Wasomi mara nyingi wamemuonya Dr.Sule kuhusu kauli zake kwenye nyanja za Kisayansi. Mara hii ameongea mambo ambayo hata Quran imeyakataa. Ametakiwa alipe Milioni 200 alizoahidi
Kitu ambacho Sule kapigwa chenga hakukielewa ni kwamba mwanga au Nuru ya Jua inatoka kwa Mungu mwenyewe. Mungu ndiyo alipa Jua nguvu/energy. Kwahiyo hiyo Nuru au mwanga ni Mungu ndiyo anayo, akaiweka kwenye Jua, na ana uwezo wa kuitoa kwenye Jua, likabaki halina nguvu yoyote kukawa na giza, kama alivyofanya kule misri kwa farao kwa siku tatu mfululizo. Alilinyang'anya Jua nguvu yake kukawa na giza. Kwahiyo mwanga au Nuru ndiyo vilitangulia kuumbwa kabla ya Jua. Sule anamhitaji Yesu Kristo avikwe nguvu za Roho mtakatifu apate uwezo wa kuyasoma na kuyatafsiri maandiko kwa usahihi
Tatizo LA SULE,kwa habari ya Biblia ni bonge la maamuma,yaani ni mjinga kweli kweli --- na kwa bahati mbaya,maamuma wenzie wanamtukuuuuza,nayeye anajiona ansjuuuuwa,kumbe ni bonge la maama kuhusu maandiko na uweza wa Mungu --- huu ni msiba mkubwa kwa wasio jua neno la Mumgu --- Yesu alisema "... angalia ile nuru iliyomo ndani yako,ikiwa ni Giza,si giza hilo "
Kama Kulikuwa na Mungu wa Makafiri/Mafarao wa Misri waliabudu Mungu Jus (Sun) je Wakristo mnapo abudu/mnapofanya Ibada Ibada Kuu ya Wiki/Jumaa ktk hiyo Siku ya Jua (Sun Day) je mnaazimisha/mnaabudu nini kama sio Kuendeleza Kuabudu Mungu Jua wa Makifiri/Mafarao wa Misri?
POINTI YA NANE 👉 kuhusu 'Mbingu', Biblia inasema katika Ayubu, sura ya 26, Mstari wa 11, kwamba… ‘Nguzo za Mbingu zitatetemeka.’ Qur’an inasema katika Surah Luqman, sura ya 31, Mstari wa 10, kwamba… ‘Mbingu hazina nguzo zozote - Je! Hauoni? Huoni Mbingu hazina nguzo yoyote? - Bibilia inasema mbingu zina nguzo.
Sikiliza Danel.Soma historia. wala si yesu pekee alofufua. hata hiyo bibilia petro pia alifufua. lkn Daneli ivi wafikiri Mwenyezi akandike historia ya kuzaliwa Mtume Muhammad. amuandikie nani? Makuraish? Makuraish walimjua kuanzia kuzaliwa kwa babu zake, kuanzia Adnaa . Mungu hakuwa na sababu ya kuwaandikia historia yake. Na hilo ndi mjue Bibilia si neno la Mungu. kwa sababu Musa kazaliwa,wana wa Irael wanamuona, kapewa utume, kapambana na Farao wakiwa nyuma yake, kawakomboa, kaelekea nao Inchi ya ahadi, wakagoma kuingia, wakaadhibia kutangatanga jangwani miaka arobaini. Yote haya ni historia wameiishi wana wa Israeli.Kisha katokea mtu kaikusanya, mwtuambia ni maandishi Matakatifu. hivi Mungu awaandike watu historia yao wenyewe?hana ya kuandika?fumbue i macho.
