Тёмный

JERRY SILAA MAMA MZURI LAKINI TABIA MBAYA || AMPA MAKAVU MAMA WA MWANZA || AWAPA WAISLAMU ENEO LAO 

RAI TV
Подписаться 96 тыс.
Просмотров 72 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 184   
@kunsule9261
@kunsule9261 6 месяцев назад
Waziri uko makini sana. Hakika marehem magu alikuwa akitaka wasaidizi kama huyu Waziri slaa. Mungu amrehem hayati magu mungu afya njema na weledi zaidi waziri. Masheikh mmefanya vema kuwaombea duaa viongozi hawa waadilifu. Aamiyn
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 6 месяцев назад
Aamin Aamiin
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 6 месяцев назад
Mama Samia Raisi wetu umepata waziri huyu anasaidia sana Wananchi wananchi
@katumabiyan5090
@katumabiyan5090 6 месяцев назад
Nimetoa machozi!! silaa Mungu akulinde
@shukranhema47
@shukranhema47 3 месяца назад
Akih pia mimi nimetoa machozi walaih
@JumaBinAbdallah
@JumaBinAbdallah 6 месяцев назад
Tanzania muko na waziri wa ardhi, Allah akuhifadhi inshallah.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 месяца назад
msijali jirani weetu wazuri watu wa maana kabisa. Mungu wtu ni wasote. Mtapata tena bora sana kuliko sie.
@Issakadege-e3r
@Issakadege-e3r 6 месяцев назад
Nakukubali sana. Muheshimiwa nimejifunza mengi sana bigg up. Shule nzuri sana. Mungu akulinde muheshimiwa
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 6 месяцев назад
Ana akili sana huyo, kwa kingereza tunasema, he is genius...trust me 😄
@RahimBoy-lh4nc
@RahimBoy-lh4nc 6 месяцев назад
Mkuu!mimi kama mwana ukonga najivunia kuwa na kiongozi bora kama wewe,mungu hakurinde sana una vitu kwenye kichwa chako.
@smarty1064
@smarty1064 6 месяцев назад
Huyu mama hajui sheria za ardhi hata kdg, makaratasi meeengi, imekula kwake, ukitaka kununua ni vema sana kuuliza kwanza hela sio kila kitu 😂😂😂
@amosmahona433
@amosmahona433 6 месяцев назад
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni huyu MH.waziri anapiga kazi sana tena sana .
@shukurually8769
@shukurually8769 5 месяцев назад
Kabisa
@farhannahomary5505
@farhannahomary5505 6 месяцев назад
Uvae maski mkuu mzunguko huo zero distance be Care
@yousifyousif-p7f
@yousifyousif-p7f 6 месяцев назад
Mungu akulinde kila aina ya shari salaa 🙏kesho pepo iwe makazi yako amini😢
@FaridaSalum-l5w
@FaridaSalum-l5w 6 месяцев назад
'Tenda wema kama wewe ulivotendewa wema na mwenyezimungu' wewe ni zawadi kutoka kwa mwenyezi mungu kwa ajili yetu,Big Up!
@selemanmaganga-le4zg
@selemanmaganga-le4zg 6 месяцев назад
Hii ndiyo wizara namba moja kwa ugumu!.
@paschalpaul3862
@paschalpaul3862 6 месяцев назад
Tatizo la nchi akija waziri mwingine anavuruga
@abubakarsuleman1983
@abubakarsuleman1983 5 месяцев назад
Mungu akulinde kiongozi wetu, akuruzuku kizazi kilichochema chenyekufata nyao zako kijekua msaada mkubwa ktk nchi yetu, kirithi yote mema ambayo mungu amekuruzuku, mungu akuzidishie elimu na hekima , busara na subra ktk maisha yako Amin, shukrani za pekee pia zimfikie mama Samia kwa kututeulia kiongozi sahihi. Najua utakutana na vita na changamoto nyingi ila usichoke wala usikate tamaa mungu yupo pamoja na wewe na utashinda na mungu atakulipa malipo mema inshaallah amin.
