Тёмный

Mama DANGOTE amjibu HAMISA? "Mkwe hakutaki" Mashabiki wamuomba amsamehe kwa uchungu waguswa 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 53 тыс.
50% 1

#HamisaMobetto #MamaDangote #Gingerme

Опубликовано:

 

14 окт 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 344   
@catherinemuthoki2614
@catherinemuthoki2614 3 года назад
Hamissa dada ...achana na huyu mama siku yake yaja chuki ...ikunyime kuishi ...jikaze na maisha yako ...let her be God's love is important than human being love...may God protect you and your son
@rehemahussein748
@rehemahussein748 3 года назад
Sisi sote ni waja wake Allah! Don't worry hamisa Ukipendwa na Mungu hiyo imetosha!
@irenewanini6716
@irenewanini6716 3 года назад
Mama diamond kwani ni mungu,
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 3 года назад
Exactly my dear, yeye ni nani kwani 😏😏😏
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 3 года назад
@@irenewanini6716 Eti
@rehemahussein748
@rehemahussein748 3 года назад
@@saumuhassan6365 amejisahau kuwa pesa ni mapambo ya dunia tuu! Huwezi kumchukia mwana wa mwenzio buree Bila sababu!
@mymunamymuna4807
@mymunamymuna4807 3 года назад
Achana nae huyo bibi mchawi, kama mungu anakutosha inatosha huyo mwanga asikusumbue
@marthaemmanuel3323
@marthaemmanuel3323 3 года назад
Safi sana mama dangote mkomeshe huyo
@vanessamagezi6986
@vanessamagezi6986 3 года назад
Acha roho mbaya,au wewe ndo mrithi wake
@lm6373
@lm6373 3 года назад
Hamisa mzuri sana anajuwa ku jivicha ona video yake machallah anapendeza anasema vizuri good personality lakini zuchu nguo ana vaa kama zime chonwa kwa fundi wa barabani mmmh hamisa well done
@maimunamunisigloyyixigjsgs6638
@maimunamunisigloyyixigjsgs6638 3 года назад
Wewe mama kuwa kiakili mtoto Hana tatizo kiumbe Cha mungu hicho. Duniani tunapita
@deeruta9894
@deeruta9894 3 года назад
True kabsa
@NANCYWARD488
@NANCYWARD488 3 года назад
Kwani kama Hamisa alimkosea. Huyu mtoto mdogo Malaika amemkosea nini ? Jeuri ya pesa, zote tutaziacha hapa hapa. Hamisa Mungu atazidi kukufungulia njia. Huyo mwanamke sio Mungu
@Kal-Mary
@Kal-Mary 3 года назад
Hamissa Hamissa Hamissa nakupenda ila nakuomba ukaye mbali na hao watu hawakupendi,fanya kazi zako Mungu atakubari tena kama inawezekana ata kuhusu matumizi ya mtoto usiombi labda mwenyew Dai ajitume.kaa mbali Mama usiruhusu kuwa karibu nao please 😔Roho inaniuma utafikiri ni Mimi daah.Please achana nao na uyo Daimond hakupendi ju yeye njo katunga uyo wimbo 😭😭😭
@omanmuscat299
@omanmuscat299 3 года назад
Kweli hata mimi namuomba Hamisa angejitenga nao yani sijui kwanini anawafata wakati hawamtaki anajidhalilisha aachane nao asonge mbele Allah atambarik
@Kal-Mary
@Kal-Mary 3 года назад
@@omanmuscat299 kwli kabisa wng,yani wanamzarau kupita kiasi.kama ni upendo ameshawaonyesha ila wapi.Sasa ajitenge nao
@mariajoackim1368
@mariajoackim1368 3 года назад
Daah,,,,Mimi kama mwanamke sijajisikia vizuri Ila hapo hamissa akae mbali na hiyo familia wanaweza kumpoteza mtoto wake aombe uhai alee mtoto wake mabibi wa upande wa kiume sometimes miyeyusho,,,yaani hamisa jinsi anavyojielezea nimejisikia vibaya
@tajjudinihaji2776
@tajjudinihaji2776 3 года назад
Ukizaa mtoto nnje ya ndoa.ujue ni wa mwanamke .so acha watoto walelewe na mama zao
@user-lq6kr2gl7n
@user-lq6kr2gl7n 2 месяца назад
Ni kweli kabisa wanawake weng wanafel hapo kuzaa kabla ya ndoa au nje ya ndoa huyo mtoto ni wa mwanamke na tumeshaambiwa ktk din haifai baadae ndio matatizo kam haya na hili Wimbi la kuzaa pasina ndoa wanawake weng has wa kiafrika ni shidaa
@costavalenci7699
@costavalenci7699 3 года назад
Jamanie mama kauliza nyimbo kaimbiwa Nani ? Ubaya wake uko wapi?
