Тёмный

MAMA wa MTOTO ALIYEKATWA KOROMEO DAR AMWAGA MACHOZI - ''NIMEMSAMEHE - HANA TABIA MBAYA''... 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 94 тыс.
50% 1

MAMA wa MTOTO ALIYEKATWA KOROMEO DAR AMWAGA MACHOZI - ''NIMEMSAMEHE - HANA TABIA MBAYA''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 473   
@globaltv_online
@globaltv_online 2 месяца назад
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@ruthhamisi2902
@ruthhamisi2902 2 месяца назад
Nimelia sana,mama mtoto alivyoongea,nikakumbuka neno la mungu linasema mpende adui yako, muombee anayekuudhi na wala usimlaani
@florarwegerera8025
@florarwegerera8025 2 месяца назад
Hiyo ni kesi ya Serikali, mama umefanya jambo kubwa sana mbele ya Mungu kwa kumsamee huyu dada
@givenessdavid3743
@givenessdavid3743 2 месяца назад
Sijawahi ona Upendo wa namna hii....... Watu wazuri Bado wapo 😢😢😢😢😢Mpaka nmelia
@batistamngullu9235
@batistamngullu9235 2 месяца назад
Hapa Pana funzo kubwa sana kuhusu msamaha! Mwenyezi Mungu awabariki sana kwa kusamehe, namuombea mtoto apone na arejee katika masomo yake.
@EdnaJohn-c5x
@EdnaJohn-c5x 2 месяца назад
Dada una moyo wa kipe kee sana uchungu wa mwana kweli au juae mzazi lakini acha seli kali ifanye kazi yake pole sana na mungu aku tie nguvu
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 месяца назад
Hallelujah hakika moyo ni wa Mungu kusamehe ni MOYO WA MUNGI HASWAAAAAAA
@skeetergodwins2576
@skeetergodwins2576 2 месяца назад
Ubarikiwe dada. Hakika huu ni moyo wa Mungu
@loner_wolf
@loner_wolf 2 месяца назад
Serikali ni yetu , mtoto ni wetu na rais ni wetu na mtuhumiwa ni mtoto wetu na hapa ni kwetu . Together we can , strong we shall stand . Over❤❤❤❤
@givenessdavid3743
@givenessdavid3743 2 месяца назад
❤❤❤
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 2 месяца назад
ManshaAllah mama ake Malik Allah akujalie moyo wa subra na moyo wakusameh Jaman una moyo mpana mh ah huyo akimsameh asije kumuuwa hata hivo mama Malik kuwa makini Kwa huyo ulio msameh adui Ni adui tu hatobadilika kamwe
@christopherkaroli9365
@christopherkaroli9365 2 месяца назад
Pole sana mdogo wangu Mungu akutie nguvu, tuzidi kumwomba Mungu azidi kumtetea na kumponya mtoto, pongezi za pekee kwa rais yetu mpendwa na jeshi la polisi kwa juhudi zao
@piomallya9999
@piomallya9999 2 месяца назад
Daaah Baba na mama huyu wana Roho wa Mungu ndani yao na upendo wa kiMungu. Tunamweka Mtoto kweny sala zetu atapona kwa rehema zake mwenyezi Mungu.😢😢🙏🙏🙏
@ellykawa4755
@ellykawa4755 2 месяца назад
Hii familia inamtegemea sana Mungu kwa jaribu hili kubwa kubwa sana bdo wana imani ya msamaha kwa dada kwa kweli mkono wa Mungu na neema zake zisiwapungukie maana wameshinda jaribu
@agneskaseya8473
@agneskaseya8473 2 месяца назад
Pole sana mzazi mwenzangu mwene mtoto m1 kama mimi kweli wema wako wa kuweza kusamehe toka moyoni kweli mungu karudisha kwa namna yake hilo lilikuwa ni jaribu na ukweli mmeshinda jaribu kama ibrahim baba wa imani na mtoto atapona kwa jina la mungu alie juu...AMEN
@kissakayuni767
@kissakayuni767 2 месяца назад
Asante muheshimiwa Rais wetu kwa msaada wako Mungu akutunze daima.
