MAKOSA yake yapasayo kutubu ni yapi maana hata Mfalme Saul alietiwa mafuta kwa chupa na Mfalme Daudi alietiwa mafuta kwa kujazwa pembe .hawakutubu kwaajili ya taifa ispokua watawaliwao ndio watubu kwa kukaa na viongozi pasipo kumuuliza Mungu kama imempendeza huyo kiongozi kuwepo ktk nafasi ama ameruhusu awepo lkn SI chaguo lake.maana WAFALME WAKIWA chaguo la Mungu INCHI hujaa NEEMA ispokua tu pale wanapoasi na kukaidi sauti ya Bwana ndipo MAPIGO yatawashukia au kumshukia yule kiongozi aliejikuza Sana. Ktk nyakati tulizonazo wapo hata watumishi wenye CHOYO.kumbuka YESU alionya WANAFUNZI kujihadhari na CHOYO maana uzima wa mtu haumo katika mali.mtu atajionyesha kwa watu na kutoa iitwayo zawadi ambayo kwa hakika haiwi zawadi Bali ni rushwa ambayo huupotoa ufahamu na baada ya hapo haki inapotea.sasa je kwa viongozi wa ulimwengu itakuaje.kwanini viongozi wasitubu wakati wa KAMPENI na wakati wa kutangaza matokeo kupitia nguvu ya dola.itokee toba mtu aombe msamaha nakuacha ubunge kama aliupata kwa hila.hio ngumu atubu mtumishi wa umma ALIESEMA nitawatumikia mkinipa kura lkn. Kumbe anawageuza kuwa WATUMWA wake...WATUMWA wamepanda punda lkn WAFALME wanakwenda kwa miguu juu ya inchi