Masoud Kipanya ametengeneza vichwa vya habari nchini baada ya kuzindua gari lake kutoka kwenye kampuni yake, KP Motors. Kwenye #ChillnaSky anazungumzia mchakato mzima ulivyokuwa hadi kufikia hapo
Shukran sana ndugu. Kwa maongezi yako Nimejifunza mengi . Mimi ni Mkenya na napenda sana maongezi na watu wenye fikra za mambo ya ki ufundi. Kwa sasa mimi ni dereva wa familia Arabuni. Na napenda sana kazi zinazohitaji matumizi ya akili
Kipanya akili nyingi sana . Nawapenda watu wa namna hiyo wanaowaza na kufanya visivyo vya kawaida hivyo ndivyo niwazavyo mie na nina ndoto zingine huwa siwezi kumwelezea mtu maana naweza onekana chizi.
@@MrNdanguza mi nimeomba maelezo maana mimi nilichoona Masoud kaunda gari inayo-store power kwa umbali wa 60 km na kuwa-recharged usiku mzima! Sasa hivi kuna gari zinaenda 500 km kabla ya kuwa recharged! Ukweli ni kaunda gari na si kafanya ugunduzi au uvumbuzi kama media zinavyopotosha!
@@karyori69 hapo inabidi uunde hydropower battery yenye uķubwa kwa kuweza kkucharge 30kwh hapo itaenda mpaka km 70 ,lakini kuna uwezo wakuunda battery kubwa tuseme 350kwh hapo utaenda mpaka km 1200 vyote nikujua jisi ya kuunguza acid ya ndani ya bettry na vyumba vizuri kwenye ule muundo wa bettry ila iweze kucharge kwh nyingi ,ni process ya kawaida sanaaa huku south Africa mbone watoto wadogo tu wanazitengeneza ,ni elimu tu kua na ujuzi zaidi lakini vitu simple sana
Swali langu kwa masudi,kwann hiyo gari isiwekwe alternator inayotumika kwenye gari za kawaida,ili kucharge betri ya gari yako badala ya kucharge tena,naomba jibu pls