@mdzainb3722
@mdzainb3722 3 года назад
Si atulie kwani ameambiwa toka mda hawampendwi sasa kinachomfanya aendelee kuhangaika anayataka mwenyewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@hopechidera
@hopechidera 3 года назад
Huyu Hamisa nayeye anajinyimaga thamani sana,mtu unajua hakupendi bali unazidi kujipendekeza kwake😏😏😏bila aibu eti na birthday ya iyi mwaka ukamu wish😏😏😏kuliko nawewe ujitenge nae usimjali unajikaza kwake na ndo sababu hawezi kukupenda,mtu wa roho mbaya kama mama Dangote dawa yake nikutomjali na kumsahau kama alie fariki ili nayeye akuone wa thamani sababu humjali. Onyo ndogo👉🏽ukigundua mtu hakupendi usiforce kujipendekeza kwake just walk away kama wangereza wasemavyo and that's it.
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 3 года назад
nashangaaaa mie m2 km huyu namtakaaaa haswaa awe ktk anga zng akipita kishoto napita kulia mwisho wa cku anachiii😀😀😀😀😂😂😂😂😂
@lonelady3368
@lonelady3368 3 года назад
Kwani mwanaume ni Diamond tuu...mbona aongelei kuusu mamake babake mtoto wake wakwanza?
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 3 года назад
Unajua hiki kitu chamkwe hata mm kilinipata,tena maneno yalikuwa mengi yakudhalilishwa,lkn sikufungua mdomo kujibu wala kujipendekeza,napita kule anapita kule.mwisho wasiku kaanza kuona aibu mwenyewe nakutaka tusalimiane kanikuta sina habari,tena bila sababu yoyote.sawa Hamisa alikosea nakaomba msamaha amsamehe tu.hii nidunia tunapita tu
@gracesiwale7066
@gracesiwale7066 3 года назад
Hamisa angeachana nao na kufanya mambo yake
@pinkygrey3459
@pinkygrey3459 3 года назад
Umegonga dipo sioni anajilazimisha nini kwani bila hiyo familia hawezi ishi? Ashadhalilisha mara nyingi sana na hakomi Wanawake wengi huku nje ni masingle moms but wanalea watoto wao sasa sioni hamisa kwa nini anajilazimisha ku fit in kwa hiyo familia na hapendwi Kwanza nae pia ana pesa kwani hizo pesa zake hawezi shughulikia mtoto wake? Awache kua mjinga ingalikua ni mimi keee hata ndio singetaka kuwaskia ningejiwekq mbali sana na wao duh
@luckyvenance4576
@luckyvenance4576 3 года назад
Ivi hamisa siufate maisha yako unanichosha
@lucylucy2404
@lucylucy2404 3 года назад
Asipo kupost kwn hauli hamisa acha mambo fny kazi kaa mbl n hiyo family ukion mama akupndi jua n mtot akupndi n siyo we tu umezaa watu wengii ila hawana kingngniz kama chako .
@brightluvanda2795
@brightluvanda2795 3 года назад
Haliombi msamaha wa kweli huyo hamisa kama,,ingekuwa kweli kwanini kila siku hamisa amekaa stendby kuharibu mahusiano ya diamond na wanawake wengine?????
@mariyamumadebari4296
@mariyamumadebari4296 3 года назад
Mungu atakupa riziki yako my dear!
@jessydaktari5209
@jessydaktari5209 3 года назад
Yani mama anatakiwa kuwa mfano ila ndo anatia aibu....huu ujinga jmn yani aibu naona mm😂😂
@salamagat4784
@salamagat4784 3 года назад
Yani huyu mama taaabu 2
@jasmineshemweta4547
@jasmineshemweta4547 3 года назад
Huyo Juma lokole asipo mkubari hamisa anamsaidia na kitu gni,,yy mwenyewe danga😏😏
@nenadurra8477
@nenadurra8477 3 года назад
Mama Dangote oyee, nani kama mama, yaani I love this woman. Mama Dangote knows exactly what she is doing, she is not stupid. This so called Hamisa should stay away... Hivi Tanzania hamna wanaume?