Sasa Kama unavyosema Daniel I mwankemwa KWAMBA halikutajwa juwa mbona hata Mwanza tunaambiwa nyoka NDIYE aliyemdanganya hawa hapatajwi ibilisi wala shetani !!!? Lakini mnasema aliyemdanganya hawa ni shetani wakati kitabu cha mwanzo kwenye bustani hakisemi hivyo kinasema nyoka?? Sasa SULE kusema juwa limeumbwa SIKU ya 4 nikutokana na bibilia inayotamka mwanga WA mchana umeubwa SIKU ya 4 na mwanga WA USIKU ambao ni mwezi mbona IPO wazi hapo ? Sasa unasema KUANZIA mstari WA kwanza hadi WA wata hakuna mahali palipotajwa juwa mm binafsi napata kigugumizi.unataka litajwe juwa MOJA KWA mojaja???
Muujiza wa giza mahala mahala hata juzi mwezi wa April 8,2024 Kulitokea kupatwa kwa Juasehemu bwa za North America kulikus na giza kiasi kwamba hata wanyama/Ndege na wadidu walianza kurudi majumbani ,mwezi ukikaa kati ya Jua na Dunia lazima mahala flani kuwe na giza totoroo,na sehemu nyingine mwanga kama kawaida
Watu hujifanya wamesoma Revelation 21:23 And the city has no need of sun or moon, for the glory of God illuminates the city, and the Lamb is its light.
POINTI YA PILI👉 biblia inasema katika Mwanzo aya ya 1 namba 3 na 5,… 'Nuru iliundwa siku ya kwanza.'na katika Mwanzo, sura ya 1 Mstari wa 14 hadi 19… inasema na sababu ya mwanga - nyota na jua nk, iliundwa siku ya nne '. Je! Sababu ya nuru inawezaje kuundwa siku ya 4 - baadaye kuliko nuru iliyoanza kutokea siku ya kwanza? - hapo haijakaa kisayansi.
POINTI YA TISA 👉 sio tu Mbingu Zina nguzo lakini - Biblia inasema katika kitabu cha kwanza cha Samweli, sura ya 2 Na. 8, na vile vile kitabu cha Ayubu sura ya. 9, Mstari wa 6, na kitabu cha Zaburi sura ya. 75, Mstari wa 3, kwamba… ‘Hata dunia ina nguzo.’
POINTI YA NNE 👉 Mwanzo, sura namba 1 Mstari wa 9 hadi 13 inasema… ‘Dunia iliumbwa siku ya tatu.’ Mwanzo sura ya 1, 14 hadi 19 inasema… 'Jua na Mwezi viliumbwa siku ya nne.' Leo sayansi inatuambia ... 'Dunia ni sehemu ya mwili wa mzazi… jua.' Haiwezi kuwapo kabla ya jua - hapo.haijakaa kisayansi.
Kumbe Danel hujasoma Quran. kama Allah ndani ya Quran hajazungumzia hatma ya ulimwengu haya maisha ya dunia yatakua na maana gani? soma quran: 81,82 na 84. Na pia Isa (Yesu) kwa mujibu wa mafundisho ya uislaam atakuja atafanya majukumu yake kwa muda na atakufa aiache dunia yaendelea kama kawaida.
