Тёмный

LIST YA MASTAA WA BONGO WALIOHAMIA MAREKANI NA ULAYA,,MPWA WA DIAMOND PLATNUMZ yuko UK 🇬🇧 🇺🇸 

THE THIRD TV
Подписаться 179 тыс.
Просмотров 167 тыс.
50% 1

Развлечения

Опубликовано:

 

5 апр 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 152   
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 месяца назад
LIST NYINGINE ZA MASTAA WALIOHAMIA MAREKANI NA ULAYA ZIKO HAPA!! ru-vid.com/group/PLCnaRiyf2kgjRsprbJiB3lVsmN8DE132X&si=r2UqAfx1hX4LDyZO
@diddyexpert
@diddyexpert Месяц назад
Mbona mm ujanizungumzia
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b 2 месяца назад
Jmn mzee magari nirimiss sana nirikuwa najiuriza yupo wap hai au amekufa jmn mungu ampe maisha malefu toka kanumba afe watu wote wamesepa na kuacha kuigiza
@FAREEDMUSTAFA-gu4si
@FAREEDMUSTAFA-gu4si 2 месяца назад
R &l
@NANGATV123
@NANGATV123 Месяц назад
Mzee magari jilani yangu nimtu safina niko nae tupo lagoz
@ellenkabeta7561
@ellenkabeta7561 2 месяца назад
Me naona sometimes wanataka kuishi normal life coz ustar unakuwa na mambo mengi sasa akitaka kuishi hapa normal life wabongo wataanza kusema amefulia na maneno mengine but wakienda nje wanakuwa huru coz wanakuwa hawajulikan
@elizabethverael1709
@elizabethverael1709 Месяц назад
Daaah Frank nilikua namuelewa, na mzee Magari much love ❤
@CyprianBCTanzania
@CyprianBCTanzania 2 месяца назад
Nabii kwao Haeshimiki, Safi sana ifikie mahali tuache mazoea, Hii Dunia yote ni yetu na tumeandaliwa kuishi bila shaka japo mazoea na kutowaza nje ya box, Safi sana tena ikiwezekana na wengine wachape mwendo tuwe wengi zaidi pia hata ndugu zetu wawe wanapata experience tofauti na safari za nje bila shaka maana ndugu zao tunakuwepo ughaibuni
@fatimamv2723
@fatimamv2723 2 месяца назад
I love frenk ❤❤❤japo nimkubwa kimri nipeni connection watanzania
@nyandwiniyera5535
@nyandwiniyera5535 2 месяца назад
Mzeemagari ni jirani yangu hapa Marekani nijirani mwema tu jamani 🥰
@Dr.manyaunyau
@Dr.manyaunyau 2 месяца назад
Kwema n
@jacksonmambwe8416
@jacksonmambwe8416 2 месяца назад
Nifanyie mpango na mm niwe jirani yako mpenzi
@faidhamsangi3061
@faidhamsangi3061 23 дня назад
@@jacksonmambwe8416😅
@ramadhanijohoiddi2899
@ramadhanijohoiddi2899 Месяц назад
Kuishi bongo ni kukosa muelekeo tu lakini kikawaida bongo bahati mbaya 😊
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Месяц назад
Frenk jaman ludi tunakumis sana❤❤❤
@user-ji6cp1ng8g
@user-ji6cp1ng8g 2 месяца назад
Frenk enzi ya kaole kitambo sana ila hazeek kipindi iko bila kumuona yy hauckii rah anajua mpk anajua tena nakumbuka ule mchezo mke wake kipofu yule mdada nimemsahau jina ila alikuwa anafanana na tea
@steveanthon5523
@steveanthon5523 2 месяца назад
Huyo mdada anaitwa Kemy, saiv yupo juwa kali anaigiza kama bibi dorothy na frank huko kijijini
@baeyanka5264
@baeyanka5264 2 месяца назад
Nampenda sana Frank saut yake
@Editha-og5ei
@Editha-og5ei 2 месяца назад
Nimekumiss frank jaman enzi hizo ukiigiza nilikuwa naenjoy mno love you
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 2 месяца назад
Mm binafsi nipo uingereza ni kweli mastaa wanakimbia nyumbani na kukimbilia huku ughaibuni kwasababu huku kuna fursa nyingi sana na mpunga wa kutosha lakini uko hatufocus sana na maendeleo ni kutakiana mabaya tu kila kukicha
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 2 месяца назад
Saw ebu tutafutie bas n sis tukujee
@user-mu7fl1gs8v
@user-mu7fl1gs8v 2 месяца назад
Ni fursa gani ziko huko niunganishe please 🙏 🙏 🙏 🙏
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 2 месяца назад
Fulsaa basi muwafulishe na vijana wengne wakujeee
@jumahilali2309
@jumahilali2309 2 месяца назад
Nipe connection mzee
@jumahilali2309
@jumahilali2309 2 месяца назад
Nipe connection mzee
@Youngchimodzi823
@Youngchimodzi823 2 месяца назад
Europe/ US is and will never be a better place to live for a Blackman. Time will tell. I love Tz
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 месяца назад
Better for making money and investing back home
@Youngchimodzi823
@Youngchimodzi823 2 месяца назад
Europeans and the Us made more money from Africa ,Asia and middle East than from their own countries. Political science and history tells us so!