@luckyvenance4576
@luckyvenance4576 3 года назад
Inaonekana hata mamaako anatabia hizi
@mariegriffin9952
@mariegriffin9952 3 года назад
Can you please translate what Hamisa is saying? Google translate is not accurate😂…I tried to translate Swahili into English but nope; doesn’t make any sense! Thanks in advance
@aishakhamis2996
@aishakhamis2996 3 года назад
Kweli kabisaa
@faithkagendo2548
@faithkagendo2548 3 года назад
Umeongea ukweli.u r wise
@nenadurra8477
@nenadurra8477 3 года назад
@@faithkagendo2548 Thanks
@deeruta9894
@deeruta9894 3 года назад
Wa mama wengine uwaga wanajisahau kabisa awajuwi mpaji ni mungu na sio binadamu, mtu mzima hovyo. Hamisa upendo wa mungu ni bora kuliko wa binadamu take ur time🙏🏽🙏🏽🤲🏽
@aminaabdallah3644
@aminaabdallah3644 3 года назад
Kweli kabisa
@user-mm5tf7yn6p
@user-mm5tf7yn6p 3 года назад
Hamissa Mabeto mungu agusameh saaaana gukata damu yako yakwanza unarana kabisa🙈🙉🙊🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@farahanafarer7588
@farahanafarer7588 3 года назад
Mtoto atakuwa na ataona jinsi bibi alivyomkataa. Dha ni mbaya sana Allah amlinde kabisa. Ila Hamisa kaa mbali nao ya nini kuwafata utajajuta kabisa yatakayokukuta
@abdulrazzaqchou3004
@abdulrazzaqchou3004 3 года назад
Nakupenda sana hamisa mungu akupe nguvu dunia ni mapito akuna kilicho kuwa Bora isipokuwa allah 😭😭
@felisterraphaely7678
@felisterraphaely7678 3 года назад
Hamisa mama achana nao Anza maisha yako mwenyewe hakka utaweza
@evaristmrope
@evaristmrope 3 года назад
I really appreciate
@anithaemmanuel8981
@anithaemmanuel8981 3 года назад
Kwan huyo mama dangote ndo nani labda embu atupishe mtu mzima hovyo😏😏😏....
@najma3268
@najma3268 3 года назад
Mimi wote nawapenda, nawaombea mungu to waweze kuyamaliza mapema kabla hawajaingia mwanandani, cc sote tumepanga mstari hatujui nani anaetangulia
@jessydaktari5209
@jessydaktari5209 3 года назад
Mama dangote pride itamuua mapema....kwan yy nan
@kidawaali4160
@kidawaali4160 3 года назад
Inaonyesha Hamisa bado anampenda dai shoga utakiwi uliomfanyia umesahau haaaaa
@lisajackson5867
@lisajackson5867 3 года назад
mwenzangu gundu kweli
@ashasuleiman9607
@ashasuleiman9607 3 года назад
Mimi nakushauri Mama Dangote kuwa usihadaike na pumzi ya Mwenyezi Mungu ambayo muda wowote Mwenyewe Subhanahuwata'ala anaweza kuisitisha, hivyo unajua hukmu ya mtu kama wewe ambaye unaendeleza chuki na kutokusamehe? Mwenyezi Mungu hukuuliza je yeye akisema hakusamehe madhambi yako utakuwa mgeni wa nani kesho akhera? Please samehe saba mara sabini, kimsingi tunatakiwa ili tufe tukiwa na radhi za Mwenyezi Mungu tunatakiwa tukilala tumuombe Allah atusamehe madhambi yetu na kusamehe waliotukosea kila siku. So think about this, Binadamu hujui unaondoka saa ngapi maisha ni mafupi mno ndugu yangu. Think twice. Nahisi Hamisa ameambiwa haya ndio maana anafanya hivyo anavyofanya ili kupata radhi za Mwenyezi Mungu. Please fikiria sana akhera kugumu ndugu yangu.
@elitrudesulul1963
@elitrudesulul1963 3 года назад
Uhusiano hau lazimiswi.
