Lord Eyes ameweka wazi muda wake tangu ameachana na kile kilichokua kikisemwa anatumia dawa za kulevya pamoja na plan zake nyingi kuhusu game yake/project zake mbali na weusi. Vile vile ameongelea urafiki wake Wolper. "Ni rafiki tu"
Lord Eyez, nakuelewa Sana tangu tukikaa Soweto miaka ya 90 ila Mkubwa mambo ya kusema umetunga nyimbo Kwa siku moja kwa miaka hii sio ishu, cheki tangu miaka us kina Tupac nyimbo moja ilkua inatungwa na watu ht zaidi ya watano inapita studio na mtu wa kinanda anafanya kazi separate na mtu wa guitar ivyo na mambo mengine so kaka mkubwa wekeza muda wa kutosha kwenye kazi moja ili utuletee vitu vikali tena km HAWATUWEZI, Pia hongera kwa kuyashinda madawa Kwa kiasi kikubwa
kuna ma mc kibao wa hip hop ambao ni wakali kuliko hao makuma mnaowafagilia, acheni bias na nyinyi ni mawaki na hao wote mnaowafagilia... nash mc is the hip hop sio hao makuma.. acheni uarusha maboya nyinyi
Man unajua maana ya definition ya hip hop au ndio jinsi wanavyowaaminisha hao clouds? Weka nyimbo za Lord eyes na za Nash mc zsisikilize Nani atakuwa hip hop? Acheni uarusha nyie maboya...
@@francisaban3873 daaaaa we Jamaa unataka kumfananisha lordeyez na nash emc. Ndio zetu.hawatuwezi.show love. Pande hizi.katikati.bang. acha umama we choko