Тёмный
No video :(

MAKONDA; OCD CHUKUA HUYO MTENDAJI/WANANCHI WAMKAANGA VIBAYA MUNO MTENDAJI KWA MAKONDA 

JAMBO TV
Подписаться 915 тыс.
Просмотров 18 тыс.
50% 1

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RU-vid: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 25   
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 3 месяца назад
Mimi ni chadema lkn kwahiki anachofanya makonda nikitu kizur sana Kwanini watumishi wote wasifanye kama makonda
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 3 месяца назад
Go Makonda! Gooooo'Mkuu wa mikoa ya Tanzania
@jacoblaiser7634
@jacoblaiser7634 3 месяца назад
Hon. MAKONDA, you'll never walk alone! We are with you everywhere you go!
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 3 месяца назад
Na kazi mwisho ni leo tupumue kidogo
@Mgema001
@Mgema001 3 месяца назад
Watendaji wa chini jamani mnachafua chama cha mapinduzi na mnamchafua raisi...kwanini hamjifunzi tu
@vicenttarimo2203
@vicenttarimo2203 3 месяца назад
Bado Kuna mambo ya hovyo sana kwenye vijiji na viongozi wanachangia migogoro wananchi pia wamekua waoga ndo maana hayo yanaendelea wasiwachague ili migogoro isiendelee wachague watu wenye utu
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s 2 месяца назад
Be blessed 🙏🙏 makonda
@abeidGeofrey
@abeidGeofrey 2 месяца назад
Nakupenda Sana makonda
@matukioyasikuzamwisho7653
@matukioyasikuzamwisho7653 3 месяца назад
Nchi imeoza sana
@devisshirima6780
@devisshirima6780 2 месяца назад
Hawa wanaovaaga mavazi ya chama huwa wanajificha nyuma ya hayo mavazi lakini wana uchafu mwingi sana !! Hao ndio wanaosababisha chama kionekane kibovu !! Na hao watu wa namna hiyo upo uwezekano wapo hata vigogo wa juu wanaojificha nyuma ya chama lakini wanafanya uozo mwingi sana !! Natamani uwe Rais ili usafishe system yote ya chama ili wananchi turudishe imani katika chama tawala !!
@sa3dasa3da87
@sa3dasa3da87 2 месяца назад
Mbona sasa wanakijiji wameandamana wanataka mtendajiwao aachiwe maana wamemuonea hayo mambo sio kweli,na hapa wapo wanakijiji wanashangilia sasa wanakijiji gani ni wakweli
@demicratia4071
@demicratia4071 3 месяца назад
Hawatangaziii makusudi
@dotolinos3750
@dotolinos3750 2 месяца назад
Niko Burundi ila Makonda ananikosha mnoo. Sijui kwetu tunakwama wapi
@WazirJuma-gd5oo
@WazirJuma-gd5oo 2 месяца назад
Huku ni Spna tu hakuna kucheka na kimaa.
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 2 месяца назад
Awa watimish wengine wanatuumiza sana
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 2 месяца назад
Piga spana wote
@godwinkasaizi882
@godwinkasaizi882 3 месяца назад
Bwana Simon hiyo ndo Siasa.
@alexndonde3068
@alexndonde3068 3 месяца назад
na mkumbuka simoo ezi za makumira
@jozeeshirima9231
@jozeeshirima9231 2 месяца назад
Pilato nimempenda bule
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 3 месяца назад
Nchi imeooza
@alexndonde3068
@alexndonde3068 3 месяца назад
kijana wa makumira simoo
@peterdaud5669
@peterdaud5669 2 месяца назад
Ila ww makonda unaboa bwana
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 3 месяца назад
MAKONDA UKITEMBEA KUKAGUA KAMA DONAL TRAMP
@pendomboya4381
@pendomboya4381 2 месяца назад
Viongozi wengine sura zao zinaonekana kbs kumchukia Makonda
@aloycejangantoroki6252
@aloycejangantoroki6252 2 месяца назад
naomba tu makonda wamteuwe tanzania nzima iwe yake ataweza tu maana hawa wengine wanakula mishahara tu
Далее
C’est qui le plus fort 😂
00:18
Просмотров 9 млн