Haelewi Maana/Tafsiri ya Neno NUURU anajuwa NURU ni Kuangazia Kuona Kilichopo Gizani/Kisichoonekana tu kumbe Lugha ya Kiswahili ina Maneno Mengi Kwa Kutegemea lengo/Nia ya Mzungumzaji na Wanaomsikiliza/Kumfuata. Kiswahili Kimeazima Maneno kutoka ktk Kiarabu na Qura'an na ndo Utakuta Maneno ya Kiarabu/Qur'an hutafsirika Kwa KILUGHA na KISHERIA. Wakeisto wangefundisha na angeelewa Vema BIBLIA kama tu Wangetumia Lugha mama ya huo Ukristo na Biblia. Laakin kwavile Ukristo na Biblia ni vya Mchongo hivyo hupata shida Kutafsiri, Kufundisha/Kuelezea na Kutetea Uhalali wa Uwepo wake🙌😂😂😂
Tatizo la SULE ni ujinga ---- kuhusu Biblia,SULE ni maamuma kweli kweli,yaani ni mjinga aliyepitiliza ---- kwa bahati maamuma wenzie wa Biblia,wanamtukuuuuuuza kwa kumwona anajuuuuuwa,kumbe ni bonge la maamuma --- huu ni msiba mkubwa " wainalilah wainalilah rajuun "
Neno NURU limegawanyika sehemu nyingi/maeneo Mengi itategemea na Tafsida/Muktadha tusidanganyane. lnaposemwa Qura'an ni Nuru, Uislamu ni Nuru, Mitume/Manabii-Mwana wa Maryam ni Nuru si kwamba Nuru hiyo eti ni Yesu la..🙌 Kuna NURU Mwangaza/Mwanga na NURU Mwongozo/Uzima (Uhai) wa Mja/Nafsi au Kitu Kufaulu/Kufanikiwa (Kuneemeka) kwa Kufuata Mwongozo wa Mungu
Someni Historia.si kazi ya qurani kuandika historia ya Mtume wala miujiza aloifanya. hayo yameandikwa na watu walioishi nae na walioambatana nae. someni historia.na vitabu mnavyo lkn mwajitia uziwi upofu.
Akupe hizo milioni 200…kwa jinsi ambavyo umefafanua, hata mtu ambaye hajaenda shule anaweza akaelewa. Hicho kisa cha mapito kule Misri, huku kukawa giza na huku kukawa mwaga kwa mda wa siku tatu tena katika nchi moja; kimenifungua akilii na kuelewa kilichokuwa kinaendelea ndani ya zile siku tatu kabla ya jua na mwezi kuumbwa. Wewe ni mwalimu makini.
Dr sure siku nyingi huyo anapotosha watu yupo na mwenzake Mazinge Bible haidanganyi kitu, Hao wanapewa hela kupotosha watu wamedanganya sana ila mungu awasamehe
Muhammad anawazuga waislam tu kwa sababu haiwezekani aibuke tu bila kutabiriwa popote. Na amekuja miaka 600 ili waliokuwepo wakati wa Yesu wawe wameshakufa ndo mana watu wamedanganywa sana
Huyu jamaa anatamani awe mjuaji lakini ni ngumu kupambana na qurani wanasayansi wenye wamesarrender mbeye ya quran. Halafu huyu ni mpaka akachambue biblia hao kina sule wamemeza vitabu vyote. Live debate hawezi kwasababu ni mpaka akachambue ndo aweze kujibu.
Kwa Swala la Kuwatumia Majini Dr. Sule Kachemka. Na ndoma Mtume Muhammad alisema anskhofia Wasomi watakuja ipoteza Dini ya Kiislamu Kwa Kuchomeka ya Uwongo/yao Binafsi (ya Ushirikina) Kwa Maslahi yao Binafsi. Ndomana Uislamu Unahimiza Kusoma/Elimu Ili Mja usipotezwe. Mtume Muhammad aliposema; "nakhofia Wasomi/Wana wa Zuoni watakuja Kuja ipoteza Dini. Na hakuwataja Wana wa Zuoni Kwa Majina yao Wala Utaifa wao/Nchi zao, Bali Wana wa Zuoni wa Popote Duniani, iwe Saudia, Tz nk.
Quran yenyewe imehiba maneno kwa biblia . Quran ni kitabu cha ujinga sana tukija kwenye uhunbaji quran ina sema juwa huwa lina zama ndani ya maji kila mara liki shuka sasa juwa kweli lina shuka au ni dunia ina zunguuka . Tena Quran ina sema kwamba dunia nikama mkeka na milima ni mawe yaliyo wekwa kwaku support dunia isiruke. A upepo sasa watu wanao soma uho ujinga wana jifanya wana weza ku attack biblia kwenye sayansi kweli ? Kwanza biblia ime andikwa na mashahidi wengi ila quran ahina hata shaidi mjoja kwanza uthman ame unguzaga Quran nyingi sana sasa kitabu kama Icho ni cha ku amini?
Yesu hana anachokijua soma hapa Mathayo 24 36 Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake.
