Тёмный
No video :(

MARIOO AELEZA NANDY ALIVYOMUWEKEA POZI SIKU YA KWANZA, ALIVYOSOTA GEREJI BAADA YA KUACHA SHULE 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 506 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

24 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 598   
@pacifiquerema2347
@pacifiquerema2347 5 лет назад
Napenda sana njisi millard anafanya, anauliza swali alafu anakuaca unaongeya,tofauti sana nawatangazaji wengi wakibongo mbwembwe nyingi hazifai. Big up bro
@mwamengele
@mwamengele 5 лет назад
technique za ma psychiatrist hizo, wanakusikiliza tu unafunguka mwenyewe
@bibiejuma7523
@bibiejuma7523 4 года назад
Dah kweli maisha ni safari ndefu mndenge mwenzangu
@jonathanibrahim1480
@jonathanibrahim1480 4 года назад
Pacifique Rema vgj
@elizabethswai9319
@elizabethswai9319 4 года назад
Sanatuuu
@lucyhusein4043
@lucyhusein4043 3 года назад
Marioo kumbe hensm!?
@careenchazy9471
@careenchazy9471 5 лет назад
wanao mkubali marioo tujuane dondosha like na kibao chake kikali ( inatosha)big up marioo 👊👊👊
@MaryamMaryam-me8wg
@MaryamMaryam-me8wg 5 лет назад
Yuko poa sn
@ariyuabbakari7301
@ariyuabbakari7301 4 года назад
Mie siomshabiki Sana wamziki hira nirisikiriza mziki wako hinatosha kweri hurikuwa humejipanga vizuri henderea kukaza buti mungu atakujibu
@sophiasamwel9817
@sophiasamwel9817 4 года назад
Sanaaa namuelewa,mungu azidi kumbariki Mariooo,inatosha
@ismailiismaili8872
@ismailiismaili8872 4 года назад
da Marioo huyjamaa anatisha.san
@laimeliharuna7994
@laimeliharuna7994 4 года назад
umetishaa
@ally.abdullah.8699
@ally.abdullah.8699 5 лет назад
kumbe Hawa wandengereko wanna vipaji Sana big up Sana kwa wandengereko km nawew no mndengereko gonga like. usiwaze
@omarisalum3699
@omarisalum3699 5 лет назад
Ally. Abdullah. mbosso
@allyamir7162
@allyamir7162 4 года назад
Siwandengeleko tunajivunia samata malioo na Mimi nakuja kuwa bilionea nimetajwa kwenye jalida la fobss
@MargauxNyambura
@MargauxNyambura 3 года назад
I love vile Marioo his talking,Yuko very humble, much love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪.Marioo usibadilike endelea kuwa mnyenyekevu wakenya tunakukubali
@alexmdatch532
@alexmdatch532 2 года назад
Mm sijakuelewa
@felistafelista7088
@felistafelista7088 Год назад
​@@alexmdatch532 kwaiyo afanyeje kama ujaelewa 😏
@mwalimmwalim6336
@mwalimmwalim6336 3 года назад
Leo 11th May 2021 mapema asubuhi Omary AKA Marioo ameondoka Johannesburg, South Africa, Olive Tambo International Airport kurudi nyumbani Tanzania. Kwa muda aliokuwa hapa Johannesburg, niligundua Marioo yupo very humble and down to earth. Kiukweli Marioo ni mwepesi sana wa kuelewa mambo mapya.
