Тёмный

MATOKEO KIDATO CHA SITA || Tanzania One "huyu hapa" 

Azam TV
Подписаться 2,7 млн
Просмотров 11 тыс.
50% 1

Mwanafunzi kinara kwa masomo ya Sayansi katika matokeo ya mitihani ya kidato cha sita Catherine Alphonce Mwakasege amezungumza nasi "exclusively" baada ya matokeo kutangazwa.
#elimu #matokeokidatochasita2022 #tanzaniaone

Опубликовано:

 

4 июл 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 39   
@marthamwenda8424
@marthamwenda8424 2 года назад
I wish to be Tanzania one 2025 like my sis Catherine, congratulations 🤗🤗
@samsonngwembele5479
@samsonngwembele5479 2 года назад
🤣🤣🤣
@gracemihayo9416
@gracemihayo9416 2 года назад
Hongera sana Catherine, Mungu akutunze ili ndoto zako zitimie kuwa daktari wa Moyo uguse maisha ya watu❤️❤️
@tonymaster3619
@tonymaster3619 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Pla6c5WGotA.html
@AlphonceAlass
@AlphonceAlass Год назад
Ljp😊 1:43
@AlphonceAlass
@AlphonceAlass Год назад
😊 jlm 2:25 L
@planethakunamatata5254
@planethakunamatata5254 2 года назад
Hongera sana Catherine.... Keep up the good work ethic na endelea kumuamini Mungu. Hakika utafikia ndoto zako.
@edgarelikana7204
@edgarelikana7204 2 года назад
Big Up Catherine Finally you Made it,,,, Congratulations
@richardrobart6073
@richardrobart6073 2 года назад
Saf san cathe na ongera san
@valeriagosbert9904
@valeriagosbert9904 2 года назад
Hongera sana Catherine
@seniormlaponi0222
@seniormlaponi0222 Год назад
Mwananguu wa MUHAS
@sylviaraphael514
@sylviaraphael514 2 года назад
Shikamoo LIDA Makundi mamake Catherine
@michaelkefakefa4778
@michaelkefakefa4778 2 года назад
Hongera san Dada cathe
@anethswai5069
@anethswai5069 2 года назад
Hongera sana Binti Catherine
@johaneskyaruzi8789
@johaneskyaruzi8789 2 года назад
Hongera cn
@macmillanboy178
@macmillanboy178 Год назад
Hongera Catherine God bless you
@momomusa1723
@momomusa1723 2 года назад
Ongera mdogoangu mwakasege👐
@maryamalli9090
@maryamalli9090 2 года назад
Mitihani isahihishwe kwa namba sio majina ni unafiki mtupu hapo hakuna lolote
@humphreynyiti516
@humphreynyiti516 2 года назад
Be blessed sana
@rachelelimeleck8820
@rachelelimeleck8820 2 года назад
Congratulations Catherine..
@elishayohana2896
@elishayohana2896 2 года назад
Kama ningealikwa kupeleka lists yangu ningependekeza Tanzania One atoke tabora boys na best performer school! Iwe tabora boys! But hongera catherine ! Pia serikali ingewashika mkono watu wenye ndoto kama hawa kuwaandaa kuliko kila siku kuagiza madaktari mara kolea ya kusin mara kolea magharibi kuja wakati dhahabu kama kina catheline mkopo wenyewe wakipewa ni partial scholarship mwisho hawafikishi malengo yao
@samsonngwembele5479
@samsonngwembele5479 2 года назад
kwa nn tabora boys
@elishayohana2896
@elishayohana2896 2 года назад
@@samsonngwembele5479 they're real aspirants !
@kisarawe2dispensary414
@kisarawe2dispensary414 2 года назад
@@samsonngwembele5479 they are the only students from public schools in that top ten .. Credits; the school being number one in Advanced physics subject without a single teacher there
@fredricksiwale6420
@fredricksiwale6420 Год назад
Hongera dada Catherine
@paulinaambrosi7042
@paulinaambrosi7042 2 года назад
Oy mwakasege Safi mwanangu
@prinseslutfia8737
@prinseslutfia8737 2 года назад
Hongera mamy I wish I could be like you
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 2 года назад
Matokeo yatoke kwa namba ili tupunguze udini na ukabila kwenye kusahihisha mitihan
@bensonbenezeth
@bensonbenezeth 2 года назад
Wewe ndo unaudini umejuaje wamesahihisha kidini, Juhudi ya mtu, unaleta udini kalale acha uchulo.
@mcback4384
@mcback4384 2 года назад
We alshabab fala kweli kwani si yanasahihishwa kwa number? Kero yako ni kuona majina yote yanayoongoza ni ya kanisani lakini washika mkia wa msikitini
@maryamalli9090
@maryamalli9090 2 года назад
@@bensonbenezeth nimeshasahihisha mitihani ya kitaifa zaidi ya miaka 5 nilichogundua matokeo yanabadilishwa baada ya majumuisho kukamilika hivyo tusitarajie waislam kushika namba moja hayo ni mambo yapo nyuma ya pazia uzushi mtupo hapo hakuna lolote
@maryamalli9090
@maryamalli9090 2 года назад
@@mcback4384 wewe nikuulize umeshawahi kufanya kazi ya kusahihisha mitihani? Tuulize sisi kinachosemwa ni ukweli mtupu Tanzania imetawaliwa na udini na chuki katika elimu
@mcback4384
@mcback4384 2 года назад
@@maryamalli9090 hahaha bibi kwenye karatasi ya mtihani ya majibu haliandikwi jina la mtahiniwa bali number yake na hiyo ndio inayotambulika wakati wa usahihishaji, ninyi wakati wa Kristo wapo tuition na kwenye masomo ya jioni watoto wenu wapo busy kukaririshana Quran, sasa unafikiri kwenye mtihani wanafundishwa Quran?
@AlphonceAlass
@AlphonceAlass Год назад
.l😮o
@revocatuskalumuna5789
@revocatuskalumuna5789 2 года назад
cathe unaniambia nn mm nieliepata marks 11 form one
@revocatuskalumuna5789
@revocatuskalumuna5789 2 года назад
basic
Далее
Tanzania One wa CPA 2022 afichua siri ya kufaulu
7:02
Просмотров 4,6 тыс.
MSHIKEMSHIKE VIWANJANI - AZAM TV 08/07/2024
22:38
Просмотров 6 тыс.