@maureenswai3275
@maureenswai3275 3 года назад
Malipo na hapa hapa Dunia kila kitu vitasemaa
@irenekatumwa5963
@irenekatumwa5963 3 года назад
Hamisa nakpenda ila acha kujipendekeza kwa hawa watu
@susymuganda6326
@susymuganda6326 3 года назад
Asiyekupenda wachana na yeye, anayekupenda pendana na yeye maisha ni mafupi kama mtu anadai ni mcha mungu na hawezi samehe ibada Yake ni bure mbele ya mwenyewezi mungu.
@gagedamoursarusaru8079
@gagedamoursarusaru8079 3 года назад
Moto hii 🔥🔥🔥
@aeeazz8170
@aeeazz8170 3 года назад
Maana warundi wanasemaga hivi umwana yankwa niwe akura sema insha allah
@angelasenga5800
@angelasenga5800 3 года назад
Ucjl hamisa mungu yupo nawe
@julihanjosephyjs6361
@julihanjosephyjs6361 3 года назад
Msilazimishe watz mnahaibu kwani hamisa ninani kwa mama mondi mondi hajawai kuowa ata siku moja uwoni uzinifu mnaukumbatia ,mama dangote mungu amnahaibu ,hamisa alikwenda mahakamani kudai huduma ya mtoto hao ni watoto wa zinaa watoto wa mama msifosi haibu,ukiachwa achika ndiye,mama ngote mshauli mondi aowe aachane na uzinifu au kweli mondi free.
@salamagat4784
@salamagat4784 3 года назад
Huyu bibi anazengua 2
@janemusa9529
@janemusa9529 3 года назад
If she thinks she is beautiful and young why can't she get anther man???? Even father( Fantacy) your daughter left you and he is at peace, get a life girl.
@nasraiddy9678
@nasraiddy9678 3 года назад
Mjukuuu hana makosa ...kuna leo nakesho Mama angu dangote hujui mjukuu yupi atakufaa ,kama Mama ana ttzo na wew dili na Mama yake tu wajukuu wafanye wawe pamoja Bibi wew dunia hii siyetu wako wapi kina mengi matajiri wameacha familia zao maisha mafupi haya jamani tusidanganyike na pumzi hizii zinatuhadaa
@adolphmwangoje2887
@adolphmwangoje2887 3 года назад
Maisha mengine co ykuiga jmn midiocre ndo hao tunawaona et mtoto hatutaki 😂😂😂😂 cjpta kuona aliyemshaur mama aongee hvyo kpuynga kwakweli
@alicesamson6316
@alicesamson6316 3 года назад
Misa nae kazidi mtto anaangaliwa yeye kila kukicha dai dai katowa nyimbo imesahaulika yanayo ongelewa sasa ni mama dangote
@getmad9908
@getmad9908 3 года назад
😂😂😂😂 wako wapi walisema wimbo alimbiwa tanasha mko wapi nilijuwa tuu no donge Kwa hamisa. Tuuu😂😂,
@janatahmad7048
@janatahmad7048 3 года назад
mimi.naona wote inawahusu
@isaachayes9783
@isaachayes9783 3 года назад
Mama mtu Mzima hovyoo..
@tatiya6883
@tatiya6883 3 года назад
mie kinacho nifurahisha utakufa2 na Miwani kama kobe nyoooooo wajiona dunia yakwako Etieee🙃🤗🥱☹😏😏😏😏
@fatmatz5086
@fatmatz5086 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣😂umejuwa kunichekesha duh🤣🤣
@tatiya6883
@tatiya6883 3 года назад
@@fatmatz5086 😅😅wallahi anaboaa uyo bibi
@ashaali7154
@ashaali7154 3 года назад
Anaombwa amsamehe yeye ni Mungu aende huko mtu mzima asiyejijua wala kujitambua alikotokea.
