Тёмный

MAENEO MANNE AMBAYO FEDHA IMEJIFICHA - JOEL NANAUKA 

Joel Nanauka
Подписаться 287 тыс.
Просмотров 24 тыс.
50% 1

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Опубликовано:

 

9 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 56   
@salomemrembo7482
@salomemrembo7482 11 месяцев назад
Hallo Nauka. Yote hunayo shungumza ni hukweli...nilijaribu..biyashara..ya kuhuza nguo wengi akanipuzaa..sahii niko top..wale wale watu sahii wananiomba mawaitha kazi yoyote..hinaitaji..nidhamu..na kukomaa. Kwa kazi..nakumshirikisha..mungu kwa mapato yako..hili hupate maraka zake.mungu..ndiye hubariki kazi zetu..piya bidii
@eliamartine4720
@eliamartine4720 11 месяцев назад
Naitaji connection ya kununua nguo na kuuza
@challyclassictz5929
@challyclassictz5929 10 месяцев назад
Uko wapi
@fundivigaetzchannel1899
@fundivigaetzchannel1899 11 месяцев назад
Ahsante kaka Joel Nanauka ubarikiwe sana MUNGU akutunze Kweli kwa unavyo tuelimisha MUNGU awezi kukuacha Mahana kunawatu wanafanikiwa kusikiliza cilip zako MUNGU akutunze By ERADIUS OSCAR from Mwanza nyegezi 🇹🇿
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 11 месяцев назад
Joel nidude kubwa lenyeakili mlima barikiwa Sana baba.matatizo yanajitokeza nanung'unika kumbe nifursa ngo kesho nikinukishe
@elishathepapaapeter
@elishathepapaapeter 3 месяца назад
naitwa elisha ryoba peter maarufu kama ELISHA"KUCHA ni mzaliwa wa mkoan mara wilaya ya bunda_musoma, mimi ni Mr kucha alieamua kupambana kwa bidii ili kufika mahala sku moja, kiukweli nakufatilia sana nataman sana nifike mahala kupitia ww uncle.... NAESHIM SANA MAWAZO YAKO TAFADHALI KA.A UKIWEZA NAOMBA HATA KUWASILIANA NAWW nipo tayr kukuskiliza na kukuzingatia zaid kiongoz wangu, MUNGU AKUBARILI SANA.
@dizzojozer6137
@dizzojozer6137 10 месяцев назад
Mimi kipaji nilichonacho kuandika vitabu kuhusu maisha mitazamo ya maisha jinsi ya kuanza nakosa motivation na atua ya kwanza nifanye vipi msaada kidg joel
@saidmwangasama
@saidmwangasama 2 месяца назад
Nanauka tunakupenda sana pokea smu zetu hatukupigii iri kukusumbuwa ss ni mavuno yako ulio panda iri uvune
@user-yx3zh8ks2s
@user-yx3zh8ks2s 3 месяца назад
Usikate tamaa kaka, nakuona mwenye mawazo mapana sana. I appreciate, let God lift up your legs so that you get strengthened. Love you
@zabrongermanus-co1jj
@zabrongermanus-co1jj 11 месяцев назад
Unaakili nyingi sana
@user-iq3sw9ud2j
@user-iq3sw9ud2j 11 месяцев назад
Habar kaka joel mim nipo oman nafanya kaz za ndan uku lakin nimepata wazo zuri sana kaka nataka nifanye biashara ya tissue nazitoa uku oman kuzileta tanzania maana tissue za uku ni tofaut sana na za kwetu tanzania yaan za uku zipo kwenye ubora mzur na packed nzur sana na pia nataka nizitangaze kwa ukubwa sana maana watu wengi sana awaongelei kuhusu hii biashara NAOMBA USHAUR WAKO kaka joel
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 11 месяцев назад