@elchapo9125
@elchapo9125 5 лет назад
Bonge la interview God bless you Mariooo Tonga like Kama umeikubali
@aishalibondo6745
@aishalibondo6745 5 лет назад
km unapenda ngoma ya raha km mm gonga like tuende sawa
@mussamarsely7250
@mussamarsely7250 4 года назад
Naikubar sana yani IPO kwenye sitor yangu ya msisha
@azizaramadhan9177
@azizaramadhan9177 4 года назад
Ninoma anajua
@said306nyatu9
@said306nyatu9 4 года назад
Usimdharau usiomjuwa nandy. Acha roho mbaya
@asnahmassawe9353
@asnahmassawe9353 2 года назад
naikubali sana ngoma ya raha
@sashoright8213
@sashoright8213 2 года назад
Uber ni producer mzuri Sanaa ametoa wengi Sanaa na beat zake nzur congratulations mburahat wanatoa watu wengii maarufu ad na queen video marioo we ni msaniii Bora mnooo na utafika mbali ata Kama unaimba kiswahili akija msaniii was nje we imba kiswahil na kinasikilizwaa kokotee watu tunapenda nyimbo za kikorea tukitzama tamthilia zao na wao wasioolewa watapenda tuu songesha,na kufeli shule sio kufel maisha mie nmesoma ad chuo lkn. Natgmea biashara kwa Sasa sjawah kukata tamaa kwnye kutafta much love#Mario
@mastaplan83
@mastaplan83 5 лет назад
Millard Ayo you are very experienced presenter i love how you are composed and give your interviewee time to xplain.
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 5 лет назад
Kama na wewe umepitia misoto kama ya MARIOO angusha like yako apa.
@gowithmesafaris
@gowithmesafaris 5 лет назад
Daah! Jamaa kanigusa sana yani kapitia magumu kama yangu
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 5 лет назад
Isaya Paul katugusa weng sana
@ibrahimrassi7835
@ibrahimrassi7835 5 лет назад
na kubari sanaa
@ibuninkwaje3191
@ibuninkwaje3191 5 лет назад
Yani kama kakopi ya kwangu yani tofauti ndogo yeye msani nami nakipaji cha uchekeshaji
@jafetfelix6362
@jafetfelix6362 5 лет назад
Mungu amuongoze na kumuongezea maarifa Amen
@andrewmwita119
@andrewmwita119 5 лет назад
Hongera sana Dogo marioo napenda sana kazi zako Dogo unafanya vizuri,kaza boti cha mhimu wapenda washabiki wote wabaya na wazuri
@lamecksmernest9651
@lamecksmernest9651 5 лет назад
Daaaah ama kweli no sweet without sweat## mungu mubarike MARIOO## mungu mubarik Millard ayoo
@bennie7239
@bennie7239 4 года назад
Hii ni interview ya kwanza naiona kwa Millard ambayo kimsingi Millard hana kaz kubwa 😁😃, Marioo anajieleza vzr sana...he's 4 real..
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
Saana yaan anampa nafasi ya kuongea
@deusdedithmanugulilo1980
@deusdedithmanugulilo1980 5 лет назад
MIllard hii inageuka kuwa moja kati ya interview bora kabisa kuwahi kufanywa na wewe, Si kwa sababu wewe ni presenter bora lakini kwa sababu ya uwezo binafsi wa kujieleza wa Marioo. In this interview you had a total relaxation since the guy knew how to tell the tale. Natamani ningemshauri kitu lakini kwakuwa sina ukaribu nae basi please only share the remaining part of this interview
@slayingtee6044
@slayingtee6044 5 лет назад
True
@michaelbwoma2760
@michaelbwoma2760 5 лет назад
Kma unafatilia hizi online Tv na interviews zao, this interview ina best techniques Millard anauliza na anasikiliza na anazalisha swali zuri sana
@SelphahDelphine
@SelphahDelphine 2 месяца назад
Marioo napenda sana nyimbo zake ..Yuko on top sana mm nipo Kenya
@SelphahDelphine
@SelphahDelphine 2 месяца назад
Nyimbo zake zote Niko nazo ...pia nafuatilia sana...nampenda sana haswa sauti yake anapoimba
@rahillhamidu2544
@rahillhamidu2544 4 года назад
Wamama tuna pitia mengi kwenye kulea, mungu atufanyie wepesi
@fatmahamid64
@fatmahamid64 2 года назад
Amin
@meedaafarai9677
@meedaafarai9677 5 лет назад
Mungu akufanyie wepesi .pole sana.