@محمدالقايد-د6ب
@محمدالقايد-د6ب 2 месяца назад
Asante Raisi wetu mzuri ubarikiwe Sana na Mungu
@user13375
@user13375 2 месяца назад
Hii familia itafika mbinguni❤❤❤
@zuhurahamisi8687
@zuhurahamisi8687 2 месяца назад
Shukran mpenz
@DoreenMlay-e8g
@DoreenMlay-e8g 2 месяца назад
jaman dada pole mungu akupe hekima zaidi ni wachache wenye moyo kama wa huyu dada
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 2 месяца назад
Moyo wa kusamehe ni wa Mungu
@fransicanikodem3684
@fransicanikodem3684 2 месяца назад
Poleni sana wazazi.Mwenyezi Mungu ampe mtoto uponyaji.
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 2 месяца назад
Mashaallah' dada una roho nzuri sana ' nimekupenda Wallah' ALLAH Akulinde
@MfaumeAdam-e9r
@MfaumeAdam-e9r 2 месяца назад
Mungu awabaliki sana kwakusamehe
@maymunahomar5016
@maymunahomar5016 2 месяца назад
SubhanAllah! Mungu amjaalie shifaa mtoto hali yake irudi kuwa njema.🤲 Mungu awabariki wazazi wake kwa kuamua kumsamehe huyo dada.
@ZulfahMuhammad
@ZulfahMuhammad 2 месяца назад
Alhamdulillaah huyu Mama yuko na roho zuri sana kwakweli na Mola akuhifadhi na mtoto wake ampe afya njema ❤
@GdFf-ik2eo
@GdFf-ik2eo 2 месяца назад
Mungu awabariki Wazazi WA huyu mtt Kwa kusamehe DD WA kz
@FatumaMombo
@FatumaMombo 2 месяца назад
Msamaha unanguvu sana katika roho ya uzima Mungu akaachilie roho ya uponyaji mtoto apone na arudi nyumbani kwa wazazi wake
@LucyChengo
@LucyChengo 2 месяца назад
Haki dadangu umefanya vizuri sana kufungua moyo wako na kumsamehe dada Yako wakazi mungu atakufanyia wepesi Kwa kila jambo
@MarryquizetShirima
@MarryquizetShirima 2 месяца назад
Mungu akamponye huyu mtoto na mungu aendelee kuwapa wazazi wepes wa kusamehe hivohivo
@AishaAisha-r7t
@AishaAisha-r7t 2 месяца назад
Dadaa munguu akubarik wewe unamoyo wakipekee sanaa nashukuru tutambuakuwa sie binadam siwakamilifu❤❤❤
@FortunataNguma
@FortunataNguma 2 месяца назад
Hawa vijana Mungu atawalipa mara 2 kwa moyo wa msamaha Mungu awabariki
@umfahad2609
@umfahad2609 2 месяца назад
Mama Samia tunakushukuru saana kwa kuwajali raia wako. Hasa wakati wanapo patwa na matatizo. MUNGU akupe umri mrefu MAMA.❤
@HappyGershon
@HappyGershon 2 месяца назад
Hakika Mungu ampoganie huyu Mtoto jaman, Wazazi kwakweli Mmeichukulia KiMungu sana Mungu awatangulie na kuwatetea Pia Mmekuwa Mfano wa Kuigwa Kabisaa
@HamidaAhmad-jd5zi
@HamidaAhmad-jd5zi 2 месяца назад
Maashalah maashalah iaumiza ila Allah akulipe kila lenye kheri mama wewe kwel una ofu ya mungu na Mungu tunamuomba amponye mtoto wetu harud kuwa na afya kama zaman. Mungu akupe moyo wa subra
@joyceatupele8848
@joyceatupele8848 2 месяца назад
Kwa njinsi ulivyo msamehee huyu bint japo kuwa si lahisi hi vyo na Amina mungu atashugulika na Mambo yako mungu amponye mtoto 😊
@elizabethdamas-zp9xl
@elizabethdamas-zp9xl 2 месяца назад
uyu mama ana imani sana aiseh na ana hofu kubwa ya Mungu daah sijawah ona🙌🙌🙌
@jamesswai6583
@jamesswai6583 2 месяца назад
Mm nilichojifunza ni kusamehe. Ata uponyaji huja Kwa kusamehe.
@abdallahsaidi3196
@abdallahsaidi3196 2 месяца назад
Asante sana mama yetu samia kw kutushika mkono. sisi jambo hili likikuwa gumu mn.
