Тёмный
No video :(

MAJI NI HATARI KWENYE UMEME LAKINI YANATUMIKA HIVI KUZALISHA UMEME. 

PERFECT SIDE
Подписаться 12 тыс.
Просмотров 32 тыс.
50% 1

📜 Innovation for the future
we strive to educate you in the world of science. We're delighted to hear your thoughts.
In today's session, we are looking at how hydroelectric power is generated.
We greatly respect all RU-vid policies and copyrights. We also appreciate your feedback as it's one way to improve our services.
message at Email: perfectsidetz@gmail.com
subscribe our channel 🔔
KIPINDI...
MAJI NI HATARI KWENYE UMEME LAKINI YANATUMIKA HIVI

Опубликовано:

 

23 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 98   
@MairaAlly
@MairaAlly Месяц назад
Hii ni channel sahihi kabisa sijutii kuijua kila siku huwa nazima nichungulie kitu chochote hata sometimes huwa narudia video moja kwa mara kadhaa
@Perfect_side_tz
@Perfect_side_tz Месяц назад
Karibu sana🤝
@MairaAlly
@MairaAlly Месяц назад
@@Perfect_side_tz Asante sana pia nakuomba siku moja uje ugusie jinsi mafuta yanafanya kazi katika engines na kuzalisha nishati nguvu
@jamesmzaki6041
@jamesmzaki6041 Месяц назад
​@@MairaAlly Ingia RU-vid kila kitu kipo,,,Ukitaka kusoma engine za pikipiki,gari,train,meli,boti,ndege mpaka helicopter na Kuna picha na maelezo kabisa.
@MairaAlly
@MairaAlly Месяц назад
@@jamesmzaki6041 umeelewa nilicho taka kujua?
@khalidySalumu-tp2wl
@khalidySalumu-tp2wl Месяц назад
Ntafute nikujulishe ilo​@@MairaAlly
@Abdulaziz-tb1gd
@Abdulaziz-tb1gd 3 дня назад
Uk vzr broo🎉
@martinusdamian3085
@martinusdamian3085 Месяц назад
Upo vzr sana ndugu, unafanya elimu iliyo ngumu kuitafuta darasan na kuwa nyepesi kupitia kwako, nasi tunaweza tamba mitaani kuwaelekeza wengine
@jefjacob12420
@jefjacob12420 Месяц назад
Kwa mtu ambaye amekalili Physics anawez sema umetoa somo jepes lakini kwa mtu anaye jua physics ajakalil Nots za darasan wew jamaa ni zaid ya Ticha, vitu vigumu lakini unavifanya tuvione vyepesi. 🎉🎉🎉🎉
@rajabuhamzambagonyonge3257
@rajabuhamzambagonyonge3257 Месяц назад
Kabisa me nimejifunza Sana hapa
@Ben_Safari_Tz
@Ben_Safari_Tz Месяц назад
KAZI NZURI KAKA WANAFUNZI WAKO TUNAENDELEA KUPOKEA MATUNDA 🎉 MUNGU AKUBARIKI SANA 🙏
@mohdali2408
@mohdali2408 Месяц назад
Ulipaswa waondoe walimu wa shule na iekwe projecta ufundishe wanafunz wetu pamoja na internet thank you
@MrBm-369
@MrBm-369 19 дней назад
We jamaa unajua sana👏👏👏
@austereaniceth7577
@austereaniceth7577 23 дня назад
Aisee unaelezea vizuri sana...na unaeleweka muno big up sana....nimejifunza kitu ambacho nilikuwa sikijui siku nyingi..... shukrani sana.
@phabiansindano2856
@phabiansindano2856 22 дня назад
Nzuri sana hii inafundisha
@BusokeloTV
@BusokeloTV Месяц назад
Amazing sana kaka. Am Paul mwakyusa
@martinusdamian3085
@martinusdamian3085 Месяц назад
Ombi langu kwako tufanyie utaratibu wa stellaite inavyomuongoza rubani pindi anapopaisha ndege juu na kutua mji mwingine bila hata kuwa na njia angani, na mawasiliano yote yanafanyika vp mpaka mwishon
@Joekwid960
@Joekwid960 Месяц назад
Ahsante kwa Elimu Engineer Swali ni juu ya uwezekano kuzalisha free energy kwa kutumia Motor -Flywheel - Alternator.