@hamadramadhan8422
@hamadramadhan8422 2 месяца назад
Ata mim ni soon tu nitakuwa ugaibuni maana bongo mambo ayajawa mazuri ngoja tujaribu nje😂😂😂
@issahhussein1922
@issahhussein1922 2 месяца назад
Karibu hakikisha unajiandaa kisaikolojia zaidi kuliko kifedha
@user-fb5fs8ye5y
@user-fb5fs8ye5y 2 месяца назад
Frank jamni hazéeki jamni 🥰🥰🥰
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b 2 месяца назад
Nampenda sana frenk jmn toka mdgo wanaegizaga me namuona japo nirikuwa wa makamo
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 2 месяца назад
Frank baybe❤❤❤miss you so,so much Mohamed Mwikongi😢
@benedictmhina4819
@benedictmhina4819 Месяц назад
Ngoja nikomae na kilimo yote Mipango ya sir God
@KudrackAbubakar
@KudrackAbubakar 2 месяца назад
Mimi mwenyewe sio star ila bongo napakimbia muda sio mrefu
@masimakarume9715
@masimakarume9715 Месяц назад
Nachotamani kujua ni wanafanya kaz gn huko nje ya hz za kiburudani ambazo tulikuwa tunazijua huku
@josephkahindi1713
@josephkahindi1713 2 месяца назад
Joseph kahìndi nae tuko nae japan
@chire4574
@chire4574 2 месяца назад
Acha story nyingi nenda kwenye point
@cabylake2320
@cabylake2320 2 месяца назад
Nice
@user-du4yg5cj3v
@user-du4yg5cj3v 2 месяца назад
Frenk❤
@maryamalhajri722
@maryamalhajri722 2 месяца назад
sonia yupo france
@EmJesho
@EmJesho 2 месяца назад
Jamani frenk namkumbuka sn
@sergebaleke695
@sergebaleke695 2 месяца назад
Bongo juwa kali bhana
@jescambilinyi
@jescambilinyi 2 месяца назад
Lucy komba pia
@user-rc6ww6rx7n
@user-rc6ww6rx7n 2 месяца назад
Bongo co nchi ya kuishi hy kilakitu ujanja ujanja tu vt havinyooki nsy maana waelewa tunasepa
@user-sk3nh5uq2l
@user-sk3nh5uq2l 2 месяца назад
Miki j naepia sema yeye yuko canada
@doriceathumani8270
@doriceathumani8270 21 день назад
Dah tunammiss sana Frank arudi jamani 😢
@CHIEFJAY-il3fs
@CHIEFJAY-il3fs Месяц назад
hongera zao
@joycemuhoja4729
@joycemuhoja4729 2 месяца назад
Frank Kanenepa Sanaa
@zahranassor7809
@zahranassor7809 Месяц назад
Sihamii bongo mpaka mwisho wa dunia maana nyumbani ni nyumbani tu na bongo ni raha sana na tupo huru sana maisha ya ughaibuni asiwadanganye mtu ni ya kawaida tu na hawana uhuru kabisa kama huku kwetu yaani ni masharti kwa kwenda mbele hata kucheka kwa kibali maalum 🤣🤣🤣🤣😂😂
@ZakaZakazi-rd7wo
@ZakaZakazi-rd7wo 2 месяца назад
Mm mwenyewe na mpango wa kwenda zangu Ng,ambo bongo michosho
@davicekombe4932
@davicekombe4932 2 месяца назад
🤣🤣🤣🤣🤣Hakika mkuuuu
@stellahmsigwa6493
@stellahmsigwa6493 2 месяца назад
Ila Mimi nikipata chansi bongo siludi kabisa tena kutoka moyoni
@stellahmsigwa6493
@stellahmsigwa6493 2 месяца назад
Duuuh nimekumis kaka franki🎉
@ikramuabdul2905
@ikramuabdul2905 2 месяца назад
Wanaenda Luisa nje Coz wenzetu wapo na free mind kinoma kuliko hata unavofikiria nawala sio nyumbani
@Vanelsing_
@Vanelsing_ Месяц назад
We dada hiki kimabeste kimsanii cha juzi utuambie kwamba watoto wa 2000 hatumjui dish lako limeyumba
@salumsalum8866
@salumsalum8866 2 месяца назад
Snoop Lee yupe Germany.
