Roho ikiwa nzuri moja ikaambukiza wengine kumi nao kumi wakaambukiza wengine zaidi hapo sasa ni rahisi wengiii kuwa na roho nzuri na hivyo ndivyo Mungu alivyotaka tuwe na mema mengi ndipo yatatuijia hivyo na tuweni na nguvu na umoja huo ili tupate baraka za Mungu tele na tele,kwa hiyo Big up kubwa sana kwa Ebm
Mr EBM upo more direct Sana, hutaki kufichaficha Mambo na kwa namna unavyoelezea ni inamfanya mtu ajihisi yupo marekani au apende kuja marekani. Hakika nakupenda kaka unanifanya niwe proud Sana lkn kikubwa one-day yes to America
Asante sana BRO EBM. Nimechelewa sana kuona video zako. They are real impressive! Nakumbuka wewe ndo ulinifundisha namna ya kufungua email pale beb come, kigoma. Nakufuatilia sana. Nakuomba utuandalie video ya gharama ya maisha ya kila siku au mwezi mzima kwa hapo marekani. Bei za vitu na matumizi ya kila siku. Thanx in advance
Hujakosea uko sahihi kabisa siku hizi ndumba vijana na mijini ndio wenyewe vijana wasomi wanapigwa ndumba na wasichana wa mitaani tu hata wasiowasomi had wanasahau majukumu yao
Mim nataka hizohizo kazi za kulea wazee ilimradi nalipwa pesa ya maana kwani hata bongo mbona kuna mama ntilie wanafanya biashara na malipo kidogo sasa si bora kulea wazee ulaya unapokea mshiko wa maana? Acha nipambane ipo siku ntantoa ushuhuda hapa kwa chanel yako kwamba ulinishauri kitu cha mbolea sana