@Kakajambazitv..
@Kakajambazitv.. Месяц назад
Nimejikuta na sb hii channel nimekubali sana 🫡🫡
@fanuelikizungu1412
@fanuelikizungu1412 Месяц назад
Maelezo mazuri sana mwana fizikia 👏👏 Ila nlikuwa nataman utuelezee mechanism inayopelekea kuzaliswa umeme baada ya kuzungushwa, nimeona sumaku kwenye Dynamo je Ina kazi gani kwenye kuzalisha umeme
@shariduidrisa1993
@shariduidrisa1993 Месяц назад
Good broh
@ephraimkabeya9648
@ephraimkabeya9648 Месяц назад
Usikate tamaa. Kazi ni nzuri, inafaa Sana kwa Nchi Kama zetu kukuza teknolojia na Hali ya kupenda Sayansi kwa vijana wetu
@user-op5gz7vj6w
@user-op5gz7vj6w 15 дней назад
Daa mim nimgeni uku nmejiungaa ramsi perfect side nawakubalii
@EmmanuelElemba-zp9vr
@EmmanuelElemba-zp9vr Месяц назад
Kaka unatoa masomo mazuri sana., ni mambo mengi sana watu hatufahamu ila huwa tunaona na kusikia sikia tu... keep it up bro, tuko pamoja
@XhebbyMandevu-u1h
@XhebbyMandevu-u1h 25 дней назад
Asanteee 🎉kaka
@tamimusoftware
@tamimusoftware Месяц назад
We ni noma sana kaka umetisha sana kaka
@raiszongo4136
@raiszongo4136 Месяц назад
Nimerudia mara 3 kuisikiliza hii video, channel sahihi sana Kwa sisi tunaopenda kujifunza thanks brother
@yahayaallytv2852
@yahayaallytv2852 Месяц назад
Maelezo mazur
@widebrainclassic
@widebrainclassic 25 дней назад
👏👏✋👏
@allymwinja2693
@allymwinja2693 Месяц назад
This is real PERFECT 🤝💪
@jacksonrocky2712
@jacksonrocky2712 Месяц назад
Hongera kwa maelezo mazuri kuhusu complex principles in our daily life. Naomba utuelezee pia Programmable Logic Controller (PLC) inavyofanya kazi.
@stevenvictor437
@stevenvictor437 28 дней назад
Safi sana yaani umenifanya nijiunge kupitia chaneli Yako Mzee.
@denischarles8864
@denischarles8864 Месяц назад
Shukrani
@idrixalumany5902
@idrixalumany5902 Месяц назад
Umetisha sana 🎉🎉
@yohanamsagara1999
@yohanamsagara1999 Месяц назад
Uko vzr unatoa elimu zuri sana
@jamestocta3075
@jamestocta3075 Месяц назад
Tunaomba somo la jinsi mawimbi yanavyosafiri. Redio inavyofanya kazi, simu, remote.. pia tueleweshe maana ya frequency
@eliofootz6519
@eliofootz6519 Месяц назад
Thanks so much 🎉
@al-bleproshooteur1922
@al-bleproshooteur1922 24 дня назад
Nakukubali mzee from M23
@saidymbagalla6622
@saidymbagalla6622 28 дней назад
Ktk channel za maana sana kwangu hii ni miongoni mwao.... Napata elimukubwa sN
@Mpforsmart
@Mpforsmart 29 дней назад
MUNGU akubarik sana darasa kubwasana hili
@YusufLubangula-yn6tq
@YusufLubangula-yn6tq Месяц назад
Afii🥰 ilaumetupunja! Hujatuambia huo waya wanauvushaje? Wanauchimbia au wanautupa juu ya mchangaa! Na wanauvusha na mtanbo upi? Meli au Helkopta!?