Joel 😢video nikimaliza kusikiliza uwa na download na weka cm imejaa video zako Ubarikiwe sana 😢
@user-bk6ue5zl5t
@user-bk6ue5zl5t 4 месяца назад
😂😂😂 nikajua niko peke yangu nae download hizo video kumbe tuko wengi
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 4 месяца назад
@@user-bk6ue5zl5t kama zote nime badilika mimi kweny status zangu ukut vitu vya kijinga zaidi Ya video za.. Joel. Huy kaka 😭😘
@mayanishamila6349
@mayanishamila6349 2 месяца назад
Tupo wengi
@NyalagiMalando-cj4jf
@NyalagiMalando-cj4jf 5 месяцев назад
Asante sana joeli kwa kulikumbuka taifa lako kk
@DavidNdosa-mj4ei
@DavidNdosa-mj4ei 3 месяца назад
Ww mtu inaonekana umesoma sana au umekaa sana ulaya au unasoma sana vitabu maana auchoshi kusikiliza
@taramakimaty5902
@taramakimaty5902 10 месяцев назад
Nashukuru nimeelewa vyema,ubarikiwe mnooo...
@EmmanuelGillux-uw1th
@EmmanuelGillux-uw1th 11 месяцев назад
Nanauka mimi nimeapply kanuni zako na sahizi nipo vizuri
@bernadetachari7648
@bernadetachari7648 11 месяцев назад
Marazion nimenghi ,ila yatakiwa kwanza kabisa uwe na mtaji ndipo uwenze kuyatatuwa
@MOSHIMWOLOHA-fg1pf
@MOSHIMWOLOHA-fg1pf 11 месяцев назад
Kitu cha kwanza ni kuwa na problem solving mindset ( akili tatuzi ya matatizo). Pesa hitaji mmojawapo lakini si namba moja wala la lazima.
@ENOSOUND
@ENOSOUND 2 месяца назад
From Moonnight inn kaka nakupata hapa nimeelewa
@KinanaLemaiba
@KinanaLemaiba 9 месяцев назад
Mungu akuongoze
@mhandondahani2656
@mhandondahani2656 10 месяцев назад
Ubarikiwe sana Mungu akupe maisha marefu
@EmmanuelGillux-uw1th
@EmmanuelGillux-uw1th 11 месяцев назад
Joel Mimi giluli mwita nakushukur San nimeapply kanuni zako na nimefanikiwa
@johnbanda6601
@johnbanda6601 11 месяцев назад
Marafiki kuwa wateja
@BennyPhilip-zq7vb
@BennyPhilip-zq7vb 3 месяца назад
Asante sana kaka Joel , umekuwa msaada mkubwa sana kwangu. Hapa nilipo kwenye huu mtaa niliopo kunamatatizo mengi sana ngoja niyageuze kuwa fursa
@DaenoPol
@DaenoPol 3 месяца назад
God bless you 🎉
@ediphonceedwin1482
@ediphonceedwin1482 3 месяца назад
Asante, mungu akubariki
@user-bp6ue2sz8d
@user-bp6ue2sz8d 11 месяцев назад
Mungu akubariki sana
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 11 месяцев назад
Barikiwa zaidi kaka Joel
@user-oi9hc6cs3m
@user-oi9hc6cs3m 11 месяцев назад
God blessed through you
@FrancisGerold
@FrancisGerold 11 месяцев назад
Following from songea
@NuratyAlly-lq7xc
@NuratyAlly-lq7xc 11 месяцев назад
Baba ubarikiww
@stanleysome8821
@stanleysome8821 11 месяцев назад
Thank you so much Sir!
@BenisiaTitus
@BenisiaTitus 3 месяца назад
Asant kak
@RivaKilimo
@RivaKilimo 3 месяца назад
I like it
@amesalum3636
@amesalum3636 11 месяцев назад
Big up broo❤
@user-ty6qx5bp3x
@user-ty6qx5bp3x 10 месяцев назад
🙏🙏🙏kaka
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj 11 месяцев назад
Asante sana
@ZakayoMaugo
@ZakayoMaugo 19 дней назад
😮😮
@mhandondahani2656
@mhandondahani2656 10 месяцев назад