Hili neno halijibiwi miaka mia maana Mungu anajitukuza kwa kupitia utukufu wake siyo wingi nafsi au chochote na malaika akitumwa alete ujumbe lazim aseme allah ninasema au asema allah
Sasa ulitaka biblia ivitambue wakati koruan ndio imekopy na kupest baadhi ya maandiko kutoka kwenye biblia,nikuuluze dr uchwara sure,kati ya biblia na koruan kitabu kipi kilitangulia
Kama qur'an imekopi bibilia mbona haija nakili na makosa yaliopo kwenye bibilia? Qur' an imekuja kisadikisha yale yalokuwepo ktk taurat na injili maana vitabu hivyo mmeviharibu
Duh,umetoa macho kama vile unasisitiza majibu sahihi wakati ki sayansi bado unajichanganya mno,kwakuwa unasema baada ya kuumbwa Jua ndipo mwanga wa Jua ulipo wezesha Mwezi na Nyota zingine,Ukweli Daniel bado unajichanganya,na wewe hujui kabisa kama Jua ni Nyota ila unaamini Nyota zinapata nguvu yake kutika kwenye Jua wakati Nyota zooote ni Majua hivyo Jua nalo ni Nyota hakuna Nyota inayogawia nishati nyota nyenzie,hivyo si kweli kwamba Nyota zilipata au zinapata nguvu toka kwenye Jua ,na Kila Nyota uionayo nayo ina Solar system yake kwa maana inazo sayari zake na kuna Nyota zingine kubwa kuliko hata Jua naweza taja hata kwa Majina kama ilivyo kwa SUPERNOVA nk.
Mwalimu nenda mahakamani ukalipwe million 200 zako. Hawa vihelehele kama Sule wakulipe, By the way Sule ajiita Dr amesomea wapi ? Kama sio ujanja ujanja tu.... ?
Nikisima amekuja danieli na slley haijamaanisha aliekuja kwanza ni daniel akafuatilia sulley. inawezekana akawa alokuja kwanza ni sulley akafuatia daniel. hivyo hivyo, apo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. hakuna ushahidi wa kipi kilianzwa kuumbwa. Lkn pia jambo jingine unalotakiwa ulijue ni kuwa mbingu na ardhi si viumbe pekee vya Allah s.w. bado anaviumbe vingine, mfano:- Arshi,kursiyu,maji,lauh- mahfuudh(ubao),kalamu, pepo,moto n.k. unapo soma kwenye quran kuwa Allah ameumba mbingu na ardhi na vilivyomo kati yake..., haimaanishi kuwa hivyo ndio viumbe vya Allah tu basi, bali Allah anatuzungumzia hivyo kwa kuwa maisha kwa ujumla tunayaendesha humo.
@@BAYYINATDMTVSiku za Akhera tofauti na Siku za Duniani. Siku za Duniani hutegemea Kwa Nuru ya Mzunguuko wa Jua na Mwezi. Jua Lina Mwisho wake na ikifika Mwisho Jua litasimama/litatoweka na Kutakuwa Giza (Ishara za Kiyama/Mwisho wa Dunia) Kisha Mungu ataweka Nuru/Mwanga usotokana/usotegemea Jua. Mungu ametuwekea Jua na Mwezi kutokana Faida zitokanazo/zipatikanazo ktk Jua na Mwezi Kwaajili tu ya Kuishi ktk Dunia. Mfano baadhi ya Mimea na Shughuli zetu BinAdam/Viumbe Kwa hapa Duniani hutegemea Mwangaza wa Mwezi na Nishati/Mwangaza kutoka ktk Jua. Kwanza Kitakapo tokea Kitama hakutakuwepo na Mbingu na Ardhi Bali itakuwa Mazingira Mengine/Mapya tofauti na tunavyoona na tunavyoishi Duniani kwa Maumbile nk Mungu ni Mweza asiye wezwa.