@sirielypetrombise519
@sirielypetrombise519 Месяц назад
Uzidi sana kubarikiwa Ndugu
@LukandaJean
@LukandaJean Месяц назад
Asante Sana muzidi kukuza viwango na kufundisha ili vipaji viendelee mbele
@Ivanmedia-dp6jy
@Ivanmedia-dp6jy Месяц назад
Namna magari yanavyotengenezwa
@KeyweezBrown
@KeyweezBrown 9 дней назад
Gali limebase na motor tu,
@CNM-hw1ns
@CNM-hw1ns Месяц назад
Salute
@zajarone9186
@zajarone9186 Месяц назад
Engineer uko vzuri sana
@Christianmovies52
@Christianmovies52 Месяц назад
Uko vizur brother
@HabibuHaji-oq1zr
@HabibuHaji-oq1zr Месяц назад
Kazi nzuri
@albertnyari7052
@albertnyari7052 Месяц назад
Nimeipenda sana
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 28 дней назад
Hii chanel inatusaidia tuliokimbia physics na kuturudisha darasan
@jamalkishangu
@jamalkishangu 20 дней назад
Chanel hii ya elimu
@user-gi8ny2xt3y
@user-gi8ny2xt3y Месяц назад
Nazidi kujua meng pamoja sana mkuu tunashukulu
@ce-08
@ce-08 Месяц назад
Mwamba yupo vizur sana
@richytarimo4656
@richytarimo4656 Месяц назад
mkuu nimekuelewa vizur sana
@mtaalamutv6928
@mtaalamutv6928 Месяц назад
Nafurai sanaa kupata madini kama hayaa
@bakarially4336
@bakarially4336 Месяц назад
Ningependa kufahamu kuhusu mafuta ya tranfoma la umeme kwa kirefu
@barakamanoniinuka9200
@barakamanoniinuka9200 Месяц назад
Good Idea
@atenionesmo_A10
@atenionesmo_A10 Месяц назад
hapa kwa kusafirisha kwenda. zanzibar ufafanuzi wa namna gan unafika
@chamimdesa148
@chamimdesa148 Месяц назад
Safi sana
@RajabuSalumu-ik1fx
@RajabuSalumu-ik1fx Месяц назад
Excellent
@GeorgeCharlesKipeya-m3b
@GeorgeCharlesKipeya-m3b Месяц назад
Safi Sana kaka,Mimi nageuza kutoka DC v12_hadi ac v220 nk,yaani nauda invertor unachozunguza sahihi maana nimefanya utafiti ,vitu vingi,naomba uzungumzie aplifey ,na transformer ways zake ndani ,zinazopokea Moto na zinazotowa motor hazigusani?
@FredMwamgogwa-td6ni
@FredMwamgogwa-td6ni Месяц назад
Unaakiri sana
@Kamanda12
@Kamanda12 Месяц назад
Bro we umesoma bongo kweli maana akili nyingi sana ila mm nataka utuletee mambo ya sayari ya dunia kwann inaelea na aishuki chini
@filbertvicent4738
@filbertvicent4738 Месяц назад
Baba nimekubali baba kwa elim bola
@user-hq2uk5yc2f
@user-hq2uk5yc2f 28 дней назад
ok
@user-ml2fv8lv2n
@user-ml2fv8lv2n Месяц назад
Kijana
@TariqSalym
@TariqSalym Месяц назад
Vizuri broo lakini Me nataka kujua kuhusu mfumo wa air brake katika truck
@laurent993
@laurent993 23 дня назад
Yan ile physics alonifundisha ticha nikaiona ngumu mikaka minne leo naiona simple sana ndn ya dakika 10
@fedrickcharles5937
@fedrickcharles5937 Месяц назад
Kaka Naomba kujua vifaa wanavyo tumia wanahanga kwenda kwenye sayali nyingine
@jumannerajabu5288
@jumannerajabu5288 Месяц назад
Elim nzur
@gilbertmsemo
@gilbertmsemo Месяц назад
imekaa sawa saana ni vema pia kama ungeelezea biogas production na geothermal steam energy zinavyo tengenezwa (generated )
@RobertLyimo-vj3up
@RobertLyimo-vj3up Месяц назад
Mtanimalizia bando akyamungu
@CastoryKapinga-nb7ht
@CastoryKapinga-nb7ht Месяц назад
Safii nimefurahi ndo NIMEKUTANA na hii channel nimeona ni subscription hapo hapo
@majaliwaking4500
@majaliwaking4500 Месяц назад
Duh kumbe Zanzibar wanategemea Umeme huku?
