FROM USA 🇺🇲 ...Timu CLAM VEVO. tujuane kwa like please 🙏 tangu nianze kufatilia MOVIE za CLAM VEVO sijawai kua Wakwanz leo me ndo Wakwanz nawaomba jaman .. like zote za clam ziwekwe hapa pls naomba 🙏 🙏 🙏 🙏
Jamani tutoeni comments zakujenga wapi anapatia na wapo anakosea hata clam akiangalia anajifunza pia kupitia sisi na sio kuomba like tu .... movie nzuri inaelimisha ndani yake ❤
Hapo umesema kwel,nmefatilia tangu season 1 , Comments zote ni kuomba likes tu, hawapendi kuchokesha akili,ntazi Yuko wapi saii na zinga nguvu alizitoa wapi tena ,kakoso ama ni yupi aligeuzwa mke mpaka saii,mafunzo yamo tele,
Aise uyu chef wa ubwabwa 🤣 penda sana wali mahrage iliyo pikwa na munazi 🙄heeeh kipara umbeya ume ya pandiya Dju ya Muti 😂wanayo taka Mtanzi arudishiwe nguvu zake atupo wengi wakabisa manana wengi Wana ngombaniya like tu sijuwi Wana Pata Nini waki pewa like 😢 🇨🇩from Dubaï 🇦🇪
Zinga deserves an award,yani venye anaactingi kichizi na nimkali, niukweli watu wengi wakali huwa wanabehave kama machizi hivi hivi tu unadhania mtu ni mwendawazimu anakupiga tukio unashangaa!
Km waaamin soon clam atakua hatari like comment please Team strong hoyeeeeeeeeee kw mara ingine tena nawawakilisha nikiwa Riyadh love you guys 🇰🇪🇸🇦💞💞💞💞💞
Kubababake kwahyo hum ndo sehem ya kuomba like yaan nyote mnao omba like nyote ni mabwabwa kwer yaan badala ya kumpongeza CLAM VEVO Mnaomba ujinga hum like simnge mpa like clam
HAUJAWAHI KUTUANGUSHA #CLAMVEVO THE BEST..! USHAURI WANGU NAKUOMBA TAFAZALI MSAIDIE #LATIFA anaeigiza na Kicheche.. LATIFA UKIMPATA ANAJUA SANA LAKINI HUKO ALIKO ANAPOTEZWA.! CLAMVEVO SOMA HII NA UITENDEE KAZI..! MSAIDIE LATIFA AJE TIMUYAKO.!
Kila mtu na kasti yake ratifa anaweza lakini sini za mapenzi na sio uku mwache akae uko uko kwa ki heche Hawa waliokuwa umu no Moto na kwa kicheche Moto ratifa Nani mbele ya Kim vai au mshangazi
Nawapongeza sana kwa kazi mnayofanya..... Kevin Atei kutoka Kenya..... Nowadays episodes are abit longer, heko sana kwa Hilo..... Nipee like please🙏🙏💍💍
Ila Kim nae ata kama unampenda ntanzi ndo ukulupuke kufanya mambo jmn we ufungue tu vitu vya uchawi bila uoga jmn 😂 Nyieeeee,🙌 sema pole shoga angu Niko na wewe bega Kwa bega mpaka ntanzi akuowe jmn mana umepambana sana😂😂😂😂🙌🚶
Kwanza kabisa tumshukuru Mungu kwa kutupa uzima pia kutuwezesha leo hii tunaburudishwa na kazi nzuri ya clam na gang yake#kim kiherehere kimekupa upofu😮 na bado kinasababisha madhara,poleeee
PALE AMBAPO MLIKOSEA ni kuonyesha kuwa chifu wa himaya ya nyoka hajamaliza siku 30 ilhali msichana aliye na mimba ya zinga inakuwa kwa haraka, haya hayaonyeshi muingiliano wa mambo
Kuna utofauti pia kati ya siku za kishilikina na siku zetu za kibinaadam at some point... Ila hongera kwa kuwa na jicho la kitaalam maan si rahis kwa mtazamaj wa kawaid kujua hiv vitu