Mwanafunzi kinara kwa masomo ya Sayansi katika matokeo ya mitihani ya kidato cha sita Catherine Alphonce Mwakasege amezungumza nasi "exclusively" baada ya matokeo kutangazwa. #elimu #matokeokidatochasita2022 #tanzaniaone
Kama ningealikwa kupeleka lists yangu ningependekeza Tanzania One atoke tabora boys na best performer school! Iwe tabora boys! But hongera catherine ! Pia serikali ingewashika mkono watu wenye ndoto kama hawa kuwaandaa kuliko kila siku kuagiza madaktari mara kolea ya kusin mara kolea magharibi kuja wakati dhahabu kama kina catheline mkopo wenyewe wakipewa ni partial scholarship mwisho hawafikishi malengo yao
@@samsonngwembele5479 they are the only students from public schools in that top ten .. Credits; the school being number one in Advanced physics subject without a single teacher there
@@bensonbenezeth nimeshasahihisha mitihani ya kitaifa zaidi ya miaka 5 nilichogundua matokeo yanabadilishwa baada ya majumuisho kukamilika hivyo tusitarajie waislam kushika namba moja hayo ni mambo yapo nyuma ya pazia uzushi mtupo hapo hakuna lolote
@@mcback4384 wewe nikuulize umeshawahi kufanya kazi ya kusahihisha mitihani? Tuulize sisi kinachosemwa ni ukweli mtupu Tanzania imetawaliwa na udini na chuki katika elimu
@@maryamalli9090 hahaha bibi kwenye karatasi ya mtihani ya majibu haliandikwi jina la mtahiniwa bali number yake na hiyo ndio inayotambulika wakati wa usahihishaji, ninyi wakati wa Kristo wapo tuition na kwenye masomo ya jioni watoto wenu wapo busy kukaririshana Quran, sasa unafikiri kwenye mtihani wanafundishwa Quran?