@daudiboaz3737
@daudiboaz3737 Месяц назад
Samahani tunaomba kujua kuhusu gari za umeme
@SadaDamas-jh2gt
@SadaDamas-jh2gt Месяц назад
Naomba kujua siri ya fuel inavyoweza kuleta nguvu ya kusukuma mitambo mikubwa kama vile malori,katapila nk
@makhanguwakhutu2408
@makhanguwakhutu2408 21 день назад
Hizi program ziweke vitu kama hizi wafrika wafungue bongo sio tu move za ngono na wizi na uchawi na kuombewa
@rweyemamurweyongeza4879
@rweyemamurweyongeza4879 Месяц назад
Kumbe chaja ya simu naya ni step-down transfomer
@Perfect_side_tz
@Perfect_side_tz Месяц назад
Charge ya Simu inafanya kazi hizi. 1. Inatumika kupunguza umeme kama step-down transformer inavyofanya. Mfano inaingiza voltage 220, yenyewe inapunguza na inatoa voltage 5. 2. Inabadilisha umeme wa AC unaotoa tanesco kuwa umeme wa DC ambao utatumika kwenye simu yako.
@officialdoy-ux8lt
@officialdoy-ux8lt Месяц назад
Perfect side please naomba ujuzi uliopo kwenye vyombo vya umeme mfano simu ikiisha chaji ukiichaji inajaa tena .. nitafurahi kama mtafanyia kazi comment yangu
@Perfect_side_tz
@Perfect_side_tz Месяц назад
Tunafanyia kazi haraka 🙂
@hamisindingo
@hamisindingo Месяц назад
Nimejua Hz na AC Tuandalie jinsi shoti inavotokea kwa mwanadamu upande wa AC na DC
@NassaniMussa
@NassaniMussa Месяц назад
Naomba unichambulie ndege inavyo weza kupaa
@Shebbytvs
@Shebbytvs Месяц назад
Fuatilia hyo channel video zake alizoupload utaikuta hyo vdeo unayoitaka!
@user-ic4cg5fx2f
@user-ic4cg5fx2f Месяц назад
uku tuingie wana sayansi tu ili tusisumbuwe walimu.
@ce-08
@ce-08 Месяц назад
Sasa hapo kwenye kupata transforma ya kupunguza umeme ndiyo changamoto maana nisije nikaunguza vitu
@hans_tech0015
@hans_tech0015 Месяц назад
Dynamo ni ac cyo dc
@richytarimo4656
@richytarimo4656 Месяц назад
nataka kujua barid ya kwenye ac huwa unatoka wap
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION Месяц назад
Sio Kwa lugha ya kitaalam Bali Kwa lugha ya kingereza
@jefjacob12420
@jefjacob12420 Месяц назад
Kwani anafundisha kingerez au anafundisha Sayansi Kitaalamu ni Dynamo. Kingereza ni Transducer. Au umekulupuk tu ku comment
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION Месяц назад
@@jefjacob12420 umekurupuka bro pakujibu nilipo commentia sio hapo😂😂😂😂
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION Месяц назад
​@@jefjacob12420nilipokoment ni kwenye eti step up transformer ni lugha ya kitaalam Isawa,,,ila kwani nikisema transfoma chocheo sio lugha ya kitaalam? Sio Kwa ubaya JJ man.
@jefjacob12420
@jefjacob12420 Месяц назад
@@BONGOINMOTION haya ban ila huku Tanesco huwa tunatumia majina hay kwaiy kwa mtazam wa kitaalam yup saw ila yote pow ty😃😃🤝
@yussufaziz325
@yussufaziz325 27 дней назад
Vipi umeme wa ac unabadilishwa na kua DC
@Perfect_side_tz
@Perfect_side_tz 27 дней назад
Kuna kifaa kinaitwa Diode huwa kinapatikana kwenye TV au Kwenye Redio nk
Далее
The Story Book : Usiyoyajua Kuhusu Jua
26:54
Просмотров 921 тыс.
I make 220v electric Wind Turbine generator
20:40
Просмотров 7 млн
JINSI YA KUFUNGA SOLAR POWER
14:06
Просмотров 20 тыс.