Daaaaah magufuri huyu angekuwepo angalau akashuhudia kazi alizoziazishaaa daaah , lakin hata musa hakufika nchi ya ahadi ila aliowaongoza walifika wengine na wengine hawakufika
Mabehewa hayo yamerekebishwa kabisa, na sidhani yana zaidi ya miaka 10 hadi 15. Hakuna kitu kibaya kwao. Mabehewa mapya yana gharama kubwa kwa sasa, kwa hivyo hii ndiyo hatua sahihi kwa sasa. Baadaye, baada ya TRZ kukomaa na kupata faida fulani kwenye uwekezaji, basi tutazingatia mapya. Kwa hivyo kwa wale ambao hupenda kufanya chochote isipokuwa kulalamika, ketini mahali fulani na mupumzike. Tutafika huko tukifika.
Tatizo rangi zenu ndo mbaya, yani uzi wa kijani ni muhimu, alafu hiyo rangi ya udongo iwe kwa asilimia chache hata msitari tu. Lakin white, green na hiyo chocolate ndo ziwe kwa wingi. Au huo udongo uwe sehemu ya chocolate na chocolate iwe kwa wingi kwa niaba ya hiyo ya udongo