@faridamjungu1028
@faridamjungu1028 5 лет назад
Duh! Pole sana mdg Wang, kaza buti mafanikio utayaona in shaa Allah
@aishakopose26
@aishakopose26 3 месяца назад
Mario wewe nikijana watofauti sana mungu akupe Kila hitaji lamoyo wako ufike unapo pataka Amina🙏
@alexmurithi1327
@alexmurithi1327 5 лет назад
Brother Marioo, Mimi shabiki wako Sana kutoka Kenya. Wimbo wako wa inatosha uko juu saaana
@azizaramadhan9177
@azizaramadhan9177 4 года назад
Tutambuane kwetunimombasa likoni
@twerkworld6049
@twerkworld6049 4 года назад
@@azizaramadhan9177 hy
@marsgenesis7200
@marsgenesis7200 5 лет назад
The guy is humble na kwenye suala la mkorogo sidhani kama anatumia ila ni kwamba ana chunusi zinazomsumbua na karibia dawa zote za chunusi huwa zinang'arisha ili kutoa makovu
@sakayonsakihunga3496
@sakayonsakihunga3496 4 года назад
Ukosawa maranyingi dawa zakuondoa chunusi hua zina ng'arisha
@saudakayela5439
@saudakayela5439 4 года назад
Mars Genesis nikweri sikupingi
@saididd3121
@saididd3121 4 года назад
Kw
@rizikijaha3390
@rizikijaha3390 4 года назад
Hizi chunusi hataree
@celestinekhivali5824
@celestinekhivali5824 3 года назад
Aki watu wabaya kumsema marioo vibaya,leo ndio nawatch hii interview but uso kuharibika Ni kawaida si must iwe mikorogo tu,alisema ajawai tumia mikorogo Mimi namuamuni wale wa kusema waseme tu,
@benajra3374
@benajra3374 5 лет назад
Kama naww umelelewa na mama to gonga like apa
@Jc-wl6yf
@Jc-wl6yf 5 лет назад
Unajua kujieleza marioo...Mungu akupeleke viwango vingine zaidi
@monicajulius905
@monicajulius905 5 лет назад
tuanapenda Sana kazi zako,ila kama unatumia mkorogo acha kabisa
@umikram6755
@umikram6755 5 лет назад
Haaaahaaaa
@roseignace4810
@roseignace4810 5 лет назад
hahahaha kweli kabisa umenuna dada
@salomeally6145
@salomeally6145 4 года назад
Monica Julius mbona mpaka mwilini mweupe muone mikono
@hamadharerimana8187
@hamadharerimana8187 4 года назад
no nahisi iyo ni skin condition(matatizo ya ngozi}
@wazirikhamisi4828
@wazirikhamisi4828 4 года назад
Monica Julius HAO wanatumia sikrabu
@lovesamson2939
@lovesamson2939 4 года назад
Story yako ya upande wa baba tunafanana Ila usikate tamaa unafanya mziki mzr nakukubali sana Mungu akupemaisha malefu💪💪💪❤❤❤❤❤
@samirayussuf280
@samirayussuf280 4 года назад
Love you so much marioo unasautinziri Masha Allah bless nakukubali mno pigakazi brother ❤️💯
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
Hongera Marioo umepambana sana👏👏👏
@fatumafey9256
@fatumafey9256 5 лет назад
Marioo kiboko nampenda mpaka naumwa love you 😘
@mathewtheodorynikweli5751
@mathewtheodorynikweli5751 2 года назад
Kwahiyo Mimi au basi😂😂😂😂🤓🤓
@yusuphharuna1476
@yusuphharuna1476 5 лет назад
Baba yangu aliashaniambia usitegemee ndugu yako yoyote kukusaidia mwanao ktk maisha
@patrickyohanna5120
@patrickyohanna5120 5 лет назад