@mfyoko
@mfyoko 6 месяцев назад
Hongera Mhe Waziri kwa uamuzi wako thabiti.
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 6 месяцев назад
huyu mama namfahamu an jishepu balaa.yuko nyakato
@ChristinaMushy
@ChristinaMushy 5 месяцев назад
Kaka yangu slaa Mungu akubariki sana unapambana sana mkuu
@mligosandrah7851
@mligosandrah7851 6 месяцев назад
Mungu msimamie sana ndugu waziri silaa maana anatenda haki
@danielzambi8993
@danielzambi8993 6 месяцев назад
Mh: Slaaha unakarama Mungu akutangulie
@jacobmakono4399
@jacobmakono4399 5 месяцев назад
Nimesikitika Sana!Hatuingiii peponi kwa mizani Bali kwa kumpokea Yesu Kristo awe Bwana na mwokozi wa maisha yetu!
@abubakarmwasumilwe7070
@abubakarmwasumilwe7070 4 месяца назад
Hayo yapo kwenu
@amosieliasi9265
@amosieliasi9265 3 месяца назад
Safi sana waziri wapige supana kama Makonda hawamugopi Mungu majizi haoo
@salwasuleiman8943
@salwasuleiman8943 2 месяца назад
Allah akuongoze mh silaa katika njia ya uongofu naamini sikumoja utakuwa raisi wanchi inshallah Allah akupe afya njema na uongofu
@Dymitri-Babushka.
@Dymitri-Babushka. 6 месяцев назад
Mama Leo ameyatimba 😂😂
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 4 месяца назад
Ameyakanyaga😂😂😂
@jazilambaji2789
@jazilambaji2789 4 месяца назад
Ameyavagaa 😂😂😂​@@femidayahaya4882
@AminaRamadhan-mg9lj
@AminaRamadhan-mg9lj 3 месяца назад
Pamoja na furushi lakee loteee lkn hajaambuliaaa kituuuu😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@imanmodern
@imanmodern 6 месяцев назад
Kumbe waziri wa ardhi Angelina Mabula alikua mzigo tu
@ChristianKiponda-d7e
@ChristianKiponda-d7e 6 месяцев назад
Angelina Mabula, Alikuwa ni Mngoja Posho, Kazi za kusimamia ardhi ni Ngumu sana, Ina Matapeli wengi, Waziri Jerry Slaa ndiye Mwenye maamuzi sahihi Kuliko Mabula Angelina.Mama amepata Jembe Kweli Kweli
@ismailabbas4197
@ismailabbas4197 6 месяцев назад
Tena yule mama mmoja wa majizi wakubwa kwenye hii nchi
@momylaviel
@momylaviel 5 месяцев назад
Tena zigo haswaaa
@ukweli255
@ukweli255 5 месяцев назад
Mboana unamvuka Wazir Lukuvi yeye si alikuwa Wazir na alikuwa anasifiwa sana...Tofauti na mawazir waliopita ni kuwa Jerry ni mwanasheria tena Wakili Msomi...ndio maana watu wanadaia mageuzi kwenye utendaji hasa kuanzia Halimashauli ili wanaoingia kwenye ofis za Halimashauri wasiwe wanasiasa ila iwe Taaluma inayoombwa kama Bank vile...Aridhi kwenye hili Taifa ni Janga kubwa,huyo Wazir kuna Mikoa hata aenda kutatua Migogoro hasa Morogoro na Mbeya..hata huku Dar bado ni changamoto...Aridhi inatakiwa iwe kwenye system sio kwenye makaratasi tenaaaa
@sophsoph4740
@sophsoph4740 5 месяцев назад
Yule yupo kimasrahi yqke binafsi
@danielmadale7710
@danielmadale7710 5 месяцев назад
Kaka slaa. Mi nakukubali mno. kwanza una moyo wa kuwajali watu wa ngazi zote. na unajishusha hadi ngazi ya watu waliko. wajanja wajanja wanalia. Kumbe nchi yetu bado ina akiba kubwa ya watu waadilifu ila hawajapewa nafasi.Mungu akulinde uwahudumie watanzania wengi.