@diddyexpert
@diddyexpert Месяц назад
Ata mm sipo bongo tena
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 2 месяца назад
Mzee magari nilijiuliza sana kwanini hachezi mvi
@limymasele21
@limymasele21 25 дней назад
Ameniuma sana mzee magari sikutegemea kama yupo huko ila poa haina noma kikubwa uhai
@Mutubure
@Mutubure Месяц назад
Njaaa ni nyingii bongo
@allysaid4679
@allysaid4679 2 месяца назад
Jamani Raha P yupo wapi kitambo sana
@jescambilinyi
@jescambilinyi 2 месяца назад
Diana kimaro pia
@AllyYunus
@AllyYunus 2 месяца назад
Sio mastaar tuu wanaokimbia watanzania wengi tunakimbia uko nyumbani hali mbaya mi mwenyewe naandika apa sipo tz
@user-zq2nb4yh6t
@user-zq2nb4yh6t 2 месяца назад
Kwenu kwenu homeboy
@GasperMwaisa-rb1lf
@GasperMwaisa-rb1lf 2 месяца назад
Bongo uwezi kutoboa kimaisha kwasababu ushikina mwingi sana
@user-li8lm7it9j
@user-li8lm7it9j 2 месяца назад
Clouds
@amlikejames646
@amlikejames646 2 месяца назад
Hata me nikipata chance ya kuishi Unyamwezini sikai hapa Tz
@user-zr1iy1ss5y
@user-zr1iy1ss5y 2 месяца назад
Frank alitaka kufanana na mwijaku kdg
@kingkendrickk
@kingkendrickk 2 месяца назад
Vijana wanakimbia life gumu bongo
@eliassoingei2046
@eliassoingei2046 2 месяца назад
Angel Benard naye yupo marekani texas
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 месяца назад
Asante kwa ukumbusho ..list lazima iendelee....
@user-jq8wx7zz6j
@user-jq8wx7zz6j День назад
Wapi sofia kanumba na jamila?
@ibrahbird9727
@ibrahbird9727 2 месяца назад
Wapo Weng sana tena wasanii wa kitambo ndio usiseme Chiv hanson balozi jd yusuf solothang chindo man rah p machozi yani wengi sana sana tutaowajua na tusio wajua
@AbdulGermany210
@AbdulGermany210 2 месяца назад
Frank yupo Ulaya sio Marekani,either Norway au sweden kati ya hiyo
@williampaul8756
@williampaul8756 2 месяца назад
Ni marekani bro
@FurahaSebastian
@FurahaSebastian 2 месяца назад
Huko nikuzuri tatizo hapa umbeyà mwingi sana
@user-es5me9jm3s
@user-es5me9jm3s 2 месяца назад
Njaaa 😂😂😂😂😂
@user-yp1lm5fb1v
@user-yp1lm5fb1v 2 месяца назад
Solofing hujamutaja
@SuzyJonh
@SuzyJonh 16 дней назад
Frank wetu jaman ndy maana simuon
@bennie7239
@bennie7239 2 месяца назад
Lah P pia yuko State kitambo tu....ile vocal ya mdada kwenye ngoma ya MIKASI ya late Mangwair...
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 месяца назад
✌️✌️
@user-sg9kz1fc6s
@user-sg9kz1fc6s 2 месяца назад
Rey C 🎉
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 месяца назад
ru-vid.com/group/PLCnaRiyf2kgjRsprbJiB3lVsmN8DE132X&si=r2UqAfx1hX4LDyZO
@masoudmohamed767
@masoudmohamed767 2 месяца назад
Umemsahau Shija Mzee wa kwenda ulaya kila movie yupo Canada
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 месяца назад
Shukrani
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 2 месяца назад
H😂😂😂😂😂😂😂😂wallah ndto yake ilitimiaa mm ktka ndto yangu nataman kufka ital ama dubai ama canada nisikufe before cjakanyaga uko
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION 2 месяца назад
Izobisness
@nashnene6326
@nashnene6326 2 месяца назад
Bongo nyoso, nan anataka kuishi hapa
@user-kn8mg2su7i
@user-kn8mg2su7i 2 месяца назад
Ushirikina mwingi
@mwarabuofficial5241
@mwarabuofficial5241 2 месяца назад
Wabongo wapo busy kujua kazi za ulaya 😂😂 eti utasikia kwani huko ma-star wetu wanafanya kazi gani..
