Nime jifunza kitu katika maisha kuhusu huyu jamaa , walio chukua milioni kumi ya cheka tu, now wako wapi and eliud i think hakua namba moja but his doing good than them na ndivyo ilivyo maisha , Kuna mtu mna weza kumpa ushindi but haimanishi yule mtu atashikilia Kua pale kuonesha uhimara wake kama mlivyo zani ninyi,ila bahada yamatokeo ana Potea kabisa ,that why unaweza Kua namba moja darasani Ila kitaa ukawa hauna namba yoyote let work hard Ili wajuwe masho ya mwana dam ni haioni energy yako yakesho Itakua haje.
I appreciate your work bro, and sometimes when i' m not in good situation i use to watch your comedies so that i can revive my happy. Nice talented boe.🎉🎉🎉