🔘JE, NA WEWE UNA HABARI? 🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402), 🔘WhatsApp (+255 692 318213) 🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com 🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Huyu kamanda Hawathi anaona amebeba bunduki au analindwa na walinzi anaweza kuchukua Sheria mikononi. Kama anajiamini kuwa anajua kupiga watu namuomba akubali wakutane ulingo wa masumbwi kila mtu akawa pembeni alafu wafumuane migumi tuone atakuwa na nguvu gani ya kumpiga mtu kama sugu aunyika kwenye free punch
Mbona kila anaesema kapigwa mbona hawana majeraha hao polisi jamani mliwapiga kipigo gani hawa watu hee basi mnajua kupiga wanasema mumewapiga lakini mbona hawana jeraha lolote na wamesema wamepigwa kipigo cha paka mwizi lakini hawana majeraha ya aina yyte hebu wacheni usanii