Innallilah waina illaih rajiun.....faida za kuish na wtu vzr..jaman ndugu zangu waislam na wale wa dini zingine tuish na wtu vzr bila kujali wadhifa,cheo,au hali ulonayo.tujifunze kupitia matukio..sory kama kuna nilomkwaza
the BGM doesn't embrace the context, kanisani hakupigwi qaswida please for the respect of the family, I believe this can be rectified. Inna lillahi wa inna illaihi rajuun.
Clouds hapa mmechemsha sanaaa kwanin muweke music wakat marehem wakati msiba ni wakiislamu inamaana mmeshindwa kuweka hata qaswida za msiba za kiislami
Hivi huyu khalfan kikwete si ndio yule mtoto wa kikwete alietukana watanzania wapinzani baada ya uchaguzi 2015,.? Ndio maana namkubali JPM kichizi kuna watu nakumbuka waliona kama Tanzania ni mali yao binafsi sababu sio kwa dharau ile
christmas machele ndio ninakubaliana nawe kuhusu hili. Juzi hapa kulikuwa na program kwenye TV huku arusha karibu na mbuga za wanyama. Hawa watu wamewauzia ardhi waarabu wa amerates. Wamasai wamenyang'anywa ardhi. Inasemekana familia hii! Imewauzia familia ya kifalme United Arab Emirates. Ila Wamasai wameishitaki serikali. Ninategemea Wamasai watarudishiwa ardhi yao!
Ukiona mtu anapenda sana lawama sana ujue ana dalil za kufel maisha...huu ni msiba siyo sehemu ya kukosohoana pia hakuna binadamu mkamilifu pia kila mtu anabaya lake na zuri lake pia ndomana neno toba lipo kwenye kitabu ambacho hakina shaka ndani yake....