Qur'an ni kitabu pekee ambacho kimethibitishwa na fact za kisayansi na huo ndio muujiza Mtume muhaamad leo watu wanasoma qur'an wanashangaa fact hizi Muhammad alizijuaje na wakati huo hakukua na maemdeleo ya teknolojia kama hivi sasa wakristo tulizeni akili zenu mtafute ukweli sio kulishwa matango tu na kina daniel qu'an haina makosa yeyote yale ya kibinaadamu kam yalivyojaa kwenye bibilia watafiti wanasema bibilia ina makosa zaidi ya 50000
Mbona Sule na waislamu wanaisemea Quran na si kuisoma hiyo Quran walivyo wepesi kuisoma biblia? Angeonyesha ukweli wa Quran watu watofautishe. Wapinga Kristo ndo hawa
Mwalimu Daniel mwambie huyo Sure hata Yesu alifika duniani na sayansi ilikuwepo na wanasayansi pia walikuwepo. Mfano wa mwanasayansi maarufu naamini kama kasoma sekondari atakuwa anamfahamu na siyo mwingine ni Archimedis ambaye alikuwepo 215years before Christ
Nilipo okoka nilipata shida sana kuwaelimisha ndugu zangu kimwili na kiroho waisilam, kumbe natwanga maji kwenye kinu, hakuna mwisilam anayeweza kutofasili bibilia japo nikiswahili, na yesu nikapokea hiyo nuru yakristo nikapata nguvu kubwa, kumuelimisha mwisilam nisawa mtu unaongea vitendo kwa kipofu,
Lazima upate tabu. kwa sababu bibili haieleweki. na wakristo hutegemea nguvu za kishetani kisha wanadai wametokewa na roho mtakatifu,jambo ambalo ni uongo.leo ktk wahubiri kumi wa kikristo basi nane watakwambia wametokewa na roho wa bwana.Alianza mtume wao Paulo,
Amesema hivyo ilikujilinda iliuongo wake usibainishwe tunaijua hiyo mbona nynyi mtu akiongelea quran hao mashehe wanajibu inamaana hawana elimu? Ukiona kajibiwa ujue hana hiyo elimu yabiblia
Ukisoma biblia kwa jinsi ya Mwili waislam Mmmh , itawachanganya saana ,maana kwenye Biblia ni Unabii na utimilifu na bila kuelekezwa Mungu alikua anamaanisha nini hutoelewa kamwe inawezekana ata hivyo, Nuru alikua anamaanisha vingine kwa jinsi ya roho.
ndo maana MUNGU sio mwanadamu angeniachia kiti sekunde tu ningesafisha huu uchafu unaochafua bible ila waislam tambueni kua biblia ilikuepo tangu kipindi Cha kina Moses takribani 4000 yrs a go then after Christ kupaa 500 yrs latter anazaliwa Mohammad then aje na kitabu sahihi kushinda bible aminini nawaambia msipoamoni mapema MTA amino akija na utukufu mwingi na maraika na Kwa kuwaumiza roho aliyekuja pale bustanini Kwa adamu ndiye huyu Yesu hata aliyempa mbao Moses ni Yesu baba hajawahi kuinuka patakatifu akaacha wale viumbe na wazee na malaika wanaabudu kiti Baba anaenda kazi kupitia mwanae nae ndiye neno
Mpaka mseme nyie makafiri wa kiarabu mlizoea zamani wakristo walikuwa hawajibu hoja na sasa wakiristo wanajua kutoa hoja nzuri kuwashinda hao wahadhili waongo waongo kina sule na kina mazinge
Hakuna kafir yeyote anaeweza kucha lenji kur aan hajatokea wala hatatokea na aliejaribu ameshindwa hoja za kweli kama ww kur aan hamna hata mtu mmoja anaeweza kutoa mfano w kur an w unapiga kelele t!
Unaposema kafir ,tayari ushajitambulisha akili ni ndogo,wenye elim huwa wastaarab, wajinga huwa na chuki ,kwanza uelewe bibilia na quran hupishana katika mambo mengi sana.