshi4144
@dannymoshi4144 2 года назад
God bless you more Bro
@sudaisathman3831
@sudaisathman3831 2 года назад
Upo sahihi dadangu khadija mm nisipomsikiliza Kwa siku nahisi kama nimepoteza siku yangu
@gmaemba22
@gmaemba22 2 года назад
Kaka wewe mkali sana.. Nakukubali kwa asilimia 102 naomba tuwasiliane nahitaji msaada wako
@farijanibakari9018
@farijanibakari9018 2 года назад
Kaka mungu akujalie nakuelewa sana
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 года назад
Thanksfull brother 🥰
@nestorykeja3997
@nestorykeja3997 2 года назад
Ahsante sana kiongozi nimejifunza nawezaje kupata vitabu mkuu
@joelnanauka
@joelnanauka 2 года назад
Vitabu tuwasiliane 0762 31 21 71
@alexbushishi8342
@alexbushishi8342 Год назад
Naendelea kupata madini tena na tena.
@neemankya5551
@neemankya5551 2 года назад
Always i appreciate your work you're more than a teacher to me..... I've done a lot of things because of what I've been learning from you
@essaukinunda3198
@essaukinunda3198 2 года назад
Kaka fanyia kazi na reference za kiafrika kama zipo...
@kijeshiabdalla6316
@kijeshiabdalla6316 2 года назад
Mungu akubarki kwenye kazi zako Joel nanauka🙏
@asiaa6573
@asiaa6573 2 года назад
Asnte kaka joel kwa kuzidi kutufungua akili Mungu azidi kukutunza kwa ajili yetu
@TheSalma1999
@TheSalma1999 2 года назад
Asante sana kaka kupanga malengo
@djcoco_designer5739
@djcoco_designer5739 2 года назад
Vizuri
@christopherlivamba9111
@christopherlivamba9111 2 года назад
You're very influential People on the world,, Jah bless you!
@manofgod4471
@manofgod4471 Год назад
Points mumgunakuweke sana nataman siku mona nije nishuhudie mafanikio yangu kiukwel najifunza
@manenolugendo6396
@manenolugendo6396 2 года назад
Ujumbe mzuri sana
@markkenneth3937
@markkenneth3937 2 года назад
Asante sana ndugu Joel najifunza Mambo mengi kwako nikiwa US
@joelnanauka
@joelnanauka 2 года назад
Ahsante kwa mrejesho, tuendelee kujifunza.
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 2 года назад
Amina barikiwa zaidi kaka
@anithamichael4694
@anithamichael4694 2 года назад
Thanks, bro Joel
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 2 года назад
Thanks Joel , tunajifunza vizur sana.
@gideonkipruto3987
@gideonkipruto3987 2 года назад
Asante sana kwa mafunzo
@clarafanuel7062
@clarafanuel7062 2 года назад
God bless you my brother
@judithsalvatory2892
@judithsalvatory2892 2 года назад
Kaka Joel shida yangu kusoma vitabu nimenunua vitabu vyako navipenda sana nimeisha vinunua tatizo kuvisoma.Hii mada imenigusa
@kensamwelperopuk
@kensamwelperopuk 2 года назад
very good educative and mind opening discussion, pongezi kwenu wote
@joelnanauka
@joelnanauka 2 года назад
Shukrani Ken
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 2 года назад
My brother from another mother video zako huwa zinanisaidia sana yahni nime download video zako zaidi ya mia tatu na sijawahi kukinai kuziangalia kwasababu mawazo ya tofauti tofauti ni sauti ya mungu
@joelnanauka
@joelnanauka 2 года назад
Aisee hongera sana, nafurahia kusikia hivyo
@mussalulenga9939
@mussalulenga9939 2 года назад
Ndugu yangu nimejikuta ni kama vile sina marafiki Isipokua nakua kalibu na wafanya kazi wangu ndo wanaonizunguka
@ramabizo4tizo416
@ramabizo4tizo416 2 года назад
Joel nataman kila kauli yako niiweke status, kila neno ni fundisho aisee
@jacksonwillison4072
@jacksonwillison4072 2 года назад
Exactly
@papyprosper8922
@papyprosper8922 2 года назад
Asante Brother Naomba Ile Video ulikuwa unaongerea Refreshing Power na Kadharika nimekosa Title Please nilisikiliza u was Busy But for almost 6months sijayiona tena Asante
@kennytwinzi9032
@kennytwinzi9032 2 года назад
Kaka Joel...Mwambie anaekushonea hizo suti anatafutwa/anahitajika sana.!
@teacherbosco5706
@teacherbosco5706 2 года назад
God bless you
@ifigenianyaki686
@ifigenianyaki686 2 года назад
Vitabu vyako wauza sh ngap kaka
@andreasamos5903
@andreasamos5903 2 года назад
God bless you!
@khadijashabaninimba7890
@khadijashabaninimba7890 2 года назад
Ahsate sana kaka najifunz vingi kupitia video zako na zinafanya natimiz malengo yangu 💪🙏
@testarguy8609
@testarguy8609 2 года назад
Iko sawa ngoja niishi nayo hii 2022
@halimaramadhani979
@halimaramadhani979 2 года назад
It's stupendous motivation stayed blessed and Allah grant your journey of inspired us
@kedmonmaquiz
@kedmonmaquiz 2 года назад
Fantastic
@gracesimon9801
@gracesimon9801 2 года назад
My Mentor! What i love the most about u is learning & laughing at the same time! I enjoy the teachings!Stay Blessed
@dismasshirima682
@dismasshirima682 2 года назад
Ap
@RahimuMitago
@RahimuMitago 9 месяцев назад
Thanks. U
Далее
SAIKOLOJIA YA WIVU KWA WANAWAKE -  JOEL NANAUKA
18:41
Просмотров 60 тыс.
FANYA JAMBO MOJA KWA MUDA MREFU - JOEL NANAUKA
29:30
Просмотров 184 тыс.
Joel Nanauka : Nini Ufanye Unapopitia Nyakati Ngumu?
46:23
BUILDING YOUR INFLUENCE - JOEL NANAUKA
21:40
Просмотров 15 тыс.
Je,Wewe Una Maono Gani Kwenye Maisha Yako?
46:51
Просмотров 186 тыс.
DR IPYANA ft JOEL NANAUKA // DAMU YA YESU NA UTAJIRI
18:43
UMUHIMU WA KUWEKA AKIBA YA FEDHA- Anthony Luvanda
13:31