Masud nimekua nikikufatilia sana, hasa kwa namna ulivyo na uwezo wa kuwahoji viongozi uwapo ktk vopindi vya radio, unatisha na upende usipende unaakili nyingi.
Kaka Masoud Tutakuiga kwa matendo yako kisha tutakumbuka maneno yako. hakikisha mbele yako ni bora zaidi vinginevyo hatma yako itatuumiza sisi tunaohamisika na fikra zako kama huta ijenga kisawasawa. simama imara. Mungu akupe Subra na Akili kubwaa. Amiin.
Hongera sna @masoud kipanya, Tungependa lengo lako la kufanya carton za animation ulitilie msisitizo zaidi naimani itakufanya uingize hela nyingi zaidi ili tu akili na ubunifu wko tufaidike nao
Naomba kwa Mungu masoud asipewe teuzi ili azidi kuonesha njia na kukosoa kwa kutumia kipaj chake. Teuzi zinapoteza watu mf Mpoto kapotea sasahivi alkuwa anakosoa serikal kistaarab lkn kapotea jumla