@user-yq2zp2lc9c
@user-yq2zp2lc9c 2 месяца назад
Maskini frenk tunakumiss
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 2 месяца назад
Sonia mwenzako paula anataka kuzaa
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 месяца назад
😅😅
@yusuphkintu562
@yusuphkintu562 2 месяца назад
Solo thang,mr paul ,wote hao barozi dorosa wapi uyo
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 месяца назад
Thank you
@mohamedimkonde9532
@mohamedimkonde9532 Месяц назад
Kuna balozi dola soul ,
@piuskusenge-jf2ob
@piuskusenge-jf2ob 2 месяца назад
Nchi yenyewe inaitwa Bongo, akili Sana, nguvu Sana, kipato kiduchu au hakuna kabisa
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube 2 месяца назад
Mimi ata unipe hela nje ya nchi siendi upuuzi mtupu maisha kote magumu
@AbdulGermany210
@AbdulGermany210 2 месяца назад
Ujafika ukifika utaelewa maana ya mbele na Bongo,Ulaya unaumia wewe mzazi tu kufanya kazi ila huumii kuhusu watoto shule ni bure hakuna matabaka kama bongo ,kuna shule za kayumba na shule za wenye pesa huku hakuna hiyo,hakuna ada wala kuvaa uniform
@KelvinKasalama-rd3qp
@KelvinKasalama-rd3qp Месяц назад
Ukweli maisha ni popote dunia ni yetu sote kikubwa uzima
@Fgldesigns
@Fgldesigns 2 месяца назад
Nikitoboa lazima nihame Bongo
@user-ke6ec9bi4e
@user-ke6ec9bi4e 2 месяца назад
Sawa lakini je wanafanya kazi gani uko au kula kulala
@vicentcornely4890
@vicentcornely4890 Месяц назад
Hawafanyi kazi hizo kwasababu siyo wasanii ni waganga njaa tu. Huko msanii anaanzia shule za awali kabisa tofauti na sisi huku tunawapotezea muda kuanzia shule za awali hawajui wanasoma nini mpaka anafikia uzeeni huko ndio anaenda chuo cha sanaa mara moja tu . Inatakiwa turekebishe hili ni tatizo kubwa sana , tutengeneze shule za sanaa watu wasome kuanzia awali (utotoni) mpaka chuo kikuu awe amesomea sanaa tu popote atakapoenda anakuwa msanii n.k Tuondoe huu mfumo wa elimu wa kupoteza muda wa watoto wetu , mtoto unamsomesha masomo 20 alafu ukubwani ndio anakuja kusoma sanaa ,mwisho wake anakuwa haieleweki yeye ni nani na afanye nini
@mwajumaroya7404
@mwajumaroya7404 2 месяца назад
Frenk l miss you my brother 😢😍🥰
@jasminshemsanga8727
@jasminshemsanga8727 2 месяца назад
Kumbe ma beste hayupo bongo
@solangeramadhani4038
@solangeramadhani4038 2 месяца назад
Frank na mzee magari wapo ILLINOIS
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 месяца назад
Thanks for the information 🙏🙏🙏
@DuniaKalenga-hr2lz
@DuniaKalenga-hr2lz Месяц назад
Iowa
@kazimoto-eq2th
@kazimoto-eq2th 2 месяца назад
Aiseee kama hamjuagi ni kwamba Roma kavunjwa uume hawezi kufanya tendo la ndoa ndomaana hajamchukua mkewe kama uamini ipo ivo.