@saumukaisi7003
@saumukaisi7003 3 года назад
Kama hamkubali hamissa lkn mungu anampenda nibasi siolazima binadamu wakupende
@movetcaren4208
@movetcaren4208 3 года назад
Sio lazima umpenda mapenzi ya Allah tosha
@matswelopelemphela9676
@matswelopelemphela9676 3 года назад
Mama unajenga misikiti inamaana unamjua mungu samehe
@jasmineshemweta4547
@jasmineshemweta4547 3 года назад
Hamisa wala usijali sio wewe tu unao chukiwa Sisi tuko na wtt kuanzia Baba yao na familia Yao yote lkn maisha yanaenda
@rebeccachikuru7605
@rebeccachikuru7605 3 года назад
Inawezekana uyu hamisa alimukoseya adabu mama dagonte njomana. Ni kwa hamisa kwenda kuomba musamaha
@furahalawi941
@furahalawi941 3 года назад
We ni mrembo mama
@anitakamene5073
@anitakamene5073 3 года назад
Nice
@shanatatrigger6537
@shanatatrigger6537 3 года назад
Mama Dangote amsamehe tu hii ni dunia na tunapita pia Hamisa kashajishusha
@phoebeachieng3197
@phoebeachieng3197 3 года назад
Dont worry she will came back crawling 😢
@louangesid
@louangesid 3 года назад
😭😭😭😭😭😭 mama mungu anakuona
@uwasesifa4167
@uwasesifa4167 3 года назад
Mama dangote wakuache kila mama ana choice ya mwanae kuoa bibi mwenye anapenda na mimi Hamisa simukubali kabisa.
@lm6373
@lm6373 3 года назад
Utapewa mfukko wa mchele
@khadijamohanani6476
@khadijamohanani6476 3 года назад
Hata kama ana choice lakini wanawake wote hao takua wote hawafai. Huyu mama sura mbaya mpaka roho yake mbaya.
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 3 года назад
Hayaja kukuta
@fatmas7338
@fatmas7338 3 года назад
Kama ww humkubali Ila mungu namkubali ndio maana yupo hai mpaka leo
@lisajackson5867
@lisajackson5867 3 года назад
mama dangote alimpenda sana zari n wema katika mademu w diamond coz walikua n mapenz y kweli ndo mn mpk leo roho yamuuma sana n ukiangalia hmisa ndo aliyevuruga uhusiano w diamond n zari yaani movie bdo inaendelea hahaha nacheka km mazuri usiombe uchukiwe n mkwe or mawifi utakunya mawe
@faustermathiasfaustet5362
@faustermathiasfaustet5362 3 года назад
Oooh!!
@salmasaid8964
@salmasaid8964 3 года назад
Awez kumpenda maana yeye ndio sababu diamond na zari kuachana . alijifanya Rafk Wa zari kumbe anatembea na diamond ad kupata mimba.. Awez kupendwa ata kdgo
@nightwishisthegreatestband6355
@nightwishisthegreatestband6355 3 года назад
Mama dangote na esma si walimleta ndani ya nyumba na kunwalika kwenye 40. Leo analalamika nini?
@copacabannaswax5061
@copacabannaswax5061 3 года назад
Kwani huyo mod alimzakia mod peke yake kuna mwanamume wa mtu ktk hii dunia hiyo sio sababu, niloho mbaya tu ten yakichawii.
@khadijamohanani6476
@khadijamohanani6476 3 года назад
Sasa kwani huyo zari aliowea .si wote michepuko tu.
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 3 года назад
@@jonathanenock2329 alikuwa anamcheat Majizo??
@ndeletwaswai3530
@ndeletwaswai3530 3 года назад
Hamisa acha kujikomba mama hawakutaki we bado tu.
@firdausiabdulkarim2424
@firdausiabdulkarim2424 3 года назад
Hamisa alizid kujipendekeza alijua zar ataachwa jumla mungu kamrudishia ubaya wake mwenyewe 😏😏
@Kanicynjuguna
@Kanicynjuguna 3 года назад
Sasa kwa nini Hamisa worrying about this woman..mama mwenyewe mafi ya kuku 🤣🤣🤣🤣🤣
@Liz-2315
@Liz-2315 3 года назад
Yani uyu mama n mafi tu chuki ya nini na vile Hanmisa alivyo mzuri
@sarahtony3937
@sarahtony3937 3 года назад
Naww ni mafi
@sharonchristian3711
@sharonchristian3711 3 года назад
Mnamlazimishaje ampende hamisa wakati hampendi Bora at ivo anavyojionyesha Kama alijipendkeza akapewa mimba akazaa yy akaushe na mwanae c ameyataka ebu achen kumchamba mama wa watu
@Kanicynjuguna
@Kanicynjuguna 3 года назад
@@sharonchristian3711 kama.mama dagote hampendi mtoto wa hamisa. You think this woman will ever love hamisa...?