Mchizi kanikumbusha mbali saana enzi nasoma halafu mimi ndoo fundi wa shule na kukarabati matlanga ya wanafunzi wenzangu
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
Ni kweli
@m-jay2840
@m-jay2840 5 лет назад
Aki his so humble You can read he has a ver good personality honest guy
@rahillhamidu2544
@rahillhamidu2544 4 года назад
You can say that again my dear, more than a hamble
@ninadelina7576
@ninadelina7576 5 лет назад
Inshallah nakuombea kakangu utafika mbali inshallah nq ushafika mbali pia mie shabiki wako wanguvu Ilee nyimbo yako inatosha Masha Allah 💃💗
@tiktokTviral
@tiktokTviral 5 лет назад
A Very Talented humbleGuy 🎤#Mario👑🎶 kp it up jooh..🔝
@ayshaaysha7786
@ayshaaysha7786 2 года назад
Mario
@devotamruma3459
@devotamruma3459 5 лет назад
i have being waiting this interview for so long
@michaelbwoma2760
@michaelbwoma2760 5 лет назад
Daah maisha haya Marioo hajui CPU hahahahaha natania he is so humble nachelea kusema Dogo huyo ataichukua bongoflavor
@clianmichael7472
@clianmichael7472 5 лет назад
Michael Bwoma central procesing unit
@hawaseif9305
@hawaseif9305 4 года назад
Millard ayo mtangazaji mzuri sana unajua kuhoji vzr 🙌🏿👏🏿
@wemambonde9363
@wemambonde9363 5 лет назад
Kaza mdogo wangu wa shule moja kijiji kimoja acha tu umenikumbusha mbali Sana kibiti moja ndo home
@Views-mf8ir
@Views-mf8ir 2 года назад
Msanii wangu Bora 2021 .. He is real dil in town ..
@godwinegacharo9001
@godwinegacharo9001 4 года назад
Huyu ndo msanii bora 2019 kwa maoni yangu
@ramadramad8050
@ramadramad8050 4 года назад
Mond
@josephmlelwa3175
@josephmlelwa3175 3 года назад
Ndo inavyo takiwa,katika kupambana, maisha ndo yalivyo, big up ni story ya ukweli kibongo. Good.
@dkensmopainvevo3683
@dkensmopainvevo3683 5 лет назад
Daaa! Marioo hatimae ndoto yako ilitimia 🔥🔥🔥
@ninadelina7576
@ninadelina7576 5 лет назад
Allahmdhulilah🤲
@ellybissack8284
@ellybissack8284 5 лет назад
big up marioo mwanzo mgumu ndio km hv so ebu Fanya kitu na Nandy
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
🙏🙏
@emmanuelmahumbi3596
@emmanuelmahumbi3596 5 лет назад
La msingi sana Marioo ajielimishe, pia ajaribu kutengeneza njia nyepesi kwa wanaochipukia kuepuka vikwazo alivyopitia yeye. Keep it up
@feidhabakari261
@feidhabakari261 3 года назад
Anaongea kwa hekima Sana nime penda 💯❤️
@mwalimmwalim6336
@mwalimmwalim6336 3 года назад
For the past two weeks, I have been teaching and sharpening Omary's English here in Rosebank, Johannesburg - South Africa. He has a very good power of reasoning, a surperb capacity, flexible to cooperate with and he's a quicker Learner.
@rayshikeli1577
@rayshikeli1577 4 года назад
Eeeh birthday ya Marioo inaendana na ya mwanangu Ashraf🙌🙌🙌big up sanaaa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@nestorykuringe9194
@nestorykuringe9194 4 года назад
Km na wewe una tamani Interview indele km mm ninvyo taman gonga like hapa...
