Mashaallah. Inatukumbusha zamani sana ilipokuw Qadiria inasoma Qaswida za visa vya tarehe vilikuw vinawagusa watu katka huu umma. Mungu awazidishie heri kina She: salum rashid na wanafunz wote wa Qadiria Mungu awabarki murudi katka asili yenu ya zamani ya Qaswida kam hizi za upole sio zile za maharusi watu wanazopiga ngoma. Allah Awabarik
Hii ndio Qadiria tunayoijua sisi ilikuw hatari sana ndani ya Tanzania mpak nje ya nchi. Jitahid murudi katka asili yenu ya zamani ya Qaswida zenje sampuli kama hizi za salum rashid anasom kwa upole na wengine wanaitikia. Mukifanya hivo Qadiria itakuwa na NGuvu kubwa kama hapo zamani na kutikisha katka maulid ya maisara na nje ya nchi