Waziri uko makini sana. Hakika marehem magu alikuwa akitaka wasaidizi kama huyu Waziri slaa. Mungu amrehem hayati magu mungu afya njema na weledi zaidi waziri. Masheikh mmefanya vema kuwaombea duaa viongozi hawa waadilifu. Aamiyn
Mungu akulinde kiongozi wetu, akuruzuku kizazi kilichochema chenyekufata nyao zako kijekua msaada mkubwa ktk nchi yetu, kirithi yote mema ambayo mungu amekuruzuku, mungu akuzidishie elimu na hekima , busara na subra ktk maisha yako Amin, shukrani za pekee pia zimfikie mama Samia kwa kututeulia kiongozi sahihi. Najua utakutana na vita na changamoto nyingi ila usichoke wala usikate tamaa mungu yupo pamoja na wewe na utashinda na mungu atakulipa malipo mema inshaallah amin.
Angelina Mabula, Alikuwa ni Mngoja Posho, Kazi za kusimamia ardhi ni Ngumu sana, Ina Matapeli wengi, Waziri Jerry Slaa ndiye Mwenye maamuzi sahihi Kuliko Mabula Angelina.Mama amepata Jembe Kweli Kweli
Mboana unamvuka Wazir Lukuvi yeye si alikuwa Wazir na alikuwa anasifiwa sana...Tofauti na mawazir waliopita ni kuwa Jerry ni mwanasheria tena Wakili Msomi...ndio maana watu wanadaia mageuzi kwenye utendaji hasa kuanzia Halimashauli ili wanaoingia kwenye ofis za Halimashauri wasiwe wanasiasa ila iwe Taaluma inayoombwa kama Bank vile...Aridhi kwenye hili Taifa ni Janga kubwa,huyo Wazir kuna Mikoa hata aenda kutatua Migogoro hasa Morogoro na Mbeya..hata huku Dar bado ni changamoto...Aridhi inatakiwa iwe kwenye system sio kwenye makaratasi tenaaaa
Kaka slaa. Mi nakukubali mno. kwanza una moyo wa kuwajali watu wa ngazi zote. na unajishusha hadi ngazi ya watu waliko. wajanja wajanja wanalia. Kumbe nchi yetu bado ina akiba kubwa ya watu waadilifu ila hawajapewa nafasi.Mungu akulinde uwahudumie watanzania wengi.
ManshaAllah waziri jaman nakupenda kwa kutenda haki yaan nakupenda unavoidable ijuwa din ya kiislam na kikiristo Allah akulinde akujalie Kila lakher Allah akupe mazuri duniani na akhera Allah akudumishe kwenye KAZI yko Akupe cheo zaidi na zaidi tunakupenda kwa ajili ya Allah.wewe ni mfano wa kuigiza .yaan hatutaman tena kupata waziri wa ardh mengine zaidi yko kwani atakae kuja atavuruga Tu
Haki huwa inachelewa tu ukiwa unadhulumu ipo siku haki hiyo itarejea kwa mwenyewe mwenyezimungu atatenda kupitia watu kama hivyo tu apo siyo jeri ni mungu kwa hiyo msimchukie huyo
Hawa ndio viongozi wanaostahili kuiongoza Tanzania Jerry Slaa Poul makondo Olengai sabaya Ali Happy Godwn Gandwe na Aliekua mkuu wa mkoa wa Tabora soma hyoooooooo hao hawapepesi maneno
Huko vizuri mh.Waziri huo ndo ukweli watu wana dhurumu mali za marehemu , huyo mama ana matatizo ana kesi za kuwashtaki hadi ndugu zake mali za bwba yao mzee kafiti.umetenda jambo la haki ,ana tamaa sana hyo mama
msijali Kenya jirani wetu wazuri watu wa maana kabisa. Mungu wtu ni wasote. Mtapata tena bora sana kuliko sie. Tuendelee kumsihi Huyu Mungu Anaetupenda sote. msijali kabisa
Waziri kuna huyu Erick mwaikambo kaniuzia kiwanja huu mwaka 6 hataki kunipa mkataba wala hati naomba serikali inisaidie mimi mnyonge sina mtetezi kiwanja kipo buyuni
@@athumanmfangavu7320 Asante sheikh ndio tulivyo fundishwa kuwekana sawa pale pindi unapoona mwenzio kateleza Asante Nashukuru sana typing error hii inaitwa
Mama samia una vijana tena wasiokudhalilisha waziri jerry makonda chalamila rukivu nawengineo ndo ukichanja dam zao nikijani tupu nawapenda sana vijana chapen kazi
Wwe slaaa unavyonjoosha maneno kma ukija katika uislam utakuwa mtaalamu wa fani moja ya elimu ya dini iitwayo (fikhi ) hii nifani inayojihusisha na maswala ya kisheri .sheria ya dini na yakijamii
@@WitnesKephas dini ni mfumo mzima wa maisha ya mwanaadam ndomna binadam wote wapo na dini isipokuwa dini sahihi ipo moja , najee vle ktk bunge ukitolewa mfno wa aya za bibilia ni udini ni mifano hai2
His name is Silaa, you all, and he has no any relationship with Dr Slaa. Such decision will be tough, but they are developing a system that every process on acquiring land can be transparent. What he's dealing with in such meetings are very serious matters. There is no way he can smile; otherwise, he is a funny dude with tons of jokes. Trust me 😊
Uchokifanya, utafanya wakazi wa maeneo mengine tuje ukonga kukupgia kula wakati wa uchaguzi, naomba nyumba yakupanga kwa ajili yakupga kula, maana una vita kubwa sn na watu wanaopokonya maeneo ya watu
Sasa watanzania wafanyaje wakati wananunua ardhi kwasbbu wanaouza hayo maeneo wakati mwingine ni viongozi wenye dhamana ndo wanasaini hizo karatasi ,wanapitisha...duuh kuwe na utaratibu wa kununua ardhi kwenye system bhas kama vipi ili tuepushe migogoro