Hamissa dada ...achana na huyu mama siku yake yaja chuki ...ikunyime kuishi ...jikaze na maisha yako ...let her be God's love is important than human being love...may God protect you and your son
Hamisa mzuri sana anajuwa ku jivicha ona video yake machallah anapendeza anasema vizuri good personality lakini zuchu nguo ana vaa kama zime chonwa kwa fundi wa barabani mmmh hamisa well done
Kwani kama Hamisa alimkosea. Huyu mtoto mdogo Malaika amemkosea nini ? Jeuri ya pesa, zote tutaziacha hapa hapa. Hamisa Mungu atazidi kukufungulia njia. Huyo mwanamke sio Mungu
Hamissa Hamissa Hamissa nakupenda ila nakuomba ukaye mbali na hao watu hawakupendi,fanya kazi zako Mungu atakubari tena kama inawezekana ata kuhusu matumizi ya mtoto usiombi labda mwenyew Dai ajitume.kaa mbali Mama usiruhusu kuwa karibu nao please 😔Roho inaniuma utafikiri ni Mimi daah.Please achana nao na uyo Daimond hakupendi ju yeye njo katunga uyo wimbo 😭😭😭
Daah,,,,Mimi kama mwanamke sijajisikia vizuri Ila hapo hamissa akae mbali na hiyo familia wanaweza kumpoteza mtoto wake aombe uhai alee mtoto wake mabibi wa upande wa kiume sometimes miyeyusho,,,yaani hamisa jinsi anavyojielezea nimejisikia vibaya
Ni kweli kabisa wanawake weng wanafel hapo kuzaa kabla ya ndoa au nje ya ndoa huyo mtoto ni wa mwanamke na tumeshaambiwa ktk din haifai baadae ndio matatizo kam haya na hili Wimbi la kuzaa pasina ndoa wanawake weng has wa kiafrika ni shidaa
Huyu Hamisa nayeye anajinyimaga thamani sana,mtu unajua hakupendi bali unazidi kujipendekeza kwake😏😏😏bila aibu eti na birthday ya iyi mwaka ukamu wish😏😏😏kuliko nawewe ujitenge nae usimjali unajikaza kwake na ndo sababu hawezi kukupenda,mtu wa roho mbaya kama mama Dangote dawa yake nikutomjali na kumsahau kama alie fariki ili nayeye akuone wa thamani sababu humjali. Onyo ndogo👉🏽ukigundua mtu hakupendi usiforce kujipendekeza kwake just walk away kama wangereza wasemavyo and that's it.
Unajua hiki kitu chamkwe hata mm kilinipata,tena maneno yalikuwa mengi yakudhalilishwa,lkn sikufungua mdomo kujibu wala kujipendekeza,napita kule anapita kule.mwisho wasiku kaanza kuona aibu mwenyewe nakutaka tusalimiane kanikuta sina habari,tena bila sababu yoyote.sawa Hamisa alikosea nakaomba msamaha amsamehe tu.hii nidunia tunapita tu
Umegonga dipo sioni anajilazimisha nini kwani bila hiyo familia hawezi ishi? Ashadhalilisha mara nyingi sana na hakomi Wanawake wengi huku nje ni masingle moms but wanalea watoto wao sasa sioni hamisa kwa nini anajilazimisha ku fit in kwa hiyo familia na hapendwi Kwanza nae pia ana pesa kwani hizo pesa zake hawezi shughulikia mtoto wake? Awache kua mjinga ingalikua ni mimi keee hata ndio singetaka kuwaskia ningejiwekq mbali sana na wao duh
Asipo kupost kwn hauli hamisa acha mambo fny kazi kaa mbl n hiyo family ukion mama akupndi jua n mtot akupndi n siyo we tu umezaa watu wengii ila hawana kingngniz kama chako .
Haliombi msamaha wa kweli huyo hamisa kama,,ingekuwa kweli kwanini kila siku hamisa amekaa stendby kuharibu mahusiano ya diamond na wanawake wengine?????
Mama Dangote oyee, nani kama mama, yaani I love this woman. Mama Dangote knows exactly what she is doing, she is not stupid. This so called Hamisa should stay away... Hivi Tanzania hamna wanaume?
Can you please translate what Hamisa is saying? Google translate is not accurate😂…I tried to translate Swahili into English but nope; doesn’t make any sense! Thanks in advance
Wa mama wengine uwaga wanajisahau kabisa awajuwi mpaji ni mungu na sio binadamu, mtu mzima hovyo. Hamisa upendo wa mungu ni bora kuliko wa binadamu take ur time🙏🏽🙏🏽🤲🏽
Mtoto atakuwa na ataona jinsi bibi alivyomkataa. Dha ni mbaya sana Allah amlinde kabisa. Ila Hamisa kaa mbali nao ya nini kuwafata utajajuta kabisa yatakayokukuta
Mimi nakushauri Mama Dangote kuwa usihadaike na pumzi ya Mwenyezi Mungu ambayo muda wowote Mwenyewe Subhanahuwata'ala anaweza kuisitisha, hivyo unajua hukmu ya mtu kama wewe ambaye unaendeleza chuki na kutokusamehe? Mwenyezi Mungu hukuuliza je yeye akisema hakusamehe madhambi yako utakuwa mgeni wa nani kesho akhera? Please samehe saba mara sabini, kimsingi tunatakiwa ili tufe tukiwa na radhi za Mwenyezi Mungu tunatakiwa tukilala tumuombe Allah atusamehe madhambi yetu na kusamehe waliotukosea kila siku. So think about this, Binadamu hujui unaondoka saa ngapi maisha ni mafupi mno ndugu yangu. Think twice. Nahisi Hamisa ameambiwa haya ndio maana anafanya hivyo anavyofanya ili kupata radhi za Mwenyezi Mungu. Please fikiria sana akhera kugumu ndugu yangu.