@rayanndizeyes3161
@rayanndizeyes3161 3 года назад
oke
@KhadijaKhadija-cv9db
@KhadijaKhadija-cv9db 3 года назад
Kuna Leo na kesho we mama haya ni maisha tu tunapita
@khadijaomar8427
@khadijaomar8427 3 года назад
Aaah hiyo imeenda kwa hamisa 😪
@madamboss348
@madamboss348 3 года назад
Dylan n mtoto wa jaguar hata mama dangote anajua
@witnessemmanuel8785
@witnessemmanuel8785 3 года назад
Yaniii nashangaaa,MUNGU pekee ndiee ananyooshaga watu,huyo bibi anakusumbua na nini?unajishusha sana,kwanza hajui kumuombea mwanae anavyotembea na wadada hovyo,nanyie wadada wala hamuogopi maradhi,na uchafu,IPO siku Mtatubu kila mtu kwa nafsi yake
@anniesilvester4315
@anniesilvester4315 3 года назад
Daaah,Hamisa kaa mbali kuwa na busy na mambo yako atakufata akiona unafaa
@wanaupendotv7183
@wanaupendotv7183 3 года назад
Ni hatari kama hataki amuache tunaomba sapoti yenu muangaliya vitu vyetu ndo bado tunaanza bila nyiye hatutafika
@queenbellamicky7745
@queenbellamicky7745 3 года назад
Ndo shida ya kupata pesa uzeeni,yeye ndo wa kwanza kuwa mama apa duniani?
@simonitaagesti3657
@simonitaagesti3657 3 года назад
Watajuana wenyewe
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 3 месяца назад
Wanawake watanzania acheni taamaaa ukiamua kuzzaa namtu simama nae. Sasa tamaa zinawapoza tukisema tufatilie wanaume wa Tanzania wengi wanawatoto bandia sanaa sababu wanawake wabongo elim hakuna
@nyabukitundu2929
@nyabukitundu2929 3 года назад
Hamisa kama unataka kusamehewa . Nadhani wewe ni muislamu basi kumbuka kuhusu ulivyokuwa unafanya unajifungua mpaka wa arobain jaribu kumwogopa mungu hamisa achana na mitandao huu mama alikuwa anakupenda sana.kumbuka ulivyokuwa hospital achana kwanini utaki kutafuta watu wazima na Dini zenu ni mmoja naamini sana huyu atampokea mjukuu kama kweli ni damu wake.
@zulfamohamed4549
@zulfamohamed4549 3 года назад
Uyo mama dangot anajion amefik apa dunian kumbe ajui punzi ndiy inamsumbua ila atambue nitunia t hi
@hotcakerealcake5412
@hotcakerealcake5412 3 года назад
Sasa huyo mama nani msuri kwake? Kila binti ni mbaya,? Mwanaye ako chini ya miguu yake, yeye asalishe tu na alee
@janejoseph9009
@janejoseph9009 3 года назад
mambo ya familia hutakiwi kusema mtandaoni alfu pia hamisa hatakiwi kulazimisha mambo mwanamke funga mdomo wako ongea kidogo sasa ww unaulizwa kidogo bas unaongea yotee
@yusrasalmin9563
@yusrasalmin9563 3 года назад
Haki hizi online tv nazo ni chonganishi,mmh
@teedullah5708
@teedullah5708 3 года назад
Daa tafuta mahali uketi Sasa km waomba msamaha hataki muache lkn aketi akijuwa tukumbukeni siku ya mwisho km mtt WA mwenzi we akusakama tu na maneno tusidanqanyike na pmzi jamani tukumbukeni munqu
@marieimanishimwe4874
@marieimanishimwe4874 3 года назад
Mama dangote let your grandson be.what your doing is not right at all .you must be the good example to these kids cause they are your future fmly
@bettycrawshaw183
@bettycrawshaw183 3 года назад
They one she is hurting most is her son, Does she really think his happy with her! At the end of the day Dylan is innocent! She is a wicked human being
@lovvy854
@lovvy854 3 года назад
Maskini hamisa hanachuki wala siombaya anaonekana mwenye busara heshma na nidhamu asamehewetu hakuna aliokamilika
@nooromar6233
@nooromar6233 3 года назад
