@@Amirmgunya-pt2zmhats kama hawana kitu wana haki ya kuzidai hizo au hujui sheikh. Kasome sheria angalau kidogo ikugomboe labda hutaropoka kitu ambacho hukijui na kama haijui kitu basi kakojoe ukalale.
Masoud ni role model na amekuwa aki inspire vijana wa rika zote wachapa kazi na smart wenye kujielewa, ni mtu mwenye hekma na upendo na amekuwa na yeye akiheshim watu wengine
Kaka masoud kipanya ukimsamehe huyu na mm kesho nakutukana kwasabab utanisamehe pia, kumbuka alicho mfanyia dada menina huyu jamaa, bila shaka hii ni dua ya menina mungu kaijibu.
Poke Masoud mwanangu. Mwijaku atapata akili sasa anajifanya mropokaji wa kinataifa leo kaingia cha kike atajifunza adabu, atapata akili na atashika adabu maana hana hata moja anaj8fanya chizi. Si spending Mwinjaku wa hovyo sana.
Pole sana ndugu yeti masoud Mimi binafsi nilijisikia vibaya sana nilipolisikiliza lile li mwijaku zero brain. Nakuomba husikubali ata akuombe msamaha kwa kupitia mashehe wote wa dunia
Kaka masoud husikubali aende mahakamani akajibu tuhuma zake na ikithibitika aukumiwe kwa Sheria zote za nchi na kanuni zake,kaka masoud wewe ni legend kwenye nchi yetu na mjinga mmoja aje kukuchafua kirahisi tu
Nimefurahia sana kwa uamuzi aliofanya masoud kipanya kwa mwijaku. Hana adabu hata kidogo yani yeye kila mtu anajifanya kumjua nakutaka kumzoea. Acha sheria ifuate mkondo wake na iwe fundisho kwa kila mwenye kupenda kuropoka ropoka hovyo pasipo kuwa na ushahidi.
Mwijaku mjinga sana yaanialifikria Masoud kipanya nikama Maua Samma maanaakishawahi kumdhalilisha Maua Sama kwakumuita Malaya lakni dada watu aliamua kusamehe
Aende jera tu mimi binafsi namchukia sana mwaijaku anamtukana daimond na mond anamkalia kimya sasa naombeni masudi usimsamehe mpaka auze na kanyumba kake kanako mpa kiburi
Afungwe ili heshima iendeleee kuliko kupewa ela coz ameshazoea kuwafhafuwa weng na mm namwonaga mwijaku kama mangekimamb afungweeeeee jaman plz serkal naiomba🤔😇
Duuuuh Juzi Juzi hapo kamuonya sn baba levo kama hata kuwa makini atakuja kufungwa kwa Tabia zake hizo haya Sasa kayakanyaga Leo Hilo ndio hatariiii sn masoud eti no kijana wake wakati masoud yupo town 1987 anaiwakilisha jamiii yake kupitia taaluma yake Sasa hapo kayakanyaga 🙌🙌🙌
Bora mfikisheni huyo mwijaku awe na adabu kidogo manake kazidi sana sijui anaanza kuchanganyikiwa ?! Manake toomuch kila mtu anamkwaza mtieni adabu kidogo! Mbona baba levo ana adabu yake akifanya utani utacheka tu sio huyo anachefua roho😢
Mwijaku mpumbavu sana. Yaani anataka kumuharibia mwenzake hivihivi. Yaani ni zaidi ya muuaji kabisa. Masuala aliyoongea ni dangerous kwa Taifa kwa sasa. Brand ya KP inejengwa kwa muda na gharama kubwa leo anamfanyia hivyo kweli? HAPANA HAPANA HAPANA haivumiliki kabisa.
# naomba mwijaku alipe , ili tuone ufahari wa binadam katika dunia hii... mwezi jana katoka saudia kujisafisha kwa iman yake ila bado yuko vile vile, kusoma nako hakujamfunza jins ya kuish na watu. Kuwa na tong pin 📌 kama mwanaume
MWijaku amekuwa na tabia ya kuchafua sana watu ona amemvunjia heshima mwenzake kuanzia taifa mpk kwenye ukoo.BOra achukuliwe hatua kali kabisa ili iwe fundisho na kwa watu wengine wenye tabia kama hiyo.
Masudi angekaa kimya ningemzarau mana hata mi nilishaanza kumuamini mwijaku lakini kama kachukua maamuzi hayo heshima kwake.... Huyo wakili anaonekana mda mrefu anammaindi mwijaku na leo kaingia kwenye mtego kwa maelezo yake tu inaonekana yuko tayari kuendesha hiyo kesi hata asipolipwa😅😅😅😅 tuko beneti na mwijaku wetu mpaka afungwe.
Maaasudi Allhaaa anasameee na wew saaameheee kwa ajiliii ya Allhaaa tuko katika kipindi cha tobaa na maaaufira usmpe shetani na fasiii ni nduguu katika imani
Unajua kuna watu wakiwa na uwezo kidogo kipato, wanaanza kujisahau na kuanza tabia ya kuongea hivyo bila kujali. So nimuhim sana Sheria apate hukumu yake ili na wengine wenye tabia kama Yakewajirekebishe. So kimsamehe haitosaidia kitu na badae atazidisha zaidi..
Hivi Cypirian Musiba aliendaga wapi tena, maana yule alikuwa chawa wa Magu, hapa kuna watu wanadai Mwijaku ni Kizimkazi timu, wanashindwa kujiuliza leo hii Musiba yupo wapi? Alitukana watu wa heshima sana nchi hii! Leo hii sijui kajificha kwenye shimo gani
@@chrispinmkanda6097 mali zake zinathaminiwa na kuuzwa ili alipe penalties kama akishindwa kesi. Mtu anafungwa kwa felony cases na siyo defamation ama Liable case