Asiyekupenda wachana na yeye, anayekupenda pendana na yeye maisha ni mafupi kama mtu anadai ni mcha mungu na hawezi samehe ibada Yake ni bure mbele ya mwenyewezi mungu.
Msilazimishe watz mnahaibu kwani hamisa ninani kwa mama mondi mondi hajawai kuowa ata siku moja uwoni uzinifu mnaukumbatia ,mama dangote mungu amnahaibu ,hamisa alikwenda mahakamani kudai huduma ya mtoto hao ni watoto wa zinaa watoto wa mama msifosi haibu,ukiachwa achika ndiye,mama ngote mshauli mondi aowe aachane na uzinifu au kweli mondi free.
If she thinks she is beautiful and young why can't she get anther man???? Even father( Fantacy) your daughter left you and he is at peace, get a life girl.
Mjukuuu hana makosa ...kuna leo nakesho Mama angu dangote hujui mjukuu yupi atakufaa ,kama Mama ana ttzo na wew dili na Mama yake tu wajukuu wafanye wawe pamoja Bibi wew dunia hii siyetu wako wapi kina mengi matajiri wameacha familia zao maisha mafupi haya jamani tusidanganyike na pumzi hizii zinatuhadaa
mama dangote alimpenda sana zari n wema katika mademu w diamond coz walikua n mapenz y kweli ndo mn mpk leo roho yamuuma sana n ukiangalia hmisa ndo aliyevuruga uhusiano w diamond n zari yaani movie bdo inaendelea hahaha nacheka km mazuri usiombe uchukiwe n mkwe or mawifi utakunya mawe
Awez kumpenda maana yeye ndio sababu diamond na zari kuachana . alijifanya Rafk Wa zari kumbe anatembea na diamond ad kupata mimba.. Awez kupendwa ata kdgo
Mnamlazimishaje ampende hamisa wakati hampendi Bora at ivo anavyojionyesha Kama alijipendkeza akapewa mimba akazaa yy akaushe na mwanae c ameyataka ebu achen kumchamba mama wa watu
Yaniii nashangaaa,MUNGU pekee ndiee ananyooshaga watu,huyo bibi anakusumbua na nini?unajishusha sana,kwanza hajui kumuombea mwanae anavyotembea na wadada hovyo,nanyie wadada wala hamuogopi maradhi,na uchafu,IPO siku Mtatubu kila mtu kwa nafsi yake
Wanawake watanzania acheni taamaaa ukiamua kuzzaa namtu simama nae. Sasa tamaa zinawapoza tukisema tufatilie wanaume wa Tanzania wengi wanawatoto bandia sanaa sababu wanawake wabongo elim hakuna
Hamisa kama unataka kusamehewa . Nadhani wewe ni muislamu basi kumbuka kuhusu ulivyokuwa unafanya unajifungua mpaka wa arobain jaribu kumwogopa mungu hamisa achana na mitandao huu mama alikuwa anakupenda sana.kumbuka ulivyokuwa hospital achana kwanini utaki kutafuta watu wazima na Dini zenu ni mmoja naamini sana huyu atampokea mjukuu kama kweli ni damu wake.
mambo ya familia hutakiwi kusema mtandaoni alfu pia hamisa hatakiwi kulazimisha mambo mwanamke funga mdomo wako ongea kidogo sasa ww unaulizwa kidogo bas unaongea yotee
Daa tafuta mahali uketi Sasa km waomba msamaha hataki muache lkn aketi akijuwa tukumbukeni siku ya mwisho km mtt WA mwenzi we akusakama tu na maneno tusidanqanyike na pmzi jamani tukumbukeni munqu
They one she is hurting most is her son, Does she really think his happy with her! At the end of the day Dylan is innocent! She is a wicked human being
Jamani kama kweli waislam kubalini hiki kitu sio mimi bali ni amri ya Allah hakuna kitu damu yake kama hakukuwa na ndoa msi halalishe kitu alicho kiharamisha Allah muna zini muki pata watoto kisha muna sahihisha makosa naelewe nita udhi wengi lakini ukweli una udhi lakini lazima usemwe mbona hatu laumu wanao fanya haki
Okay, from what I can see HAMISA is all nice and sweet in front of the cameras while her fans and trolls hurl insults toward Zari and her kids Tiffa and Nee, even at Mama Dangote for posting them on her IG?…And before you start coming at me, Hamisa and her son LIVE IN TANZANIA but Tiffa, Nee live inSouth Africa! Hamisa is changing her tune because she has seen that her prior tactics didn’t work! One more thing👉🏽About her DNA test, I believe Mama Dangote knows more about it, just saying!