@khamisjuma1278
@khamisjuma1278 4 месяца назад
Mashaallah ni waziri Ntenda haki Mungu akubarik
@salwasuleiman8943
@salwasuleiman8943 2 месяца назад
Mh jeri silah nakutabiria kuwa raisi hapo badae mungu akipenda
@Ommybabaa47
@Ommybabaa47 5 месяцев назад
Allahu akibaru mollah akupe afya njema Wazir Silaha
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 5 месяцев назад
ManshaAllah waziri jaman nakupenda kwa kutenda haki yaan nakupenda unavoidable ijuwa din ya kiislam na kikiristo Allah akulinde akujalie Kila lakher Allah akupe mazuri duniani na akhera Allah akudumishe kwenye KAZI yko Akupe cheo zaidi na zaidi tunakupenda kwa ajili ya Allah.wewe ni mfano wa kuigiza .yaan hatutaman tena kupata waziri wa ardh mengine zaidi yko kwani atakae kuja atavuruga Tu
@TwahaMpakani-pn4ov
@TwahaMpakani-pn4ov 6 месяцев назад
Haki huwa inachelewa tu ukiwa unadhulumu ipo siku haki hiyo itarejea kwa mwenyewe mwenyezimungu atatenda kupitia watu kama hivyo tu apo siyo jeri ni mungu kwa hiyo msimchukie huyo
@shukurually8769
@shukurually8769 5 месяцев назад
Allah amlinde jeri silaha kwakweli
@saidyiddy1770
@saidyiddy1770 6 месяцев назад
Nimetokea namachozi waziri hatahakutumia nguvu nyingi kuhukumu hiyo kesi.
@AthumaniBakari-o6r
@AthumaniBakari-o6r 2 месяца назад
Hawa ndio viongozi wanaostahili kuiongoza Tanzania Jerry Slaa Poul makondo Olengai sabaya Ali Happy Godwn Gandwe na Aliekua mkuu wa mkoa wa Tabora soma hyoooooooo hao hawapepesi maneno
@boscoafikile4737
@boscoafikile4737 6 месяцев назад
Aaaaaa bakwata mali ni yao mama aliuziwa mbuzi kwenye Gunia
@Dymitri-Babushka.
@Dymitri-Babushka. 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@kibelaame5178
@kibelaame5178 6 месяцев назад
Hahaha
@StevenMnguto
@StevenMnguto 2 месяца назад
Hy waziri slaa namkubali kazi zuri sana
@MakalaPlus
@MakalaPlus 2 месяца назад
Huyu waziri ni genius..Sio mchezo
@hammerymachogu3885
@hammerymachogu3885 3 месяца назад
Huko vizuri mh.Waziri huo ndo ukweli watu wana dhurumu mali za marehemu , huyo mama ana matatizo ana kesi za kuwashtaki hadi ndugu zake mali za bwba yao mzee kafiti.umetenda jambo la haki ,ana tamaa sana hyo mama
@HamduniAbdulrazaki-wl5lg
@HamduniAbdulrazaki-wl5lg 6 месяцев назад
Waziri we kichwa
@khamixilotwa5665
@khamixilotwa5665 3 месяца назад
Hapo mama alitapeliwa na msimamizi dah😢
@Shehasweet-hy6xn
@Shehasweet-hy6xn 6 месяцев назад
Mungu mkubwa..haki haipoteiii.. Mungu akupe pepo kwa daraja la firidaus..slaaa
@Nyanda506
@Nyanda506 6 месяцев назад
Jpm ,lukivi,jerry Safi sana kwa ardhi
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 6 месяцев назад
Takbil wanamuombea Waziriri 😅
@muhydinaden552
@muhydinaden552 5 месяцев назад
Wanamsifu aliyemuumba waziri na kuumpa hikma ya kuamua Haki....
