Тёмный

Maisha ya Upweke Ughaibuni na kukabiriana nayo 

EBM SWAHILI
Подписаться 68 тыс.
Просмотров 14 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

2 фев 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 47   
@seifomar1148
@seifomar1148 3 года назад
Ipo siku nitatia maguu USA INSHAAALLAH
@EBMSWAHILI
@EBMSWAHILI 3 года назад
Karibu sana
@vamitv873
@vamitv873 3 года назад
Let's go
@BradothAdm
@BradothAdm 2 года назад
walio ishia darasa la saba wanapateje fursa ya kuishi marekani
@shijaathanas1897
@shijaathanas1897 2 года назад
Hakika huo ndio mji mzuri wa kuishi mie napenda kukaa nje ya mji...kasans city
@kidigajames
@kidigajames 3 года назад
Pako vizuri, Missourri!
@francismboma6839
@francismboma6839 2 года назад
Kazi nzuri unatupa mwanga .wengi wetu tunaamini munaishi nchi zilozoendelea kama munafuraha sana. Nahisi kuna vitu vingeongezwa kama camera man na wewe ungekuwa kama mtangazaji mbele ya camera.
@malakimollel6044
@malakimollel6044 3 года назад
Asante mkubwa wa kazi ebm
@kassimchaku477
@kassimchaku477 2 года назад
Kaka ubarikiwe sana kwa kutoa elimu nzuri ya maisha ya ughaibuni pia katika lil
@joyceknursecanada
@joyceknursecanada 2 года назад
Nice 👍 video outside the house. Please show us more
@lordrichreuben1446
@lordrichreuben1446 3 года назад
Daah nmefurahia sana,vp gharama za kujenga
@mamirokongx195
@mamirokongx195 3 года назад
Ahsante kwa taarifa
@SK-pb5ke
@SK-pb5ke 3 года назад
Mazingira yapendeza kweli kweli haya.
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 3 года назад
Pako vizuri sana aisee
@mudyadinani5182
@mudyadinani5182 3 года назад
Nakubari
@seifomar1148
@seifomar1148 3 года назад
Inaonekana mji wa Kansas na mizuri ipo shamba ?
@EBMSWAHILI
@EBMSWAHILI 3 года назад
Yes, majimbo ya Kansas, Missouri na mengi ya katikati ya USA, yaani Midwest ni "vijijini" kuna mashamba tuseme
@jovovichmedia9424
@jovovichmedia9424 3 года назад
Mkuu one bedroom kwa mwezi hapo unapoishi ni dola ngapi
@geofreybarama4000
@geofreybarama4000 2 года назад
Pana View nzuriiiii
@mwazanmwazan766
@mwazanmwazan766 2 года назад
Nimependa mazingira ykee
@ivanamkapa2369
@ivanamkapa2369 2 года назад
Nitafutie kazi
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 2 года назад
Ubarikiwe kaka 🙏
@mdmahammad3278
@mdmahammad3278 Год назад
Hakunaneno ukiwa mbari na mji
@mdmahammad3278
@mdmahammad3278 Год назад
Uko safi kwakutuumbya macho ili tujipange kuja huko
@kidigajames
@kidigajames 3 года назад
Panapendeza sana hapo mitaa yako.
@muranisalim3572
@muranisalim3572 2 года назад
Duh mwezi 11 nipo huko ila hayo mazingira nitahaha sana
@tadeikapinga2905
@tadeikapinga2905 3 года назад
Kwa vurugu zangu apo ni kama jela
@Chegu_onlineTv
@Chegu_onlineTv 2 года назад
😂😂😂 wakina Tadei hatupo hivyo hapo tumepigwa😂
@josephmatonyi6533
@josephmatonyi6533 2 года назад
kitu ambacho kipo hapo ni kwamba huko ughaibuni kuna usalama afu watu asilimia 100 wanamaisha mazuli wanashinda ndan wanaishi maisha yao sio kama huku umasikin mwingi coz ujinga mwingi kwaiyo ni bora mtu ajivike fens kubwa tu bc
@EBMSWAHILI
@EBMSWAHILI 2 года назад
Kweli kabisa ulichosema
@whycriphpetro1568
@whycriphpetro1568 3 года назад
One day yes
@isaacsinkala5236
@isaacsinkala5236 3 года назад
Mimi siwezi kuishi uko
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 3 года назад
@@isaacsinkala5236 😄😄karibu Ila ndondani tuu Tanzania free sana
@joycemuhoja4729
@joycemuhoja4729 3 года назад
Natamani nifike uko Kansas City
@bsamohamed122
@bsamohamed122 2 года назад
Naomba namba Yako kaka nahitaji kukueleza kuhusu mambo ya kazi
@pillyolsen8377
@pillyolsen8377 2 года назад
Kwa mimi nilio zoea vurugu huko naona polini
@sadakhamis1261
@sadakhamis1261 Год назад
😂😂😂😂😂
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 года назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
@williammatata2611
@williammatata2611 2 года назад
Kama maisha ya uko ni indoor life vipi kuhusu kama ukipata msiba inakuaje
@kipigapasilisungu2581
@kipigapasilisungu2581 3 года назад
.
@obillaezra6205
@obillaezra6205 2 года назад
Mfano Jirani kapata Msiba” Bongo huku watu wanakusanyika na Wengine hadi Wanalala huku Sebule ikitolewa kila kitu na kuwekwa Mikeka” Vip huko Hali kama hiyo ipoje huko?
@cdeleo9336
@cdeleo9336 2 года назад
Huku hamna vitu hivyo nyumbani Tanzania watu ndo hufanya hivyo
@mabolokituyi5781
@mabolokituyi5781 2 года назад
No wonder they are obese.Kukula na kulala wananona ovyo ovyo
@tadeikapinga2905
@tadeikapinga2905 3 года назад
Bara bara mbovu kumeboa
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 3 года назад
Apo kijijini
@vamitv873
@vamitv873 3 года назад
Bora hapo kijijin barabra za mtaa zina lami wakati dar peneyewe load za mitaa haizina lami, ukienda mikoani unapigwa vumbi la kutosha
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 3 года назад
Uku ni kama Kijijini ila mjini pazuri njoo utembee
Далее
Maisha ya Marekani - Upweke, Nyumba, Ukimya na Familia
14:01
Maswali na Majibu - Maisha ya Ughaibuni
1:45:13
Просмотров 1,2 тыс.
APARTMENT YA DOLA MOJA MAREKANI (PART 2)
6:56
Просмотров 52 тыс.
Maisha Halisi (ya UPWEKE) ya Marekani. Upo Tayari????
11:28