Mimi mwenyewe sina pakuwalipulia wanaomchukia Bwana Makonda tayari ningekuwa nilishawalipuwa kitambo sana na mimi sio mtanzania Nawala sijawahi ishi Tanzania.ila siasa za Africa hekima zake nazijuwa Makonda ni umoja mwawale viongozi wenye hekima na huruma
Ambie hawanahaya ..halafu vitisho vyao viaikuyumbishe ..siaia tunakuombea na Kwa nguvu za ALLAH utasimama daima kwenye haki na wao wataadhirika .WALAFI HAWANA NAFASI KWENYE TAIFA LETU.PUMBAV ZAOOOO.
Makonda watu wenye roho mbaya wanafikiri we unafanya compani za ccm,kumbe we unatatua matatizo ya watanzania,na nyota yako inawaka wanafikiri wanaweza kuizima huwezi kuzima kilichowashwa na Mungu huwezi kuzima
Ujinga mwingine. Mnatapeliwa kijinga. Ni tatizo gani angalau moja huyu chawa ameishatatua tangu mmpelekee zaidi ya kuwatapeli kwa kuwambia mnachotaka kusikia. Namuonea huruma Samia kwa kufufua huyu bashite anayezidi kuonyesha kuwa kumbe Tanzania haijawahi kuwa na serikali yenye kuwafaa wananchi hadi sasa bashite anapojimwambafy kama rais.
Katumwa kusema badala ya rais, fanyeni majukumu yenu kama viongozi, hawa wananchi mnataka wasaidiwe na nani, wenye majukumu yenu mnajaza vitambi tu nyooooooo. Huyu ndio raisi ajae fanyani mfanyavyo ndio rais
Rais ajae? Kwani watu wenye akili timamu wameisha Tanzania hadi mnafikiria na wendawazimu wanaweza kuongoza? Kama mnampigia kampeni hapa, jua mnamchoma na kuunguza@@nicethgabriel3319