@tonymike1846
@tonymike1846 5 месяцев назад
Hz kesi za ardhi waliosababisha kwa asilimia kubwa ni watumishi wa ardhi
@geraldlyimo2859
@geraldlyimo2859 6 месяцев назад
Waziri semaa aminaa
@ahmednassor9131
@ahmednassor9131 5 месяцев назад
Mimi nimuislamu lkn nakuombea mungu waziri wewe unajua haki za kibinadam,Allah akulinde
@shukranhema47
@shukranhema47 3 месяца назад
Akih nyinyi wenzetu mko Na viongozi Mungu awazidishie..... Sisi wakenya ndio shida kabisa
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 месяца назад
msijali Kenya jirani wetu wazuri watu wa maana kabisa. Mungu wtu ni wasote. Mtapata tena bora sana kuliko sie. Tuendelee kumsihi Huyu Mungu Anaetupenda sote. msijali kabisa
@dorahmbeikya5471
@dorahmbeikya5471 6 месяцев назад
Yaani waziri Mungu akupe uhai mrefu umetenda haki
@zackariyayussufnooryussufn4180
@zackariyayussufnooryussufn4180 6 месяцев назад
Manshallah thabarakallah Allahuma hafidh YAA RABIL_ALAMEEN
@mamaziada134
@mamaziada134 6 месяцев назад
Waziri kuna huyu Erick mwaikambo kaniuzia kiwanja huu mwaka 6 hataki kunipa mkataba wala hati naomba serikali inisaidie mimi mnyonge sina mtetezi kiwanja kipo buyuni
@Fatuma-p9y
@Fatuma-p9y 3 месяца назад
Ongera wazili wetu kazi zuli sana❤❤❤❤❤
@azizimyavilwa8199
@azizimyavilwa8199 4 месяца назад
Uyu maza bana😅😅😅😅
@nicodemungimba5579
@nicodemungimba5579 5 месяцев назад
Safi sana waziri
@zainabramadhani9838
@zainabramadhani9838 6 месяцев назад
Jamaniiii waswahili Kwa kupenda Mali za urithi nyba iliwekwa wakfu unakuja kumuuzia mtu mwingine jamaniiii uwiiiiiiii😂😂😂
@imanifungo7736
@imanifungo7736 3 месяца назад
Siraa piga kazi baba komesha uonevu
@asnalimtv7690
@asnalimtv7690 3 месяца назад
Dah hatari Sana mungu akuhifadhi na mabaya yote huyu Jama kusema kweli inaonekana Ana kitu cha kiroho
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 6 месяцев назад
Maashaallah. Allhamdulillah
@fakihdarusi4385
@fakihdarusi4385 3 месяца назад
JERRY JERRY JERRY ....... 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@abdulawadh7688
@abdulawadh7688 6 месяцев назад
Mm atujalia mwisho mwema kwa kazi yako
@humphreymkony8915
@humphreymkony8915 3 месяца назад
Mama Samia atampaje afya njema Jerry silaa wewe? Ni Mungu tu awezae. Na amelaaniwa Yule amtegemea binadamu mwenzie
@YusuphJuma-x7k
@YusuphJuma-x7k 3 месяца назад
Huyo mama analazimisha kumuelewesha waziri analeta ujuaji mbela ya sheria
@humaidhamidu4770
@humaidhamidu4770 5 месяцев назад
MUNGU Akulinde Sana ana ALLAH nifanye niwe kiongozi wa busara, na akili , mwadilifu na sifa Kama huyu kiongozi wa ardhi
@Kidotii
@Kidotii 3 месяца назад
Machozi yameenitoka hapo mwisho kwenye hiyo sala hata kama sijaelewa!😢 wamesali kutoka moyoni!
