Тёмный
No video :(

#LIVE 

Yuhai media
Подписаться 23 тыс.
Просмотров 18 тыс.
50% 1

#LIVE CHADEMA WANAUNGULUMA KUHUSU MUUNGANO NA MPINA KUFUKUZWA BUNGENI

Опубликовано:

 

16 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 21   
@user-bq6jv2mh1e
@user-bq6jv2mh1e Месяц назад
Ubarikiwe sana kwa maneno mazuri ya kujenga watu na kusema ya kulithisha sana.Wewe ni mchungaji mwema na maneno matamu.Ubarikiwe sana Wewe ni mchungaji mwema.
@JoyceKabula-in1sh
@JoyceKabula-in1sh Месяц назад
Kila siku tunamwomba mungu atutenge na tutu namtakia safari njema msigwa kwenda akaungane na vibaraka wake ila akumbuke kuwa chadema ni taasisi kubwa lakini ajue kuwa ukitoka chadema utatoka peke yako na kama kaona katukomoa kajikomoa mwenyewe tunamuona kama unyasi wa nyumba uliochomoka akizani nyumba itavuja kamwe haitavuja wanachama tupo kibao hatuteteleki wala hatujatingishika
@thomasmallya670
@thomasmallya670 Месяц назад
Mbona kimeshapasuka?
@YoelMagese
@YoelMagese Месяц назад
Chadema mko vizuri, mnatoa wachezaji wa ukweli, MNA 'CHAMA' WENGI SANA. Mnajua Sana kuandaa watu, ndiyo maana kila anayetoka kwenu kwenda CCM anapata cheo kikubwa huko. Ila na wao CCM inakuwaje kmpa cheo mgeni badala ya watu wako mamilioni wanaokuunga mkono siku zote. Ama kweli CHADEMA wako vizuri katika kuandaa viongozi.
@ColonelBudilla
@ColonelBudilla Месяц назад
😮😮😮
@estachengula3902
@estachengula3902 13 дней назад
Msingwa umetia aibu kwa watanzania sikutegemea kama unaweza kuhamia kwaajili ya njaa ungevumilia mchungaji msingwa mvumilivu hula mbiviu pole kaka
@filexkivuyo8383
@filexkivuyo8383 Месяц назад
Ili asikoroge kama mlivyo koroga kumchukua lowasa mkampa agombee uraisi
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 Месяц назад
Alishinda aualishindwa?
@celestinekimaro8996
@celestinekimaro8996 Месяц назад
Harakati za kuikomboa nchi kunahitani watu wanaoyaweka maslahi ya nchi mbele na SIO wanaoyatanguliza maslahi binafsi Hivyo Msigwa hakuwa meanaharakati aliyeyaweka maslahi ya nchi m bele Bali mkate wake binafsi au kigeugeu
@thomasmallya670
@thomasmallya670 Месяц назад
Nafikiri sasa chadema mmekwisha. Yani mmekosa agenda kabisa sasa mnapiga porojo tu. Kama mnafikiri watanzania watasikiliza utumbo wenu, mtashangaa sana. Hayo mnayoyataka siyo hoja ya watanzania. Watanzania wanataka kuona ugali juu ya meza siyo kufukua makaburi ambayo hayawezi kuwaletea nafuu ya maisha. Tafuteni wataalamu wa siasa wawape uwashauri wa jinsi ya kufanya siasa za upinzani.
@adammjomba5814
@adammjomba5814 Месяц назад
Mzee wangu unasumbuka bure wa tz hawezi kudai haki zao upo sawa kini hakuna kitakacho fanyika mambo hayo ungewahamasisha wakenya
@filexkivuyo8383
@filexkivuyo8383 Месяц назад
Iyo inatwa tamaa ya madaraka kwaiyo afai kupewa kazi na mama awe mwancha wakawaida
@thomasmallya670
@thomasmallya670 Месяц назад
Wachungaji wanatia aibu, sasa kazi ya ukuhani wameshindwa, sasa chadema wameamua kuwaajiri watumishi wenye njaa ambao kanisani mwao hakuna waumini wa kutoa sadaka sasa wameamua kuganga njaa. Aibu kweli.
@user-us4tk2tk3c
@user-us4tk2tk3c Месяц назад
Kabisa hawa wanatia aibu.
@adamlubawa1281
@adamlubawa1281 Месяц назад
Nunua wewe Dawa upeleka hospital
@athanassimbila2603
@athanassimbila2603 Месяц назад
KAMA TANGANYIKA HAIPO ,NA ZANZIBA ISIWEPO ILI ZOTE ZIITWE TANZANIA SOTE TUITWE WATANZANIAQ...NA NDIYO ILIKUWA DHAMIRA HATA YA BABQ WQ TAIFA.
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 Месяц назад
MUUNGANO NI UKOLONI WA TANGANYIKA✝️ Kabla Tanganyika kupata Uhuru, Nyerere alisema lengo lake ni kuiburuza Zanzibar kutoka Bahari ya Hindi (Indian Ocean). Sasa Zanzibar iko Dodoma😂 Nyerere alivamia Zanzibar kwa jina la Mapinduzi. Na baada Siku 100 aliimeza Zanzibar kuwa Koloni lake kwa UTATU MTAKATIFU: Tanganyika (Baba) Zanzibar (Mwana=Yesu) Tanzania (Roho Mtakatifu) Karume alilalamika kuwa Muungano ni kama Koti linalowabana Wazanzibari. Alitaka kuvunja Muungano asiyejulikana alimuwahi. Karume na Nyerere wote hawakuzaliwa Zanzibar. Hussein Ali, Mzaliwa wa Mkuranga alichaguliwa na Pombe, Mzaliwa wa Chato. William Lukuvi alisema kweli Kanisani kwao ya kuwa watapeleka Jeshi Uislam ukirejea Zanzibar. KUMBE TULIDANGANYWA Kumbe Uarabu, Usultani na Utumwa sio sababu za Mapinduzi. Vita Baridi na Pan-Africanism sio sababu za Muungano😂😂
@user-wu2du6jy5c
@user-wu2du6jy5c Месяц назад
Amegundua na chedema kinamapungufu makubwa
@MrKhatibu
@MrKhatibu Месяц назад
Uzuri wa TZ mpaka watu wazima wamedata
Далее
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Просмотров 1,9 млн
❌Разве такое возможно? #story
01:00