@VumiliaMajoro
@VumiliaMajoro 2 месяца назад
Pole sana familia mungu akutie nguvu mtoto apone , kiukweli mnamoyo mzuri sanammemsamehe bint wakazi mungu awazidisjie muendelee namoyo huo niwachache wenye moyo Kama yenu
@barakaalex8912
@barakaalex8912 2 месяца назад
Mungu akupe wepesi was maisha Asante
@BeibyDy
@BeibyDy 2 месяца назад
Nashukuru sana dada Kwa Imani hiyo dada mungu akubariki mungu atakuokoa nauovu wadunia hii kama lutu
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 2 месяца назад
dada anaonekana anaroho nzuri sana sasa sjui mfanyakazi kilimkuta nini hadi kumfanyia hivo madame wake mtu mzuri hivi subhan allah
@jemimabakari
@jemimabakari 2 месяца назад
Mapepo sijui😢
@betrackjasson6698
@betrackjasson6698 2 месяца назад
Nimeelewa point yako ndugu ila vitoto vya kiume uwa vina ubishi fran inaonekana alikuwa mletea zalau fran labda kumtishia kisu ntakuchinja mm grafra kikapita
@SalumuJuma-q3x
@SalumuJuma-q3x 2 месяца назад
Hongera sana Kwa kujuwa kama mungu yupo naawape nafu ya hiyo mtoto
@VivianMorewin
@VivianMorewin 2 месяца назад
Mungu awabariki sana,tunamuonba mungu aponye mtoto apone
@ImeldaIsdory
@ImeldaIsdory 2 месяца назад
Kazi njema sana Imelda. Mama Malik Mwenyezi Mungu na awafanyie wepesi.
@LuteMussa-tg1rv
@LuteMussa-tg1rv 2 месяца назад
Mungu akutie nguvu dad 🙏🙏
@faridaaloyce4330
@faridaaloyce4330 2 месяца назад
Mungu anafanya jambo jipya kwa mtoto na familia nzima hongera kwa kumsamehe dada
@AnnaSanga-bs7pl
@AnnaSanga-bs7pl 2 месяца назад
Ubarikiwe kwa moyo wa msamaha
@SaumuAlly-lc8fw
@SaumuAlly-lc8fw 2 месяца назад
Pole sana dada mungu akupe uvumiliv amponye mtoto
@JeniphaJohn-h8q
@JeniphaJohn-h8q 2 месяца назад
Pole sana dada mungu azidi kulinda familia yko
@PendoGodfrey-lu2pm
@PendoGodfrey-lu2pm 2 месяца назад
Dada utafika mbali Sana,kimaisha.kwamoyo huo ulio jaa upendo.
@wisemaliva5376
@wisemaliva5376 2 месяца назад
Dah imenitia huruma dada uliposema nimemsamee dah dada mungu akutie nguvu
@SamiraameirSamira-qt9yn
@SamiraameirSamira-qt9yn 2 месяца назад
Hadi machozi yamenitoka kusema kamsamehe 😢 Allah awape subra😢😢
@avernegervas5839
@avernegervas5839 2 месяца назад
Yan nmejikuta nalia maskini cjui ni nini kimeikumba hii familia mtoto mwenyewe m1 jaman mungu tutie nguvu,,​@@SamiraameirSamira-qt9yn
@MichaelWilliamsNyirenda
@MichaelWilliamsNyirenda 2 месяца назад
Dada Mungu Wakubariki sana huo musamaha Mungu amependweza na ww pia mtoto nae naamin atamuponya
@SophiaMahala
@SophiaMahala 2 месяца назад
Pole my dada,naogopa na mm ndo kwanza na katoto kamoja mweee wanadamu mungu amponye mtoto kwa jina la yesu Amina🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@kessynurutajiri4940
@kessynurutajiri4940 2 месяца назад
Jamani hii familia ya gani? Shukran za kipekee kwanza wamshukuru sana Mwenyezi Mungu, yeye ndiye kila kitu kwetu. Hakuna zaidi ya yeye, halafu tambueni Mwenyezi Mungu ameenea Mbinguni na Ardhini .
