hata sisi Africa tunaweza halafu kaka unatwambia utamaduni hapana nisheria zilitumika sisi Africa hatuwezi kutokana na ufisadi nyingi serekali ikiweka sheria lakila mtu aweke mazingira zuri aaaah itawezekana.
Kaka umenifungua macho Sana,kumbe maisha ya marekani ni magumu aisee...Ila inaonekana no marahisi ukiwa na kazi, lkn ? Mbona sioni hata nguzo zinazoingiza umeme kwenye majumba?
Apo kwenye kukata nyasi nimeipenda hiyo lakini uku Tanzania Kuna watu wanamakusudi jamani mtu kanunu kiwanja alimi Wala apandi ni pori pori minyoka mikenge wal ajari kama Kuna majirani wanaona kero