Mi nakipaji cha kupiga vyombo vya muziki lakini watu waniishia kunisifia tu kitu kinachoniingizia hela ni kazi nyingine ambazohuwa nazifanya hii imekaaje kiongozi
@aderiderkihupi7240
@aderiderkihupi7240 11 месяцев назад
Asante
@user-xv5kb5pe8h
@user-xv5kb5pe8h 11 месяцев назад
nimejifunza kitu hapo kaka
@user-jt3yw1gz2j
@user-jt3yw1gz2j 4 месяца назад
Me ninakipaji cha kuimba kaka joel ila mazingira yananiumiza sana kama kuna vita inainuka juu yangu kwa baadhi ya ndug wakisikia nataka kuimba wanaanza kuleta zogo nyungi kunipinga wanasema ni uhuni tu naomba ushauri
@user-gh3zf4ow4c
@user-gh3zf4ow4c 4 месяца назад
Penye Nia Pana njia
@simonmalegesi414
@simonmalegesi414 11 месяцев назад
Nipo mwanza vitabu vyako vinapatikana wapi na kwa bei gani.
@user-bx5wg9nz8g
@user-bx5wg9nz8g 6 месяцев назад
Mimi nina idea ya ufugaji wa kuku wa kienyeji naishi nalo wazonhili karibu miaka lakini cjalianza lakin imani yangu ipo hapo tu kua ufugaji wa kuku wa asili ndio utaonitoa kimaisha kwa sababu mmimi ni mwalim nina watu wengi wamenizunguka na naamini wanahitaji huduma hii lakin kila nikitaka kuanza nashindwa cjui wapi nakwama
@sirleemally5314
@sirleemally5314 11 месяцев назад
Matatizo yaliyo tuzunguka mtaani ni watu kukosa uamknifu 😮
@Paschalmachang
@Paschalmachang 11 месяцев назад
Kwelikabisa unachokisema
@user-xv5kb5pe8h
@user-xv5kb5pe8h 11 месяцев назад
5:51 nimejifunza point ya 4
@arriyamistamp4945
@arriyamistamp4945 11 месяцев назад
Mimi nataka ushauri kama unahitaji mlango wa kufanyia biashara lakini bei ni kubwa ya kukodi kwa mwezi milioni moja na nusu lakini huna pesa yakutosha ukaamini nikipata nitaweza kufanikiwa ufanyeje?
@niriacatering172
@niriacatering172 11 месяцев назад
Unaweza kuanzia hapo ulipo, nyumbani inategemea biashara unayotaka kodi kubwa inaweza kukusumbua Anza na kidgo ulicho nacho, tumia mitandao ya kijamii, Piga picha nzuri weka kwenye ukurasa wako, au wafuate watu Anza taratibu kwa kuwafuata WATEJA ukiwa muanifu, kauli nzuri na nidhamu kwa WATEJA unatoboa wengi tumeanzia nyumbani
@farijanibakari9018
@farijanibakari9018 11 месяцев назад
Hapo ni kweli kabisa
@MIBWA
@MIBWA 11 месяцев назад
😅😅😅
@niriacatering172
@niriacatering172 11 месяцев назад
Shukrani
Далее
USIMAMIZI WA FEDHA - JOEL NANAUKA
4:32
Просмотров 10 тыс.
IT'S MY LIFE + WATER  #drumcover
00:14
Просмотров 25 млн
Men Vs Women Survive The Wilderness For $500,000
31:48
EPUKA MAMBO HAYA - JOEL NANAUKA
9:19
Просмотров 102 тыс.
VITU VINAVYOUA UWEZO WAKO/JOEL NANAUKA
7:08
EPUKA  HAYA KWENYE  ENEO LA KAZI - JOEL NANAUKA
10:44
Просмотров 56 тыс.
AMUA UNACHOTAKA LEO - JOEL NANAUKA
17:14
Просмотров 100 тыс.
JOEL NANAUKA - UFANYE NINI KUJENGA USHAWISHI?
7:07
Просмотров 28 тыс.
FANYA JAMBO MOJA KWA MUDA MREFU - JOEL NANAUKA
29:30
Просмотров 180 тыс.
Namna gani unaweza kuongeza kasi ya kutimiza maono yako
26:17
Wajue Maadui 4 Kwenye Maisha Yako
7:49
Просмотров 143 тыс.
IT'S MY LIFE + WATER  #drumcover
00:14
Просмотров 25 млн