Jamani kama kweli waislam kubalini hiki kitu sio mimi bali ni amri ya Allah hakuna kitu damu yake kama hakukuwa na ndoa msi halalishe kitu alicho kiharamisha Allah muna zini muki pata watoto kisha muna sahihisha makosa naelewe nita udhi wengi lakini ukweli una udhi lakini lazima usemwe mbona hatu laumu wanao fanya haki
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 3 года назад
Si kila mja atakupenda ila mungu wetu hana ubaguzi anatupenda waja wake bila kubagua kwanini sisi twabagua?so sad 😔
@rehemashafi4809
@rehemashafi4809 3 года назад
Mama dangote balaa mhmm
@husnamanase3943
@husnamanase3943 2 года назад
Huyu mama nimshama siku zote maskini akaipata matako ulia mbwata
@rosemarymathew9215
@rosemarymathew9215 3 года назад
Kaza achana na huyo mama
@exsaverymachaninga6138
@exsaverymachaninga6138 3 года назад
Mama Ajielewi huyoooo
@rahabnyambura688
@rahabnyambura688 3 года назад
Hamisa your beautiful young ad handworking,just move on ad let this diamond ad family be....stop even mentioning them just move on dear
@mbarikiwambarikiwa3988
@mbarikiwambarikiwa3988 3 года назад
Huyo Hamisa nae asikii toka amekataliwa ni leo??! Kwa nini asiwachunie km wao hawamutaki?!.
@asinathasinath5090
@asinathasinath5090 3 года назад
Jaman haoo mashabiki wananivunja mbavu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@lydiakemuntookindo7254
@lydiakemuntookindo7254 3 года назад
Hamisa yeye anaonakana desparate,yaani unaforce upendwe mamamkwe
@aishandayishimiye5127
@aishandayishimiye5127 3 года назад
Amprnde asimpende kilicho andikwa ndicho kitakuwa kupendwa na bibi haina maana hao wajuku ndio watakao kufaa. Anajisumbuwa bibi mwagiliya zote.
@majidgashe9856
@majidgashe9856 3 года назад
Na hamisa aache ujinga kwani bila Diamond hawezi kuishi bwana
@healthchoicewithluciebern8741
@healthchoicewithluciebern8741 3 года назад
Anaye mpa mama yake kiburi ni Diamond, ila Diamond iyo ni damuyako 100% unazaraulisha mwanao nasio Hamisa
@deriodubose4199
@deriodubose4199 3 года назад
Mkwewe akikukataa mungu nakukubali.yeye ni mtu au mja
@anithaemmanuel8981
@anithaemmanuel8981 3 года назад
👌👌👌
@salamagat4784
@salamagat4784 3 года назад
Apo sasa
@evelinaluvata1471
@evelinaluvata1471 3 года назад
Huyo mama ata kua mchawi😏😏😏😏kumchukia huko vip
@joynamagembe5703
@joynamagembe5703 3 года назад
Kindly translate for me, what's it about 🙏
@jeremiahmwasapilicharlie2926
@jeremiahmwasapilicharlie2926 3 года назад
Duh majivuno tuu,,, Anataka kuabudiwa ahaaaaaaaaaaaaaa
@namuyindhamiim6556
@namuyindhamiim6556 3 года назад
Hamisa she's whichcraft
@pinkygrey3459
@pinkygrey3459 3 года назад
Juda iscariot🤣🤣🤣
@mariegriffin9952
@mariegriffin9952 3 года назад
Okay, from what I can see HAMISA is all nice and sweet in front of the cameras while her fans and trolls hurl insults toward Zari and her kids Tiffa and Nee, even at Mama Dangote for posting them on her IG?…And before you start coming at me, Hamisa and her son LIVE IN TANZANIA but Tiffa, Nee live inSouth Africa! Hamisa is changing her tune because she has seen that her prior tactics didn’t work! One more thing👉🏽About her DNA test, I believe Mama Dangote knows more about it, just saying!
@joharijj2164
@joharijj2164 3 года назад
You're right
@dainagano3656
@dainagano3656 3 года назад
Mm ningekua hamisa nisingehangaika na hio familia hata ....
Далее
We will see who will do it better 😂
00:14
Просмотров 4 млн
HUBA SE13 EP0081
0:58
Просмотров 8 тыс.
We will see who will do it better 😂
00:14
Просмотров 4 млн