@racheljob6601
@racheljob6601 2 месяца назад
😂😂😂 daaah ila wabongo una ushahidi
@kazimoto-eq2th
@kazimoto-eq2th Месяц назад
@@racheljob6601 kama hamuamini angalia roma hadi anakufa haji kukaa na mke na huko marekani hana demu na akiwa nae skendo tu ila ukweli.utakuja kuamini fatilia
@braggadachu1723
@braggadachu1723 2 месяца назад
Usenge tu😂watoto WA elfu mbili wamefanyaje
@JuaKali68kviews1hour
@JuaKali68kviews1hour 2 месяца назад
😁
@jaxmkada6797
@jaxmkada6797 2 месяца назад
Ipo siku na mm nitakuwa ulaya jamaniiii
@user-kd5yi9jo1g
@user-kd5yi9jo1g 20 дней назад
Mimi mwenyewe baada ya miaka mitano uingereza mwananchi🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿👨‍👩‍👧
@omarymsumi1865
@omarymsumi1865 2 месяца назад
Ww mabeste kavutwa na lakaaake yupo kule nasio mwanamke
@maulidjuma9203
@maulidjuma9203 2 месяца назад
Hakuna star hapo star awezi kwenda ulaya USA kutafuta kz yani akaanze zero mastar bongo tunawajuwa awezi kuafanya kz kwa 3000dola
@OmariNkalami-nh6fl
@OmariNkalami-nh6fl 2 месяца назад
Mchongo mkumbwa😅
@faridaltamimi7454
@faridaltamimi7454 2 месяца назад
HUKU KUNAITWA MAMTONI HUWEZI KWENDA KUTAMBA NCHI ZA WATU
@GodenBMDaniel
@GodenBMDaniel 2 месяца назад
Mzee magari tukonaye hapa Illinois US, tunafanyanaye kazi pamoja.
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 месяца назад
Yupo kwenye previous video
@chamballaally8767
@chamballaally8767 2 месяца назад
Kazi gani?
@chamballaally8767
@chamballaally8767 2 месяца назад
Kazi ipi ?
@Official83640
@Official83640 2 месяца назад
Kwahy Sonia na Tahiya washakuwa mastar eeh hd wanawekwa km wanaishi nje jaman wakati wanasoma tu basi muwekeni na Mtoto wa Manara na mie mniweke maana np nje mwaka wa 6 huu😂😂😂 Solo Thang umemsahau au
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 месяца назад
Si unawajua lakini!!! They are famous"
@Just_a_gal.
@Just_a_gal. 2 месяца назад
Ushaambiwa list ni ya Marekani na Ulaya tu,,sasa huyo mtoto wa Manara huko Asia anaingiaje humu
@Official83640
@Official83640 2 месяца назад
@@Just_a_gal. Sasa Sonia yupo Marekani umeambiwa 🤣🤣
@memoryeliass9558
@memoryeliass9558 2 месяца назад
stori zimezidi sana ndio maana unasahau watu. punguza mastori hayo.
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 месяца назад
Sawa Elias
@CatherineAlly-lx3fp
@CatherineAlly-lx3fp 2 месяца назад
Huseni machozi
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 месяца назад
Yupo kwenye previous video
@EstherGodwin-ig6mt
@EstherGodwin-ig6mt 2 месяца назад
Slaves hameni wote mniache mm huku
@husseinshamte7129
@husseinshamte7129 2 месяца назад
Sollo thang
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 месяца назад
Good
@MajutoElliasi
@MajutoElliasi 2 месяца назад
Gonja murusi atoe mamuzi mangumu wanze kuomba msanda
@boubabizo246
@boubabizo246 2 месяца назад
Eti wanakimbia nini apa bongo? Kweli hilo swali? Wewe nikubebe dubai tu, utasepa bongo
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 месяца назад
😄😄😄🤣🤣
@dorislema2465
@dorislema2465 2 месяца назад
Reyc yuko wapi?
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 месяца назад
Previous video
@publicrelations4600
@publicrelations4600 2 месяца назад
Yaani unamuacha Hussein machozi unamuweka sonia sasa huyo demu usanii kaanza lini?
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 месяца назад
Husein yupo kwenye previous video
@uriotv9989
@uriotv9989 2 месяца назад
Roma mkatoliki
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 месяца назад
Yupo kwenye previous video
@user-yq2zp2lc9c
@user-yq2zp2lc9c 2 месяца назад
Tunamiss filam zako wewe namze magali
@johnny.j.nyondo
@johnny.j.nyondo 2 месяца назад
King GK. yuko wapi.
@vumbakingvumbaking9571
@vumbakingvumbaking9571 2 месяца назад
Izzo business na Abella
@user-sd8jz7zj2l
@user-sd8jz7zj2l 2 месяца назад
Mbn tunasikia Mzee magar kafa
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 2 месяца назад
Yuko hai
Далее
SNAKE BOY | ep 21 | SEASON TWO
30:40
Просмотров 752 тыс.
JINI - Ringo, Tini White (Official Bongo Comedy)
13:12
President Ruto's take on the hashtag #Rutomustgo
6:29
Просмотров 103 тыс.
Опасные облака!😱🌩
0:20
Просмотров 5 млн