@salmaathumani9381
@salmaathumani9381 2 месяца назад
Mashaallah Mama Mzazi Allah Azidi Kukupa Moyo Huo Huo Wa Kusamee
@rosehaule6765
@rosehaule6765 2 месяца назад
Pole.sana ukisamehw na ww Mungu anakusamehe nawe na.pia unapata uponyaji wa moyo.. na.mtoto wako atapona vizuri acha tumshukuru Mungu tu maana sote tunazaa hata atujui nini shida hawa watoto wa Sasa wana shida gani wa.ekuwa wakatili mnoo Mungu awabariki mnoo kwa msamaha mliotoq😢
@Eleonora-ei6yx
@Eleonora-ei6yx 2 месяца назад
Upendo hauhesabu mabaya 1cor 13:Hii familia wameonyesha uoendo wa Mungu kwa kiwango cha juu sana
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz 2 месяца назад
Mungu. Wetu akutieguvu namwanao apone unamoyo wauvumilivu sana ubalikiwe dada
@eliaichraymond1215
@eliaichraymond1215 2 месяца назад
Mungu amekutendea hayo kwakuwa uliamua kusamehe!msamaha ni silaha yenye nguvu sana katika maisha na huyo dada atakuwa na mapepo,aliyechinja mtoto ni pepo kama siyo hivyo ni mchawi au ni mrundi
@hawaramadhani6954
@hawaramadhani6954 2 месяца назад
Ndugu yangu umekosea si vyema kuweka unchi roho mbaya Haina nchi ni mtu binafsi
@AnethMushi-c3e
@AnethMushi-c3e 2 месяца назад
​@@hawaramadhani6954kweli kama kakosea
@aminamzuri9933
@aminamzuri9933 2 месяца назад
Wala s mchaw Kuna kabila Zina roho ngumu mungu atuteetee tu na wasichana
@AmisoMuyohira
@AmisoMuyohira 2 месяца назад
Pole sana dada juma kutoka burundii 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 inasikitisha sana
@FatmaHaji-sf6xq
@FatmaHaji-sf6xq 2 месяца назад
Pole sana mama allha atampona mtoto Mungu tulindie watoto wetu
@winfridamushimushi7025
@winfridamushimushi7025 2 месяца назад
Pole sana jmn my dr Mungu akutie nguvuu
@FatumaJuaje-nc7om
@FatumaJuaje-nc7om 2 месяца назад
Mwenyezi mungu atamponya mtoto wenu kwa hizo roho ridzo zenu nzuri 😢nimejifunza
@Afyabora1412
@Afyabora1412 2 месяца назад
Respect for you Mama Mzuri Rais wetu ❤ Kwa upande wangu kama ningekuwa Mama mzazi wa Malik ningemsamehee ila serikali ifanye kazi yake fimbo inafaa kwa mwana mpumbavu.
@beatricehenry6776
@beatricehenry6776 2 месяца назад
Una Imani sana M/Mungu akupende zaidi
@christinakiula3743
@christinakiula3743 2 месяца назад
Tunamshukuru Mungu kwa wazazi kwa kuwawezesha kusamehe na kuachilia. Tunamwombea mtoto apone haraka kwa uwezo wa Mungu.
@umfahad2609
@umfahad2609 2 месяца назад
Pole saana ndugu yng. Kwa huo moyo uliokua nao MUNGU atamponesha mtt haraka. Na tunamuombea MUNGU amponeshe mtt haraka. Ni ndugu yako kutoka Oman. Imeniliza saaana hii jamani.😭😭😭💔💔
@Pixxmoleli
@Pixxmoleli 2 месяца назад
pole sana dada.Mungu atulindie watoto wetu
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 2 месяца назад
Dada Mungu akutunze saana my dear
@DxbYae
@DxbYae 2 месяца назад
Mungu awasimamie sn wazazi kwa moyo wa upendo....kwa kumsamehe dada...haya kz ipo kwa serekali
@AminathaShamte
@AminathaShamte 2 месяца назад
Pole sana ndugu yangu, mungu amfanyie wepesi mtoto wetu
@givenessdavid3743
@givenessdavid3743 2 месяца назад
Tukazane sana kuwaombea watoto wetu na Walezi wao shetani yupo kazini kisawa sawa.....
@MariamPosian
@MariamPosian 2 месяца назад
Poleni sana mungu awajalie muwe na moyo huohuo na pia mungu amjalie mtoto apone
@RevinaFrancis
@RevinaFrancis 2 месяца назад
Pole sana KWA matatizo mungu akutetee na ongera KWA moyo wa kusamehe ukisamehe mawe utasamenewa
@kissakayuni767
@kissakayuni767 2 месяца назад
Shani Mungu akubariki sana maana una moyo wa kipekee pamoja na baba wa mtoto nyie kweli hofu ya Mungu ipo moyoni mwenu.