@SadamHassan-ng3yl
@SadamHassan-ng3yl 4 месяца назад
Nimependa sana hii kitu 💪
@RosemaryMalya
@RosemaryMalya 6 месяцев назад
Mwanamke mwenzangu na Rozari hiyo hauna kauli nzuri hata kidogo unamjibu waziri wako hovyo hauna nidhamu hata kidogo
@JumaLulanje-i2o
@JumaLulanje-i2o 5 месяцев назад
Wewe muheshimiwa allah akulinde namaaduwi
@othumanomari1589
@othumanomari1589 3 месяца назад
Amina 🤲🤲
@karimhasham8259
@karimhasham8259 4 месяца назад
Kwa kweli we kiongozi mi nakukubali sana huna longolongo unafuata sheria sio kukumbatia migogoro tu kila siku,
@SwaleheSaad
@SwaleheSaad 3 месяца назад
Waziri slaa bana yaani anakusikiliza tu halafu anakubana kupitia hayohayo maelezo yako na anakumaliza🤣🤣🤣
@saloujohn3639
@saloujohn3639 4 месяца назад
Nchi yet nzuri sana
@ShangweSylus-nf6we
@ShangweSylus-nf6we 6 месяцев назад
Shida ya kununua viwanja vyenye mgogoro, hizi kesi wanaziweza wahaya tu nyie wengine 😅😅😅😅
@iddiabdallah7352
@iddiabdallah7352 6 месяцев назад
Ni waziri mpole mstaarabu hana hekima na busara tele safi sana
@ireneshao7950
@ireneshao7950 6 месяцев назад
Mno ana utulivu sana
@athumanmfangavu7320
@athumanmfangavu7320 6 месяцев назад
Ana hekima 😂😂 sio Hana hekima nikosa hilo
@iddiabdallah7352
@iddiabdallah7352 6 месяцев назад
@@athumanmfangavu7320 Asante sheikh ndio tulivyo fundishwa kuwekana sawa pale pindi unapoona mwenzio kateleza Asante Nashukuru sana typing error hii inaitwa
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 3 месяца назад
Nimetoa machozi❤
@mozuu1260
@mozuu1260 4 месяца назад
Mumewangu ukijatoa wakfu ichi kibanda kwakweli mtaniona kwenye tv na jerry😂
@hasinaalrahbi6681
@hasinaalrahbi6681 2 месяца назад
TAKBEER TAKBEER TAKBEER
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 6 месяцев назад
Huyo kafiti ardh ya mwanza kila eneo viwanja vyake kumbe tapel
@amoslucas1247
@amoslucas1247 6 месяцев назад
Toka national had nyakato sokon😅😂
@MariamWiliam-z8k
@MariamWiliam-z8k 6 месяцев назад
Mama samia una vijana tena wasiokudhalilisha waziri jerry makonda chalamila rukivu nawengineo ndo ukichanja dam zao nikijani tupu nawapenda sana vijana chapen kazi
@jonasfrank1758
@jonasfrank1758 5 месяцев назад
Good job bro
@praygodjohn5221
@praygodjohn5221 6 месяцев назад
Mlindeni huyo waziri maadaui washaakuwa wengi achukue tahadhari haki anayoitenda baadhi yao inawakwaza
@bishopmosesmagadula7572
@bishopmosesmagadula7572 3 месяца назад
Huo wakifu uliandikiwa MAANDISHI mbona hakuna makabidhiano YALIYO onyeshwa WAKATI AKITOA WAKFU baadae mama huyu anauziwa ardhi ELFU MBILI NA TANO
@mercypeter162
@mercypeter162 6 месяцев назад
KALUNDE amepatikana Safi sana waziri
@ndolepeter2770
@ndolepeter2770 3 месяца назад
hakuna neema na baraka hapa dunian kama dua na kupendwa na wanyonge hakika pepo ipo juu yako kaka.