@kassimramadhani79
@kassimramadhani79 5 лет назад
Kama unamkubal mariooo dondxha like hapa🔥🔥🔥
@eliaslaiser8425
@eliaslaiser8425 5 лет назад
Daah jamani tuangalie na aina ya vitu tunavyopaka usoni kama umemwona marioooo kwa uso sey yeeeeeh!!!
@noahchepe8036
@noahchepe8036 5 лет назад
Haha
@saidahj2543
@saidahj2543 5 лет назад
Aki watu hutoka mbali for real...God has good plan for you Marioo
@peacebrowntz3949
@peacebrowntz3949 5 лет назад
Saidah licious kwel umenena
@kakagranto135
@kakagranto135 5 лет назад
Very nice interview big Ayo good job, Marioo very inspiring ma Main
@godwinegacharo9001
@godwinegacharo9001 4 года назад
Msanii bora wa mwaka hapa Bongo. Ana ngoma Kali so kitotoooo
@meshackkangwe7744
@meshackkangwe7744 5 лет назад
Marioo💪💪💪💪 nakukubali sana nataman siku tukutane nikupe kitu💥💥💥💥👊👊👊👊🤔
@sangijamadukwa1486
@sangijamadukwa1486 5 лет назад
Dah! Yan lifestyles ya Maisha ya baba ako iko sawa kabsa na ya mzee Wang, japo mm wadogo zake yan baba wadogo zangu wamenpga kampan sana
@seniroya7834
@seniroya7834 5 лет назад
Marioo kiboko top 20 ameishusha hata kadogo ya kiba.saiz anatamba na wauwe ndio namb moja top 20 😂😂😂😂
@bongobytheway103
@bongobytheway103 4 года назад
dah nimeipnda story yako broda marioo ur fire since day one
@shozylamparboom8393
@shozylamparboom8393 5 лет назад
Keep it up... U made it... Inatoooshaaaaa... Bonge la kaziii #marioo
@prince70863
@prince70863 5 лет назад
Never gave up ... Mungu akikupa nafas onesha juhudi .. Ukiwa star usiwe kiburi maisha hayana wenyewe
@mbalakasulutani2942
@mbalakasulutani2942 4 года назад
Kujieleza ni shida wewe
@samirnaty8774
@samirnaty8774 5 лет назад
Big up millardayo bonge la interview tupachikie ya mwisho wake
@rahmaomary1043
@rahmaomary1043 5 лет назад
Nc
@fkingomar9077
@fkingomar9077 4 года назад
God bless my name Omar aka marioo mungu akuekee sana my name tunaiuwanawewe Hadi kufakwetu shahidi mungu tunakusapoti kwa kilanjia Somo yangu mungu akulinde sana achana nawasiokupenda elewakizuri lazima kipendwe nahatawasiokupenda ndiochanzo chakufanya uwape ngoma kalizaidi ili wajue jina ni Omar kipajiunacho Somo keep it up somo
@moseshandsam1865
@moseshandsam1865 2 года назад
Mario best artist all tyms nice interview
@deboramatpapaztv
@deboramatpapaztv 5 лет назад
Shilawadu wametoa sapoti sana aisee...I wish afikie level ya akina dai
@husnahkidula4009
@husnahkidula4009 4 года назад
Touching story 😢😢but we love you 💕
@peterzjohn6260
@peterzjohn6260 5 лет назад
Daaah nmepend xn hii interview, post part two bac Millard
@leonardbenjamen4694
@leonardbenjamen4694 4 года назад
Komaa tyyu brother kutoboa kupo
@scollapatric8342
@scollapatric8342 4 года назад
Aiseee mungu nimwema sana hongera marioo
@paulgodwini2910
@paulgodwini2910 5 лет назад
Bonge LA interview big up marioo
@anastaziaquenberth9443
@anastaziaquenberth9443 5 лет назад
Me nakukubali marioo
@ramadhanimrisho833