@RedeemerElias
@RedeemerElias 2 месяца назад
Tunakushukuru Rais wetu Samia Suluhu Hasan pia jeshi la polisi
@MagrethLonje1
@MagrethLonje1 2 месяца назад
Mungu amponye mtoto mapito megi sanaa
@piusmdoe3200
@piusmdoe3200 2 месяца назад
Yah! Nimewapenda bure.Moyo wa ujasiri,moyo wa uvumilivu,moyo wa kusamehe
@milletyjumaa2371
@milletyjumaa2371 2 месяца назад
Dada pole sn yan mm mwenyewe najikuta nalia mungu afanye wepesi katika hili
@peninamwailunda8813
@peninamwailunda8813 2 месяца назад
Abarikiwe mama Samia Kwa moyo wa upendo wa kusaidia
@AshaMalonga
@AshaMalonga 2 месяца назад
Pole sana mwanangu mungu atakujalia mwanaoatapona
@MwanamisoAbdallah
@MwanamisoAbdallah 2 месяца назад
Weee masha Allah masha Allah una roho y utu masha Allah ❤❤❤❤❤
@lucypeter7804
@lucypeter7804 2 месяца назад
Mungu ndo ajuaye moyo wa mtu msipende kuhukumu sana tuombe rehema kwa Mungu
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 месяца назад
Hii familia ina hofu ya Mungu,mtoto atapona kwa jina la Yesu 🙏🙏
@JanethMollel-wk5th
@JanethMollel-wk5th 2 месяца назад
Pole Sana Mungu akutie nguvu,,Mimi nilimpata agent sikurudia Tena mdada wa kazi nimemuogopa Kama ukomaa.
@LilianMoyo-wf2yq
@LilianMoyo-wf2yq 2 месяца назад
Pole sana mungu akutie nguvu
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz 2 месяца назад
Poleni kwahayo mungu atawasadia kaka
@AnithaSimon-u9e
@AnithaSimon-u9e 2 месяца назад
Vuzuri my kwamsamaha uho ulotoa mungu amponye uyomtoto🙏🙏🙏🙏
@kamarhelo
@kamarhelo 2 месяца назад
Jamani dada imerda jitahid kujipenda mana unajiweka rafu sana hadi unatisha
@Yanarichbiz
@Yanarichbiz 2 месяца назад
😂😂
@ttss7716
@ttss7716 2 месяца назад
Mama samia hoyeeee wako na imani sana hiyo familia❤
@beatricehenry6776
@beatricehenry6776 2 месяца назад
Hii familia Ina utulivu na hofu ya Mungu Jehova
@محمدالقايد-د6ب
@محمدالقايد-د6ب 2 месяца назад
MUngu Ni mwema jamanii pole dada ubarikiwe Sana Mungu amponye mwanao
@eunicekisumo9611
@eunicekisumo9611 2 месяца назад
Kuna nguvu ya ajabu ndani ya neno msamaha nimejifunza kitu kikubwa Sana hongera kwa mama na baba wa mtoto Mungu awatunze mwe salama na awasamehe yote mliyowahi kukosea
@zuhurahamisi8687
@zuhurahamisi8687 2 месяца назад
Alhamdur Lillah Mungu AZIDI kutusimamia ndivyo tulivyo watu wa kusini kusamehe
@AshaJuma-s7l
@AshaJuma-s7l 2 месяца назад
Nakupenda Imelda Mtema. Upo vizuri katika habari
@PendoGodfrey-lu2pm
@PendoGodfrey-lu2pm 2 месяца назад
Katika msamaha Mungu Atakulipa Dada
@JulianaPaschal-y4h
@JulianaPaschal-y4h 2 месяца назад
Pole sana,mwanamke mwenzangu...
@ModesterRuguzye
@ModesterRuguzye 2 месяца назад
Moyo wenu wa msamaha Mungu amehusika hongereni sana mubalikiwe sana ila kuhusu dada nahisi alikuwa mnafiki anamoyo mkubwa sana ipo siri kubwa nyuma yake
@Sharifakhamis-vx2ne
@Sharifakhamis-vx2ne 2 месяца назад
Mungu awalipe jamni , sote tunamuombea mtoto awe sawa
@julianapatrick7911
@julianapatrick7911 2 месяца назад
Mungu simamia Nchi na watu wote😢😢
Далее
ТИПИЧНОЕ ПОВЕДЕНИЕ МАМЫ
00:21
Просмотров 1,4 млн
РЫБКА С ПИВОМ
00:39
Просмотров 624 тыс.