Kazi nzuri unatupa mwanga .wengi wetu tunaamini munaishi nchi zilozoendelea kama munafuraha sana. Nahisi kuna vitu vingeongezwa kama camera man na wewe ungekuwa kama mtangazaji mbele ya camera.
kitu ambacho kipo hapo ni kwamba huko ughaibuni kuna usalama afu watu asilimia 100 wanamaisha mazuli wanashinda ndan wanaishi maisha yao sio kama huku umasikin mwingi coz ujinga mwingi kwaiyo ni bora mtu ajivike fens kubwa tu bc
Mfano Jirani kapata Msiba” Bongo huku watu wanakusanyika na Wengine hadi Wanalala huku Sebule ikitolewa kila kitu na kuwekwa Mikeka” Vip huko Hali kama hiyo ipoje huko?