@abuayman8184
@abuayman8184 6 месяцев назад
Allaah akuruzuku Uislamu
@MichaelMaro-hj7yo
@MichaelMaro-hj7yo 4 месяца назад
MUNGU ANAWAONA SILAHA MAKONDA MUNGU ATAWALINDA MAMA SAMIA TENGENEZA WENGINE KUMBU KUMBU UKINIZINGUA NTAKUZINGUA
@HafidhOmar-rs4ty
@HafidhOmar-rs4ty 6 месяцев назад
Wwe slaaa unavyonjoosha maneno kma ukija katika uislam utakuwa mtaalamu wa fani moja ya elimu ya dini iitwayo (fikhi ) hii nifani inayojihusisha na maswala ya kisheri .sheria ya dini na yakijamii
@WitnesKephas
@WitnesKephas 6 месяцев назад
Muonee nahuyu mwezako anatatua ardhi we unaleta udin ovyooo😅
@HafidhOmar-rs4ty
@HafidhOmar-rs4ty 6 месяцев назад
@@WitnesKephas dini ni mfumo mzima wa maisha ya mwanaadam ndomna binadam wote wapo na dini isipokuwa dini sahihi ipo moja , najee vle ktk bunge ukitolewa mfno wa aya za bibilia ni udini ni mifano hai2
@DavidMgeni-d9n
@DavidMgeni-d9n 6 месяцев назад
Waziri baba rao hawa ndio wanatakiwa kwa hi tz
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 6 месяцев назад
His name is Silaa, you all, and he has no any relationship with Dr Slaa. Such decision will be tough, but they are developing a system that every process on acquiring land can be transparent. What he's dealing with in such meetings are very serious matters. There is no way he can smile; otherwise, he is a funny dude with tons of jokes. Trust me 😊
@AmourAmour-f4c
@AmourAmour-f4c 6 месяцев назад
Mama samia mungu akuweke akupe akili najicho pana lakuona viongozi wenye ujasiri kama Huu
@InnocentLeonard-gy1mn
@InnocentLeonard-gy1mn 6 месяцев назад
Ktk maisha yangu ctaki migogoro wa aridhi
@petermboya2187
@petermboya2187 5 месяцев назад
Ila documents watu huwa wanafoji jamani
@SadamSarita-t7z
@SadamSarita-t7z 5 месяцев назад
Huyu jamaa akipewa Tanzania itakua kama ulaya amenyooka sana
@Rai_online_tv
@Rai_online_tv 5 месяцев назад
Hakika
@kulwalusafisha2948
@kulwalusafisha2948 4 месяца назад
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@eshyndibalema1529
@eshyndibalema1529 6 месяцев назад
Umeenda haki mheshimiwa
@jonasfrank1758
@jonasfrank1758 5 месяцев назад
Uchokifanya, utafanya wakazi wa maeneo mengine tuje ukonga kukupgia kula wakati wa uchaguzi, naomba nyumba yakupanga kwa ajili yakupga kula, maana una vita kubwa sn na watu wanaopokonya maeneo ya watu
@amoslucas1247
@amoslucas1247 6 месяцев назад
Kafiti wakongwe wa mwanza hao😅
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 6 месяцев назад
Naomba waziri alindwe vyakutosha asiwe KARIBU na hao majambazi wapora ardhi sio watu WAZURI pls
@mkondomkondo4721
@mkondomkondo4721 3 месяца назад
Angelina mabula alikuwa zaidi ya mzigo
@prosperjuma905
@prosperjuma905 6 месяцев назад
Ndo maana mimi nimenunua ardhi kwa mtu ninayemjua. Ardhi ni very complecated
@fettyrashid9042
@fettyrashid9042 6 месяцев назад
🤝
@jacklinakinabo6479
@jacklinakinabo6479 6 месяцев назад
Sasa watanzania wafanyaje wakati wananunua ardhi kwasbbu wanaouza hayo maeneo wakati mwingine ni viongozi wenye dhamana ndo wanasaini hizo karatasi ,wanapitisha...duuh kuwe na utaratibu wa kununua ardhi kwenye system bhas kama vipi ili tuepushe migogoro
@geofreymhema2144
@geofreymhema2144 6 месяцев назад
Jamaa ananyoosha balaaa
@upendokibuga1434
@upendokibuga1434 6 месяцев назад
MH. SILAA UISHI MAISHA MAREFU
@amosieliasi9265
@amosieliasi9265 3 месяца назад
Ww mama mwizi tena taperi
Далее
НОВАЯ "БУХАНКА" 2024. ФИНАЛ
1:39:04
Просмотров 526 тыс.
TRENDNI BOMBASI💣🔥 LADA
00:28
Просмотров 781 тыс.