@ramadhanimrisho833 5 лет назад
Nakukubali sana marioo zaidi ya sana kwanza unajua kutoa story ikaeleweka
@jacquelinemtei8058
@jacquelinemtei8058 4 года назад
Unafanya vizur sana marioo love u
@glorytarimo9730
@glorytarimo9730 5 лет назад
Namkubali sanaaa marioooo 💖💖💖💖💖
@anithawimbe1564
@anithawimbe1564 4 года назад
Nampenda tu Millard uulizaji wake Wa maswali anakuuliza halafu anakuacha ujielezee Wengine Hata hujaelezea vizuri kashakuuliza lingine Hata hujamaliza lingine wanambwembwe nyingi Kama wauza kahawa ila Millard yuko vizuri
@sangijamadukwa1486
@sangijamadukwa1486 5 лет назад
Dah! Baba ako kafariki Mwaka mmoja na wangu! R.I.P baba
@Mwakibinga_wisdom
@Mwakibinga_wisdom 2 года назад
Sad deathday
@siwatuhassan2281
@siwatuhassan2281 5 лет назад
Umetoka mbali bro enzi hzo ulikua rafiki yangu arafu ukawa ni mdogo sanaa
@irenesluiter4496
@irenesluiter4496 5 лет назад
Jaman acheni kumlaumu anajieleza sanaa.. C kila mtu kaubwa kujua sanaa anajifunza pia .bora anajieleza angesema no cment si balaa lingne loop na kwenye ukweli uongo hujitenga yanii namaanisha uso unaonyesh ada anaijua ila hawez kiri kam hakupenda shule kam alivyoyapenda na kwasababu maisha ya mtaa.. WA baba kweny familia (mnatutesea watoto sanaa) mie nimeteseka pia... Na kam anajichubua umri jamanii jamanii ataacha mbna mondi kapta kweny mkorogo na wengne Kibaoo... Jiachie baba jielezee jimwae mwae na iyo inayokuja Millard mpnz uckatee kate
@derrickthedon91
@derrickthedon91 4 года назад
Irene Sluiter aisee dada unaongea kinomaa!! aisee wee nomaaa
@alfredjanuary1175
@alfredjanuary1175 2 года назад
@@derrickthedon91 Fà3dt 💞💖💓💄👒
@lindaziti7545
@lindaziti7545 4 года назад
Marioo napenda nyimbo zako uko vizuri sana
@aminaniyonsenga1946
@aminaniyonsenga1946 5 лет назад
I hope there is part two. This interview is really good.
@jofreymatati9332
@jofreymatati9332 5 лет назад
watu wanahustle 4real
@lizzygabriel9601
@lizzygabriel9601 4 года назад
😀😀 eti sauti ya nandy nilitamba nayo,ila Nampenda Sana huyo Kaka yupo real
@raphaelmkumbovalane1710
@raphaelmkumbovalane1710 4 года назад
Marioo ni fundi wa muziki sana yaani akiimba anatulia sana
@Jowelia
@Jowelia 8 месяцев назад
Marioo kama Marioo nampenda sana he is a good story teller❤😅😅
@directorinyangeadriano5031
@directorinyangeadriano5031 5 лет назад
waoohhh..Really..nimehakikisha interview yote naisikiliza..Marioo kwel Uko na kipaji na Mungu akufanyie njia maana upo vizur sana
@salummwakatughu
@salummwakatughu Год назад
Sanaaaaaa nakubari sana uwimbaji wako keep it up
@arafaalyahyaialyahyai2940
@arafaalyahyaialyahyai2940 4 года назад
Nampenda Marioo baba ake alikua hamjali kimaisha lkn hawaongelei vbaya sna km nanihino majina tunawahifadh😂
@savanny_music
@savanny_music 2 года назад
Vipi Marioo ningependa utumie huo ujuzi wa kutengeza tangi ya kubeba mafuta kuzindua kiwanda chako..kama kuekeza kutoka kwa pesa za mziki...
@paulinemichael4658
@paulinemichael4658 2 года назад
Nmpendaa snaa yaan wee n motoo
@jumamkali375
@jumamkali375 5 лет назад
Rea life ya vijana wengi wa kibongo
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 5 лет назад
Ata mimi nmeishi maisha ya msoto sana
@harryvice77
@harryvice77 5 лет назад
Apo kwenye kuskilizana kanikumbusha mbali sanah
@subiraally6711
@subiraally6711 2 года назад
Hongera Marioo
@nazgonke6918
@nazgonke6918 4 года назад
Kama unapenda wimbo inatosha wa marioo gonga like hapa tumsupport👇
@godigaspatv6146
@godigaspatv6146 5 лет назад
Part two iko wap ayo tv
@jenifferfalnadesseaus5671
@jenifferfalnadesseaus5671 4 года назад
Nampenda sana marioo😢😢😢😢😢
@malafyaletistar7613
@malafyaletistar7613 5 лет назад
maisha ya mafanikio huwa yana safari ndefu sana
@noahchepe8036
@noahchepe8036 5 лет назад
Mziki mzuri sana anafanya dg!!!
@henrickaidan8371
@henrickaidan8371 3 года назад
Uko vizuri. Bibi yako kakutendea haki, unamkumbuka?
@mbassatz8504
@mbassatz8504 5 лет назад
Mr chibonge mwenyewe nakubali broh
@mosesmahinya9654
@mosesmahinya9654 2 года назад
Marioo is a genius of bongo flavour
@peacebrowntz3949
@peacebrowntz3949 5 лет назад
Unapambana broh!! Kipindi uko mtaani tulionana sana ...kazaaa blood
@borashabani729
@borashabani729 4 года назад
hongera sana dogo mungu akusimamie ufkie malengo yako
@mcjayz8686
@mcjayz8686 5 лет назад
Nandy aaaaah ebwana nouma nimeipenda
@salamakenga2782
@salamakenga2782 5 лет назад
From +254 penda xana kijana angu mariiooo,,dar pagumu,,chibonge,,na ringtone YANGU ya kila Sikh inatosha,,ila wapi video ya iii ngoma inatosha broo,,
@issayasimon190
@issayasimon190 4 года назад
Ipo ingia RU-vid
@fatumafey9256
@fatumafey9256 5 лет назад
Sichoki kuangalia nyimbo zake aswa inatosha naipenda sanaa
@mohamedabdallah7526
@mohamedabdallah7526 5 лет назад
Interview imetulia 👊🏿
@khalidndemo4386
@khalidndemo4386 5 лет назад
Hizo microphone unazotumia zimekaa vizuri za kijanja,, sio unaweka mike unafikiri skaveta linamzima mpaka mzungumzaji
@rhodachristopher4398
@rhodachristopher4398 5 лет назад
Hahahaaaaaaa
@bahatimwagaro3410
@bahatimwagaro3410 4 года назад
😂😂😂😂
@Lifeofkafoi
@Lifeofkafoi 5 лет назад
bro marioo .. nakuelew hatari unajuw bro..
@sudyboy3441
@sudyboy3441 5 лет назад
nambie mburo
@mbodzebemasika7477
@mbodzebemasika7477 5 лет назад
duh..kusoma kwako kwa fanana na kwangu sema mwenzio nlibahtika nikamaliza 4th form..yaani .nilihama hama kuhamishwa..mara napelekwa nkaishi kwa familia zengine nkifika wasema hatujui
@brownziro1408
@brownziro1408 5 лет назад
good bro
@kabwelamalik1250
@kabwelamalik1250 5 лет назад
unakaz nzuri kiasi ila jifunze kuwa na brake ktk mazungumzo au focus ktk swali unaloulizwa si kuzunguka sanaa bro
Далее
#JasonStatham being iconic
00:38
Просмотров 388 тыс.
Exclusive Interview na Harmonize - PART 1
21:18
Просмотров 251 тыс.